Jamn wanaotamn arudi Kazin Rc Agrey plz like hapa😂😂😂
@adamapollo9859
Ай бұрын
Mimi😂😂
@hassanhancha1413
Ай бұрын
Ndio unaposhangaa hii nchi yetu,mtu kama mwanri eti yupo nje ya mfumo
@personpeter2221
Ай бұрын
Alistafu mdatu@@hassanhancha1413
@user-vy2fc5nc5u
17 күн бұрын
Baada ya magufuri kufa huyu jamaa alikataa mambo ya siasa sasa hivi ni mtu wa kanisan
@EdghaMoses-js8lj
4 ай бұрын
Huyu mzeee ni mashine ya kazi.. kama umeangalia hapa 2024. Baada ya kum miss magufuli wetu.. 🤝
@israelsiame4403
3 жыл бұрын
Nani ameangalia hii baada ya Dr Magufuli kutangulia mbele za haki, like tujuane.
@kingmagoha281
3 жыл бұрын
Mimi hapa
@salumsalum3792
3 жыл бұрын
Mimi nipo hapa Leo tarehe 5 may
@emmanuelmashishanga5057
3 жыл бұрын
Yani nakumbuka mbali sana
@deograthiaslupindu255
3 жыл бұрын
Naungana nawe leo tarehe 12 May, namiss mzee wa Toronto kama navyomiss sana JPM!!!
@victoriaamsi6739
3 жыл бұрын
Mm hapa leo tarehe 13 may tena kwa kilio km amefariki Leo
@drgeofreymdede3952
4 жыл бұрын
Huwezi choka kumsikiliza Rc Agrey Mwanri. Nimesha sikiliza hii clip zaidi ya mara 5. Na sitachoka kurudia kusikiliza. Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa
@majosamalundi3687
4 жыл бұрын
Huyu mzee nampenda kwa sababu hana shida nawanasiasa anachapa kazi mungu amubaliki
@abelfidel4568
4 жыл бұрын
jamaa ni kichwa sana japo unaweza dhania kuwa ni comedian but lina akili nyingi sana na liko very brilliant kwenye kaz
@barakaoriginal4044
3 жыл бұрын
Naitazama paka keleo 28/3/2021 Niachie like yako
@daudimlamka1239
2 жыл бұрын
Mimi hadi Leo hii
@hassanhancha1413
Ай бұрын
Mimi naiangalia leo pia
@danieldaniel-lb2on
4 жыл бұрын
Nisije nikakukosea adabu mkuu! Hebu nipeni like jamani maana nimecheka sana!
@WivianRich
4 жыл бұрын
Mimi namkubali sana Mzee wa Toronto, mchapakazi mwanzo mwisho alafu yupo makini, kumuongopea ni ngumu mno
@lotimwansule5017
4 жыл бұрын
Rais John magufulini ebu mlete huyo mkuu wa mkoa Rukwa ,mkoa huu umezubaa sana ,auchangamshe huyo mzee wa Toronto Ni kiboko
@emilydavidmdoe3552
4 жыл бұрын
Duuu mkuu wangu huyu huwa ananibariki sana. yaani hata kama amekasirika utacheka tu. Barikiwa mzee wa Toronto.
Toronto ya Tanzania. Big up Mh Rais kwakumteua huyu mzee. Tuletee huyu mzee hapa Manyara.
@moranilesoile9125
4 жыл бұрын
Hahaha unataka aje mamyara ndugu
@hassanijuma3462
4 жыл бұрын
Aiseee akuje kweli
@williamkwigema4169
4 жыл бұрын
kabisa. huyu mzee ni mchapakazi
@ebeneza_woman_of_visionjos8784
4 жыл бұрын
Toronto I have to be there.
