Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
9 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
9 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
2 ай бұрын
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
@joshuaaizack6973
Күн бұрын
Wengi wenu ni wavivu tu wakujifunza na kufatilia mambo ya msingi, ndio maana wengi mnathubutu hata kufikiri kuwa Mr Joel ni genious jambo ambalo hata yeye anajua si kweli ispokuwa aliwekeza mda wake mwingi kuyajua hayo kwamaana anajua umhimu wa mambo hayo "acheni kuyafatilia mambo ya hovyo mjifunze mazuri
@ThomasMmary-r7w
10 күн бұрын
Barikiwa sana mentor wangu🙏✅
@zachariajacob6559
9 ай бұрын
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@DeogratiusMruma
9 ай бұрын
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@Pendezabylydia
9 ай бұрын
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
9 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
7 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
@pikanaauntzuu1466
9 ай бұрын
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
9 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
9 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
9 ай бұрын
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
9 ай бұрын
@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
9 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
@shamsaabdalah7038
29 күн бұрын
Nmejifunza kitu kikubwa Ubarikiwe sana❤
@langemwepesi
9 ай бұрын
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@IBRAHIMMTEMI-n5u
3 ай бұрын
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@ZaitonahZaitonah
Ай бұрын
Ubarikiwe San mungu akulinde akupe afya uzima umri mrefu nizidi kujifunza 🙏🙏🙏
@PAULPAUL-v2c
9 ай бұрын
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@ndalahwashija6278
8 ай бұрын
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@charlesakomba8103
8 ай бұрын
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@LilianKeya-ci3ex
2 ай бұрын
Powerful teaching barikiwa sana mutumishi wa MUNGU ❤
@naibethRafael
9 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@naibethRafael
9 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@abeldicken8949
9 ай бұрын
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@zuwenayusuph3813
3 ай бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@CeciliaSadala
8 ай бұрын
I’m speechless…..I’m grateful……God bless you Joel Nanauka🙏🙏
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameeen
@naylahobra
5 ай бұрын
Unasaidia watu wengi kaka mungu akupe umri mrefu ❤nakupenda sana kaka angu unachanua sana akili yangu nilikua ni mtu wa kuogopa sana watu na kuyo kujiamin lakin kila siku nakua mpya kwa sababu yako ❤
@SamAbdalah
5 ай бұрын
Ni nzuri sana a elimu hiyo ulionanayo, lakn usije ukaacha, kwa maana Mungu anataka uwafungue wau watu wake ambao wako huru tayari.
@hyasintajoseph2589
7 ай бұрын
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@kelyjames5452
9 ай бұрын
Kakaaa nimeenjoy sanaa somo lako kaka ,Mungu akubalik sana kaka Joel na akupe Afya Njema ❤❤❤❤
@AsiaCharles-b1p
9 ай бұрын
Mungu awe nawe nasi pia tunaofuatilia masomo yako atupe wepesi wa kuyashika na kuyafanyia kazi maana mioyo ya binadam ina usaurifu hivyo Mungu azidi kutukumbusha haya yote na Mungu akubariki kaka toka nimeanza kufatilia speech zako sijawahi kujuta 🙏
@joelnanauka
9 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@SteveSilayo
3 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Yehova
@rosemarynyato6535
9 ай бұрын
Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza
@SelemaniMlekwa
Ай бұрын
Nina jitaidi sana kukufatilia agarau kile nilicho kosa darasani agarau nipate ata kidogo kwako ninacho oba mungu akulinde akupe afya jema ware tulio nahamu nashauku ya kujifuza kwako tuederee kunifuza
@Yohana-tt3sn
9 ай бұрын
Kaka mungu azidi kukuongezea neema Kwa huduma hii uzid kutupa maarifa
@janetmbwana553
8 ай бұрын
🙏🙏🙏leo nimepata nguvu mpya kabisa😀😀kuanzia leo sitoogopa tena rejection
@dicksonfondo3078
6 ай бұрын
Mimi niliambiwa na fundi wangu alokuwa akinifundisha kushona , alinambia we hauwez kufanya chochote kwa hii kazi bora ukalime nyumbani , ila sikukata tamaa nimesimama na mpaka sasa nimekuwa fundi bora kumshinda
@cesiliamaneno9566
5 ай бұрын
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@MariamadamSalum
7 ай бұрын
Nilikata tamaa nakujiona sistahili kabisa . Ila kuanzia Leo nyanza kujiona mimi ni bora zaidi naninaweza kufanya mambo makubwa pia najiona ni mtu mwingine
@priscusaugust7251
9 ай бұрын
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
6 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@joshuaaizack6973
Күн бұрын
acha uzembe wewe hata Diamond n mtu wa kawaida
@caphrenjoseph3603
7 ай бұрын
Ooo Thank you so much Joel
@eliastanda9825
9 ай бұрын
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
9 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@francishyera6867
8 ай бұрын
Asante sana Brother Nanauka
@kahundeitaru7638
9 ай бұрын
Hakika umenibariki,nlikuwa nasoma kitabu cha Nabii Joel nikakutana na hili barikiwa Niko mahali ambapo nilipaota nikapambania mwisho nikafika
@MansourOmarympunga
17 күн бұрын
Ubarikiwe
@ReginaJames-s5q
6 ай бұрын
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
@shukranjulius9526
9 ай бұрын
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
9 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
9 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
8 ай бұрын
Hellow sir@@joelnanauka
@christophermantiri1383
2 ай бұрын
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
@LinusOngore-o5k
7 ай бұрын
Ubarikiwe mno ndugu
@pauljosephtarimo2279
9 ай бұрын
Hii ndo nimeanza nayo asubuhi.
