2023 kama Unatazama Mwaka huu,Gonga like Tumshukuru Mungu
@elizabethchacha8606
10 ай бұрын
May God Bless this Choir still listening to their songs 2023
@barakawilson2609
9 ай бұрын
2024, nasikiliza.
@leabirungi3894
6 ай бұрын
2024 na sikiliza
@andrewobiri105
8 ай бұрын
2024 hapa still enjoying the vocals. Somebody to join me?
@eugeniakibasa6046
7 ай бұрын
Bado nabarikiwa 2024, wakati waimbaji wa Injili walipoimba injili na siyo mipasho. ukisikiliza muziki wa injili nikama unasikiliza mahuburi. Mungu atusaidie tubadilike
@lawrencekamete2404
Ай бұрын
Hakika nami nabarikiwa sana, ee Bwana tupe UAMSHO na kuturejeshea yote yaliyoliwa na madumadu...
@norbertnyakeriga5891
2 ай бұрын
2:52 2024 nipo ndani mungu awabariki❤❤❤+254🇰🇪🇰🇪
@schofieldodhiambo7957
5 ай бұрын
nyimbo za hawa hazichuji wala hazichakai japo ziliimbwa katika mazingira ya kawaida kabisa. I love them. Mungu awabariki sana hawa waimbaji na Mtunzi wa nyimbo hizi.
@monicamtenga
2 ай бұрын
Kweli kabisa,yani ukisikiliza ujumbe ni mzuri huchoki kusikiliza nawapenda sana Mungu awabariki mno
@octavianngeta2438
4 ай бұрын
Hii june 2024...nabarikiwa sana na hii kwaya lakini sina kumbukumbu yoyote kama wengine ila zimenigusa mno. Mbarikiwe wote ktk Kristo
@damianmakala2913
4 жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha kipindi hicho nikiwa SINGIDA maeneo ya karibu na mwenge sec , namkumbuka sana rafiki yangu ELIMBOTO nilikuwa tukienda pale kwao tulikuwa tunasikiliza wimbo huu , wimbo mwingine zakayo mwingine ulikuwa wa habar ya mwana mpotevu kutoka kwa father babu pale arusha ! Rest in peace my best friend ELIMBOTO i Will always remember you ! sisi sote ni wapitaji katika dunia hii mbele yetu nyuma yako !
@danielangyelile2812
7 ай бұрын
Ampumzike Kwa Amani
@lazarojr8923
7 жыл бұрын
Kipindi hicho hakuna cha make up wala kujichubua!! Da! Hapa nilipo chozi lanitoka utandawazi umetuharibu sana, Mungu wangu.
@johnjuliani5533
6 жыл бұрын
Lazaro Joseph Linda😁😁😁😁
@bgm2312
6 жыл бұрын
Mimi ni mzaliwa wa Congo-Kinshasa kwenye milimani ya Mulenge! Nimejuwa nyimbo hizi tangu utoto wangu! This brings nostalgia! Mungu azidi kuwabariki!
@NeemaDavid-uj8sr
9 ай бұрын
Good had Leo upo wapi
@AgnesMuyinga-k5e
2 ай бұрын
Huu wimbo ni mzuri mnoo mungu awabariki waimbaji woote walioimba wimbo huu. Ameni
@gladsonbaltazary7449
2 ай бұрын
Kuna ka feeling nakapata hapa daah .and time imeenda sana... mubarikiwe huku mulipogo waimbaji wetu
@nkunzicelestin4521
6 жыл бұрын
Kwaya Mapigano mbarikiwe sana na Mwenyenzi Mungu. Naomba nyimbo zenu za siku hizi kama ziko.
@tangusjoseph6620
Жыл бұрын
Jina la bwana Yesu lipewe sifa...nyimbo za wanakwaya Hawa zinanibarika sana.Sauti tamu zenye upako...Inanipa kumbukumbu za miaka ya 1990s.
