IPM ubarikiwe sana simama katika unayosema na Mungu atakuza huduma yako kwa kuhubiri Injili ya kweli
@ashurakodd1589
Ай бұрын
Mbona mnalipa hosipitali kuonana na madaktari na muda huko mgonjwa Yuko mahututi lakini uzunguke . Mpaka umalize proses ndio mgonjwa aingie.
@MathaKasambara
Ай бұрын
Umeongea point mtumish mungu akubariki akupe hekima zaid na zaid
@Alexismadimo
Ай бұрын
Nenda kapewe hogo uko na daktar Uyu jamaa bhana mempenda sana yuko very smart
@user-kn8pw7vk4e
Ай бұрын
Acha wapigwe raia kwa ujinga wao....sheeenzi kabisa.
@angeljoseph8103
Ай бұрын
Mchungaji upo vizuri yaani umenena sana Mungu akubarili sana masikini kama anapewa unaweza kusababisha afanye jambo litakalo mpa umasikini zaidi umeongeza watz tunapitia changamoto ndio sababu wafu wanakimbizana siokM tunapenda matatizo ndio chanzMungu atusaidie
@sabinaboas6760
Ай бұрын
Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu period na anafanya kazi ya Mungu sahihi
@lewismpangala927
Ай бұрын
Haya ndo yanachomwaga moto shobo nyingi
@ShabaniRashid-ln3tj
27 күн бұрын
Pole
@margaretlongway133
Ай бұрын
Daddy umeongea kwa hekima Sana. Hongera Sana! Ubarikiwe
@FrankMkome-df9bn
Ай бұрын
IPM mungu akubariki maana umeongea point za mhimu sana huu ndio uchungaji tunataka
@CatherineLukwesaLukwesa
Ай бұрын
Upo sahihi kabsa baba mung akubarik
@devissyprian1526
Ай бұрын
Ipm hujui biblia takwimu nilizofanya, biblia Inasema Bwana hasipoilinda nyumba yako hata ukeshapo unaLinda wafanya kaz bure, nchi bila Mungu hamna Aman police wenye we wanalindwa na Mungu. Kuwa makin wew jamaa
@naimasbuguza2395
Ай бұрын
mwangalie vzur mchungaj IPM utagundua ana SIJDA kwenye paji la uso, angalia picha zaidi ya moja utaona hivyo
@zouzouzoubaida1850
Ай бұрын
Na mimi nimeona 🥰🥰
@K-go1qj
Ай бұрын
Kaingia Ukristo bila kuacha uislam
@ShukranMwakyambo
Ай бұрын
😂😂😂😂
@aediayumgo8546
Ай бұрын
Maisha tena
@user-un2td1no5f
Ай бұрын
Sijda ni kusujudu sana mbele za Mungu hata wazee 24 mbinguni wanasujudu acheni nazaria mbaya
@rachelmuhehe7789
Ай бұрын
IPM ni msanii pia na asubiri tu siku yake #Wagalatia 6:7.
@PeterMahona-zd3oz
Ай бұрын
Selekali bgp sana. Namsilifungue nazumalidi mmemluhusu tena mkifunga funga kwelikweli mpaka vigezo namashaliti zakidini vizingatiwe
@twaibujuma5023
Ай бұрын
Watanzania tunapenda miujuza sanaaaa
@trophywilson7211
Ай бұрын
Sema Waafrica
@user-uv2zg4uc5o
Ай бұрын
Umejibu vizuri mchungaji
@joycekambuga6286
Ай бұрын
IPM ubarikiwe sana. Una hekima sana
@iddahravity9369
Ай бұрын
Mungu akutunze kwa hekima ya majibu mazuri
@godfreynoah6450
Ай бұрын
IPM umeongea Safi sana MUNGU akubariki
@khalsasalim7930
Ай бұрын
Huyu jamaa ni muislam kabisa na anaswali huko alipo anatafuta tuu pesa😂
@alsam4881
Ай бұрын
Tena ana sijda kabisa.
@MahmoudJaffar-mt1qr
4 күн бұрын
kwa nini haya mambo yanakuwa kwenye ukristo kwenue uislamu haya mambo hatuyaoni
@geraideslaurent3010
Ай бұрын
Uyu mtumishi ni Tapeli sana akunaga mtumishi wa ivo anaetoza watu hela kiasi icho mwizi mkubwa serikali imefanya vizuri sana.
