😭😭😭😭😭 Dear Lord Jesus! May you grant us the grace to love one another ❤🙏🏽🙏🏽
@DismasMlingi
2 ай бұрын
Huyo mpiga kinanda namkubali
@augustabisetsa5007
Жыл бұрын
Jamani nyimbo nzuri hazichuji, Zina nguvu ya roho mtakatifu
@EssauMahundi
3 ай бұрын
Kwayazilikuwa zamani ck hizisalakasi tu
@esthersymons1036
8 ай бұрын
Nyimbo za baraka sana my dad loved the songs we sang along with the choir when we were young. Just listened and prayed to God in tears that none of these choir members will moss heaven
@davidmoris7787
4 ай бұрын
2024 tubarikiwe pamoja.
@edwardcherogony8745
7 ай бұрын
hao wamama watatu wanifurahisha saana
@pascalbura3310
3 жыл бұрын
Nimependa jinsi mnavyoweka maneno yenyu kimsingi nimebarikiwa sana na nyimbo zenu bwana wetu yesu kristo awabariki
@amonjason7722
4 жыл бұрын
Natazama na nani leo 02.08.2020? Weka like tafadhali.
@andrewnday9127
4 жыл бұрын
Pamoja na mie
@happinesstesha7061
3 ай бұрын
Mbarikiwe uko mliko jaman
@mutukupaul7462
Жыл бұрын
Napenda xana nyimbo zenu .Hizi kwaya za zamani ndizo zilikuwa zinaimba nyimbo za kiroho. MUNGU awabariki xana popote kila mmoja wenu alipo
@ValentinaTungaraza-bb5qj
6 ай бұрын
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zote mumeimba kwa neno la Mungu tofauti na sasa hivi nyimbo zimekosa upako kwa sababu zinakuwa hazina maandiko.
@jiaminitv905
4 жыл бұрын
2020 sep,Nani anabarikiwa na mimi?
@emelda5420
Жыл бұрын
Me
@emelda5420
Жыл бұрын
Mimi
@nshimirimanalydia9103
11 ай бұрын
Mimi hapa 2023 bado nabarikiwa🎉🎉🎉🎉
@edwardbujiku-vn8xy
2 ай бұрын
Barikiwa sana
@kesiyadenise7416
8 жыл бұрын
Amen wa ndugu wangu,baraka za Bwana ziwafikiye maali mlipo popote 🙏🏽
@irakozejeanclaude3890
5 ай бұрын
Mbalikiwe saana
@graciakabika5588
11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jorambranchofmud6299
Жыл бұрын
Wahu sauti nzuri kabisa
@bensonjohn9633
Жыл бұрын
Atukuzwe Mungu juu Mbinguni🎉
@shedomumbere2044
2 жыл бұрын
Nakumbuka utoto Wangu 🤗🤗🤗 ata babayangu Nime mukumbuka
@xrisasanyo6720
5 жыл бұрын
hawa wako wapi? injili neno kwa neno toka kwa biblia, be blessed wherever you are ulyankulu choir.
@reagankihwelo1517
6 жыл бұрын
kweli cha zamani dhahabu nyimbo hizi huchoki hata kidogo kusikiliza
@esthernyongesa8528
Жыл бұрын
Nyimbo zenye utariji mwingi,nazipenda sana.
@EvangelisteMireilleMITAMBA
8 жыл бұрын
Utukufu wote ni wa BWANA, tangu tuko vijana wadogo, nyimbo hizi zinabariki mioyo yetu. Mubarikiwe saana waimbaji wenzangu, Tukaze mwendo mpaka mwisho, hata tukitangulia kwa Baba kazi tulioifanya hapa chini ya jua inatenda na itatenda kazi. Tafadhali someni 1Wakorinto 15: 58 na pia Zaburi 20. Amina. Nawapenda nakuwafurahia saaaana. Muinjilisti M. MITAMBA Ny.
