Wazazi wa Arusha mnawalea vibaya watoto kuwakatia maeneo ifikie hatua Vijana wapambane watafute vyakwao. Fukuzeni wakatafutie mbali.
@LucyKulaya-bj5ow
4 ай бұрын
Kweli
@deogratiusyudatadei5658
4 ай бұрын
Una wajua vizuri waarusha kweli hawa watoto usipo wapa chao jua kabisa watakuwa ili waridhi tu hindiyo staili ya maisha yao
@user-wd2bc7bf5x
4 ай бұрын
ujinga na kuendekeza @@deogratiusyudatadei5658
@rahema1992
4 ай бұрын
Yan bora uwape chao mapema mana hawaoni shd kulimaliza na huyo jamaa alikuwa anamajambo yake cyo shamba tu kikubwa kumuomba mwenyezi Mungu atujalie kizazi chema
@aminatanzanya7475
4 ай бұрын
@deogratiusyudatadei5658😂😂😂 Nimechek km mazuri
@rahema1992
4 ай бұрын
Yaallah tujalie kizazi chema chenye hofu na mwenyez mung polen sana familia
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Aamin
@husna34562
4 ай бұрын
Amiin 😢
@hellenaleonard
3 ай бұрын
Amiiiin
@obedpeter6874
4 ай бұрын
Makonda baba una kazi ya ziada Arusha mungu akutangulie na poleni jamani
@angonzamujunangoma8775
4 ай бұрын
Yale yale ya Kain na Abel.
@Ambeniwatano
4 ай бұрын
Wazee wetu hii Dunia imeisha sisi watoto wenu roho zetu zimekuwa mbaya ushauri wangu kwenu wazaz wetu tanzania kama mmna maeneo mengi uzeeni Hela yenu kuleni nyama choma na kuvaa vzur bakisheni eneo dogo miguu 3kwa 3 sis tutafute wenyewe mikono si tunayo ushauri huo
@daudykasherente8667
4 ай бұрын
ACHA kuwadanganya wenzio
@user-hh7df4mq1j
4 ай бұрын
@@daudykasherente8667kweli kabisa bna jamaa ameongea kweli
@binseif2216
4 ай бұрын
Kabila la wa Arusha makatili sana,kwanza wabaguzi
@SophiaKamgunda
4 ай бұрын
Mama pole sana wote niwanao waombee kwa Muumba wetu
@DoA-q1b
4 ай бұрын
Duu pole mweshimiwa makonda kila siku niutata mauaji Arusha duu p
@magidalenarauya4286
4 ай бұрын
Arumeru mrudien mungu,matukio yamezidi
@user-jp6gi4bh1d
4 ай бұрын
Poleni sana
@aminaadam9914
4 ай бұрын
Cain and Abel
@LomnyakiSanare
4 ай бұрын
Mashamba ya kurithi yana shida sana,vijana tafuteni vitu vyenu,na muwe na hofu ya mungu
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Subhanallah timefika huko jamani 😢😢😢😢
@LucyZainabu-bb5cz
4 ай бұрын
Mungu apumzik kwa amani
@easternyerembe7271
4 ай бұрын
Arusha maombi maalum yanahitajika
@SylviaMallya
4 ай бұрын
Lakin hakuna mtu anayetaka kuzaaa gaid jaman... Kila mwanamke ni ndoto yake kuzaa watoto wenye tabia nzur kina mama temen iyo mate hapo chini..maana kiukweli inauma na kila mtu atasema lake .. Kilichobaki ni kuomba tena maombi ya maombolezo.
@aminatanzanya7475
4 ай бұрын
Arusha kwa matukio 🙌
@alexkalonga5323
4 ай бұрын
Makonda kazi anayo
@johnmeshack4431
4 ай бұрын
Ee mwenyezi mungu tunaomba utuogoze maana atuwezi chochote bila wewe Mungu ❤
@levinalyimo6240
4 ай бұрын
Duuu Arusha ni Tanzania kweli
@Emanueli-vz6fd
4 ай бұрын
South sudani😅😅😅
@Bettylaizery
4 ай бұрын
Ama kweli ardhi tu jamani nadhani ni wivu wa maendeleoooo hiyo alidhani anakata muwa. Mpuuzi. Tuombe Toba kwa Mungu wetu.
@yonasimion3130
4 ай бұрын
Arusha Tena!!!!!!