@ThedoNdunguru
Ай бұрын
Sasa alipie hapo kuna huduma gani?na nyie watangazaji mmeona hiyo ndo deal?
@user-bl6yh6qn2h
Ай бұрын
Mungu akubariki sana mkuu umeongea vizuri sana ni kweli kuonana na watu binafs ni maamuz ya mtu sio serekali kuchukuwa hatua ya kumfungia huduma mtumishi kiboko ya uchawi sio hekima
Ipm kafanya interview nzr sana ila nawasihi watumishi acheni maigizo kanisani
@user-wi8og3sv4j
Ай бұрын
Imp eliya alivyowaua manabii zaid ya hamsini kwani mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
@Jassmin-media-official
Ай бұрын
Huyu nae kumuona lazima utope pesa kkkkkkk mimi alinambia laki 6
@user-yv7sw7zb1f
Ай бұрын
Achaujinga weww mchungaji Gani weww kwanza nenda kwenye kweli na khaki acha kukwepesha mamabo hakunaga kitu kama icho kwa mungu !!! Uchungaji ni wito uyo jamaa tapeli
@khadijahamisi5561
Ай бұрын
Alikutapeli nn mbona mnaenda hospital mnatoa pesa namgonjwa anakufa mnaendaga kudai wapi nahao walaki 5 wanajipeleka wenyew kwan wanaitaga watu ampend mtu wakuja nyie mlioko dar mmezaliwa dar ushamba nanjaa mbaya pumbavu zenu mwachen afanye kaz
@bakarikayugwa3295
Ай бұрын
Mi niliweke sawa kidogo kwa kile nilicho kiona kua sio kila mtu analipishwa huduma ya maombezi kuna ya bure na ya pesa
@angeljoseph8103
Ай бұрын
Umesema kweli mchungaji
@sabinaboas6760
Ай бұрын
Acheni wivu na uzushi na ubaguzi,yeye ni mtumishi wa Mungu,sio tapeli sadaka ni lazima hata kwa waganga mnatoa zaidi ya laki tano,sadaka yoyote inatolewa huo ni ubaguzi tu wamemuonea kiboko ya uchawi fungueni kanisa tukasali
@user-qv4wh2pb1d
Ай бұрын
Ulitapeliwa kwa kutaka wewe kwani hujalazimishwa
@sizyathom-qq5cx
Ай бұрын
Kweli😊
@James-y3j2v
Ай бұрын
Tanzania nchi ya wahuni Ukitaka kuwa Tajiri funguwa kanisa tu
@Namaize-lc8sh
Ай бұрын
Aende kwao alaaaa,,,,
@NdeshaPaul-uz9bw
Ай бұрын
Mchungaji anatakiws kutoa huduma bola malipo. Kusema kuwa malipo makubwa yanazuia wingi wa watu wanaotaka huduma. Ikiwa eatu ni wengi bora uwahudumie wale utakaoweza au kuwe na ratiba ili wale ambao wameshapata wasirudie ili wengine wapate huduma.