@restcharles1492
8 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
@restcharles1492
8 жыл бұрын
Evangeliste Mireille MITAMBA napenda xana kazi hizii ,zmesukwa vizuri
@clementbankuwiha8877
6 жыл бұрын
mungu awabariki mno, nimekuwa nazisikiliza mpaka leo naendelea kukua zinaendelea kupenya ktk moyo.wangu GOD BLESED ALL
@johndeogratias8099
Жыл бұрын
Nadhani nilikuwa chini ya miaka 7 nikisikiliza nyimbo hizi, leo 3.april 2023 ni miaka 37 lakini bado nguvu ya Mungu imo katika nyimbo hizi. Nitarudi mwaka 2092 kuusikikiza tena hapa
@isacksamwel9488
2 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha miaka ya 1987 hadi 199I nikiwa Primary School. Nilikuwa napenda sana kuisikiliza kwaya hii kwa kutumia redio pendwa za kizamani a.k.a radio cassette. Ilikuwa raha sana.
@frankkinyaiya.8217
4 ай бұрын
Kumbe za miaka ya 80's huko, nilizani za miaka 90's
@faithwaeni3069
Жыл бұрын
Dad's favorite cassette
@davidimmael1300
3 жыл бұрын
Kwa kuunga unga hiv hiv mpaka tutaingia kwenye ufalme wa Mungu since childhood nasikililiza hizi ngoma kumbe Roho wa Mungu alikuwa ananifundisha bila kujua I understand God love us .......
@charlzmafaru7859
8 жыл бұрын
napenda sana hizi kwaya za zamani. .Mungu awabadiliki
@francoisen6755
7 жыл бұрын
charlz mafaru Mimi pia
@geshanutenga1320
5 жыл бұрын
Mungu awabariki sana waumbaji
@muhirwaernesto4154
3 жыл бұрын
Amen, Na Mimi piya
@chantalkibunga9195
2 жыл бұрын
Mubarike sana ,izi nyimbo ni Baraka wangu, laisse que mon Dieu vous bénisse abondamment
@henrychaula1174
3 жыл бұрын
So lovely ooh my Lord bless these birdsong like singers wherever they are live or dead.
@erickkayungu8185
3 жыл бұрын
Mostly of them arlead died
@kayitareeric7283
3 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani nasikiya wimbo huu na sasa naona vidio. Kutoka Kigali. God bless you
@mhojanghwagindimila9681
Жыл бұрын
Wabarikiwe waimbaji wote waliokuwa wakiimba katika kwaya hii
@williamkirway4620
3 жыл бұрын
Upendo wa kweli ni amri kuu aliyotuachia yesu,tukianza na wazazi,ndugu na jirani.mbarikiwe waimbaji kama ninyi Kwa mnavyotuonyea Kwa vitendo.
@luhinzojospin5774
7 жыл бұрын
nimekosa maneno ,mungu awazidichiye mara dufu .nawapenda
@adamrashid2410
2 жыл бұрын
Albam inaitwaje naomba jibu
@charlesmeijo2884
2 жыл бұрын
Hakika upendo tunda la roho
@elizabethrichard3349
6 жыл бұрын
Kwaya zilikuwaga zamani kwakweli
@calvinamon4125
2 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA SANA SANA
@amosmchiwa3762
7 жыл бұрын
jina la Bwana wetu Yesu lihimidiwe
@charlesmeijo2884
2 жыл бұрын
Upendo
@isaacemmanuel-v5w
3 ай бұрын
Amen
@benryan5622
3 жыл бұрын
Mapigano Unyankulu Kwaya Choir
@nancyombati6661
Жыл бұрын
Heard this song when I was ten years old,It made me memorize the fruits of the holy spirit up to now it's so fresh in my mind.God bless you so much for spreading the gospel of Christ.
@kpbuildtv9189
Жыл бұрын
namely
@rachellaizer941
3 жыл бұрын
Kwa kweli zinanikumbudha mbali zaidi sana npenda hizi nyimbo hasa
Kuna Albam ya Ulyankulu hadi leo ni mwaka wa 30 tangu niisikilize sijawahi kuisikia tena. Moja ya nyimbo ambazo zilinivutia sana kwenye Albamu hiyo ni Wimbo wa YERUSALEM MJI MWEMA .... na wimbo mwingine sijui unaitwaje ila moja ya maneno yake kwenye ubeti wa kwanza na kisha CHORUS yanaimbwa hivi: "Tazama Mungu alionesha pendo lake eeeeh ili sote tuokolewe. Hata akamtoa mwanawe wa pekee ili sote tuokoleweeee.... CHORUS Amwaminiye yeye hahukumiwi, asiyeamini amekwisha kuhukumiwa kwasababu hakuliamini jina la Mwana Pekee wa Mungu aliye mbinguni" Hiyo albam nilikuwa nikiisikiliza wakati huo ni mdogo nilikuwa naona mbinguni ni hapo kabisa. Kwakweli enzi hazirudi tena. Mwenye Nyimbo hizi tafadhali kama yupo nitafarijika sana..
