I Really appreciate Pro.Kabudi mimi namuona kivingine ...anafakuwa kuwa kiongozi mkubwa yaan mile Stone like My comment Support his courageous words and leadership style.
@gachukielizah4099
3 жыл бұрын
Aneongea Baraka na ako na elimu ya juu Sana ya mungu, mungu awabariki Tanzania, much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sylvesterjose3286
3 жыл бұрын
Thank u our beloved Kenyans for showing appreciations and concerns to your fellow Tanzanians. Let us consolidate such relationships.
@gachukielizah4099
3 жыл бұрын
@@sylvesterjose3286 Thanks you sir, much Appreciated. Tanzania ad Kenya we ar brothers and sisters
@sylvesterjose3286
3 жыл бұрын
@@gachukielizah4099 Convey our gratitude to all there in Kenya. You're highly respected!
@binbaya923
3 жыл бұрын
Respect 🇹🇿🇦🇷
@tusajigwekanemela4784
3 жыл бұрын
Baba kabudi profesaa nampenda sana na namuelewaaa ni mtu mwenye hofu na Mungu
@MohamedAhmed-yi1yf
3 жыл бұрын
Watanzania wana sifa ya utulivu wa aina yake
@vickyvals9729
3 жыл бұрын
Wa Tanzania na viongozi wao ni watu walio na Utu .Nampenda sana Waziri Kalamagamba Kabudi . Ni mwenye heshima na ujasiri, mpenzi wa haki na hekima. Kiongozi kama huyu miongoni mwa wengi mulio nao Tanzania, kweli ni thahabu . Hongera Tanzania ndugu zetu, na Mungu awabariki. Nasi huku Uganda , tuombeeni ndugu zetu, tupate viongozi kama wenu .
@sultanbios5592
3 жыл бұрын
Imenigusa ulvy ongea kihisia mungu atawabariki inshallah
@samharindimana6821
3 жыл бұрын
Nasema Amina 🙏🏽kwa maneno mazuri asema Prof Kabudi. Unasema ukweli ni mataifa kidogo ya Africa anaweza kuendelea vizuli kwa wakati ngumu mulikuwa ndani. Ile inawezekana kwa sababu muna mutanguliza Mungu mbele ya mambo na mipango yote. Tunawaombeya sana muendeleye kuonesha duniya nzima ile Amani na Uhuru Mungu aliwapa. Mungu yibalike Tanzania. Much love from France 🇨🇵
@onyangosylvester6353
3 жыл бұрын
Tanzanian leaders really challenge me as a Kenyan. Kwa kweli muna ajenda na wananchi wenu. This unity is just amazing. Hongera viongozi 💪
@lightmashauri1725
3 жыл бұрын
Mpendwa wetu JPM aliwafundisha vizuri Asante
@issayamshana3750
3 жыл бұрын
Twakushkuru sanaa pia ninyi Wakenya ni ndugu zetu, Mwenyezi MUNGU awabariki
@omadal1
3 жыл бұрын
Onyango kweli kabisa as a Kenyan wish our Leaders can take example from Tanzania Leaders
@yuzzob
3 жыл бұрын
I'm not a commenter anymore, but because of the voices of wise people in this country. I can't wait to say this man "Prof Kabudi" he will prosper indeed. Be humble to God. Amen
@wilonjahatua2067
3 жыл бұрын
Ila kabudi huwaga Ni kichwa sana huyu mzee kifupi namkubali sana palamagamba kabudi
@wilonjahatua2067
3 жыл бұрын
@anna John yaani anajua inshort
@aminahamisi2837
3 жыл бұрын
Mashaallah anaongea kutoka moyoni kw dhati kabisa , mungu ibariki tanzania mungu ibariki africa
@edwinaoduol307
3 жыл бұрын
I'm impressed ni mambo ya Mungu pekee and you can never go wrong with God.
@kamalyjean1242
3 жыл бұрын
Asante sana kabudi. Wewe pia kiongozi mzuri
@JoseekamauBkk
3 жыл бұрын
Thanks Prof.Kabudi for your congratulation speech to Mheshimiwa Mpango for his appointment as the VP...Hauna kinyongo kabisa kwa sababu l thought you were the one to get the VP post. What l can see in you Kabudi is the next President of Tanzania.......All the best Kabudi na MUNGU AKUBARIKI
@wilfredlaizer2965
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@JoseekamauBkk
3 жыл бұрын
Tuonyeshe likes za Kabudi na VP Mpango
@binbaya923
3 жыл бұрын
Swali la uzushi. Mh Kabudi aliwahi kupitia jeshini? Yupo makakamavu sana. Respect
@djmatia2313
3 жыл бұрын
Pongez na maumivu...kabudi nilikupenda ila Mpango kapendwa Zaid...
