Surgery hairuhucwi kwenye dini. Sbb ni km unamkosoa Mungu alie kuumba. Ni haramu, tena haramu na haramu tena.
@Zengeni-gz8fe
3 ай бұрын
@@umfahad2609 haswaaaaaa
@雄太-f1j
4 ай бұрын
Mungu hakoselewi hpo n sawa wamemkoseya mungu
@zainabzain3434
3 ай бұрын
Nicole amezingua maana alikuwa na uzuri wa kuzaliwa
@nasrachimamy
18 күн бұрын
San
@user-bulongo_com
6 күн бұрын
Mungu atusaidie Sana Dunia nimapito Ogope mungu wandugu
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Uwoya arikuwa mzuri Sana Sana arikuwa na midomo mzuri reo kajiharibu uso
@OlivaGara
2 ай бұрын
Mungu awasamehe 😢😢
@AngeljosephJoseph
7 ай бұрын
Daaah we mudada mm ongea yalo tuu niko hoi apa walah unafurahisha sana😂😂😂😂❤
@subiramakanga1716
Ай бұрын
Asante Mungu kwakeli Mimi naogopa sana
@FedaSema
2 ай бұрын
Mungu uturehemu wanao
@batashqiraa9936
2 ай бұрын
Muda ukifika utaongea hakuna haja ya kuwa na haraka kwa watu wapuuzi kama hawa wanaomkosoa Mwenyezi Mungu, muda utaamua kati ya vile alivyoumbwa na Mwenyzi Mungu na alivyoamua yeye kujiharibu maumbile yake ya asili ya asili aliyopewa na Mwenyezi Mungu, unajiuliza wanawake wa aina hii wanatafuta nini kwa Mungu wakati Mungu amewapa kilicho bora ktk maumbile yao, Ewe Mwenyezi Mungu waokowe dada zetu hawa wanaopotea ktk upotofu na uwajaalie ktk njia sahihi ya kutambua uwepo wako na watubu kwako.
@HasnutMfuruki
Ай бұрын
JAMANI WAREMBO WAMUNGU TUSIMKASIRISHE Allah
@HasnutMfuruki
Ай бұрын
Finalize uzeeni
@shariffsagaf2305
3 ай бұрын
Pesa zinawadhuru wazungu wengi superstar wanajuta
@kenedymdemu6943
Ай бұрын
Wote hawa wanasubiriwa na muumba wao wakajibu maswali ya msingi kwa kosa kubwa la kumsahihisha muumba wao baada ya hapo ni kiberiti
@patriciachege2572
3 ай бұрын
Shape ka mermaid wow smart they're ❤
@FelisterEnock
2 ай бұрын
Hukunikumdhihaki muumba emungu tuepushe🙏🙏🙏🙌
@RahmaIddi-s2s
2 ай бұрын
Mmmmh lnna lillah wainna illaih Rajiuun..huu ni msiba kwa kweli....duniya hadaa hii
@ZainabSaid-n3v
3 ай бұрын
Jaman mbona wazung haweki wao wako na mazoez tu
@evelynemugeni2369
2 ай бұрын
@@ZainabSaid-n3v wanaweka tena sanaaa wanapenda kupungza utumbo,wanapenda lips 👄
@VeronikaTuppak
4 ай бұрын
Mungu awasaidie
@faizamohamed6993
7 ай бұрын
Ajabu hao mattress wa kituruki wengi wana flat screen mbona basi hawajiongeze mahips na watu wanaongeza kwao...ebwanaee
@najmasaid7057
3 ай бұрын
Umenena ya kweli
@jenifajohn
Жыл бұрын
Siyo sajali.........ni surgery mtangazaji mzima kuandika hujui🤣🤣🥰
@THETHIRDTV_
Жыл бұрын
Unajua kwa nini imewekewa alama?? Jifunze kwanza trick za uandishi ndio uje kuropoka
@faizamohamed6993
3 ай бұрын
🤣🤣🤣
@HidayaMbodze
2 ай бұрын
@@jenifajohn 🤣🤣🤣🤣tulia kwanza
@RizkiBadi
2 ай бұрын
@@jenifajohn kimbe umeona sasa mimi nimepata shida kielewa sajali ni nini ndio nikakumbuka baada ya dakika 30 hahaaaaa
@WingoAsake
28 күн бұрын
Huyo wa kwanza amwzingua sana
@IreneRichard-t5l
Ай бұрын
Nicole amezingua bora angebaki nasura yake
@RahmaAwadh-ul9yu
2 ай бұрын
Mm siku nyingi nilisema uwoya zimebadilika
@خديجةخديجة-ث3ه
Ай бұрын
Duniya inawabeba sana Allah Anawangoja uko
@PaulineNasoro
4 күн бұрын
Nicole unazingua
@irakozeRamla
3 ай бұрын
Ukisha tambuw kama umauti upo ndo utatambua dunia si chochote
@MutoleMutwale
Ай бұрын
Nicole alizingua
@AminaMpallu
3 ай бұрын
Wanajiharibu lkn wenyewe wanaona wanapendeza hakuna kupendeza kunakomkosea MUNGU tuwaombee TU MUNGU awavue na hayo MASHAKA waliyonayo
@Mimi-wf7mb
2 ай бұрын
Halafkavaa kitu kimeandikwa Jesus christ. Huyo Yesu unayemdhihaki atakujibu mwenyewe maana naamini anaweza
@YusuphuHusseni-v1o
3 ай бұрын
Wazungu wanatafuta maisha ya watu wa. afrika Ana ya masha tunayo ishi
@NyotaThomasblandine
6 ай бұрын
Anazinguwa sana
@angelmahundi3255
2 ай бұрын
.mungu hakoxei apo mnakoxea xana
@MalijitiMjami
7 күн бұрын
Yaaa wamezingua was badly yy mbayaaaa😭😭😭😭😭
@hanifamasudi9732
11 күн бұрын
Kitambo alikua mrembo sasahivi nikama mdoli 😂😂
@MariamSaidy
Ай бұрын
Anyie.wafanya safari ndo mtajinyee because hamridhiki na alivyowapa mungu?