@msc.ing.ericmpayimana9142
2 жыл бұрын
Hawa watu bado wapo jamani? Naweza kumwona hata mmoja? Barikiwe sana
@intergalacticbeing
Жыл бұрын
I sang this song while in a medical school 1993.I love it absolutely.soothes my sole.Sang by the Diguna AIC choir. I hope they did notbridged copyright
@Gidion-ht4ug
Жыл бұрын
❤❤
@restcharles1492
8 жыл бұрын
Napenda xana kazi hizi ,zmesukwa sawasawa
@juliusmganga-t4v
Жыл бұрын
Nani ana ule wimbo wa Heri aliyesamehewa wa Ulyankuru Mapigano
@collinkanza5558
8 жыл бұрын
Mungu awabariki zaid na zaid...huwa najisikia amani sana nikizisikiliza hizi nyimbo
@jonathankizindo2817
7 жыл бұрын
collin kanza. Hakika ni nzuri sana. old is gold
@amostuyisenge6495
Жыл бұрын
Bahati
@PeterMsambaa
7 ай бұрын
Nyimbo zenye uvuvio 😅
@muhizielisee8490
7 жыл бұрын
Mapigano Ulyankulu na Ulyankulu Barabaraba ya 13 nyote nawapenda
@juliuslangat6260
2 жыл бұрын
Asande I!!
@sethmwaigomole1091
3 жыл бұрын
safii kabisa
@masterhogh6535
Жыл бұрын
🎉
@aminamikidadi1542
2 жыл бұрын
Mbatikiwe
@derickjuma4251
4 ай бұрын
2024❤❤❤
@olaislukumay571
7 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni wabariki sana
@mwananyamalaz4427
Жыл бұрын
Amen God bless 🙏
@mariaezekieli4520
7 жыл бұрын
NAPENDA NYIMBO ZENU UNATUMBUSHA MBALI
@alembeasukulu9849
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤Muko wapi?
@bantukauky5408
3 жыл бұрын
Nimeokoka kupitia huduma za nyimbo zenu nimebarikiwa
@phanuelnkeshi4197
2 жыл бұрын
Napezanilbohiizi
@eatvnews8617
6 жыл бұрын
2018 february natazama, nani mwingine???
@childofgodthroughjesuschri3326
6 жыл бұрын
Eatv News naangalia na kusikiliza kila siku na leo 4/25/2018 nasikiliza na kuzifurahia
@camillakibara8543
3 жыл бұрын
2021 anyone?
@ezekielronoh4282
2 жыл бұрын
2022
@alexshukrani6875
7 жыл бұрын
Muriimba,kwagufia,kwakina
@magaramugaka3366
6 жыл бұрын
These are my best songs.Mungu awabariki sana na awashike mikono
@wonderboy8357
4 жыл бұрын
Barikiwa sana nakumbuka enzi zakale upako kwenu
@maishasebastian8285
5 жыл бұрын
amina Mungu awabariki
@janeeliason2705
6 жыл бұрын
Mungi ni mwema
@mesharkjames1629
2 жыл бұрын
Who's still watching in 2022?
@josephatmongare6674
Жыл бұрын
I love this choir, but I haven't heard of them for a long time ,are they there & active?
@brianokothogol1440
2 жыл бұрын
Love the solo guitar
@selemanihussein5073
4 жыл бұрын
God be with you
@gindulugendenga7500
6 жыл бұрын
nawapendaa saan
@stevemrope3935
5 жыл бұрын
safi sana nyimbo zenye upako wa Roho Mtakatifu
@EndrewNdabigeze-kh5fj
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@mugabeherman8285
2 жыл бұрын
Asante
@chenzhenlee7633
3 жыл бұрын
Nani anaweza kunisaidiya na ALBUM YA SISI NI BARUA tafadhali yeyote anayo Album hiyi aniwekeye au anitumiye kwenye what's app +25768348552
Пікірлер: 102