Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu kwani ninachokipata katika mafundisho yako ninaamini nitafika mbali sana na hii ndio ilikuwa kiu ya muda mrefu kupata mafundisho haya asante Mungu kwa kunipa mtumishi wako huyu, barikiwa mtumishi wa Mungu
@CleedearNicholas
Күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mtumishi mafundisho yako yamenifungua Sana saiz nikiomba napokea kwa Wakat sahihi na nakua na Amani Sana kwa Mungu
@JoshuaNasari
11 күн бұрын
MUNGU akubariki mtumishi , hakika kuna jambo roho wa MUNGU ameliweka ndani yako, kwa ajili ya ulimwengu wote na kizazi cha baadae . pokea neema ya kuzidi kuinuliwa zaidi kwa jina la YESU KIRISTO amina.
@user-ed2jz5ym9u
Ай бұрын
Sifa na jeshi a ma zimurudilie mungu tu Aliye kuumba Na ku kutuma kwa kazi. Yake ubarikiwe sana
@user-ed2jz5ym9u
Ай бұрын
Amina ubarikiwe sana Madurai sana
@NancyKivindyo
24 күн бұрын
Amen amen amen amen
@emeliakatchunga9524
Жыл бұрын
Asante mtumishi kwa mafundisho haya Hasa mimi binafsi nachukua note 4 , Kabla sijatamka kwa kinwa changu Mungu wangu alie sirini amekwisha jua, Mungu nisaidie
@user-cq2so2ip9r
9 күн бұрын
Amene nimebarikuwa
@judithnjunwa6668
Жыл бұрын
Yesu kristo nipe mtoto wa kiume atakuwa mtumishi wako,,, Appostle kwa utukufu wako
@everlynecheposera
23 күн бұрын
Aki nimeguzwa na mafundisho ya mungu,,waa nimeelewa jinsi ya kuomba
I just give glory to God for the powerful teaching in spiritual life, more blessings in Jesus mighty name pastor 🙏🙏🙏
@user-jl7si8rg8w
2 ай бұрын
Shalom shalom shalom from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@user-jl7si8rg8w
2 ай бұрын
Shalom shalom 🎉
@TrizaMwegoha-bk8mm
3 ай бұрын
Mafundisho yananitoa mbali sana
@ibrahimukikwilili4368
24 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia sawa sawa Mungu wa mbinguni Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo asikupungukie akupa mahitaji yako yote uishi miaka mingi mpaka Mungu atimize kusudi lake juu yetu sisi wanadamu nabarikiwa sana na kuinuliwa kwa amani yangu
@noahmfinanga507
3 ай бұрын
Nimebadikiwa sana! Anapatikna wapi huyu Mtumishi?
@daisyowidi701
2 ай бұрын
Amen
@asteriankwera541
Ай бұрын
Amina
@janethmalando4086
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu, Mungu akupe hatua nyingine zaidi.
@leahdaniel1117
Жыл бұрын
Asante YESU KRISTO kwa huruma yako kunipa somo hili asante YESU
@bettywangari6854
12 күн бұрын
God bless you Pastor
@TWRWomenofHopeTanzania
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. The message is so powerful
@EuphrasiaNtawatawa
Жыл бұрын
Hakika wewe ni zaidi ya pastor,ni mwalimu.
@MuningaSion
2 ай бұрын
Asante nchungaji kwa neno hili kubwa
@user-nb2xb3vb3y
5 ай бұрын
Nijifunza mambo muhimu Sana mtumushi mungu akubariki nitaendelea kujifunza kweli hakika mungu anakutumia sawa sawa na kusudi
@joycemwasote2959
Жыл бұрын
Pastor John, Mungu akubariki sana akutunze na aendelee kukupa maono makubwa.Baba, tangu nimeanza kufuatilia mafundisho yako ukweli ninamuona Mungu akinibadirisha ninahitaji mafundisho mengi zaidi na vifungu vya maombi vya kusimamia kwa kila maombi nitakayo kuwa nayafanya
@user-ft3fg6qy6k
Жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema mafundisho mazuri sana
@user-ek2tu6ve3b
Ай бұрын
Kwa hakika maombi Yana nguvu
@mlongongomr9925
4 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@priscaputa8442
Жыл бұрын
Hungera Sana baba unafundisha vizuri Sana mungu akubariki sana
@fridasanga-wi5uv
Жыл бұрын
Balikiwa mtumishi
@ceflenenicolaus3848
Жыл бұрын
Ameni
@DomyBaganya-pm4sh
Жыл бұрын
Amen amen ubarikiwe tena zaidi ulivyo Mungu akuweke ju sana
@monicambetwa9301
Жыл бұрын
Pastor barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
@alexmtimbi4083
Жыл бұрын
Baba ubarikwe kwa mafundisho mazuri
@judithsilayo1449
4 ай бұрын
Mchungaji Mtumishi wa Bwana Mungu akupe siku nyingi za kuishi kwaajili ya kusudi aliloweka ndani yako mafundisho ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako mafundisho yako yamenisaidia sana Mungu akubariki Judith silayo
@denismukabwa2642
Жыл бұрын
Napenda mafundisho mchungaji. Napenda mafundisho ya kufungua macho jinsi ya kukaa ndani ya Mungu na kuenenda uweponi mwake. Asante sana!