@faustinsirili9079
3 жыл бұрын
hongera sana mheshimiwa mpango
@peteveprosper7186
3 жыл бұрын
Dooooh kumb tuko wengii
@samsonmagesa3959
3 жыл бұрын
Kabudi hana lolote ni mfata upepo tu Asingeweza nafasi ya Umakamu wa Rais Bora hata Mh Lukuvi
@djmatia2313
3 жыл бұрын
@@samsonmagesa3959 kwan unataka sema Mpango Kuna vitu atapisha kwa rais au kufanya meng yake kinyume na rais...atapangiwa tu cha kufanya
@laiserkuyan6075
3 жыл бұрын
Hawa Tiyo viongozi tunae watambua kwa nchi yetu kabudi palamagamba tunakutambua mungu Akubariki pamoja Na wengine wanajutambua Bila uwonga wa Taifa lao
@elizamussa6911
3 жыл бұрын
Nimegundua kamwe usimdharau mtu maana hujui kesho yake.. Hongera Philip Mpango makamu wa raisi Mungu akuongoze vema katika kusaidiana na Mama kuongoza taifa letu❤️🇹🇿
@leonardhossa3192
3 жыл бұрын
Amina sana Prof 🙏🙏🙏🙏 Mungu atutangulie
@nikolausmnanka9362
3 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Kabudi ni genius, awamu ijayo upewe nchi
@frediricknandonde1690
3 жыл бұрын
Waziri mkuu mtatajiwa huyo nakupa habari
@magrethmussa8308
3 жыл бұрын
Hiv kabudi nimzaliwa wawapi
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Alizaliwa Dodoma huyo,
@maria_mutondioriginal5
3 жыл бұрын
Rais wetu marehemu jpm ametuongoza taifa zima kumjua Mungu na sasa wote tunasema hata sasa wewe ni Ebenezer amen hotuba nzuri sana hii 👏👏👏
@ashamwandu6572
3 жыл бұрын
Kabudi umejuwa kunifurahisha
@hellenismail4351
3 жыл бұрын
He is such a great speaker...prof.Kabudi...much respect to him❤❤💥
@faustinsirili9079
3 жыл бұрын
babaa tunakuelewa sana mheshimiwa profesa kabudi
@djatm1319
3 жыл бұрын
Mimi nataka siku moja Prof. Kabudi kuwa Rais siku moja.... Huyu jamaa ana akili nyingi sana
@stephanominja8927
3 жыл бұрын
Tumwombee uzima!!
@laughingclub9660
3 жыл бұрын
I'm with you on that... Much love from Kisumu Kenya
@kainimlowe7555
3 жыл бұрын
magufuli alishasema kabudi hafai kuwa rais hata hapo kachukia
My oh my! What an eloquent speaker, speaking from the depth of his heart and genuinely congratulating the incoming VP of TZ. Kenya ni ukabila tu ambao umewezesha ufisadi kunawiri. Aibu.
@nataemsuya
3 жыл бұрын
Tunamuomba mungu aibariki Tanzania na watanzania wote dunian.Atulindie amani,na atuepushe na ubaguzi wa dini,makabila,ukanda na mengineyo.TANZANIA NI YETU SOTE,TUPENDANE.😘🙏💗
@antoinekatembo8520
3 жыл бұрын
AMIIN AMIIN EEH M/MUNGU...
@yugoally9476
3 жыл бұрын
Maneno mazuri
@oman7710
3 жыл бұрын
Amiiin
@dajia4787
3 жыл бұрын
Watanzania tumependelewa sana kwenye hii dunia
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
na tutembee kwa unyenyekevu wa hali ya juu maana Mungu Anatuangalia...wanyenyekevu ndo wanaokwezwa na Mungu lakini tukijiona sie ni bora kuliko nchi zengine japo bado hata hatujafika Mkono wa Mungu Unaondoka kwetu
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@jedidahbintidaudi8241 ni kweli
@yasintukwa4611
3 жыл бұрын
Mungu Atupe nn Watanzania 👑👑👑👑👑👑
@dommiek.5025
3 жыл бұрын
Pongezi kwa Makamu WA Rais. 🇰🇪
@mdabukomdabuko6250
3 жыл бұрын
mungu ni mkubwa tanzania salama amani iendelee naipenda nchi yangu tanzania mungu ibaliki tanzania na kizazi chake tuishi kwa amani amina
@benmwangi4586
3 жыл бұрын
Kabudi is very unique. He is a true leader.
@rehemakaijage1364
3 жыл бұрын
SAFI SANA PROF. KABUDI, UNASTAHILI KUWA ASKOFU WA BUNGE LA TANZANIA
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
Shukrani Professor KABUDI umetamka ya moyoni juu ya sifa kedekede aliso nazo Dr., MPANGO, MUNGU HASHINDWI NA LOLOTE. AMEKUBALIKA MNOMNO. AYAISHI MANENO YAKE NA KAULI ZAKE. GOD BLESS US ALL. AMEN.
