Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
@victorombay6625
7 сағат бұрын
Very good Pastor. Ubarikiwe Pastor
@Rashid-vm1fk
2 күн бұрын
Umesema kweli Rev: Hananja
@henryj3304
3 күн бұрын
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
@privaushaki7395
3 күн бұрын
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
@amosmwangela1878
4 күн бұрын
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
@abdallahmmary8591
4 күн бұрын
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu. Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
@neemakalugila7674
Күн бұрын
May the Living God bless you abundantly Pastor, from Holland 🇳🇱
@aliabdallah8456
3 күн бұрын
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
@Fred-Ma
5 күн бұрын
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
@zamalisaide3209
4 күн бұрын
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
@NkindaOnen
5 күн бұрын
Hananja professional Bible study
@WilsonEmmanuel-bs6op
4 күн бұрын
Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia
@ShukraniChomolla
4 күн бұрын
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
5 күн бұрын
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
@mbalilax162
5 күн бұрын
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
@modernmwamtobe-lq8rg
4 күн бұрын
Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.
@EzekiaMtwale
3 күн бұрын
dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!
@tinertv1382
3 күн бұрын
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
@gastonmbarila9458
4 күн бұрын
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
@samuelbahati7976
2 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana
@costantinemgalle1910
5 күн бұрын
Nakukubali mchungaji!
@hildalyatuu2710
5 күн бұрын
Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.
@Mlokoz_twangalatwz
3 күн бұрын
Safi kabisa mchungaji
@user-jc1do5gf3w
4 күн бұрын
Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana
@RichVoicetz-z9r
3 сағат бұрын
Ila kweri serikali Ione hili jamanii utaperi umezidi watu wanadanganywa kweupeeeeee na wanachekelea tu
@CalistaMartin-v7m
4 күн бұрын
Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii
@VascoJohn-rp1uc
Күн бұрын
Facts pastor
@eliasilwimba187
3 күн бұрын
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.
@user-gn7xd1yg3t
5 күн бұрын
Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe
@BENARDMASHAIJA
Сағат бұрын
Hakika Mungu akutunze❤ unaongea ukweli
@nantaembanusurupia5674
3 күн бұрын
Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi
@jotafungo4622
Күн бұрын
Huyu mch 😂😂😂
@eliasilwimba187
3 күн бұрын
Tz raia wengi ni vilaza jamani.
@christianmwasakogo5579
4 күн бұрын
😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12
@josephatdeos1792
4 күн бұрын
Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji
@rweumbizalugaimukamu4905
5 күн бұрын
Wewe ni Mchungaji wa kweli
@paulojohn5504
3 күн бұрын
Ubarikiwe mtu ws mungu sana
@andrewkaswagula3367
3 күн бұрын
Kama Manyumbu 😂😂😂😂
@tinertv1382
3 күн бұрын
Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
@karimmveyange280
4 күн бұрын
HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI. VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI
@user-vb7tu5zs9d
3 күн бұрын
Wapotosha watu acha waambiwe ukweli
@milliardere9177
3 күн бұрын
😂😂😂😂 hela weka kichwani
@CalistaMartin-v7m
4 күн бұрын
😢😢
@RamondLema-po6py
4 күн бұрын
TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO
@LazaroHaule-tr5cl
3 күн бұрын
Kula chuma hicho
@HABIBHASSAN-wf5mr
4 күн бұрын
TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI
@kanyeshahigirimana5686
4 күн бұрын
Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe
@martinmkoba361
3 күн бұрын
Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??
@jamesmwandu9295
3 күн бұрын
Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote
@user-pj3cb5ht4b
4 күн бұрын
😂😂😂 wewe unaongeya san
@einothlekaaya
4 күн бұрын
Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili? Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea
@HelbethMlelwa
4 күн бұрын
Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa
@ROBERTMAXIMILIAN
4 күн бұрын
Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana
@healingsschool4630
4 күн бұрын
LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.
@jamesmwandu9295
3 күн бұрын
Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??
@dicksonmsuva4880
2 күн бұрын
Zero brain
@tinertv1382
3 күн бұрын
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
Пікірлер: 68