@gilsonwanje
Жыл бұрын
Napenda mafundisho yake ,je unavitabu ulivyo andika?
@pascaladolph5307
11 ай бұрын
Mafundisho yako yanajitosheleza
@user-lz2tp4il5v
Ай бұрын
Amen amen and amen 🙏🙏🙏🧎🧎
@edinahmasea1603
11 ай бұрын
Pastor asante sana umeguza roho yangu sana barikiwa and may God's will be done on us in Jesus Name Amen Amen and
@aderiderkihupi7240
Жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI UMENIBADILISHA SANA KWA MAHUBIRI YAKO.
@veronicaalex2709
Жыл бұрын
Nakupenda mtumishi mafundisho yako yamenijenga sana katika maisha yangu MUNGU akubariki Sana azidi kukutunza.
@evencemangamwachia1617
Жыл бұрын
Nkwel mafundisho yake yakipekee
@EvodiaEdward-fn5jp
9 ай бұрын
Mungu akubariki sana apostole
@nurupilla1901
Жыл бұрын
Hakika mb zangu haziendi bule asante Yesu nime jifunza nimeelewa
@justojaredi9578
Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu Kuna kitu nimejifunza.Mungu Akubariki sana
@user-ho4sg3fh2k
3 ай бұрын
YESU AKUBARIKI KWA KUKUBALI AKUTUMIE KAMA MWANAPUNDA WAKE KWAAJILI YA KANISA.
@naomimbele8500
3 ай бұрын
Thank you Lord we are blessed
@josephinegagai
Ай бұрын
👏👏👏👌👌👌👍👍👍 maelezo yako hunifanya nielewe kindani mchungaji,Mungu akubariki,uishi maisha marefu.
@veronikaaugustino2258
2 жыл бұрын
JESUS IS EVERYTHING AMEN😊
@ezekieloluoch8777
3 жыл бұрын
Many online massages are based on prayer there's a revival coming for the church of Christ let's dwell on prayers
@siahraphael9349
Жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafundisho mazuri.
@olphanyamweya3154
3 ай бұрын
Very powerful massage 🙏🙏🙏🙏
@juhudijotham1051
Жыл бұрын
Mungu akulinde Zaidi mtumishi hakika mafundisho Ni mazuri mno.
@collinserastus-nm5qw
2 ай бұрын
God's word will never expire,I thank God for His word it has touched me.
@asegelilemwaitebele8934
Жыл бұрын
Hapa manabii wa uongo kwisha
@reubenbegashe2066
11 ай бұрын
Umewaanda Watu ktk Maombi Omba Mtu wa Mungu unawaondoa Watu kwenye Uwepo na hawatafiatilia mahubiri Yako yanakosa hitimisho
@naomilukas3260
Жыл бұрын
Ameen mtumishi
@esthermasonganya2236
11 ай бұрын
Yaani leo kwa mara ya kwanza ndio nakusikia baba Mungu akubariki sn naomba namba yako.
