Sawa Asante sana tunashukuru kwa maoni yako 🙏 tunalifanyia kazi
@mmhmedia8375
8 ай бұрын
Mungu awasaidie muendeee kutu elimisha
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Amina 🙏🫶
@user-fh5ko7he2z
8 ай бұрын
Ndio maana sipendi mama wa kambo hata kidogo wana roho mbaya😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
We acha tu 😭
@AlineMaombi-qn5dr
8 ай бұрын
Jameni sioote
@AlineMaombi-qn5dr
8 ай бұрын
Basi mama atamusaidia nin hapo kabulini
@ChasTz
8 ай бұрын
Daah uyu mama ni katili sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 ni noma
@NDIZIMEDIA
8 ай бұрын
Wa poli jamani naombeni like zenu 🔥🔥🔥
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
🫶❤️❣️
@makochali2516
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@MbazumutimaAhmadi
3 ай бұрын
😮😅😢😢😅
@GraceAchungo-yv2jw
8 ай бұрын
😢😢😢😢mungu zidi kuwalinda watoto yatima😭😭😭😭😭
@Fatma-to6rq
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂weeee mtoto nawe c umuambie bbko kila kitu anacho kufanyia uyo mwanamke daaa inauma
@sharifamahmoud8993
6 ай бұрын
Kwakweli
@ZenaMustapha-tj8yn
8 ай бұрын
Duh Yan hii move inaniuzunisha sana
@Mdakuog
8 ай бұрын
Mtoto amenikumbusha maisha yangu ya zamani 😢😢 nipe namba yake nimtumie ata ya soda
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😍❤️
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Daah pole sana
@IsackAgustino-rz9iz
29 күн бұрын
Hii muvi inafundixha sana jaman ongezen sana bidii mungu awafanyie wepes mnaotengeza muvi
@ShedrackEstomih-ol9sr
7 күн бұрын
Daaah ila mungu so mwanadamu na kila kinachotokea kwenye maisha mungu amekipanga na hapo alipo ni pa kupita tu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@Footballdata25
8 ай бұрын
Hilo baba linalo kunywa bia shenzi tu limeniuz na gukofia gwake kama guchawi kumpa mototo hela tu kaah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😂 Kuna watu Wana ROHO mbaya nyie
@everlinekenga437
8 ай бұрын
Hana huruma kiukwel😢
@tiffahdangote7548
8 ай бұрын
Jaman akina mama za kambo wapo na wanamateso mengi lkn sio wote...Kuna wale wamebarikiwa jaman hawana izi roho SEMA kikubwa hapa katika haya maisha kama baba unamtoto kama hivi jitahidi sana kuwa na msimamo ktk malezi yake yaani uwe karibu sana! Ukiwa kama huyu baba mwanao anateseka sana! Wababa muwe na msimamo! Huyo mama anaroho mbaya na Dera lake Kila siku
@GenselaMorice
2 күн бұрын
Wababa mpooooo naumia Sana muwe mnapata muda wa kukaa faragha na watoto wenu
@LYDIAHARURU
7 ай бұрын
Mungu nipe nguvu na maisha marefu niwaree watoto wangu mwenyewe 😢
@MargaretMwikya
2 ай бұрын
❤😊
@DeborahMadata
17 сағат бұрын
mama wa jambo ni mbaya sana bas tu kwakuwa baba zetu huwa hawajuwi
@user-jf3qz3il3u
4 күн бұрын
😭😭 jamani mama wa kambo katili kwel mtoto wa mwenzio ni wako pia
@user-st3wo7qi2v
8 ай бұрын
Jaman kunawatu wanaroho mbaya 😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 huruma
@makochali2516
4 ай бұрын
Sio wat ni wa kin mama
@saidaaahgg8028
Күн бұрын
Jmn ss kin mama sio wote😢😢
@CalebWasike-g1e
13 күн бұрын
Pole sana toto miapenda wewe ❤❤❤❤