@jamesmwasambili381
8 жыл бұрын
I don't ever get tired of listening and watching the beautiful album from Ulyankulu Barabara ya 13,it gives me a sense and series of memories when I was young 1990s and now we're grown up thank you God,'SIKU YA KUTAABIKA'
@gerardrichard956
7 жыл бұрын
James Mwasambili nice iven me i like this
@kwizeraprosper1747
7 жыл бұрын
kwizera prosper , Mungu awabariki pamoja naasi RUMONGE Mugara ruremba
@thomasbarabonamubondo9218
3 ай бұрын
uyu mwenye Sauti nyembamba anaitwa elphasi, atakua mtu mzima sana sasa Ivi... Sijui ata yuko wap
@eastlandadventures6956
7 жыл бұрын
Nyimmbo za mungu kamwe hazipitwi na wakati kama vile lisemavyo neno lake, Mbarikiwe sana
@wilsonkimaro6375
6 жыл бұрын
Sasahivi ni saa sita nadakika 32 usiku wa tarehe 2/4/2018 natazama nyimbo hii inanibariki utafikiri imetoka leo
@NaomiMalila
2 күн бұрын
Hizi ni nyimbo ziliimbwa kirohoni na upako meingi wa mwenyezi MUNGU,🙏🙏🙏
@kimwelijohnson2838
8 жыл бұрын
Kwa kweli Haya Mimi ninabarikiwa sana ninaposikiliza nyimbo hizi,Mungu aibariki kwaya hii,lakini mbona mko kimya hakuna toleo jipya?
@hagaicongueror4666
7 жыл бұрын
ukweli waliimba mno mungu awabariki sana ni miaka mingi imepita
@wilsoncharles7790
7 жыл бұрын
Jamani., inanikumbusha mbali sana., 1990"s ., Glory be to God., I really miss my beloved ones.., let them rest in eternal peace., Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote
@gerardrichard956
7 жыл бұрын
wilson charles AMEEN
@catherinejohnzainykgo5022
6 жыл бұрын
Kwani wamekufa???
@ngabovicentpamba2918
4 жыл бұрын
Did you know these people? They left a history and remarkable legacy as far as gospel music is concerned. Wonderfully, their writing was exactly according to the scripture, word to word. Very touching!
@masumbukomsongo807
8 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana, zinaheshima hata mavazi mmevaa kiadabu sana nice song Mungu awabariki jmn
@elijahfaith5534
6 жыл бұрын
2018 wangap tunatazam. Nyimbo zilizoshehen Mafundisho na kutia moyo😍😍👌
@nkhun8360
6 жыл бұрын
Faith Eliakimu 😍😍👌👌👌
@davidlitunya3993
6 жыл бұрын
mimii badoo naskizaa
@ezekielronoh4282
Жыл бұрын
2023 niko naendelea kuwasikiliza
@oliverkindole8529
Жыл бұрын
Mimi pia nasikiliza nyimbo za miaka ya 90's
@christophermlimbila9013
Жыл бұрын
Dah nyimbo zilitubariki sana
@upendoomaryupendoomary3581
7 жыл бұрын
Jamani hii nyimbo imenikumbusha mbaliiii mweeee Na hakunaga teeeeena waimbaji wazuri kama hawa jamaaaani siriousssss..............hivi wako wapi???????????? Nawapenda sanaaaaa
@doricerugumamu804
6 жыл бұрын
Yan naguswa kabisa nikisikia nyimbo hizi,mungu awabariki sana,waliotangulia walale pema peponi
@nkhun8360
6 жыл бұрын
Dorice Rugumamu kwani wame kufa????
@remarkable_reene
Ай бұрын
Yaan Haya ni mahubiri! Yaan no Kama unasoma biblia, kwakweli neema ya bwana yesu itusaidie tuirudie hii misingi ili injili isonge mbele.
@johnnakholi5006
7 жыл бұрын
Nyimbo hizi ndioyo mwanzo wa imani yangu Namungu,Wabariki wapendwa hawa mumba bingu na inch.
@PaulYaledy-tx4ce
5 ай бұрын
Kila asikilizae nyimbi hizi Apate kugeuka na kuacha njia zake mbaya na kumkili Yesu kua Bwana na Mwokozi wake.
@timotheohermanmwakipesile3883
9 ай бұрын
Nilikuwa nampenda sana nyimbo za Hawa watu hasa majira ya majilio mwisho wa mwaka Christmas na mwaka mpya
@dorcaslor2166
7 жыл бұрын
Accenti saana wa nduku Zetu wapenzi ni n'a furaha sana Rohoni kwa ku Sikiliza Wimbo butamu ma Wimbo za ki Roho Acha Mungu wa Prophète Elijah a mibariki wote basi munanipatia moyo Kweli mi n'a ba penda saaana
@patmase9268
6 жыл бұрын
mangú awabariki
@alexs.mramba5920
6 жыл бұрын
Hakika Uinjilisti vijana Arusha mjini wamekonga miyoyo yetu bado kuna nyimbo bado hazijapigwa hao wana nyimbo nyingi sana za zamani Mungu awabariki siku njema
@ausetchristmas2338
3 жыл бұрын
2021 bd inaniponya moyo wng
@mpere
6 жыл бұрын
Kiukweli nimebarikiwa na kurudi kwenye uwepo wa Mungu.
