Mbunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka ameiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayo ongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwaunga mkono wananchi wa wilaya ya Chunya katika ujenzi wa uwanja wa Michezo kwani uwanja huo utaongeza mzunguko wa fedha kwa wananchi wa wilaya ya Chunya na hatimaye kujipatia kipato kuanzia mto mmoja na hatimaye Taifa kwa ujumla
Wananchi wa wilaya ya Chunya wako katika ujenzi wa uwanja wa michezo kwa michango yao huku Halmashauri kupitia mapato ya Ndani nayo ikiendelea kuchangia kulingana na upatikanaji wa fedha
Негізгі бет MASACHE AIOMBA SERIKALI KUWAUNGA MKONO WANANCHI WA CHUNYA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO
Пікірлер