Nafurahi sana kuona kanisa letu zuri la TAG linapiga hatua kila siku. Sifa na utukufu kwa Mungu wetu mkuu.
@deborahlusenga3574
2 жыл бұрын
Nimefurahi sana kuona hili jengo, hakika wewe ni Visionary Leader. Mungu akubariki sana Baba askofu Mkuu wetu Dr Mtokambali.
@dr.mwamtobe1259
2 жыл бұрын
Sincerely, TAG is a very strategic institution. Our Bishop Rev. Dr. Barnabas Mtokambali is a very strategic leader. This is how we should go about and it should be the lesson to other churches of our Lord Jesus Christ. I have really fallen in love with our beloved bishop Dr. Mtokambali and the Church of TAG in large.
@Punda284
2 жыл бұрын
Hingera Baba yetu wa Imani,umefanya Mambo makubwa kwa msaada wa Mungu.nilipokua kwenye tamasha nilishangazwa Sana na ujenzi wa kisasa wa kanisa letu la makao makuu lenye uwezo wa zaidi ya watu 3000 tumepiga hatua kubwa,Utukufu kwa Mungu wetu.
@obediamri6664
2 жыл бұрын
Ameen
@kiliantereba5925
2 жыл бұрын
Hongereni Baba Askofu na waumini wote wa TAG kwa kufanikisha ujenzi wa makao makuu tena kwa wakati, spidi yenu ni kama ya Serikali
@abelianraphili5150
2 жыл бұрын
Serikali Ipi
@samsonmwakikuti5318
2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa hatua hii njema ya kumpendeza MUNGU
@elisaambise9502
2 жыл бұрын
Hongera sana kwa Utumishi uliotukuka.
@tumainimwanyonga5753
2 жыл бұрын
Wonderfull God is Good all the time be blessed
@MadilishaSimon-sb9kk
2 ай бұрын
Nampenda askofu wangu
@sarifustevenkagande7314
2 жыл бұрын
Mungu ni mwema Baba ubarikiwe sana sana
@mwakamelejohn7424
2 жыл бұрын
Hongera baba yetu Mungu aendelee kukutumia Kama chombo chake
@estermsuya8818
2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu hakika Bwana ametenda. Aendelee kukutumia kwa ajili ya kazi yake.
@maryandason1815
2 жыл бұрын
AMEN Asante Sana pastor.mtokambali.
@thearobart4248
2 жыл бұрын
Hongereni sana
@gracemacha9357
2 жыл бұрын
Barikiwa Askofu wetu BARNABA MTOKA MBALI.
@dr.peterofficial6390
2 жыл бұрын
Mzee wetu wa imani our beloved bishop Mungu azidi kukutumia kwa mambo makubwa zaidi
@zephaniahmkuyu9400
2 жыл бұрын
Asante kwa baba askofu tumekuelewa vyema.
@elizakawa4038
2 жыл бұрын
Hongereni sana NYT
@nytv8472
2 жыл бұрын
asante ni Nytv siyo Nyt
@shabaniallykapombe4599
2 жыл бұрын
Hongera sana Askofu Mkuu na Halmashauri kuu us TAG kwa mafanikio hayo. Mungu Awabariki sana
@edigajoseph5130
2 жыл бұрын
Zidum fikra za mwenyekiti👍
@elisantennko8222
2 жыл бұрын
Great move.Weldone anticipated.
@eliudmwamahonje7614
2 жыл бұрын
Safi Sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sana
@jacobjoseph1603
2 жыл бұрын
Be blessed baba kwa vision nzuri kweli kweli
@samwelimswanya2288
2 жыл бұрын
Dokt,balnabasi mtokambali
@rahimbablia8667
2 жыл бұрын
Ingawaje mimi Muislamu ila nawapa kongole, mna vision ya mbali sana
@Profshab_Company
2 жыл бұрын
Amen,
@lusajomwaipopo5042
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Rahim
@nytv8472
2 жыл бұрын
tunashukuru kwa kuliona hilo
@chrispinjohn144
2 жыл бұрын
Asante baba Askofu
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
Asante Kiongozi wetu mkuu wa kanisa la TAG, Inapendeza ktk KRISTO. Kazi unayoifanya tunaiona, ni kubwa na ni njema. Zidi Kubarikiwa na BWANA!