@MrDmanga
8 жыл бұрын
reminds me from way back in the 90s when i was a small boy........love all the way from kenya
@humphreygodwin6812
9 жыл бұрын
za kale lakin zina upako, mbarikiwe sanaaa,
@piusmusa5961
8 жыл бұрын
Hawa watu...nakosa cha kuandika, ila Aliyetuumba na mnayemwimbia awabariki...ni kitambo sana bila shaka nlikuwa kindergaten enzi hizo..acha kabisa ,....God blesss You
@josephbugumba6097
7 жыл бұрын
pius musa
@derickjuma4251
4 ай бұрын
❤❤❤ enzi Hadi enzi hizi hutochoka kusikiliza
@annapeter4994
8 жыл бұрын
Natamani waendelee kuimba hadi leo, kwaya ninazopenda zilinifariji wakati wa kujaribiwa kwangu na hadi leo nyimbo hizi zinaendelea kunifariji. Hongereni mlioziimba
@moisekadwidwi3731
3 жыл бұрын
Hakuna nyimbo ninazo zipenda kupitiya hizi tangu utoto wangu mpaka leo kama leo naomba Mungu nikupitiya mafundisho yanayo kuwa ndani ya nyimbo hizi.
@annapeter4994
3 жыл бұрын
@@moisekadwidwi3731 kumbe tuko wengi. Hii kwaya ifufuke kama ilizimia iendelee kutupa nguvu kila siku ya kuendelea mbele
@moisekadwidwi3731
3 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinani fariji sana, Ninapo ziimba na kuomba n'a barikiwa tele, nilikuwa na shida ya madeni lakini nilipo anza kuomba nakuimba hizi nyimbo leo nafunguwa business yangu na n'a kazi nime pata madeni nime lipa, ni Mambo ya miujiza .
@amelia.lluvxn
7 жыл бұрын
lovely songs,very inspiring. straight from the Bible. God bless this choir
@godfrey40255
6 жыл бұрын
Vera Musyoki fu hbr byy
@sheilaongayi6371
Жыл бұрын
We are surely approaching those days very fast..2nd coming of messiah is around the corner
@michaelwambua6736
8 жыл бұрын
Ulyankulu my favorite choir what inspires me most is their songs are created direct from the bible, when am listening its as am reading the bible, instruments are well arraged. but Wamekimya kwa muda what's happening.
@clementbankuwiha8877
6 жыл бұрын
hii ni zawadi kubwa aliyo.tupa.mungu. mbarikiwe sana walio.imba vyimbo zote
@annapaul9165
5 жыл бұрын
Upako bado ule ule Nyimbo zilizobeba Nguvu za Mungu kwa Vizazi vyote
@namsifumaduhumwita2495
8 ай бұрын
Wale wenzangu tusiochoka na hizi nyimbo za nyakati zote tujuane kwa like hapa
@danielmabula9589
4 күн бұрын
2024 likes zenu watumishi wa Mungu 😊
@adamgabriel2962
9 жыл бұрын
nabarikiwa sana na music wa injili.tuzid kumtafuta mungu madam anapatikana utapata aman , furaha na uzima wa milele
@gladwellgichuki6207
7 жыл бұрын
Oooh.. how I wish we could go back to real gospel songs like this....it's powerful
@sharon4022
Жыл бұрын
I totally agree
@webingogo3633
4 жыл бұрын
Waimbaji waliojaliwa sauti na Mungu enzi hizo kuna Jirani alikuwa na kibanda cha mahitaji ya nyumbani tulikuwa tunapata Bonge LA burudani kutoka mwenye hii kwaya:
@lordorcas9344
6 ай бұрын
Hallelujah Batoto ya Mungu Hosana Yesu Mokonzi Wetu Iko a na kuja ku tu Chukuwa AmenMupo na Myoyo Safi mubarikiwe Daima ❤️❤️❤️🌹👍👍🙏🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏
@elviskoech6271
Жыл бұрын
God bless this choir very inspiring
@pacyongalo703
8 жыл бұрын
what a great choir,the lead singer has a very smooth voice loving this song from Kenya
@edwardkasubi1495
6 жыл бұрын
Pacy Ongalo Oooooh thubutu yake kwani wakenya mshaanza kunyoosha maneno kiasi hiki
@japhetstanslaus2641
6 жыл бұрын
Hao ni mapigano kwaya kutoka Barbara ya 22 Ulyankulu Tabora Pacha wao ni wale waloimba " kwaviumbe vyote,Samson,wakati wa Nuhu n.k" Hawa wanatoka barabara ya 13 Ulyankulu. Wakati huo kululikuwa vijiji tupu nikitambo Hawa jamaa wanatisha.
