Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076 ADA : 2,000 TZS kwa wiki. Karibu!
@mrmoney4082
3 жыл бұрын
Habari ya kazi Bro! Samahani bro kuingizia comment ambayo iko tofauti kidogo! napataje mwongozo na/au utaratibu wa 'Mentorship program' Ahsante!
@freddyngabonziza5864
3 жыл бұрын
asante
@freddyngabonziza5864
3 жыл бұрын
walioko Burundi tunaomba number ya m pesa kaka ezden
@josephkipimo5323
2 жыл бұрын
Mkm
@calvinjoseph
3 жыл бұрын
Not everybody will understand your journey and that's just fine. You focus on your path and let others focus on their own. Don't you ever feel guilty for going after what you want in life. This is your life and you need to live it fully while you've the chance. I'd rather be hated for who I'm than loved for who I am not. You can't be lonely if you like the person you're alone with. Everyone comes to your life for a reason. It may be blessing or a lesson Cutting people out of my life doesn't mean I don't like them. It means I respect myself Insanity: Holding on to things you cannot change. Let it go Create a life that feels good on the inside. Not just one that looks good on the outside
@noahefelemu9395
3 жыл бұрын
Unaniponya saaaana kaka, be blessed, ulizaliwa kusaidia jamii kwa namna hii, sijui niseme Nini kk, you're the best, I mostly appreciate your mind set
@naimamuturi3475
3 жыл бұрын
MashaAllah, shukran nme jifundisha sana its like u have seen what am going through. SubhanaAllah. InshaAllah i will work on those 10 points i believe i will make it.
@aishaabdallah4560
3 жыл бұрын
Shukran kaka nimelipenda mno hili somo ...ntajitahidi kulifanyia kazi
@minanicharles3081
3 жыл бұрын
Brother I really learn big things in ur lesson much respect brother big up bro
@ajaxjunior4151
3 жыл бұрын
Asante sana Mr. Ezden .Each one teach one kwa fundisho zuri la kutokimbia matatizo
Ninawakati mbaya sana kwasasa but hii video imenipa moyo sana I have watched it 4 times kuna kitu natakiwa nikiache behind of my life but it's so painful but i have too for the mercy of my life😢 Kaka much respect thank you🙌🏼❤
@successpathnetwork
Жыл бұрын
Pole sana Bella kwa lolote unalopitia kwasasa, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze pita salama mapito hayo. Kuwa na imani.
@LowasaNgai
2 ай бұрын
Asante Kwa masomo yako yananifariji Sana my god bless you 🙏
@successpathnetwork
Ай бұрын
Shukran sana ndugu yangu . Karibu sana
@dorahmatitu2554
6 ай бұрын
Assalaam Alaykum my kaka!!!! Pole na kazi. Nashukuru sana, Allah akuzdshie kila la kher kaka kuna vtu nmejfunza
@shukranally1179
3 жыл бұрын
jazaka llahu khair kwa somo zuri kaka ezden, huwa napenda sana masomo yako coZ huwa yananilenga na kunibadilisha, pia yananipa faraja coz kuna wakati nakuwa disappointed for tragedy and drama happened in my laif ,,,enxx brother,,
@priscapili4938
Жыл бұрын
Ahsante kwa ushauri hapo umenifariji
@catherinegabriel9379
3 жыл бұрын
Kuna baadhi ya vitu namilikii kwa ajili yako Kaka nataka tu ujivunie Mimi. Mimi Ni mwanafunzi wako Bora Sanaa ✌️
@successpathnetwork
3 жыл бұрын
Waow...Safi sana nafarijika sana kusikia hayo. Karibu sana
@samymdundu
3 жыл бұрын
Safi iyoo
@mycotv2020
2 жыл бұрын
Duh we brother sizan kama unaweza ukagombana na na mtu mana saikorijia yako iko good sana
@macksemuyango6108
2 жыл бұрын
Bro kiukweli umenifundisha mambo mazuri hususaniiiii wakati kama huu nilionao kwa sasa!!! Mungu akubariki sana bro!