@user-gg9ix7gl1u
6 ай бұрын
Wazazi tujiepuxhe na laana za watoto 😢😢
@user-fi9gm2et5r
8 ай бұрын
Sio wanawake wote wana roho mbaya ila nawashkur wanaume msipende kusikiliza upande mmoja mana wapo watoto waongo pia muhimu ukiwa mwanaume ww ni kchw cha family ukiletewa neno na mkeo au mwanao kaa chin tafakar kabla yakuhumu all in all movie nzur mno mungu awabarik sana
@jaymodal3146
8 ай бұрын
Nimeangalia zaidi ya mala mbili hii movie mnaweza sana mpo so talented 😊😊
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Asante sana tunashukuru kwa maoni yako 🙏
@nemahk2361
8 ай бұрын
Huyu Mwanamke hafai kabsa😢😢😢
@ReginaNdungu-oj4mf
3 ай бұрын
Nfaimbona😂😂
@ReginaNdungu-oj4mf
3 ай бұрын
Hjkd😂
@ReginaNdungu-oj4mf
3 ай бұрын
yhfxs@@nemahk2361
@FabianLucas-op9qb
8 ай бұрын
Oyaaah inasikitisha ile mbaya😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Nomaaa
@IrakozeOlene
16 күн бұрын
Jamani mutoto huyu anahangayik 😂😂😂
@kidukutv1020
8 ай бұрын
Afu baba mtu anachekelea tu mtoto wake anavyo teseka daaah huruma
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Asante sana tunashukuru kwa maoni yako 🙏
@everlinekenga437
8 ай бұрын
Maskini 😢😢 mtoto ywateseka sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Yani balaaa
@user-nv6nk4qs5z
6 күн бұрын
Mungu awaone mama wakambo😢😢😢😢
@osadgstuy5746
6 ай бұрын
Mungu saidia watoto yatima 😭😭😭😭😭
@Rajiivoice
7 ай бұрын
Sisi Watoto yatima wavumilivu sana pia tunaishi na sili nying sana mungu hazidi kutujalia
@valentinanduku8718
6 ай бұрын
Tmuombe Mungu awajalie umri mrefu wakina mama waweze kuwalea watoto wao bila shida yoyote kifo kikae mbali
@user-cj4bh4zo4l
6 ай бұрын
Wababa bona hamuna majo.😢😢😢❤from🇺🇬🇺🇬🇺🇬Oh God have Marcy to all sarch kids🙏🙏🙏
@sirizamjini
8 ай бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya jaman lkn huyu mama kazidi😂😂😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 balaaa yani
@ZenaMustapha-tj8yn
8 ай бұрын
Kweli kabisa Yan huyu mama namchukia
@WinifridaEvarist-oc9tb
27 күн бұрын
Mungu awape uvumiriv mkubwa inauma
@JacklyneMurutu
2 ай бұрын
Mungu anipe maisha marefu nilinde watoto wangu hadi wenyewe wapate vibarua
@user-oi3of3ti7f
6 ай бұрын
Hata baba hajielewi. Anakubali kuingia ndani kwenda kula anamwacha mtt anabaki nje.
@WinifridaEvarist-oc9tb
27 күн бұрын
Wanaume kuwen marafki na watoto wen jamen 😮😮😮
@elizabethmhinas7414
6 ай бұрын
Jamani kama nikweli inaumahuyu mama kiboko nababa nababake hafatilii nyendo za mkewe
@ERICKNJERU
5 ай бұрын
Haya yote nnmepitia ,,take heart young boy
@charitiekarimi5388
2 ай бұрын
Namchukia huyu baba ,,yeye ndiye makosa yote anafaa amfuatilie mwanae anavyokuwa
@user-ct5yt9zp1u
4 ай бұрын
Dada kazidi adi kaharibu utamu 😂
@user-wr8xy3rc7w
3 ай бұрын
Aky sio vizuri
@user-cz6ij1xk2f
4 ай бұрын
Oe huy mama so kwenye move2 had kawaid ana onekn ana Hal mbaya
@neemamhongole5468
3 ай бұрын
Heeeeeee,jamani ,HAPANA!!MIMI NIKIMWONA MWANAMKE WA NAMNA HII,REALY NAPAMBANA NAYE SIMWACHI HATA KAMA ANAYETESEKA SI MTOTO WANGU
@neemamhongole5468
3 ай бұрын
HIVI huyu MWANAUME HASHTUKI TU KWA KAULI ZA MKEWAKE?????