@rafikieric6945
6 жыл бұрын
Pacy Ongalo the choir is from Tabora Tanzania
@kittykossy
6 жыл бұрын
@ Rafiki Eric Na Japheth Stanlaus..... Ubaya wenu watanzania hamulelewi lugha ya kimombo, pacy anamanisha kuwa anaburudika na hizi nyimbo zenu akiwa kule kenya . hana haja ya kumilki uimbaji wenu, kwa hiyo jifunzeni Kingereza na pia msome kwa makini sababu akili duni ni hatari sana.
@edwardnzambimana9018
5 жыл бұрын
Duh nyimbo zenu zinanifaliji ivi habona bado snaimba snsumuli gani mubalikiwe sana
@juliusmsote1442
6 жыл бұрын
Huyu Bwana anayecharaza gitaa jembamba...Habona ni kati watu waliolifanya kundi hilo kuwika sana... Sijui yupo wapi kwa sasa Mungu ampe baraka Sana.
@nkhun8360
6 жыл бұрын
JULY MAGWILE ebu peleleze kwaya hii wako wapi kwa sasa? I need to talk to them Coz they bless me when singing 🎤
@natronflamingo
6 жыл бұрын
May God bless these guys. When Gospel Music was full of the word of God
@marthamussa8745
3 жыл бұрын
Nyimbo hiz zinani kumbusha mbali namkumbuka sana marehem haha yangu oooh
@marthneno7944
9 жыл бұрын
Amen mbarikiwe sana wale wenye moyo safi watamwona Mungu
@felistamyovela9080
4 жыл бұрын
Kupitia nyimbo zenu zenu na ujumbe mzuri mumeokoa wengi
@dorcaslor2166
6 жыл бұрын
Ndio wa pendwa Bwana Wetu iko munjia anakudja kutu Pe leka Mbinguni Mwami YESU
@samusonisamusoni2390
3 ай бұрын
Mungu.awariki.kwawimbo.nzuri
@chepkolewilfred3330
9 ай бұрын
May God bless this choir..it's a great one,composed by great ladies and gentlemen of God. I haven't lost any taste of the melodies since my youthful times. God is Great
@eliudkitulu9187
5 жыл бұрын
Kwel nakimbukaga mbali sana aisee mwaka 1995 mzee wangu ikifka kipindi cha Christmas bas kuanzia asb mpaka usik bas tunasililza hiz nyimbo acha kabisa. Kwel waimbaji wa zaman walkua wanamwimbia Mungu
@medionindagijimana9020
6 жыл бұрын
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji wimbo huu nifundisho kwawatu wote wenye mili
@leticiatigi6615
6 жыл бұрын
Sure nakumbuka mbali Sanaa real gospel songs ever and ever
@sarahngoina4091
6 жыл бұрын
Hizi nyimbo zilikuwa na Neema kuu. Leo nakumbukia utoto. ahsante Mungu
@Gwest2012
9 ай бұрын
Inanikumbusha utoto wangu siku za mwanzo za wokovu wangu, Chuo cha Kilimo MATI Mtwara 🇹🇿
@goodluckmassero
Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
@asueddy1465
6 жыл бұрын
Heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu
@franktibikunda6252
7 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi
@johnnzayiramya9339
6 жыл бұрын
Be blessed
@SarahMsinga
9 ай бұрын
Wow what a song on my day I have challenges to my life work 😢
@happinesstesha7061
3 ай бұрын
Nawapenda jaman sijui mpo wap mlifanya kazi nzur❤
@yonamichaery2874
8 жыл бұрын
Mungu awabariki ni. Nice song
@johnkisembo1599
2 жыл бұрын
Old id Gold really. God bless you abundantly John KISEMBO, from Ituri, North Eastern, DRC
@FestusiKuluchumila
8 ай бұрын
Sauti zilizopangika zikapangika.good song
@dicksonakyoo8222
3 жыл бұрын
Elphazi habona mungu akubariki,
@elifazmpozayo2930
4 жыл бұрын
Kitambo sana hizi nyimbo mungu wabariki wanaozitazama mwaka huu 2020
@isaacsengunda3099
6 жыл бұрын
Jamani Mungu wetu awape neema zaidi,,ni miaka mingi ziliimbwa lakini kila nikisikiliza ni kama wimbo uliotungwa na kuimbwa sasa hivi,na kupigwa leo hii,,nasikia raha sana hasi machozi ya furaha yananitiririka inanigusa kwa %1000000000000000. Sifa na utukufu ni MUNGU.