@hassanngolo1670
2 жыл бұрын
Asante!,baba kwa kicheko hichi kunamambo makubwa tunatalajia kutoka hapo makao makuu
@wainjilistiwatanzania0777
Жыл бұрын
Asante kazi ya Mungu iendelee amina
@gracesambega2371
2 жыл бұрын
MUNGU akubariki askofu
@ananiangonyoka4309
2 жыл бұрын
Amen
@sarifustevenkagande7314
2 жыл бұрын
Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JC4LYF
2 жыл бұрын
Mungu akiwaongoza basi hamna budi ila kutii. Niliwahi kuzuru Chuo cha Thiolojia Dodoma na Makao Makuu ya TAG kuhamia Dodoma ni uamuzi wa busara. Mbarikiwe ➕️➕️
@emmanuelpermena9552
2 жыл бұрын
MUNGU wetu wa Mbinguni ni mwema!!! Sifa, heshima na utukufu wote ni vya kwake pekee milele!
@peterjohn1969
2 жыл бұрын
Askofu ogopa sana watu wanao kusifu kuliko kuku kosoa wengi wanafiki wanalo itaji lao katika nafasi yako wengi niwatu wanao jipendekeza zaidi
@elisantemrita9894
2 жыл бұрын
Mm sioTAG Ila nawapa hongera kwakuwa na uongozi Bora Mungu wawaongezee maarifa na hekima zaidinazaidi
@naomijohn1041
2 жыл бұрын
Hakika TAG wako serious na Mungu kiukweli makanisa ya kiroho tuige mfano hapa
@elijahmeshack1717
2 жыл бұрын
sikuwahi kuisikia NTV lakini leo nlipoiona sura ya askofu wangu nikafungua na kumsikiliza mpaka mwisho,,,,,,,,,,kwani nini kinanizuia ku-suscribe? yo've gotten me men!!
@ereshtchaku749
2 жыл бұрын
Kazi njema NyTV. Japo kwa tangazo maalum kama hili mngeweza kabisa kutuliza Camera kwenye stand kuongeza umakini. Hii video ina-shake sana.
@nytv8472
2 жыл бұрын
VIDEO IKO VIZURI SANA NI WEWE TU ULIKO FUNGULIA VIDEO YAKO.USIFUNGUE PICHA FUNGUA KWENYE LINK YA MAANDISHI YA KIJANI OK?
@davidedson9629
2 жыл бұрын
Oio
@febronianyangwala7524
2 жыл бұрын
Kweli TAG MUNGU ametupa huyu Askofu Mwenye maono Makubwa Sana MUNGU akulinde ,akuhifadhi ,akupe miaka mingi ,hata mm nimeingia kwenye jengo Hilo zuri.
@marymfugwa847
2 жыл бұрын
Mnahama hama! Baada ya miaka 20 ijayo makao makuu ya nchi yataamia butiama.
@shaddybmc8342
2 жыл бұрын
Mungu anakuona makao makuu yote yako dom kiserikal
@emmanuelsospeter9756
2 жыл бұрын
Usiwe unapenda kucoment comment kwa kila kitu, ona sasa ulipofkia unaanza kuingilia hata hbr za kiiman, umekosea!! Tubu
@Punda284
2 жыл бұрын
Pole,kwakua wivu wa kufanya vizuri Ni wa kila mtu,Mungu akusaidie ujue Mambo kwa usahihi.kama Mungu akipenda bado tutahama kwakua tunasafiri,tukifika mbinguni tu ndiyo safari itakua imekoma.
Пікірлер: 56