@prospartyexavery6369
2 жыл бұрын
Toka nimeanza kukufutilia hakika nimefunguka mambo mengi thank you brother 🙏🙏🙏🙏🙏
@samymdundu
3 жыл бұрын
Habari kaka unafanya kaz nzuri sna na ni mmoja wa kijana wa kukubali kubadilika Niko nakuelewa sana yaan na nimenadilika kwa mengi .. Ila nilikuwa ninawazo siku embu fafanua lugha ambayo unatumia ili watu wakuelewe zaid maana watu tumetofautiana .. Lugha unayo tumia ni kiswahili kizur ila kuna kahali flan ivi cha unavyo ongea watu hawakuelew ..so nahis umenielewa embu siku weka Ilo somo ..maana kuna rafiki yangu anapata shida kukuelewa .. Ila mim nakielewa sana tuuu Ila binafsi naamin bado ajajitambua kwenye upande wa kubadilika ndio maana watu kama hao hawajelewii asante
@ismailhussein5392
3 жыл бұрын
Kaka shukurani sana kwaujumbe wako mzuri Allah adhidi kuwalinda inshaaLlah
@aderiderkihupi7240
6 ай бұрын
BARIKIWA SANA
@daudigidabayda7315
2 жыл бұрын
🙏🙏 thanks brother
@GwantwaOsyana
14 күн бұрын
Thank u so much my brother.
@Muka_26
2 жыл бұрын
U changed my life kwa kunielimisha
@veronicanyokanyoka1187
2 жыл бұрын
Mungu, akubariki kwa mafundisho
@liduvaliduva5041
2 жыл бұрын
Blaza nakubali xana kazi zako na kujihisi nimechelewa kusikiliza vipindi vyako nipo nje ya nchi sasa ndo nimeanza kuandika moja lakini mpaka Sasa Nina miaka 28 je kutoka na umri wangu je nitakua ndani ya mda kuukimbilia utajiri maana ninandoto ya kua zaidi ya mo deuji
@albertlunda2676
3 жыл бұрын
Ongera kaka kwa somo lako nzuri. Mimi ni mkongomani,naishi hapa Lubumbashi. Napenda sana mafundisho yako , Yani yananipa sana faraja.
@mussadismass9306
3 жыл бұрын
Asante sana kwasomo zur imenipa nguvu ubalikiwe mungu akutunze
@ShonyangaAbdoulrashid
5 ай бұрын
Kaka mm nina tatizo la kigugumizi kilinishika ghafla hua nashindwa kujieleza
@francengosha7157
3 жыл бұрын
Conglatulation more bro...you can
@successpathnetwork
3 жыл бұрын
Thank you
@abdullykapole9617
2 жыл бұрын
Kaka wew ni zaidi ya mwalimu allah aendelee kukubariki kila hatua upigayo insha-allah🙏.
@chrismassawe326
3 жыл бұрын
Elimu nzuri inambadilisha kila anaeskiliza na kuchukua hatua.🙏🙏🙏🙏
@successpathnetwork
3 жыл бұрын
bila shaka kaka
@saadaalmamary8397
3 жыл бұрын
Thanks brother big up
@twalibuchaye7687
3 жыл бұрын
Keep it up ndg yangu Allah akuzidishie elim Zaidi, somo lako limeeleweka sana
@evansfwoti4321
2 жыл бұрын
Uko poa bro, nakuwelewa sana nashkuru kw mawazo yko ,barikiwa washangae
@elishamgasa2343
3 жыл бұрын
Aisee hii nimeipenda sana...... Naomba utuletee somo ambalo linahusu kijana mwenye njozi kubwa katika maisha yake na anapomshilikisha mzazi wake anamkataza, je kijana kama huyu afanyaje? Na nini ambacho kinakuwa kimefichika kinachomfanya mzazi kumzuia mwanae kufikia ndoto zake?
@SaumaBakari-ld2dy
10 ай бұрын
Sawa kaka nakukubari sana
@user-jy1zn1zj8f
9 ай бұрын
Asalaam alykum, You made my day,😢 thank you.
@husnaally6595
3 жыл бұрын
Asante ndugu yangu umenitoa sehemu 1 nakunipeleka sehem nyingine
@habibismael4937
3 жыл бұрын
Mmh great Kaka mkubwa pamoja till the end from Burundi
Asante kaka J4 number 7 nimeielewa sana na najiahidi kuifanyia kazi. #Each one teach one.
@stephansimkoko1193
2 жыл бұрын
Bro elimu nzuri sana mungu akubaliki sana!