@pepchallanga3626
3 жыл бұрын
An eloquent Prof whom am proud of:
@eunicenyandiko1389
3 жыл бұрын
Nampenda sana wasiri kabuti kwa maongeo yako tumutangulishe Mungu ndiye ufunguo!
@geofffreyowino7435
3 жыл бұрын
One Day God Will Make You President Of Tanzania Professor Kabudi.
@abdulijongo1355
3 жыл бұрын
Maneno Mazur Sana Aya Kutoka Kwa Prof.Palamaganda
@assanisass6641
3 жыл бұрын
From burundi,kabundi nakupenda sana
@aboudmatole830
3 жыл бұрын
The next president of tanzania,prof.kabudi.mark my words.
@magrethmussa8308
3 жыл бұрын
Nilipenda kabudi ndo awe makamu
@isayakirway3721
3 жыл бұрын
Waitara yupo makini kusikiliza
@samsondecoman983
3 жыл бұрын
Kabuni napenda uka mtangulize mungu kwenye sheria, wengi wana onewa.
@jamesmuringi1791
3 жыл бұрын
Nyie waTanzania mmebarikiwa na viongozi.Jivunie nchi yenu.Hakika mmejaaliwa viongozi waliosheheni hekima,uzalendo na mitazamo chanya ya kujenga taifa na
@japhetlagat1544
3 жыл бұрын
What made me happy is that....... natumia neno phlip kwa mara ya mwisho
@roi2553
3 жыл бұрын
Jamaa anaongea points
@masundelwa
3 жыл бұрын
At least Matumaini yameonekana
@neemalaizer3722
3 жыл бұрын
Ohh basi tu ,nlipenda awe kabudi jamani....Duu!!
@kagizojohn7714
3 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@salmaluhombero8466
3 жыл бұрын
Amen haya maneno ni ya baraka mno
@mtaiperes818
3 жыл бұрын
Awosemly speech, much love Tz
@sharrifaabdulrahman3889
3 жыл бұрын
Kweli pongezi na maumivu juu inabidi aji kaze kisabuni maana mh...kweli Hayati Magufuli Kaawachia usemi wa Kumtanguliza Mungu...😅😅
@salomemtwale5370
3 жыл бұрын
Amen prophesy Kabudi
@sarahout-fitchannel1011
3 жыл бұрын
Namkubar Sana professor kabudi
@georgemnene502
3 жыл бұрын
Mwenye Enzi na Mamlaka YOTE awajaliye Neema Yake, mkatende sawa na matamshi yenyu Utukufu Wake utimiye. Kila la Heri liwe kwenyu ndugu Watanzania. Mapambano MSTARI WA MBELE🙏🏿
@janetmalimbwi7152
3 жыл бұрын
Mungu tunakushukuru kwa ajili ya viongozi wetu endelea kuweka hofu yako ndani yao wape Rohomtakatifu awaasaidie na kuwaongoza
@janeontegi2576
3 жыл бұрын
Sorry to ask; what is this in Tanzania, any political leader standing to give the speech, they have to thank God first? What have they seen that has humbled themselves this way? Is it because many of them come from humble backgrounds or poor families? May our God keep on come first before you and everything will be well with you. Please never forget our late hero Magufuli. Thank you Tanzanian, thank you all Be blessed.
@mohammedally2289
3 жыл бұрын
Amin
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
it is our traditon. most of our leaders are spiritual and they honor God in everything they do. yes we are still mourning for anotyer 21 days Jane/ bless u too maam
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
🙏
@faridamin6383
3 жыл бұрын
We are a god fearing nation,period!
@daviesmwema4831
3 жыл бұрын
Amen
@nicaskimario6088
3 жыл бұрын
Best speech Prof kabudi
@ocroafff5527
3 жыл бұрын
Prof kabudi very powefull speech
@tulizojeniko9872
3 жыл бұрын
Hongera doctor mipango
@moorashid279
3 жыл бұрын
mungu tunakuomba uzidi kutuonyesha njia
@lexssudrkimbungakimbunga640
3 жыл бұрын
Wewe kabudi unauruma Na unaongea ve good mungu atakuchanguwa Na tunategemea musimamie Tanzania
@antonychristian1369
3 жыл бұрын
Ila viongoz wetu wako vizuri Sana katika kusifia,,,, Yan kusifia kungekuwa kunaingiza pesa, basi tungekuwa mbali sana katika uchumi
@gman3245
3 жыл бұрын
Suhulu apata mpango😅😅👍
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@benmwangi4586
3 жыл бұрын
Hongera 🇰🇪
@aminaabdallah7702
3 жыл бұрын
Mama atafuata kama Hayati jpm kwahio waTZ msiwe nawasiwasi TZ yitazidi kudogea mbele zaidi Wale.wanaoleta midomo watakwama .