@devismollel8403
4 жыл бұрын
Kweli amletee manyara
@arsenmakoye4650
4 жыл бұрын
mzee wa vituko Mungu ampe maisha marefu
@johntogoro6191
2 жыл бұрын
Tulifurahi sana enzi zenu jamani, ila ndo mapenzi ya Mungu
@suzansuzanei1143
Жыл бұрын
Amefariki kwani huyu mkuu wa mkoa
@quanthug9517
Жыл бұрын
@@suzansuzanei1143 hapana yupo Ila kwa Sasa sio mkuu wa mkoa ,alitaka kugombea ubunge akashindwa kwa kura Moja.Kwahiyo Kwa Sasa ni barozii wa zao la pamba na Mwinjilist Kanisa Fran hivi la tabora
@mwinyikadhi2870
8 ай бұрын
Yupo hai
@mwinyikadhi2870
8 ай бұрын
Yupo hai
@OS-pf6op
3 ай бұрын
Yaani saa hizi tungekuwa kama Ulaya😢
@Masco_Ke
4 жыл бұрын
I am from kenya but yes he is doing great Tabora is growing
@eduardomiheso8888
2 жыл бұрын
Good intelligence of a such leader💪
@paulnyobisontours3423
4 жыл бұрын
Big up sana mwanri👏👏👏
@annamsemwa1946
4 жыл бұрын
Nataman tu skku moja nikutane na Mh. Magufuli walau nimshike mkono wa kumpongeza. Mungu akulinde Rais wangu na vibaraka wrote na wasokupenda wote no wachawi
@rachelkaayaofficial9114
4 жыл бұрын
Mh mkuu Mungu azidi kukuinuwa katika viwango vikubwa zaidi
@silamwamlima2758
4 жыл бұрын
Mwanri anaongea balaaaaaaaa duuuuu full comedy
@adbashtv6701
3 жыл бұрын
Comedy lakini kwa vitendo ni balaaa
@georgemallya4311
4 жыл бұрын
Briliant and exellent speech.
@kimutattoo4067
4 жыл бұрын
SuKuma ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...... I Love ToroNto💝💝🇹🇿💝💝
@williamramatinga3607
4 жыл бұрын
Hongera sana mh. Mwanri kwa hotuba fupi na nzuri.
@dioskorimtalo2348
4 жыл бұрын
Kiukweli katika speech zilizobamba na zitabamba miaka nenda rudi ni hii.. Mwanri ana uwezo mkubwa mno Tena sana wa ku capture mindset & attention za watu. Magu mwenyewe hapo anasaluti 😆
@mariamalongo8803
2 жыл бұрын
Magufili he was my hero RIP
@mereyamhomesmariamhomes3464
2 жыл бұрын
Sijui kwa nn walimpa uaraisi Samia SULUHU sibora wangempa Huyu mzee wa Toronto yupo vizur Mashallah
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
Yaani sikipendi hicho kimama
@joealone6377
2 жыл бұрын
Nchi yetu ingeendelea sanaaaa
@daudinassibu743
2 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 haaahahahahaha
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@daudinassibu743 tucheke tufurahi ndg
@daudinassibu743
2 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 ndo lais na sio rais haaaaha
@babuuwakitaa1285
4 жыл бұрын
Safiiii Mzee Wang nakukubaliiii kinyamaaaa
@jacklinamani7519
4 жыл бұрын
Wangp Wana Amin manwali ndo kiboko ya maguful
@atikombogolo2356
4 жыл бұрын
Huyu anae hadi anavotoka madarakani aisee
@jacklinamani7519
4 жыл бұрын
@@atikombogolo2356 umeonaee
@dhahajongo9049
4 жыл бұрын
Jacklin amani me hpa
@jacklinamani7519
4 жыл бұрын
@@dhahajongo9049 kweli
@yohanangwandu2329
3 жыл бұрын
Hiii
@adrianmallyakibona.352
4 жыл бұрын
Aggry Mwandry, ni mfano wa viongozi shupavu wanajua Kucheza na opportunities. Kiukweli raisi amefanya kazi kubwa na mkuu wa mkoa huyu ni mfano wa kuigwa Kwa kweli... Hongereni Sana viongozi wa nchi
@emmanuelbembe6202
4 жыл бұрын
Katika wakuu wa mikoa ambao huwa na furahishwa na kazi zake ni huyu wa tabora kiukweli anapiga kazi vizuri sana
@elvisnzovu8282
2 жыл бұрын
Absolutely true,! He did a great job in Tabora .