@sabinaboas6760
Ай бұрын
Vinafanya kazi acha kupindisha maneno vifaa vya kiroho vinahusika vinaombewa kupitia jina la Yesu,ndio maana tanzania aiendelei sababu ya uchawi na roho mbaya,acheni kumsema kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu km wewe ,wewe utoke na ufahamu wako mdogo
@IsaackPaulo
Ай бұрын
Tumwachie Mungu
@begukulemosobe9685
Ай бұрын
Na yeye kumuona sh ngapi? Ungemuuliza, halafu wacongo wamekuwa wengi sana na uchawi wao mwingi, warudi makwao hao
@sabinaboas6760
Ай бұрын
Utulivu wa nini wakati wamemuonea mtumishi wa Mungu,acheni kuingilia kazi ya Mungu,vifaa vya kiroho vinalipiwa kubitengeneza,kiboko ya wachawi ni original sio feki ni mtumishi wa Mungu natumia vifaa vya kiroho vinafanyakazi kupitia maombi ya mtumishi wa Mungu,acheni maneno ya unafiki hasa watanzania uchawi umezidi,kiboko ya wachawi yuko sawasawa,uwezi kuwapangia watumishi wa Mungu nini cha kufundisha,kasome biblia wewe mtangazaji,yes lazima mchawi afe kama neno la Mungu lisemavyo,acheni uswahili hapa
@sabinaboas6760
Ай бұрын
Hata kwenye biblia kunavifaa vya kiroho vimetumika mafuta,leso,fimbo ya musa,chumvi na kadhalika
@rechokusilimka5739
3 күн бұрын
Wote ni walewale wasaka tonge
@ashurakodd1589
Ай бұрын
Unasema tu napenda miujiza mbona usemi wachawi na wanafiki
@JosefuSwai
Ай бұрын
Mbona maneno kama haya ata mzee kakobe aluwahi kuzushiwa maneno kama haya sio geni
@victorieusefulano3130
Ай бұрын
Aka ka journaliste ni kachawi utakuja kujuta.na hayo m
@alsam4881
Ай бұрын
Na kwanini mnalazimisha watu watoe Sadaka? Kwani kutowa Sadaki siyo hiyari ya mtu? na hadi mnampangia mtu kiwango cha kutowa sadaka, Yaani kuna baadhi ya watu masikini wanajinyima wao ili watowe sadaka kwa ajili ya kuwatajirisha wachungaji na kuishi majumba ya kifahari na magari ya kifahari. Angalieni hakuna mchungaji hata mmoja masikini, hadi kuna baadhi ya wasanii wanaingia kwenye uchungaji ili wajitajirishe.
@JosephDamasimushy
Ай бұрын
Fact
@user-xb1sr3ib5z
Ай бұрын
IPM leo ndo siku ya kwanza kukusikiliza nimejiridhisha kuwa ni mchungaj uliyeenda shule, na nafsi yako haiwezi kumwongopea muumini kwa maslah yako.....((mtu anaumwa malaria aombewe kwa jina la yesu) Yaan ukombozi wa fikra unahitajika. Nimekuelewa ntakuja kanisani kwako.
@K-go1qj
Ай бұрын
Hata yeye inatakiwa afungiwe wasimuonee kiboko pekee
@justineswai5885
Ай бұрын
Ipm Leo nimekuelewa
@lizzyevoh8139
Ай бұрын
namuona kabsa Ipm kuna saa anabanwa na kicheko ila anajizuia🤣🤣🤣
@zakariaathman9019
Ай бұрын
Huyu jamaa anaswali angalia ana sijda alama ya wafuasi ya mtume
@gosbertmuta5421
Ай бұрын
IPM 😂😂😂😂😂😂😂chinjachinja injili yako IPM mungu wako kiboko mm bnafc hapana siitaki injili yako
Mimi naomba kuuliza,baazi za ospitali kumuona dctor ni hela,jee yeye anachaji hela sawa,jee amekupigia sim uendr kanisa lake?jee amekupora?jee makanisa mengine,uyaoni,jee umesahau msemo wa mjini shule,nyinyi mmependa kumpa riziki yake mpeni ,angewapora kweli,mtu umeenda mwenyewe,ata ukiumwa ukipewa dawa kuna mawili,upone au usipone,
@barackbrysonramsey
Ай бұрын
Hosptal kule watu wamesomea ile ni taaluma. Todautisha uponyaji na tiba. Hosptal zinatoa huduba ya kimatibabu unatibiwa kutegemea na kile kilichokuleta.
@zanzibamjimpya17
Ай бұрын
wewe naye kwenye kundi la watapeli na wewe umo selkari imeona na kuchukua hatua wewe unaleta ujinga tena mtu mwenyewe siyo mtanzania akafanyie kwao utapeli
@evamsuya8869
Ай бұрын
Uko sahihi aisha
@shabanimbega40
Ай бұрын
Huyo anakudanganya ni muislam hajui lolote la ukristu. Serikali unataka ianze na yeye kwanza ijue alimjue vipi yule mcongo
@IsaackPaulo
Ай бұрын
Makanisa yooote yanaendesjwa kwa pesa za waumini huyo kiboko ya wachawi wamemwomea wivu TU kwani aliowasaidia ni wangapi?
