MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana nyote
@johnmalley4887
Ай бұрын
Super sana, Mungu awabariki na awazidishie mlipopungukiwa💚💛
@salmoncelestine6840
Ай бұрын
Napenda sana vijana wanaopambana,,,Mpenja keep working - nakupenda sana,,ulinifanya niachane na mpira wa ulaya. Unavyoanzaga ,,Asalam aleykum Tanzania,, Asalam aleykum Dar es salaam.Mushumbusi, Bukoba.
@SephaniaPaul
Ай бұрын
Mpelekeni na fighter mzinga namkubali xana for me kuliko mpenja
@chandeyusufu9570
Ай бұрын
Safi sana washabiki wa yanga mnamoyo wa kiungwana❤
@sofiagao6396
26 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚..saf.sana
@user-kp7em6zt1g
Ай бұрын
Mpenja tunakupenda sana 💚💛💛💛💛💚💛💛💛
@RamadhanHaruna
Ай бұрын
Chekecha Safi sana mnafanya kazi nzuli bigap
@augustinomkongwa5444
Ай бұрын
Huyu white mapesa ametishaaaa 🎉🎉🎉🎉
@mwajumampokileomckapela7541
Ай бұрын
Safi Sana wananchiiiiiii 💛💚💚
@MuminMuminamduni-hx4pk
Ай бұрын
Yanga noma
@NaomiInsha
Ай бұрын
Hongeren
@nicksonngogo7904
Ай бұрын
❤🎉
@JuhudiJotham
Ай бұрын
Wananchi mko vzr mno
@dullamuso6955
Ай бұрын
Jambo Jema Sana Wananchi
@aishaaliothman7180
Ай бұрын
Jaman jei kishai yupo wp
@JUU-lw2je
Ай бұрын
Mpelekeeni mzinga aisee mpenja hapana
@JUU-lw2je
Ай бұрын
Mpelekeeni mzinga mayai mpenja hapana
@user-js4bu1jp7n
Ай бұрын
Akitangaza dabi tukifugwa unyamaze kimyaaaa
@josephlorri431
Ай бұрын
Sauti ya radi,mwamba wa umalila
@user-ic8oj1fy7q
Ай бұрын
Hahaha 😆 😂 😆 kumbe wa Umalila??? Wa umalila wafupi huyu mbona mrefu?
@IssaMalenge
Ай бұрын
Mpenja atangazemechi yasiku yamwananchi
@EssauGabriel-fy8pu
Ай бұрын
Hpao aliependeza ni mmoja tu alievaa njano wengime hao timu yao haijulikani
@user-et4ny5gj3p
Ай бұрын
Angalia nembo
@ewaldambrose6136
Ай бұрын
Rangi nyeupe simbaaaa
@carrenbenson2111
Ай бұрын
Rangi nyeupe ya mungu. , yeyote ana haki ya kuvaa
@kizeiyasefu2306
Ай бұрын
Ndowashavaa ww naroho yako angalizo msipate kisukali tu
@ewaldambrose6136
Ай бұрын
Mmechemsha jezi
@HurumaEllfura
Ай бұрын
Katoe nazakwako tuzione kama rahisi
@Silay1034
Ай бұрын
@@HurumaEllfurasanda fc unajifarji hata aibu Huna unasifia kuvaa sanda tuseme tu ukweli jezi nzuri tatizo ni Hilo neno sanda ndo limetibua Kila kitu
Пікірлер: 34