@ambelejames1862
2 жыл бұрын
RC huyu nilikuw namuelewaga sana hata cjui wamempeleka wap
@danielbugwema6969
4 жыл бұрын
Agrey Mwaniri kagombeee tunatamani kukuona Bungeni kwa Mara nyingine bado unafaa kuisaidia nchi Nadhani kusitafishwa kwako kuna maana plz do it Dad I love so much natamani kuwa kama wewe
@rehmadamian8020
4 жыл бұрын
Dah kama unastres zinaisha zote hongera baba unakipaji cha kufurahisha na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdulrahmanmuhamad6927
4 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mzee
@tuonhfhgf1605
4 жыл бұрын
Yaan Mzee Unaongea Kama Unatafuna Halua Tamu Isiyokwisha utamu
@otmarykiowi4132
4 жыл бұрын
Atafanyaje sasa wakati MC kamwambianana dakika 3
@irenerodrick3006
4 жыл бұрын
@@otmarykiowi4132 hahahahhaaaaaa
@robbsonmosha7557
3 жыл бұрын
Daaah kwa kweli @Otmary
@kamaratsalimsafari8838
4 жыл бұрын
😂Nampenda sana huyu Mzee wa Toronto huwaga ananifuraisha mpaka natokwa na machozi ya furaha, Good job Mzee Mwanri
@kamaratsalimsafari8838
4 жыл бұрын
Mzee wa Sukuma ndani🤣🤣
@masoudrashid6180
4 жыл бұрын
Nakuheshimu sana mzee upo vizur sana
@dionizcyprian7045
3 жыл бұрын
The best speech I never heard
@ayubually8537
2 жыл бұрын
09¹
@elijahgichumbi9971
Жыл бұрын
East Africa will never have a President like this. Whoever instigated Rais. John Pombe Magufuli's death, his or he's 10 generations will only see trouble. Rest well my hero
@MrHersun
10 ай бұрын
Covid killed him for his obtuseness
@lazaromasimami9094
3 жыл бұрын
Wangap wanangalia had sasa video hii tujuane
@geofreymhina3472
3 жыл бұрын
8/7/2021
@peacemakune911
3 жыл бұрын
28/7/2021
@jaxboytv7834
4 жыл бұрын
TORONTO'S PEOPLE MPO...🔥🔥😂😂
@lucytitus9245
4 жыл бұрын
JaxBoy TV safi sana mkuu
@MosonVevo
4 жыл бұрын
😂😂 tupo brother
@onesmoakwilini6254
4 жыл бұрын
Upo vzr ktk kuwasilisha mzee
@teamruto7806
4 жыл бұрын
This guy is just so smart. 🇰🇪
@mussamkalawa2101
4 жыл бұрын
Hahahaha umetisha mzee wa Toronto huwa nakukubali sana.
@gibsonjosephat6352
3 жыл бұрын
Rais Mama Samia mpe huyu jamaa Mkoa mmoja tufurahi.
@pauljpaul6625
3 жыл бұрын
Mzee wangu Mungu akuweke sanaaa
@cruzzymsomalitm7676
4 жыл бұрын
*dah uyu jamaa ni noma anaongea faster kama kameza wasafi studio*🔥🔥🔥🔥🔥
@vitalsymon454
4 жыл бұрын
Cruzzy MsomaliTM SIHA tunakusubiria mbuge wetu
@samsonsamson1152
4 жыл бұрын
upele umempata mkunaji....nahamia torontooo
@elizabethsalaho2344
4 жыл бұрын
😂😂
@benjaminhosea6667
4 жыл бұрын
Naomba rais amrete morogoro uyu mkuu wa mkoa
@amondidas.3495
4 жыл бұрын
samson samson nicee
@immanuelmapunda5650
4 жыл бұрын
Moro she afanye
@martinswai8031
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 mwanri sijui anakuaga amepata mvinyo kidogo manake anafurahisha. R.I.P mkuu Magufuli
@mahmoudaziz4717
4 жыл бұрын
Mzeeee was sukuma ndani😄😄😄😄😄😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥💥kura yangu nakupa bure kabisa. Unapiga kazi sana.
