Papa tuna omba utufunze deeper kwenye somo hii, ita tu saidiya sana zaidi ya sana. MUNGU akubariki
@AzAz-sy6zp
5 ай бұрын
Ubarikiwe san mtumishi
@samwelimwanja4105
7 ай бұрын
Karne hii tuliyonayo watu wako bize sana na mambo mengi ndio maana mtu kukaa sehemu moja kwa mda mrefu ni changamoto kidogo.
@harrisonkazimoto3781
4 ай бұрын
Mm binafsi napenda video ndefu mtumishi napenda sana mafundisho yako.
@paulzawadi7192
6 ай бұрын
Shalom mzee. Mungu akubariki Na atusaidiye katika swala hili la maombi. Tafadhali, utume link ya video kwenye umefundisha strategy ya kwanza
@Jane-tn5qq
5 ай бұрын
Amen amen amen
@samwelimwanja4105
7 ай бұрын
Mtumishi mimi nashauri kuhusu urefu wa video, ungefanya hivii, unaiweka ndefu halafu Ikipita siku mbili tatu mbele ikatekate Baadhi ya vipande vya mhimu zaidi viweke vikiwa na dkk chache chache
@JoelleChirhalabwa
3 ай бұрын
Amen
@Rashid-vm1fk
7 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Bwana Langi Stany Kwa mafundisho yako ya saa ubarikiwe sana
@reginasmateka9605
6 ай бұрын
Amen Amen Mtumishi 🙏 Mungu Akubariki
@OmAn-jw4jt
6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi natamani ufundishe tena hilo somo tafadhali
@hildandeda3348
6 ай бұрын
Prayer is key 🙌🙌
@sarahmdindile4301
6 ай бұрын
Kweli Kuna mtu pia alinishuhudia kwamba mda wa maombi ni Saa 3 na sa6 na Sa 9 tena ikitokea ukaomba mfululizo kuanzia Saa 3: Hadi Saa 9 lazima uone muujiza waziwazi
@harrisonkazimoto3781
4 ай бұрын
Sijawahi kusikia hii tangu nimeokoka 2001
@harrisonkazimoto3781
4 ай бұрын
Yan ingekua inaruhusiwa ku-like mara nyingi basi ninge-like mara nyingi kadri niwezavyo kwa jinsi ninavyobarikiwa na hili somo.
@Visionofeagle9689
6 ай бұрын
Amina Amina 🙏✊
@Choleta_Charles
7 ай бұрын
Nipate kitu aisee, MUNGU akubariki sna
@Choleta_Charles
7 ай бұрын
Asante sn Mtumishi wa MUNGU
@janenasambu6306
6 ай бұрын
Aman
@oscarkalihamwe1621
6 ай бұрын
Amina
@harrisonkazimoto3781
4 ай бұрын
Hua nayaonaona haya masaa nisomapo biblia lkn sikujua kama kuna umuhimu wa kuzingatia mda kwenye maombi.
@Rashid-vm1fk
7 ай бұрын
Ila mimi maoni yangu kuhusu kufundisha somo refu ni nzuri maana unafafanua vizuri,hao wanaona uchovu ukiona uchovu sitopisha kwanza halafu ukemee wakati mwingine ni nguvu za giza
@JoelleChirhalabwa
3 ай бұрын
Tumebarikiwa 21:10
@vianneymukama6396
5 ай бұрын
Hiyo video ya strategy ya kujibiwa maombi kwa haraka inaitwaje?
@paulzawadi7192
6 ай бұрын
Ça c'est une science céleste qui nécessite plus d'explications. Usiogope MDA, fafanua aya mambo
@Visionofeagle9689
6 ай бұрын
Video ndefu ni bora zaidi kabisa.
@LoFi_120
7 ай бұрын
Mtumishi kuhusu video kuwa ndefu umesema kweli, kwa upande wangu nina jikuta mvivu kumaliza au ku view kabisa😅 video ya saa moja na zaidi. Maoni yangu ni kwamba kama umerekodi video ndefu, una weza kuweka katika PART 1&2... Nakuendelea kwa muda mchache wa dakika 30 au chini ya hapo. Anyways somo la leo ni zuri Mungu wetu wa mbinguni alibaliki kwa jina la YESU Amen 🙏❤️.
@oscarkalihamwe1621
6 ай бұрын
Simba na Aliahaly dakika 45 tena mtu hutamanii zaidi ya hapo lakini jambo la Mungu unahitaji 15 minutes we must be care
@LoFi_120
6 ай бұрын
@@oscarkalihamwe1621 i don't watch football. Hii sio tu kwa video za injili hata kwa video nyingine za humu youtube ni vile vile. Inatokea kwenye akili/brain on how interested you are to the topic, mtumishi sio kweli kama kila video ya kikristo inayotokea kwenye recommendation zako huwa una view zote sio kweli hasa mahubili maana ndio huwa marefu. Bwana atusaidie, Uwe na Amani ya Bwana Mtumishi nakuombea 🙏❤️.
Пікірлер: 33