Masoud age 60 plus in good health, mind and spirit
@napster2558
Ай бұрын
50s bhna😂
@SuleAmber-lw2tx
Ай бұрын
Crown Media naona kbs Alikiba anataka awadhihirishie waBongo kwamba pesa haina makelele
@user-qo5it1uc9m
Ай бұрын
Nimekubali kiba mnyamwez sana
@Legends_Interviews
Ай бұрын
Asante
@saidimwanyiro5147
Ай бұрын
Mwenye clouds ndio mwenye crown na ndio mwenye wasafi km ulikuwa hujui
@SalumSaidy-ir3wl
Ай бұрын
Usiseme ndio mwenyew wasafi sema pia anahisa wasafi kila mtu kaweka pesa yake pale
@stevencharles-di9yc
Ай бұрын
safi sanana
@mkabengafamily
Ай бұрын
Nakubali kp
@andrewkilave3532
Ай бұрын
point kubwa
@j4gtechsolution809
Ай бұрын
Tengeneza mazingira ya kupata fedha nyingi pale ulipo ,
@paulalphonce5848
Ай бұрын
Moja ya point kubwa sana ameongea Masoud.
@ramamabrok2523
Ай бұрын
😳👑🏆
@jackmabirangacharles9398
Ай бұрын
Hapo kwenye Kampuni ya kutengeneza Magari Hilo neno Bora Ungeliacha Maana nakumbuka mpaka Bunge lilipewa hiyo taarifa kwamba wewe huna Kampuni ya kutengeneza Magari na Mbaya zaidi wakawa wanalalamika kwamba hata Mgeni wa Heshima Waziri Mkuu mlimlisha matango pori hakuna Kiwanda Cha Magari
@Legends_Interviews
Ай бұрын
😅😅😅😅
@jessebiseko330
Ай бұрын
Kafungue wewe basi, watu wengine bana. Hizi ngozi nyeusi laana tupu. Kwanini usifurahie mafanikio ya mwenzako na kumtia moyo badala yake unakua wa kwanza kuleta negatives. Ndo maana watanzania tunaonekana watu wa hovyo mno huko duniani. We endelea kuweka negatives mwenzako ndoto zake zinaenda kutimia.
@cyliruta5021
Ай бұрын
@@jessebiseko330roho mbaya zinatusumbua yaani sijui ni nini aiseee😢
@yassinuddi
Ай бұрын
This Burning Hatred ya kiasi hiki ni hatari sana. Mwenyezi Mungu akanusuru akuondole hii hali. Ujifunze kuappreciate na kutia moyo watu wanaojaribu na kufanya jambo.
@deogratiusprosper4796
Ай бұрын
Yuko kwenye ubaloz wa mabati lkn maswali ni nje kbs haya ndo mapungufu ya waandishi wetu kuna shida mahali kwenye taaluma
@ahz6907
Ай бұрын
Kuna udhaifu sana😂
@deejeydaev
Ай бұрын
Somo kwa kitenge
@Zeanbo1234-pn8tg
Ай бұрын
3:29
@Legends_Interviews
Ай бұрын
Kampuni ya magari 😂😂😂iko wapi
@Zeanbo1234-pn8tg
Ай бұрын
Ilajaman. Wabongo. Matango. Pori tenaa 😅😅
@kasangagregory5747
Ай бұрын
Hiki kichwa cha habari na maelezo mbona kama sijaelewa
@joshuasamson9618
Ай бұрын
Fm crowns 👑 itawasoba wandishi mahiri wajuzi makini wote Fm crowns 👑
@archilleuswilson4359
Ай бұрын
Huyu haendi crown
@ananiamwatebela3159
Ай бұрын
Sio mda itafilisika
@joshuasamson9618
Ай бұрын
@@ananiamwatebela3159 Hawezi kufilisika inafanya kazi kote ulimwenguni takuja kusema hiyo media crowns 👑 fm itazifunika taasisi zote za radio 📻 tz mwandishi mkubwa Salmu kikeke huongopi Kule upande wa pili BABA LEVO AMEFUNGUA RADIO 📻 YAKE MAMBO MOTO
@kalelaonlinetv
Ай бұрын
karibu crowns fm karibu sana kwetu
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
Ай бұрын
😅😅😅😅😅Unakichaaa wew
@kalelaonlinetv
Ай бұрын
ndio nnacho kilo moja unakitaka?
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
Ай бұрын
@@kalelaonlinetv 🤣🤣🤣🤣🫰
@yohanadavid8055
Ай бұрын
Radio ya Salim kikeke
@Legends_Interviews
Ай бұрын
Uongo
@victorguapo7827
Ай бұрын
Una uhakika??? Yan redio ya kiba imeanza kuzungumziwa miaka minne nyuma
@aloycemabula8649
Ай бұрын
Sungura motors
@martinisadru9899
Ай бұрын
Hayo magari yako wapi?, au ulitulisha matango pori.
@piusbitta5224
Ай бұрын
Hivi Barbra Hassani yuko wapi siku hizi?
@annalubango9899
Ай бұрын
Sasa mbona k p hajajibu vibaya why mwijaku kapanick hivyo??
@vanessastafford6426
Ай бұрын
Kabisa
@ahz6907
Ай бұрын
Mwijaku ni mwehu yule mzee wa kiki😂
@user-hx7tr5iw8p
Ай бұрын
Tango pori ni wewe zuzu unayeperusha bendera ya taifa mchongo badala ya kupeperusha ya nchi yako. Ongera masud hii italeta faida kwa taifa.mungu akufanyie wepesi.
@jumaibrahim9773
Ай бұрын
Akiacha kutangaza,, crown anaenda kuwa dereva au
@PopTiger-br2nh
Ай бұрын
Duh alikiba ela zipo sema tu alikuwa ajionyeshi kama ana ela sasa siatawabeba wote hapo clouds
@ShabanMainde
Ай бұрын
😂😂😂😂 acga awabebee
@josephlorri431
Ай бұрын
Salim Kikeke naye tumo crown / shareholder
@victorguapo7827
Ай бұрын
Una uhakika???
@josephlorri431
Ай бұрын
@@victorguapo7827 tetesi
@1961nungwi
Ай бұрын
Waandishi muwe mnawasaidia Wananchi, watazamaji wenu. Kiwanda cha magari ni msururu wa viwanda vingi. Kama hivyo viwanda vingi havipo, cha magari hakitakuwepo. Kwa hiyo muwe makini zaidi.
@user-qq2vn4pk7z
Ай бұрын
😂😂😂😂
@CatherineKabelege-te3yo
Ай бұрын
Uyu kaka mstarabu alafu ana akili
@conganyoyo3195
Ай бұрын
KP cars, fahari hubwa kwa Watanzania
@MkhayaSogadari
Ай бұрын
Africa akuna anayetengeneza gari
@rajabdibwa6415
Ай бұрын
Huyo mwijaku Sawa na lokole Tu🤣🤣
@temekepamoja2757
Ай бұрын
Kumbe anauza sembe
@elinamilyatuu7337
Ай бұрын
We unasubiri nn?
@njoroboihastla
Ай бұрын
Kwanin Crown Media isitengeneze vijana wake wapiya??? Kama wasafii walivyo watengeneza mchaga og na Mo town sanya na wengine kina b,levo Kina Momo Ipo based sana nakuchukua majina makubwa kwenye media kibwa!!!!
@user-zl6hg9so6s
Ай бұрын
Muachie baba levo ambae hana hela ndio atengeneze vijana wapya kwenye Midia yake wenye pesa wacha wachukue Watu wakubwa wanao julikana😜
Пікірлер: 60