@johnmanda3210
4 жыл бұрын
huyu jamaa atahusika kwenye kampeini kumsaidia mkuu... yuko vizur xn wana tbr tusiame
@errydeo8865
4 жыл бұрын
nahamia Toronto...lol
@mussabuhe1832
4 жыл бұрын
Jamani morogoro lini mamikoa yote naona kama mamizigotu sijuikunaninitu jamani
@alexngao4605
4 жыл бұрын
Nkbl
@gibsonndegwa6325
4 жыл бұрын
Tanzania you have a real visionary leader.The real sukuma ndani
@errydeo8865
4 жыл бұрын
JMP flesh air of Tanzanian politics....mpaka raha...
@happynessmbojoka8505
4 жыл бұрын
safiiiiii
@marrywilliam3987
4 жыл бұрын
Woyoooo Jaman karibuni sana Torontooo, nakupenda bure Agrey
@paulina.kivuyo166
4 жыл бұрын
Nakupongeza sana mwanri kanyaga mafuta hivyo hivyo .
MWANZO MWISHO MAULID KITENGE,MWANAIDI SULEIMAN,MKULE NA EDO KUMWEMBE WALIVYOTAMBULISHWA WASAFI FM...>>>kzitem.info/news/bejne/yKmJ2ZWQepdil6w
@tereseamasawe8111
4 жыл бұрын
MZEE WA SUKUMA NDANI OYEEEEEEE
@raymondulimbagha7580
4 жыл бұрын
Unazingua sasa
@shabanijulius8345
4 жыл бұрын
Motherland ❤
@rafikiwildlife4263
4 жыл бұрын
Hongera sana Mhe RC tabora uko vizuri wewe ni shujaaa hata prezident anakujua kuwa wewe ni shujaa tunaiombea kila raheli Toroto
@raageabdi3123
Жыл бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤
@JoshuaMasunga
2 жыл бұрын
Dah, Mambo yetu ni bambam🤣🤣 likes nyingi kwa Mzee wa Sukuma ndani tafadhari........
@amosmwita4111
4 жыл бұрын
Namupendaaaa Sana ningependaaa au mkuu wangu wa mkowaa wangu yuko vizurii Sana duuhuu h
@isayasway8633
4 жыл бұрын
Dahaaaa nampenda sana Mzee wa torontooo
@gitegagitega6543
4 жыл бұрын
Sukuma ndani natamani nahuku🇧🇮🇧🇮nione mvi Kama yamzee wa Toronto tabora magufuri wewe nijembe dunia nzima Mimi Ni MURUNDi nikionana nawee face to face nakupa Laki mbili atakama wewe nimweshimiwa kwasababu wewe nijembe dunia nzima 🙏🙏🙏ww Ni number ☝️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊💪👊🏋️🏋️🏆🏆🏆 wabongo mungu awape Nini? 👊👊
@martinfrancis3709
4 жыл бұрын
Mimi nakuombea uwe mhubili wa injili safi sana
@yacenharuna380
3 жыл бұрын
Wazo zuri sana
@MrCosmas15
3 жыл бұрын
Imetimia
@awenanassor3169
4 жыл бұрын
Hiyo speed ya kuongea utafkiri umesetiwaa au ulipita studio nini? Endeleaaa kusuquma ndani wahalifu
@zuhurambonde6959
4 жыл бұрын
Umeonaee hamezi matee
@tanzanian8847
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@ajayepandila5424
3 жыл бұрын
Na sio maneno tu anaongea kwa speed with numbers
@petermwalongo9848
2 жыл бұрын
Live long Mzee wa Toronto!
@liverpoolfootballclub9985
10 ай бұрын
Itifaki imezingatiwa. Protocols observed 🇰🇪
@user-of8gi7uz4o
Ай бұрын
Eeeeeeeemuuuuunguuuu weeeee❤❤❤❤❤❤ kama umeinjoi gonga like
@paschalmsizu7674
4 жыл бұрын
Toronto mpya hyo
@adenihalisi4218
4 жыл бұрын
Aiseee ardhi inafukuliwa hadi inalia!
@nelsonjackson7332
4 жыл бұрын
Sisi wa Toronto tupo swafi. Maisha ni motooo
@atikombogolo2356
4 жыл бұрын
Hapo imebidi magu acheke tuuu😂😂😂🤣🤣🤣
@isayachisanza7748
4 жыл бұрын
mungu anakuona Mzee wa sukuma ndani
@florianmasawe9520
4 жыл бұрын
Heheheeee!! Kama umemwelewa mkuu wa mkoa wa taboraa kama mimi gonga like🤣🤣🤣
@issazakaria9704
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni shida anaongea fluently kama mchina
@obamachamwino7670
4 жыл бұрын
daaah.. uyu jamaa n atareeeee sana.. aya toronto tujuane apo wazee
@robertj.4484
2 жыл бұрын
This guy is an eloquent and gifted orator!