@user-jl5un4wf3u
Ай бұрын
waumini hawalazimishi serikali iruhusumauaji yaraia wake ovyo kwa ajili yaramuli hao niwapigaramuli tu huyobwana aendekwao akafanye hayo huko.
@user-yj5es1jw8c
Ай бұрын
Huyu jamaa anatetea zambi itakuwa mwenzao
@happymrema7487
Ай бұрын
Huyu nae ni mtambik mizim sem anatumia biblia
@mg-lion.2782
Ай бұрын
INAMAANA MCHUNGAJI NDIYE ANAYE PANGILIA PESA AMBAZO WAUMINI WANASTAILI KUTOWA KAMA SADAKA AO NIIYARI YA MTU BINASFI ?
@newlightmoviesproduction3598
Ай бұрын
Huyo unae muliza yupo sawa?? Amefukuzwa kwa sababu ni mkongo tu wakongo tumeshukizwa sana.
@muksinimbaruku1233
Ай бұрын
Yule msenge mwenzio, fatilia mahubiri yake hana ata hekima. Anatamka neno chupi kwamba eti ata kama chupi inaonekana siwez kukwmbia
@user-yj5es1jw8c
Ай бұрын
Anakwepesha
@user-pu6pr5jt4n
Ай бұрын
WACHUNGAJI NI WENGI SANA DAR UTAPELI NI MWINGI WAJINGA NDO WALIWALO UKRISTO NI DINI YA BIASHARA😂😂😂 IPM HUKO AMEKUJA KULA PESA LKN HYU ANASALI SALA 5 MWISLAM OG😂😂😂😂
@user-zx4zr3hc7y
Ай бұрын
Unatumia busara kujibu kujibu maswali
@K-go1qj
Ай бұрын
Yeye mwenyewe anafundisha kinyume na Ukristo mambo ya kafara za kuchinja,kuuza vitu haramu sigara pombe kuponda sadaka kiduchu utadhani Mungu ana shida na sadaka zako. Hata ye nae ni kibaka wa injili kama wenzake
@happymrema7487
Ай бұрын
Watumish weng wanachinja san ila wanatudangany sisi tutor sadak wakat wao wanaabud vitu tofaut huyu yupo Waz hakun cha mung akil kichwan mwak
@K-go1qj
Ай бұрын
@@happymrema7487 kufanikiwa ni kanuni na sio huo ushirikina hao ni washirikina waliojifichia makanisani
@Davidmungongo-h7z
Ай бұрын
Mbona kuonana na wew unatakiwa utoe laki moja kama huna laki uwezi kukuona,nilikuja apo ili nikuone nikaambiwa mpk nitoe laki na ukiangalia sina kazi na nnachangamoto nyingi za kimaisha,kwa hiyo watu wasio na kipato kuonana na wew ni ngumu
@joshuaaizack6973
Ай бұрын
sikuwepo ila saizi nipo, sasa wewe ulitaka kuniona iliniweje an m mwenyewe ninashida zangu , mwombe Mungu wako akuponye m mwenyewe huwa namwomba Mungu
@SeifJuma-yt1pk
Ай бұрын
Umenena
@user-vg5tz8nd6q
Ай бұрын
Ni mtapeli alinitapeli milioni tano na laki tano na ushaidi ninao.
@K-go1qj
Ай бұрын
Pumbavu kabisa maandiko uyajui mwenyewe Maandiko ndio kila kitu na sio hawa vibaka wa Imani
@prosperitymaarifa3324
Ай бұрын
si umempelekea mwenyewe kama huna imani yeye angefanyaje..kiherehere chako
@user-vg5tz8nd6q
Ай бұрын
Read 1 john 3.24 verse 4 ndio utajua maana yake
@shabanimbega40
Ай бұрын
Huyo nae ni muislam Na muangalie kwenye paji la USO naye ni tapeli
@uwezotv5302
Ай бұрын
We nae point yako Haina mshiko Kwan mkristo hawez badili din kua muislamu na akawa kiongoz wa dini .... Em tafakar kabla hujaongea cyo unaongea kujaza comment tu mlad na wew umechangia pumba tu
@prosperitymaarifa3324
Ай бұрын
Huyo mzee wa makafara.anajua nini kuhusu ukristo.arudi zake uislamu tu hana cha kutuambia
Пікірлер: 110