@user-ed2jz5ym9u
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu na FURAHA kwa mafudisho. Na sema. Asante
@gaelmaombi2570
17 күн бұрын
Haya mafundisho mazuri kweli barikiwa mtumishi ❤
@felisternicholaus3281
4 ай бұрын
Jina la Bwana Yesu kiristo libarikiwe sana. Asante Mungu BABA
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu unanifungua sana kwenye ufamu nazidi kumjua Mungu kupitia masomo yako
@wendiupendomunisi2919
Жыл бұрын
Mungu akutunze mtumishi, nimepona sana
@gracemulinga66
26 күн бұрын
Hakika Mungu akutumie zaidi,na utufundishe kuishi kikristo
@agnessally7513
Ай бұрын
Ameen🙏 Nabarikiwa Sana Na Mafundisho Yako Mtumishi
@esthermwiramasika9026
2 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili, nimebarikiwa sana ndani ya somo . Sababu maombi ni uriti wangu
@fatemajohn3195
Жыл бұрын
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa mafudisho yako mazuri
@beatusdaniel
4 ай бұрын
Napenda sana mahubiri yako mungu akufikishe viwango vy juu San mtumish wa mung
@EstherWaikani-df6tn
3 ай бұрын
Mungu asiye shidwa kamwe akumbariki nimebarikiwa sana kujiya nguvu mupiya
@jacqueskatembo1923
Ай бұрын
Aksante sana kwa mafundisha Baba ubarikiwe na Mungu,
@user-zc9mu8ie6t
Жыл бұрын
Hongera sana mtumie wa mungu mana kazi unaifanya
@mariamabdallah6774
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumish
@zuwenahamud9152
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi kwa mafundisho ahsante
@AngelMasunzu
Жыл бұрын
mungu akubariki mchungaji sana...nmebarikiwa
@filorammbaga5710
2 ай бұрын
Mtu wa Mungu asante kwa mafundisho haya Yanaleta utukufu wa jina lako
@everlynecheposera
23 күн бұрын
Kweli nimefundiswa na kuelewa,, Mungu ashukuriwe
@WivineMasamo-cj9mq
29 күн бұрын
Mungu baba azidi kuwa funuliya mengi.
@user-kr5sn3zi8r
2 ай бұрын
Nimegushwa sana na neno lako pastor George mukabwa
@user-vd5bi8lf5x
11 ай бұрын
Na barikiwa na mafunzo. Weka lakini weka scripture kubwa ionekane vizuri
@marycharlesndulila5061
2 жыл бұрын
Amen Asante mtumishi wa Mungu.Mungu azidishe neema juu yako
@dianahcheropngaina9496
2 жыл бұрын
Also do open businesses between east african anda african countries build trains that jions differents countries in east africa and differents african countries 29/5/2090
@floraurio8185
Жыл бұрын
Amen amen
@rahmellio6444
2 ай бұрын
Ubalikiwe sana mtumishi wa mungu yaani nafurahi sana
@AicaJulius-fk6ug
9 ай бұрын
Napenda sana mtumishi mafundisho yk ningekuwa ukomwanza ningeshafika dalasani
@soniakajuni3267
Ай бұрын
Eeee Mungu tusaidie tumetanguliza sana faida zetu ndo maana mambo hayaendi
@nyankindiabdallah4902
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishii kwa mafundisho yako mazuri
@anniafredrick8925
Ай бұрын
Be blessed man of God, unanibariki sana na mafundisho yako.
@upendojubilate9072
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana Dady napenda mafundisho yako Kila nikikusikiliza napata hatua zaidi ndani ya BWANA
@VeronicaMtega
3 ай бұрын
Mungu aibariki na kuinua huduma yake ndani yako,nabarikiwa sana.
@andjelaabonga7137
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu asant
@user-nx7vz3cs6b
3 ай бұрын
Amen huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu akuinue zaidi
@olphanyamweya3154
3 ай бұрын
Thanks GOD nizaidie nielewe maombi ni ni😢
@kitambalazadock7078
9 ай бұрын
Asate mtumishi WA mungu umenisaidiya tena
@ezronelias6034
Жыл бұрын
Hakika wewe ni mtumishiwa Mungu aliehai, nakuambia utafika mbalisana,
@frankkamugisha4233
9 ай бұрын
Mungu akutangulie katika yote baba yangu
@upendokininki6897
Жыл бұрын
Barikiwa Baba SoMo zuri sana
@user-iu6qy3fh7f
4 ай бұрын
Nimejifunza mengi sana ktk mafundisho Yako
@user-py6vm1ed5p
2 ай бұрын
Baba ubarikiwe Kwa neno zuri naona kufunguliwa
@dredahmwakitoi4727
Жыл бұрын
Amen from kenya
@MartinMasamu
4 ай бұрын
Nimelipenda somo hili
@nurumuzei964
Жыл бұрын
Napenda mahubiri yako sana mungu akubariki tena sana
@user-yg6zn5sv8z
Жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa mahubiri mazuri jubilate makundi
@judithnjunwa6668
Жыл бұрын
Nataka unibafiki uzao wa tumbo langu MUNGU
@christinamsoka
Жыл бұрын
Asante sana kwa Somo Hili zuri mno.Mungu akubariki Sana sana.Asante sana Mchungaji
Пікірлер: 196