Ukristo wenu uwe katika nguvu za Mungu Na sio katika theolojia,, amen baba askofu Lazaro.
@saimonseleka8792
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@freddymihayo2192
2 ай бұрын
Amen UKRISTO NI nguvu za Mungu. Matendo 1:8
@mnanze
2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana NYTV,mnasaidia sana kizazi chetu cha sasa,kuwajua Mababa wa Imani TZ,na kujifunza kwao Ahh huu ndiyo uzee wa IMANI bado ana atamani tujae nguvu za Mungu na Moto wa Bwana.💥💥💥💥💥💥
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Woow nilikums Askofu wangu Imanuel Lazaro..nilifurahi Sanaa kukuona ile mwez wa 11 ulpokuja church maana ilkua kitambo Sana sikukuona... barikiwa Sana bishop Lazaroo..bdo YESU yu pamoja nawe Bishop Lazaroo.tunakupendaa na Revival tumekums Sana mahubir yako..GOD bless you Bishop Lazaro.
@peterbayo4677
2 жыл бұрын
Nakumbuka nilikuchukua kwenye pikipiki yangu hadi Kanisani ulipokuja Mbulu ulipokuwa unahubiri ujumbe maalum kwa Watz kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Vyama vingi 1995. Hukujivuna! Kabla ya hapo nilifurahia huduma yako tangu 1990 hadi 1993 nikiwa mwanafunzo wa Chuo,Moshi. Na baadaye 2002-2003. Huduma yako ya kichungaji ni ya kipekee sana!!! Mungu akubariki na kukutunza milele!!!
@musajonas9397
2 жыл бұрын
my God bless you Bishop Emanuel lazaro nimejifunza mengi kutoka kwa MUNGU kupitia wewe nakumbuka mikutano mungu aliyekutumia na WEWE ni mtumishi ambaye ni mfano wa kuiga ktk kiroho na kiuduma barikiwa Sana Sana Sanaaaaaaaa
@richardkaula6847
2 жыл бұрын
Amen Baba yetu wa Imani .mwili umechoka lkn moyo umejaa madini adimu Sana, interview imejaa uwepo wa kutosha.Barikiwa Sana Baba tunakupenda.
@habibkuya3327
2 жыл бұрын
Maneno ya hekima Sana kutoka kwa mtangulizi wetu! May God bless you our dear Godly General!
@nokianokia993
2 жыл бұрын
Ameeen, Mungu atukuzwe kwaajili ya baba yetu aliejaa maneno ya hekma na busara 🙏🙏🙏🙏
@janepaul6877
2 жыл бұрын
Amina baba yetu tunakupenda na tunamwamini Yesu uliyenaye Mungu azidi kukutunza na kukuimarisha katika imani baba hadi utakaponyakuliwa kwenda mbinguni
@EstermsuyaMsuya
2 ай бұрын
Mungu akutunze baba wa imani
@elisantennko8222
2 жыл бұрын
Amen Mzee wetu nakumbuka tuliongea kidogo 1987 semina ya Aril Edvedsen AICC,nikiwa Ushers.Baraka Sana hii documentary .NY TV hongera kazi njema.
@janen.mwangi5572
2 жыл бұрын
Praise God all the way from Kenya. Dad i just feel the power of God is guiding all u say n i pray he continues to protect you amen
@edithamosha4109
2 жыл бұрын
We love you Dady may the Lord be with you forever
@lilianwilfred3271
2 жыл бұрын
Asante Yesu baba yetu anaendelea vizuri
@EstermsuyaMsuya
2 ай бұрын
Hakuna ukristo kama hakuna nguvu za Mungu
@stephanoedward5763
2 жыл бұрын
Mungu ampe kumaliza vizuri Baba yetu.
@lolll5998
2 жыл бұрын
Mungu akupe moyo mkuu Baba nakupenda Sana
@emmanuelmeishaa1189
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuonekania. Umalize mwendo salama. Na ufike Mbinguni
@ErickEliabu
3 ай бұрын
Mungo azid kumtunza asikofu wetu kwakaz ya mungu12:03 mungu amlinde nakumtunza wotetuseme amen
@sakandalinus3125
2 жыл бұрын
Hata sasa wewe Yesu ni Ebenezer. Hapa askofu wetu baba yetu alipofikia ni nguvu zako Yesu. TUMTAKE MUNGU NA NGUVU ZAKE HAKKA.
@majaliwamsigwa6206
2 жыл бұрын
Kweli kabisa,tumtake Bwana na Nguvu zake,Ameni
@ErickEliabu
3 ай бұрын
Mungu nimwema
@joycemshana4028
11 ай бұрын
Nimefurahi sana kumuona..maana nimekuwa na maswali mengi...mbona amemtumikia Mungu na anapitia magumu...ila...naamini Mungu ana kila kusudi jema kwa haya...na kweli Mungu amemjalia afya..pamoja na kuugua...bado Mungu amemtunza..hata sasa!! JINA LA BWANA LIBARIKIWE!!