@Shifra-ue8nw
3 ай бұрын
Wanatumia hela nyingi halafu baadae waje watuombe michango kuwasaidia wakianza kuumwa waweke na hela za kuja kuwatibia na baadae
@ZakiaAlRamadani
15 күн бұрын
Ila Wana wake tuna kiti chetu kwashetani
@NeemaAthanazi
7 ай бұрын
Yani chefuuu
@Khadija1234-k8v
3 ай бұрын
Mimi nilikua nmkubari sana uwoya lakini sasa hivi simpendi kwa sasabu alivyo jiweka
@SeverinoLuis-j1h
2 күн бұрын
Kazingua
@gloryantony4443
3 ай бұрын
Amekuwa vibaya nicole😢
@MariamMussa-c2l
3 ай бұрын
Yani wanakufuru jqmani
@ashaali7154
3 ай бұрын
Wataoza taratibu kila baada ya miaka watarudi kurekebisha huo ujinga wao na watajua faida gani.
@kilogreekachananawatuwasio4054
2 ай бұрын
MASHINDANO NA MUNGU KAKOSEA ALIVYOWAUMBA MUNA BWANA YESU ASIFIWE😂😂😂
@fatmaalnabhani3609
3 ай бұрын
Sajali-Surgery 😮😮
@jamilajamila4572
Жыл бұрын
Uwoya mdomo wajuu umeharibika
@zainabzain3434
Жыл бұрын
Subhaannallah 😭 mtihani wallah yote hii nini faida yake
@MariamSaidy
2 ай бұрын
Nicole hapendi hata kidogo
@MariamSaidy
2 ай бұрын
Wote waliyo fanya sajri wote wamepoteza shep zao za ukweli
@VeronikaTuppak
4 ай бұрын
Mnashida kusaidia yatim mnadany mamb ya kishetani dad jikubali ulivyo zaliw kwani ukiw kawaida upend kama mzee ni mzee tyu hela Inawap jeuli mbwa nyii
Mbona hata kuandika ni mtihani? Ham preview habari kabla ya kuichapisha? Ni aibu!!!!!
@MariamZanzibar
7 ай бұрын
Jaman owoya co mwangalie cherish kwanza ndipo mseme
@STUMAIKALELE
3 ай бұрын
@@MariamZanzibar Uwoya kama unafahamu vizuri alikuwa hadanani Sana na Chriss na Mdomo wake haukuwa hivyo ,kaenda kufanya surgery afanane na mwanae Chriss now wapo copy ,Mdomo wake wa zamani ulikuwa mzuri mno
@RahmaHoussein-p4s
3 ай бұрын
Hakuna watakacho faidika zaidi ya kuaibikakama hivi
@AbilahSalumu-qx1cb
3 ай бұрын
Uwoniushamba Wenzawao wanapiga Tizi
@OmanOman-bx5du
Жыл бұрын
Muna akaonge ulefu maana mfupi. Sanaa
@RuiyaPolo
15 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Regina-p6r
14 күн бұрын
Nikola sasa amezidi
@queenofkenya
Ай бұрын
Uwoya hajafanya angali kijana ake lips zake ndio mseme
@MariamHamduni
29 күн бұрын
mh jamn mung atusameh t
@Fevouredjussey
Ай бұрын
Alikua mrembo kabla hajafanga surgery
@VeronikaTuppak
4 ай бұрын
Uwo ni ujing alafu ujiamin jinsi ulivy sikuzot msanii hela zina waalib
@erycah
Жыл бұрын
😂😂😂 Yani nikawa najiuliaza sajali ndio nini? 😂😂
@samfone2357
Жыл бұрын
nimeifunguwa hii video kwasababau ya sajali😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@THETHIRDTV_
Жыл бұрын
🤣🤣
@wennybarny168
5 ай бұрын
Me too
@MwanjiNzala-mo5ni
5 ай бұрын
Ipatikane na ya.kuongeza.urefu
@FaustaLyimo-c6e
2 ай бұрын
Nikole kazingua
@Marry-u8m
3 ай бұрын
Uzuri wamwili dani niku bovu aki
@PeterDunia-of9nf
2 ай бұрын
TITI KHAA
@ashaali7154
3 ай бұрын
Eti sajali ndio nini? Nenda shule na wewe ndio hao hao mataahira wanaokwenda kuchunwa kama nyama kwenye bucha .
@MahmoodAhmed-yt9me
Күн бұрын
SAJALI ndio SUGARY?? Mnakwama wapi??
@THETHIRDTV_
Күн бұрын
Tumeandika hivyo kwa sababu maalumu za kitaalamum mtandaoni
@JanethObwa
2 ай бұрын
Nicol kazingua San Tena san
@ashaali7154
Жыл бұрын
Wanapoanza hawawezi kuacha hiyo ndio shida ya plastic surgery
@DabrendaNoèmia
Жыл бұрын
Mungu tu
@AsdDsa-fi5qk
3 ай бұрын
Domo
@zainabzain3434
Жыл бұрын
Mbona umbo zuri tu alikuwa nalo
@oliviernsengiyumva7076
4 ай бұрын
Jamani musiwaraumu mambo kama hayo ukiigiya 2 ujuwe kama kama mut anayo kurwa pope
Пікірлер: 97