😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
@ferarunm7455
2 жыл бұрын
Hhhhhhh umenisoma somo
@elizabethmwash5117
2 жыл бұрын
Da! me nimewahi liwa jaman
@emanuelbrysonshauritv.1638
4 жыл бұрын
Big up bro kazi nzuri
@jacksonsaid237
2 жыл бұрын
Imetisha pasta
@zackrichard3617
2 жыл бұрын
Imenipata hii leo ... Nilivomwambia aache utapeli jamaa kanitukana bonge la mtusi.
@jacksonsaid237
2 жыл бұрын
Imetisha mwanawane
@jacksonsaid237
2 жыл бұрын
Nakuelewa Sana masanja by Evangelist Jackson msukuma god bless you
@stevenkambeytz2459
4 жыл бұрын
Hivi inamaana hawajakufahamu kabisa kua wew ni Masanja mujanjaa
@Isack_Leo
4 жыл бұрын
Ila umeyasumbua unaweza kukuta yanacheki hii video yako Jinga sana!😂😂😂😂😂
@dasilvajunior3016
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@kipinguextra3940
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@ditrickkomba9173
4 жыл бұрын
Kazi kaz
@Mariaclala536
4 жыл бұрын
😀😀😀 aisee
@imaculatadominic7005
4 жыл бұрын
kutapeli hajafanikiwa na kumsumbua umemsumbua vya kutosha safiiiiiii
@marcondokeji8982
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Naona Roho Mtakatifu alimgusa yule mwingine yule konkodi akakutambua.
@shaddybmc8342
3 жыл бұрын
Saf sana masanja. Mchungaj wa mfano. Inabid wachungaj waelimishe jamii kwa vitu kama hiv
@seifzongo320
4 жыл бұрын
😃😃😃😃 walinipgia nkawambia sijapata mesej wakaniuliza salio lako kias gan,nkawauliza nyie customer care na hamjui salio langu shwain kabisa yakakata sim
@beautfultanzania2596
4 жыл бұрын
Una mwandiko mbaya model angu😀😀😀
@naomijohn1273
4 жыл бұрын
Hahahaha uwiiii jaman nmecheka Leo na masanja Mimi
@Deumandelamatty
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 Wameshituka wenyewe
@manasemwakilasa5931
4 жыл бұрын
Mashenz Sana kunasiku kidogo wanipige
@ibrahimlameckministry1867
3 жыл бұрын
Good
@alphoncenaalphonce1667
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 masaka,hahahaha uwiiiii
@saidasimba9979
4 жыл бұрын
Harafu iyo namba ya mataka inatumika sana kutuma SMS izo za wiz
@gauedwin1960
4 жыл бұрын
🙆🙆🙆 cornmen hawana adabu,daah wanataka kuimbia hata mchungaji..hata majina hawana eti fatma matakataka😂😂😂
@rosedaniel9210
4 жыл бұрын
Ahahah nomaa
@dumamnyama5131
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣haki ya mungu jaman khaaaaa kazi inainaendelea
@petrokomba1221
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Broo mtesaji
@johnvascogodfrey7070
4 жыл бұрын
Hata Mimi walishanipigia hao hahahahhaaha
@gervaskasala7321
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mamae zao wameumbukaa hapo,nimekutana nao Sana ukiwajua ukawatukana aise wanatukana
@jacksonmalolage9476
4 жыл бұрын
Daaaah juzi wamenipigia nkawapa vitu vya moto 😁😁
@user-dc6yr4vq7y
11 ай бұрын
Jmn kweli😢😢😢
@profnditu1106
2 жыл бұрын
Ha ha ha ha mecheka sana
@iddysimba9723
2 жыл бұрын
YAAN HAO NI WEZI
@husseinlatifa1443
4 жыл бұрын
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
@charlesmkombozi9522
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@petermanala6138
3 ай бұрын
Watakuganda hao
@marcondokeji8982
4 жыл бұрын
Kwa kweli umeyaumbua Sana
@yohanasainajoise8962
Жыл бұрын
Daah me Juzi wamenitapeli laki 5 na 80 ctokaa kusahau
@ashuramyonga90
4 жыл бұрын
😁😁😁nawalivo serious kama kwel vle, hii naamini cos namm waliwah nifanyia hvoo daah nikashtukia af wanakwambia usikate simu ad ufike kwawakala😂😂😂
@husseinlatifa1443
4 жыл бұрын
🤣🤣
@petermanala6138
3 ай бұрын
😂😂😂😂alafu wanasaut za utulivu
@simonamon5271
3 жыл бұрын
Daaah jamani masanja umenishinda Tabia.😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@raymondrichard4622
4 жыл бұрын
Kazi ina endelea hahahahaaaaaa,
@starickshaba6368
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 hela ya sadaka
@joycekambuga6286
9 ай бұрын
Matapeli watafika mbinguni wamechoka sana
@lulanjamd3886
Жыл бұрын
Mara nyingi huwa wanapigwa wanawake tu dah 😀
@Isack_Leo
4 жыл бұрын
Ngoja waendelee na watu wengine!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacksonmalolage9476
4 жыл бұрын
Et wao kaz yao ni kulima watu😁😁
@djcalvin6320
4 жыл бұрын
Kama taka taka hivi 😂😂😂😂😂
@catherinemhagama7505
5 ай бұрын
Umenichekesha Sana
@afandechanel1507
4 жыл бұрын
Una haribu biashara ya 2 😀😀😀😀😀😇
@veronicaerasto7249
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 et kama takataka masanja bhn unafurahisha
@christophermgoli1236
4 жыл бұрын
Wamekutana na mtumishi mapepo yanawatoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@christianchando7041
3 жыл бұрын
Ina maana huyo tapeli anashindwa kutambua sauti ya Masanja?