@MdKasen-ru2ei
8 ай бұрын
Jamn mama wakambo simama naomben like zenu nikiwa omn
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Noma sana
@JonsonJohn-km8tm
2 ай бұрын
Pole sana dogo
@user-uo3di9lu3f
7 ай бұрын
Wewe mama acha roho mbaya na sura
@AndreaVemanabado
3 ай бұрын
Sema,nimemukubak
@BraveElliudy
13 сағат бұрын
Nmeumia mungu saidia yatima
@peterkihongosipeterkihongo1154
7 ай бұрын
Wanarohombaya mimi nimejionea mwenyewe
@SHUNGURAPPER
8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wanangu ongeren kaZ nzuri
@user-yz3zb8pz7v
6 ай бұрын
Ukiona ivo baba afuatilii wanae ujue ipo siku mungu ata muumbua
@user-cc4rj4vc4g
5 ай бұрын
Inabid mama achomwe motooo jamani siyo kwa ukatili huo
@user-gg9ix7gl1u
6 ай бұрын
Kunaye Mungu kwa ajili ya yatima
@SahaniTiluli
25 күн бұрын
Tulopitia tunajua mateso hayo basi ila ndani yake jump kuna mafunndisho ila yakibishi nayamateso
@clubindangamico-yj7pp
7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 kweli inaumiza sana we mama utalainiwa namwenyez Mungu
@charitykatuveemutheu8056
7 ай бұрын
Daaa yaani uyu mama afai kabisaa 😭😭😭
@RamlaMohamedy-sr1pe
Ай бұрын
Laman wa toto hebu jitahidin epuken kuwaweka mtawaharibu saikolojia
@EstherBarasa-es3tn
8 ай бұрын
😭😭😭😭hyo maisha niliyapitia mungu anipe uzima nilindi wtoi wng
@user-vy8ir3hg6b
6 ай бұрын
Wewe mwanamke tambua haki za watoto
@KarolinaOman
6 күн бұрын
Duh! Sura mbaya na roho hivyo2 👹
@user-yf9ih6lw3z
6 ай бұрын
Mungu WA kumbuke mayatima
@Grace-d4l
15 күн бұрын
Mungu saidia Watoto
@sophiasophia5547
6 ай бұрын
KELI wanake tubadileke janii
@JordanMwagama-to2vs
7 ай бұрын
Ujui ata kubyeda roho mby tu
@PhanisNyaboke
7 ай бұрын
Wanaume jamni mue na wakati ,na pia wamama jamweni mungu atusamehe
@maryd1538
8 ай бұрын
Saw kaz saf san hongeren❤❤❤
@user-mo6hl6ey5c
8 ай бұрын
I feel your pain
@Aminahlamranl420-hw2ie
7 ай бұрын
Maskin huy mtt ameniliza pole my son
@Doriskapretty
Ай бұрын
Naomba nipitieni guys tawapitia ❤❤❤show love
@user-rz7hz6hz1i
7 ай бұрын
Huyu mama ni muchawi kwasababu rohombaya
@makochali2516
4 ай бұрын
I've imagined ww ndo unafanyiw kitendo kam hicho
@user-ow5oz5ky7g
6 ай бұрын
Cna lakusema mwenzen nabaki na😢😢😢 ya loho inaniuma atali
@RashidMwarami-bl1iu
8 ай бұрын
Jmn tusisahau malipo hapa hapa duniani akhera mahesabu 😢😢😢
@JacklyneMurutu
2 ай бұрын
Huyo mama alaniwe
@simulizizamotto
8 ай бұрын
Oya Buda pest na Chaz record umeuwa kinoma😂😂😂😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Ahahah noma sana
@ReginaNdungu-oj4mf
3 ай бұрын
Nfaimbona😅😅
@gladyskerubo7804
7 ай бұрын
Mungu saidia huyo kijana
@Kizaboy-mu6qk
7 ай бұрын
Yan ihii mv inavyo tia uchung m2 unataman ad kuhuwa mam mwenyew 😮😮😮
@floramacheva5855
8 ай бұрын
😢😢😢aki hii nayo....dahhh😢😢😢walai nimeshindwa kusuia chozi 😭😭😭
@danfordmgeni9459
6 ай бұрын
Siwez kumwachia mw was Kamb mtoto
@ReginaNdungu-oj4mf
3 ай бұрын
Sawa❤
@tundacappuccino
8 ай бұрын
Shabiki yenu namba moja nipo hapa
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Asante sana tunakupenda 🫶
@suzan2929
7 ай бұрын
Aki nimelia ndio maana sipendi mama wa kambo
@user-rb3ob3wh9b
6 ай бұрын
Polee ak xna kwa matezo
@makochali2516
4 ай бұрын
Ndo nyinyi wa mama Muach roh mbay
@HalimaMzimba
4 ай бұрын
Huyu dada noma
@FatumasinahabariMose
3 ай бұрын
Usifanye kitu uwezi taka kufanyiwa
@user-uu2ij8bb3x
6 ай бұрын
Jamani msifanye hivyo
@JacobMabena-q8k
12 күн бұрын
Inaumeza sana
@NEWDATA24
8 ай бұрын
Tulio toka TikTok tujuane 😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😂 karibuni sana
@JacobMabena-q8k
12 күн бұрын
Mama wakambowajilekebishatabiahisivizuli angefanyiwamtoto wakojee
Пікірлер: 180