@user-ex4hi7fj5c
3 ай бұрын
I love you mwandy uko vzr mnooooo Hawa ndiyo viongozi waliotuachia historian bhanaaaa
@rehemamsuya2263
4 жыл бұрын
Anaesema ni comed apite kulr anatiririka vzr mnoo hongera mzee
@michaelvincentmhagama8674
4 жыл бұрын
Safi sana
@bonimwitwa5327
4 жыл бұрын
4 sure rais wetu anastahili sifa jpm is the first among the best.
@johaashura9958
4 жыл бұрын
Haswaaaaaàaa
@wilsongreyson2132
4 жыл бұрын
Saradini
@mkakampole7802
4 жыл бұрын
Kaka!! unakemea mapepo au unahutubia, mbn mpk kuhema unashindwa 😂😂😂😂
@raynaeafrica9464
4 жыл бұрын
😜😜😜😜
@liyanakarzan182
4 жыл бұрын
Naomba mungu anijalie mume wa Toronto nikapaone
@Mazanhi-G
3 жыл бұрын
Hii ndio video ya kwanza kuangalia na kuvutiwa kwa huyu mkuu. Toka hio siku ilibidi nitafute kumjua zaidi. Mtu wa ajabu sana. Namfuatilia sana, watu wa tizedi nawaomba mpeni huyu kiti aongoze nchi.
@namirihamisi3899
4 жыл бұрын
Huyu anafaa kuwa mwana Habari wa Ikulu maana anaweza.
@janethhamza8316
4 жыл бұрын
Mzee mungu Akutunze Amina
@zakariamkopi3353
2 жыл бұрын
Kwanza anavyo ongea t ana jiamini na kile anacho kisema nikiongozi wa maana sana huyu mzee ni mchapa kazi hakika
@mohamedsigwa1712
4 жыл бұрын
Mambo ni bambam mzee magu twende mbele watatukuta huko sha fika
@maxmaizer4631
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa mwanri km amemeza 8 GB asee
@stevekasyele3301
4 жыл бұрын
😀😀😀
@mgasa_tz5527
3 жыл бұрын
😅😅😆
@maxmaizer4631
3 жыл бұрын
@@stevekasyele3301 atare 😂
@maxmaizer4631
3 жыл бұрын
@@mgasa_tz5527 noma Sana
@leonardmhagama5828
9 ай бұрын
One of the best orator very smart
@kikitvtanzania7566
4 жыл бұрын
MASIKINI ROSE MUHANDO: INASIKITISHA kzitem.info/news/bejne/24Ku33yFoXZ3ZKg
@frankilunga6684
4 жыл бұрын
Mzee baba,mzee sukuma ndani nakuelewa sana.
@omarymuhammed3373
4 жыл бұрын
Kalibusana uhamie mukoa Wa kigoma
@omurwasolomon5131
4 жыл бұрын
Am kenyan and am moving to Tanzania..bambam
@albertjames6845
4 жыл бұрын
Njoo ukione cha mtema kuni
@omurwasolomon5131
4 жыл бұрын
@@albertjames6845 utadu?
@princebuganzilut2047
4 жыл бұрын
mzee wa vimbwanga.
@psitanzania9146
3 жыл бұрын
Best ever !!
@jacobndamayape9462
4 жыл бұрын
Hahahaaa,mzee wa Toronto!
@eliasantemhonjwa6256
2 ай бұрын
Haya majembe ni hatari, nacoment 2024. RIP Magufuli
@MrManchoso
4 жыл бұрын
Mwanri umetisha rais mwenyew imebid acheke
@christamazara1266
2 жыл бұрын
Nakukumbuka sn Rais wangu duh pumzika kwa aman.
@jenjoseph7270
4 жыл бұрын
heee sasa mbona shilole amehama arudi nyumban kumenoga
Пікірлер: 644