@aminamoha7240
11 ай бұрын
Uko Sawa bro
@jannethimartin1066
3 жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza sanaa
@saadaalmamary8397
3 жыл бұрын
Piga kelele kwa kaka yake wewe wee big up brother
@seifhamduni7649
3 жыл бұрын
Imekaa vzr sana kaka
@aishagobren4098
2 жыл бұрын
Napenda sana mada zako
@successpathnetwork
2 жыл бұрын
Asante sana sana
@blackwarrior-animations593
3 жыл бұрын
EZDEN .........I APPRECIATE
@felisteravija1901
3 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki,ndowakat niliopo mdogoako,ni nitanyanyuka tena,ila sitapenda tena
@emmanuelmwizarubi9252
2 жыл бұрын
Umekuwa n masaada mkubwa sana kwangu nnakuelewa sana kiongoz
@ezekielpanga7599
3 жыл бұрын
Thank you kaka yangu umenitoa mahali umenipeleka palipo bora! !!!!
@veronicanyokanyoka1187
2 жыл бұрын
Upo,vizuri mwarimu
@عنيزهالبروندي
3 жыл бұрын
Nashukur sana kwasomo
@PetroMiso
4 ай бұрын
Shukrani sana kak
@judithsalvatory2892
3 жыл бұрын
Barikiwa sana kuna watu Mungu aliwaumba kwa kusudi
@macksemuyango6108
2 жыл бұрын
Be blessed my BROTHER EZDEN JUMANNE
@demasnambamoja972
2 жыл бұрын
I like this
@adamchambo3321
2 жыл бұрын
.nice study
@saidesalimo1497
2 жыл бұрын
Uko vzr Sana my brother
@nellykebene5384
3 жыл бұрын
Keep it up
@twahaally1969
3 жыл бұрын
shukran sana. MR FROM ZANZIBAR
@priscapili4938
Жыл бұрын
Thanks
@gracekileo12
2 жыл бұрын
Thank you Ezden be blesed....
@amranikigolo5974
Жыл бұрын
Waooo nimejifunza kitu,
@kamaratsalimsafari8838
3 жыл бұрын
Thanks Each One Teach One 👍
@amirclassic8326
2 жыл бұрын
Kaka kuna mtu nilimpenda sana tukaachana bas ad leo anasumbua kwenye akili yangu mawazo hayaishi lakini Hiki kipindi chako leo kimenipa somo asante
@martinawagine875
3 жыл бұрын
Thanks bro
@salumsamesame1741
3 жыл бұрын
Kaka iko smart sana , naona kabisa unanilenga mimi kwa kweli😥
@RamadhaniMpwatile
11 ай бұрын
🙏🙏
@saadaalmamary8397
3 жыл бұрын
Thanks u give me power to do my own
@sadikijoseph3064
2 жыл бұрын
Asante sana kaka
@kizazijeur7518
2 жыл бұрын
Mambo yote yamenitengeneza bro Ezden
@sistermery4581
2 жыл бұрын
Nakufuatilia ad basi yahn now days nimeacha kulalamika coz KUna video niliangalia ukasema if u want t sound powerfully stop complain but if u want to sound powerless endelea ku lalamika 🙏🙏🙏🙏🙏🥳🙏🥳🥳🥰
@successpathnetwork
2 жыл бұрын
naam...hongera sana...
@festofotonatusdionizi1222
2 жыл бұрын
Mm nimefanya Kaz miaka3 ila Sina ela na nimeajiliwa na ela nikipokea mshahala inaisha yoote na Hera yakura na pewa kila mwezi napokea 70000 sjui nifabyenje
@twaybachellah914
2 жыл бұрын
Asante sana
@verenapastory9118
2 жыл бұрын
Haise nashukuru kwa somo lako zuri Sana ni mama mjane nimejifunza vitu vingi kuacha nakuambatana na vitu au watu sahii kujipenda kuacha msongo nk barikiwa Sana 🙏🙏🙏💃💃
@ibrahimfrance1576
3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri nakukubali xan brooo tupo pamoja
@amemeabdulrazak1397
3 жыл бұрын
Asalam alykum Allah akupe umri uzidi kutueimisha ww n grop lako
Пікірлер: 170