@derickerastus7662
2 жыл бұрын
Amen baba yetu asante kwa ujumbe wa muhimu sana huu kwetu
@mch.JaphetSebastian
11 ай бұрын
Kazi yoko itakumbukwa sana
@emanuelmwanandenje2144
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza kwa kazi yake uliyo ifanya pia akupe afya nzuri na miaka mingi
@wilsonmichael1156
2 жыл бұрын
Amen. Nguvu za Mungu
@samuelmtasha9272
2 жыл бұрын
Wow! Glory to God!!!
@johnsebastian5686
2 жыл бұрын
Amina baba
@sofrinasway1808
2 жыл бұрын
Barikiwa sana baba,mungu akutie nguvu hakika umeifanya kazi ya mungu🥰🙏
@revmichaeldanieltv5154
2 жыл бұрын
Mungu akutunze na kukubariki Babu wetu
@elizabethlazaro6639
2 жыл бұрын
Kweli tunahitaji nguvu za Mungu si kitu kingine. Hakuna ukristo pasipo nguvu za Mungu!
@JosephuSwai
3 ай бұрын
Kongole baba
@sophiajonas2090
Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana babu yetu
@christinamlwilo9835
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu baba yetu wa imani
@janepaul6877
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kusikia sauti yako baba
@danielnassoro1123
2 жыл бұрын
Mungu amfunike Kwa neema yake Mzee wetu
@BarakaWaya
2 жыл бұрын
Mzee wetu ♥️♥️♥️
@anithafrank5533
Жыл бұрын
Ubarikiwe baba wa kiroho wa t a g
@user-wc4cw4qn7k
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze Babu yetu
@jasirimjasirimedia7940
2 жыл бұрын
Yesu aendelee kumtunza baba yetu
@babumrisha
2 жыл бұрын
Ni seme ukweli tangu nilipoanza kuabudu Kilimanjaro Revival Temple 2000 wakati huyu mtu alipokua bado na nguvu alinijenga sana kiroho, na kila ijumaa na jumapili akisimama nilikua sikosi kitu na maisha yanabadilika kabisa. Nakiri kwamba hatumjui huyu mtu vile tulivyopaswa kumjua.
@benjaminmwaipungu279
Жыл бұрын
Askofu wa kwanza alikuwepo huyu ni wa pili. Tunampenda sana ila tusipotoshe historia , kama tulivyopotosha tuliposema TAG imetimiza miaka 75 miaka nane iliyopita, wakati ukweli ni kwamba TAG ilianza rasmi mwaka 1952, na itatimiza miaka 75 ifikapo 2025.
@MjungumabebaNyamuko
Жыл бұрын
Lakini mwandishi ujamwuliza juu ya aliyekuwa makamu wake Dr Moses kulola kutoelewana kwake mpaka kupelekea matatizo ktk imani
@sophiajonas3459
2 жыл бұрын
Mungu akubadiki sana babu yetuuuuu
@faithtanzaniaadventure9474
2 жыл бұрын
Mungu ampe maisha babu yangu ,nampenda sana
@felistermkandala2603
2 жыл бұрын
Baba , Mungu akupe afya njema
@tabiarajabu6855
Жыл бұрын
Ila hizo nywele zako apn haina utukufu wa Krixto
@winniewairimu3822
2 жыл бұрын
Kumbe ni wewe uliyemtesa Moses kulola naomba ukaekae duniani kwanza, maana ulimtendea vibaya sana mtumishi wa MUNGU,eti waangalie mwenendo, mbona wewe hukuangalia mwenendo na ukampa mwenzio ukilema mpaka kufa, alikufa akiwa na chuma kwenye mwili wake, weweeee
@simioneliufoo4517
Жыл бұрын
Ndugu yangu, muogope sana Mungu. Unaweza kujitwalia laana ikatafuna maisha yako na kizazi chako.
@japhetthabit9428
2 жыл бұрын
Mi nafikiri angeenda mtumishi wa Mungu kufanya nae mazungumzo ndo ungekuwa vizuri zaidi ili kumshauri aendelee kuishi maisha ya utakaso, huku akiomba Mungu amkumbushe makosa ambayo alifanya ambayo hakutubu ili atubu kwasababu kuna wakati mwingine unaweza kujiona uko sawa kumbe kuna kosa ulifanya bila kujua n'a Mungu anakusubiria utubu Ezekieli 33:15-16 hii ezekieli ukisoma katika bible ya kingereza imeeleza vizuri new international version. Waebrania 12:14
@munuoisaack418
2 жыл бұрын
Umejuaje kwamba hajatubu au ulitaka aje akatubu kwako? Mambo mengine
@joshuaswai8203
2 жыл бұрын
Amekosea wapi na lini hivyo unamhukumu wewe ni nani br
@japhetthabit9428
2 жыл бұрын
@@joshuaswai8203 wasiwasi ni akili" kuhukumu ni nini? Usikurupuke tuu, huo ni ushauri wangu Kwa mzee wetu
@princepaschal9963
Жыл бұрын
@@japhetthabit9428 kwani wewe unamshauri kama nani? Kazi aliyofanya mpaka leo umemlinda wewe? Umekuwa unamshauri wewe? Kwani Mungu aliye muhita alikuweka kuwa mshauri wake? Au ujasoma kisa cha musa, aruni, na niliamu?
Пікірлер: 58