@Ambagaye
3 жыл бұрын
Spika hatambui kuwa Amil Jamal na Cleopa Msuya waliongoza wizara ya fedha kwa muda mrefu sana?
@billyisadia5651
3 жыл бұрын
Tanzania has a sober parliament. Please compare with Kenya's
@abdulyhalimu5478
3 жыл бұрын
Good speech pro kabud
@abdulkiliga335
3 жыл бұрын
Namkubari sana paramaganda
@abdijama3005
3 жыл бұрын
Mungu awabariki viongozi wetu wajamuhuri ya mungano pamoja na mama wetu mpendwa pamoja vikosi vyaulinzi na usalama mm nilipenda jpm siku moja ningekutana naye ningemwambiya unafaa kuitwa ndugu lakini sijapa kk tananaye mm nidereva wa Maloli mwalimu jkn alipenda jina la ndugu m nyerere
@abdijama3005
3 жыл бұрын
Ndugu mwalimu JKN alikataa kutwa muheshimiwa jpm anafaa kuitwa ndugu alikuwa mtetezi wa wanyonge hii inamana kumuenzi JKN na JPM mungu ibariki TZ wabariki na vioongozi wetu tuwe na umoja utengano ni uzaifu usiya wa JKN
Mwanzo wa uongozi uko vizuri tunaomba mustuangushe system hayati mkombozi aliyokua nayo tulitegemea miaka 18 mbele Tanzania izidi African kusini ya sasa.
@hamiarseif7299
3 жыл бұрын
Alo ndugai hufai kuwa supka unavunja katiba ya tanzania
@lilygie9636
3 жыл бұрын
Instead of kenyan mps going to expensive hotels to seminars and spending billions of taxes doing alot of nothing, why don't they just invite TZ mps to kenya for lessons on how to govern
@jdhdnndd3797
3 жыл бұрын
Thanks God
@williamsmith8782
3 жыл бұрын
Perfect speech
@jacksonnnonjela348
3 жыл бұрын
Kamanda Mpango
@hassanchauluwa7308
3 жыл бұрын
Kabudi ndye bingwa wa kupamba
@frankmlawa6624
3 жыл бұрын
Mwigulu anapasua meza Kwa makofi....alijua nafasi ya wazil wa fedha anabeba
@tonymilwardsichali8568
3 жыл бұрын
Mweshimiwa mungu leo ujajichanganya
@anzelmomlelwa1120
3 жыл бұрын
Nakukubali
@danielamosi2553
3 жыл бұрын
Unahekima sana ndugu yngu
@abdallahmaliki510
3 жыл бұрын
Ameeeen 🙏🙏
@mariaernest9324
3 жыл бұрын
Amina amina
@mbithejustus246
3 жыл бұрын
Kabudi kwa uchungaji wa bunge
@godfreyvanpancho7784
3 жыл бұрын
Nice speach
@makeleledegreat5510
3 жыл бұрын
Mm sasa naomaba Samia aidinishe Bangi ili tupone corona
@Sppah697
3 жыл бұрын
Huyu Kabudi anaongea sanaaaa!
@dr.mlelwa9604
3 жыл бұрын
Hahahaha.. Anaongea Zaburi mtumishi wa Bwana.
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@dr.mlelwa9604 KWANI HAPO KANISANI.
@dr.mlelwa9604
3 жыл бұрын
@@salimsaid7200 hatuwezi tukamseparate Mungu na wanadam. Kwani Magufuli mbona alikuwa anaongea hata Aya za Quruan kwenye hotuba au haujawahi kumsikia ??
@ahmadseaman3487
3 жыл бұрын
sure win
@bennymochiwa4800
3 жыл бұрын
hili zee limesoma lkn halijaelimika
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@ahmedtamimi4239
3 жыл бұрын
Anakipendekeza tuu
@salmaluhombero8466
3 жыл бұрын
Amen
@lexssudrkimbungakimbunga640
3 жыл бұрын
Kwer
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Silinde mbona unaogopa
@brasiusmwajombe583
3 жыл бұрын
😂😂silinde hana raha
@pastorgodwinchengula7848
3 жыл бұрын
Nimeonaa
@nesphorynyakunga6224
3 жыл бұрын
Acheni hizo dogo anasikiliza maoni kwa makini
@fredreckmwakalinga3475
3 жыл бұрын
Umepata ubungu bure kwa Samia mwenye hofu ya mungu uchaguzi ujao mjipage
Пікірлер: 170