@rizikitito3024
5 жыл бұрын
Hizi nyimbo no za mda lakini zina ujembe unaogusa na kuamsha mioyo ya watu sana !!!heri wenye moyo safi ,..!!!nimebarikiwa sana
@sarahurassa6937
8 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wapendwa wa bwana, nyimbo zinanifanya kuhisi uwepo wa Mungu ndani yangu..nasikia raha ninapozisikiliza nyimbo zina mafundisho makubwa sana na kuwafanya watu wageuke kumrudia muumba wetu... Great....
@nehemiatv665
6 ай бұрын
Hizi nyimbo nikiwa radioni kwenye gospel huwa siwezi kuziacha maana nazipenda na zinapendwa.
@elikanajohn1743
7 жыл бұрын
Mungu awabaliki ote walioshiliki kazihi nzulusana
@elibarikijk5096
7 жыл бұрын
Mungu azidi kuwawezesha. Kazi yenu ni njema
@gerardrichard956
7 жыл бұрын
elibariki jk sijui mmpo hadi leo ?
@peterkisura149
6 жыл бұрын
Mung awabariki mriimba katika roho si kama waleo wanatuimbia aibu
@MatthiasKavuttihCampHeritage
6 жыл бұрын
Marehemu Baba yangu alinunua kandaa hii miaka ya 90, nami nilikuwa naisikiliza kila siku. Natamani kumwona tena Bwana Yesu ajapo
@nkhun8360
6 жыл бұрын
Matthias Kavuttih Poleni sana ndugu. Tutawaona alio tuacha .
@ronaldreagan7772
3 жыл бұрын
Siku ya fujo inakuja itokayo kwa Bwana, Bwana wa majeshi.. Kumjua Bwana kutokea kwake ni yakini kama asubuhi.. Naye atatujilia kama mvua ya vuli Iinyweshayo nchi
@monicamtenga
4 ай бұрын
Du Hadi raha nawapenda sana Mungu awabariki sana,
@mariej6962
6 жыл бұрын
Natafuta wimbo mmoja baadhi ya maneno yake wanasema " kisha nikauona mji ule mtakatifu Yerusalemu, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu umewekwa tayari, kama bibi harusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe...."
@elishamwando1492
Жыл бұрын
Zama izo kulikuwa na nyimbo bana si Kama siku izi,God bless
@gedeonngandumusic7323
Жыл бұрын
Mungu nipe neeema siku moja nikuone mbinguni
@SumaiyaAbed
6 ай бұрын
Mungu awabaliki watuzi wa nyimbo zinamgusa mungu
@IsukuIwacu-lt6dg
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤. . Kweli anakuja
@makoreosayani9433
6 жыл бұрын
Nabarikiwa sana sana ninapokuwa nawasikiliza ulyakulu mapigano choir Mungu awabariki sana kwa ujumbe murua nahisi kama niko Mbinguni.salute kwenu
@amosmacharia6817
8 жыл бұрын
My mum used to play this tape every day. I miss those days
@gerardrichard956
7 жыл бұрын
Amos Macharia nice mum
@KervinMagola
8 ай бұрын
Daaah kitambo sana😮😮😮😮
@michaelbimbe3321
7 жыл бұрын
tunawashukuru nyinyi muliyopewa ujuzi mno mambo ya bibilia takatifu mukipitia wimbo na mukihubiria watu ila myoyo ndiye mizito kwakusikiya kazeni musichoke..........................
@florencecherotich-ok9og
4 ай бұрын
Till now am old, the songs are really blessing to me
@edisonkatunzi
Жыл бұрын
Huu wimbo nimzuri sana kuudaunirodi ili kutunza kumbumbu
@nkomezibenjamin6074
6 жыл бұрын
Nayipenda sana tangu utotoni big u
@anamanoni9343
7 жыл бұрын
nyimbo hii naipenda sanaaaaa
@stellakagemlo8095
2 жыл бұрын
Mpaka leo nyimbo hizi zinabariki watu
@viki2805
Ай бұрын
Nani ako na Library Ya Sayare… kuna wimbo mbili natafuta .. i only remember a part of lyrics “…..uso kwa uso…. “. Lead singer was good “…maji hayo yalimwagika….” about noah and flood
@viki2805
Ай бұрын
who owns this youtube account?…
@stevencharles4597
7 жыл бұрын
zina ujumbe mzuri wa Bwana
@henryapoko9270
Жыл бұрын
it's wonderful I like this music, it's amazing
@elymsagala
6 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo not now days gospel imekua Kama bongofleva tuu kuanzia mavazi yao namionekano ya waimbaji
@emmanueltowett8991
3 жыл бұрын
souti jamani mungu abariki wapendwa wetu wa ulankulu.
Пікірлер: 310