@elisycharles6947
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiii jaman du
@thomasamosmaick248
4 жыл бұрын
Hao wezi kwel ila Mimi nalaum selikal
@user-fx5mo7zq8s
11 ай бұрын
Mungu anawaona waizi awa mangaidi
@abdullaothman3772
2 жыл бұрын
😀😀😀Hawa matapeli wanahic watu wote ni walemavu wa akili
@helgerthadeus1139
4 жыл бұрын
😲😲😲
@fashamumwi2415
4 жыл бұрын
Masanja unatuzinguaa
@ericwonder2449
Жыл бұрын
😁😁😁😁!!! Yaaani Masanja Masaka au Mataka.
@edwardmkwelele
4 жыл бұрын
Noo mpeleke polisi
@lazarobituro8644
4 жыл бұрын
Eti kazi inaendelea 😂😂
@simonamon5271
3 жыл бұрын
HAPO wanaamini pesaa imeingia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sanifhesro2169
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 wamepatikana ase
@jomba6514
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@anthonitemba1519
4 жыл бұрын
Uyo tapeli baada yakundua anae mtapeli amemalizia kwa busara mi niliambulia kutukanwa matusi ya kutosha kisa niliwashtukia michezo wao
@user-dc6yr4vq7y
11 ай бұрын
😂😂😂kazi wanayo
@teddyndungurusabnu4792
4 жыл бұрын
Jamani nimecheka masanja weee siku niliwasumbua walivyogundua kua nimewashitukia walinitukana😂😂
@aizackcheche8830
2 жыл бұрын
Apo umemuweza
@daudimathias4566
4 жыл бұрын
😄
@hustlerchembes786
2 ай бұрын
Kaka SASA SELIKARI INAFANYA NN WAKATI SAUTU IMEFAAMIKA NA NAMBA WATAKAZOTOLEA
@franceslenis4512
4 жыл бұрын
Huyo mbuzi anaacha kufanya kazi
@jescadaniel4716
4 жыл бұрын
Et kazi inaendelea
@boscofelix4004
4 жыл бұрын
Ngoja tuendelee na wengine.....
@ilhamjulioo9655
2 жыл бұрын
Hata mm huyu mataka alitakaga kunitapeli mpaka akanipigia cm nawapendaa hawa watu yani hawajui kama ujui 😂
@benjaminagaack3535
4 жыл бұрын
Hahahaa walimuibiaga mwanangu ngoshaa,,,,, hahahAAz hawa majamaa wajanja sana
@veroslaa1041
Жыл бұрын
Hahahahaha duuuuuu jamani
@burundisgottalent2184
4 жыл бұрын
Eti kama unalima mpunga, mi nalima watu😂
@godfreyathumani9912
4 жыл бұрын
Hao wehu ata mimi ninazo record zao walivyo taka kunipiga
@agnesslyatuu8026
4 жыл бұрын
Yaani Mtumishi umenichekesha nakupendaga saaana .
@catherinemhagama7505
5 ай бұрын
Mimi Ni mtu mzima Sana lakini wananituma niwatukane
@happinessmuhanza2005
4 жыл бұрын
Jana tu yamefanya huo ujinga tumeyasumbua yametumia vocha yakutosha yalotutukana htr
Пікірлер: 228