@SadickPhilipo
9 ай бұрын
Amina ndugu
@SadickPhilipo
9 ай бұрын
Amina ndugu
@NicksonKihindo-yn5ir
7 ай бұрын
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
6 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@TudamsheB
9 ай бұрын
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@tino6372
8 ай бұрын
Bro nimepona Asante sana
@simonrusigwa3024
9 ай бұрын
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@FransiscaJoseph-bg6vl
6 ай бұрын
God bless you, it's very powerful speech
@niclouskitipa1144
9 ай бұрын
Had something from money formular, ASSERT VS LIABILITY
@joelnanauka
9 ай бұрын
Kabisaaa
@annajackson3801
9 ай бұрын
Asante sana bloo joel naamini mungu alikuleta kwa makusudi duniani umekuwa tunu kwangu mungu azidi kukubaliki na kukupa uzima tuzidi kula matunda yako
@elizabethgodfreytondo3052
8 ай бұрын
Nimesikiliza tangu mwanzo,nimepata madini ya kutosha,Mungu aendelee kukutumia kwa ajili yetu ktk maisha yetu ya kila siku.
@sikituukololo1161
9 ай бұрын
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@EnlightnessRomane
Ай бұрын
GOD bless you uncle this is all about me...from now on am changing
@bonifaceferdinand566
9 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
9 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@evamgina843
4 ай бұрын
Kaka yana nashudwa niseme nini mimi jaman mungu akulinde
@cherrykamoso
9 ай бұрын
Thank u
@LissaGodson
9 ай бұрын
Unafundisha sana
@JamesMakasi-v2q
5 ай бұрын
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@wisdomofbooks6905
8 ай бұрын
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@IsmailHassan-ql8fj
9 ай бұрын
Nation presenta
@khadijamohamed3043
9 ай бұрын
Broh joel....Big up Sanaaaaaaa!!!?
@joelnanauka
9 ай бұрын
Ahsante sana
@imanimwashiuya223
9 ай бұрын
kweri
@embmacrofinance2695
6 ай бұрын
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@kakawamashariki8978
9 ай бұрын
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
9 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@josephlazaro253
9 ай бұрын
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@JumaJuma-t1q
8 ай бұрын
Good 👍
@priscarichard9719
9 ай бұрын
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
9 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
@Du_boiz_Mnyama
4 ай бұрын
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
@felixngwasi9469
9 ай бұрын
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@NevestWisa
9 ай бұрын
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
9 ай бұрын
Pole sana
@motiveperson143
9 ай бұрын
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@norberthamlowe2363
8 ай бұрын
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsanteeee
@EmilyMwalongo-sg4ru
3 ай бұрын
Nimedawnloded video zaidi ya 250 za hivi ila hii huwa naiona ni ya ushindi Sasa huwa napenda sana kuiludia ludia maana inanifanya niwe Mature in all 6 areas but only financially mature
@mohamedismail2662
9 ай бұрын
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZitem
@maryjulius5923
9 ай бұрын
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen
@ngubwene
9 ай бұрын
A AMEN
@marymkamwa3779
9 ай бұрын
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
7 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
@niclouskitipa1144
9 ай бұрын
Had something from money formular, ASSERT VS LIABILITY
@ramadhanimtozeni8030
9 ай бұрын
What a powerful presentation! May God bless you.
@josephlazaro253
9 ай бұрын
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB. Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
@peterreiya7443
6 ай бұрын
Big respect Mr nanauka kiukweli bila kuficha unajua already I transform my mind because of you!!!!
@JanethJaneth-b5f
7 ай бұрын
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@davielubuyih-yh7sx
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@GladnessKwesi
2 ай бұрын
Mwalimu mzuri sana. Be blessed
@favouredandblessedladiestv1191
9 ай бұрын
Nimepata kitu hapo
@thomasjoseph3178
9 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@monicakauky8914
5 ай бұрын
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@WozifonOberd
9 күн бұрын
Excellence is everything Amen
@HappynessMarco
Ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa
@eliudikijuzi4909
9 ай бұрын
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@AsiaOmary-w6z
9 ай бұрын
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@EnockKagomba
9 ай бұрын
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@raphaelkitila8357
2 ай бұрын
Me na miaka 23 ila naona umli ushaenda sana nasoma udom naweza kuibua kipaji changu cha mpira mwaka 2017 nimecheza mechi kubwa sjawahi kucheza ila darsani nilikuwa spendi sana shule badae nikapenda shule nikapunguza michezo naweza kuanza tema sahv nipo chuo kikuu cha UDOM nimesoma certificate na diploma ya information communication technology na sahv nipo degree
@JosephMoses-y5p
9 ай бұрын
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@angelinamagambo8733
9 ай бұрын
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@abdallahamiry1661
6 ай бұрын
Kiukweli kaka Joel nlikuwa nimekata tamaa mimi ila hii clip imenipa nguvu na naamin ntafanya vilivyobora zaidi na sintokata tamaa kamwee
@dorothclement5859
7 ай бұрын
A wonderful being.. the heaven send guy.
@salhakyande3905
4 ай бұрын
Joel! Nice having u
@AlexVenance-s1b
3 ай бұрын
Asante bro
@BeldinaAbuya-zr6qi
9 ай бұрын
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari
8 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
@NsanzabahiziRehema
9 ай бұрын
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
Пікірлер: 314