@AminaKazumari
4 ай бұрын
Ndio kwa nini wasitafute vya kwao? ili urith uwe nyongeza?
@GroliaJonathan
4 ай бұрын
Mmmh huko kwa moto poleni
@GodlistenNdetaulwa
4 ай бұрын
Ama kweli Dunia imeisha
@nsiamasawe4578
4 ай бұрын
Makonda utazikoma bange za Arusha
@nicolasaugustino8449
4 ай бұрын
Shida ya Arusha matumizi ya mihadarati na pombe kupita kiasi
@bahatilaizer8706
4 ай бұрын
Makonda awezi Acha Kazi za maana afanye kazi za Watu wajinga wasio na faida Watu Kama hao ukiuwa unawekwa ndani miaka 20
@Neema935
4 ай бұрын
Makonda oyeeee, apo ni Harusha, kazi ipo kwa kweli.
@user-hl6bg9zz8u
4 ай бұрын
Wazazi tukipona watoto watapona, malezi na kuwalithisha watoto mali wasizozitaabilia ni tatizo😭
@HanifaOman-oo4pl
4 ай бұрын
Duu mpaka mama anaomba. Mwanae aozee jela. Kweri watoto wengine mtihani Duniani
@fhugghi4109
4 ай бұрын
Pole sana mama Isaya 😢shemeji yangu matayo umetanguli mbele ya haki 😥😭😭😭😭😭Daaah hata siamini 😢😢😢
@MwanaidhMary
4 ай бұрын
Ubinadam umekwisha unamtoa mdogo wako roho Kwa shamba mungu tusaidie
@israelkisaila8401
4 ай бұрын
Hao ndiyo wamerù,wachaga na wapare ndugu,hovyo kabisa,waooo ni mali kwanźa😢
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@israelkisaila8401makabila yote ya tanga , kilimanjaro na arusha
@mkurungu_herbal
4 ай бұрын
Arusha shikamoooo
@rahema1992
4 ай бұрын
Marahaba mana ni htr
@happymrema7487
4 ай бұрын
Mmmmm huyu mama ni jasir
@rosehaule6765
4 ай бұрын
Mama kachika tu akiyaMungu maumivu yameisha jinsi watoto walivyomsumbua uwiiii😢
@LindaMbilinyi-n3n
4 ай бұрын
Hv Arusha mna nin lkn jmn,tumewachoka mnajua mnadhan sifa?
@barakae.n6418
4 ай бұрын
Arusha Duuuhh 😳🥺
@NeemaSamson-ti8pc
4 ай бұрын
Tutazidi kuuana tu kazi iendelee
@israelkisaila8401
4 ай бұрын
Nyoko arusha ,itoshe tu kusema nyoko arusha
@allymahiyo2464
4 ай бұрын
Awo ndio watu wa kasikazin bana kwenye hadhi hawana mchezo ata kidogo,wachaga,wa melu na mipango yao ya kuishi milele ktk hii dunia.
@user-xg4zr4ew7d
4 ай бұрын
Mama polesana ila waarusha punguzeni kugombania mashamba
@AdelmarisShayo
3 ай бұрын
4:22 huyuisaya asitolewe namtu yoyote😂😂😂
@veronicajohn7645
4 ай бұрын
Kaini na Abel
@SylviaMallya
4 ай бұрын
Yaan hata mhubir wa i ada y MAZIKO ameongea kama wewe kisa cha kain nikama Hich hich
@lilybarongo8119
4 ай бұрын
Hizi ardhi km zimelaaniwa
@sanifamohamedi-fx7vj
4 ай бұрын
Polen sana
@esterswai9454
4 ай бұрын
Jmn huyu mama km namjua,duh polen
@salha.d5060
4 ай бұрын
IVI ARUSHA IPO NDANI YA TANZANIA INAYOITWA NCHI YA AMANI 😢MMEZIDI JAMANI
@prosperiamdetele1421
4 ай бұрын
Arush ma nn
@Allybinamour
4 ай бұрын
kwa sasa haya hayashazi arusha.tumeshazoea endeleeni tu
@Tg.7_7
4 ай бұрын
Changamoto Wameru hawanaga mbadala wa maisha zaidi ya ardhi ya urithi!!
@HappyPallangyo-vt7xx
4 ай бұрын
Una huwakika?wewe unanini?
@melanialeonard4031
4 ай бұрын
Mimi nawaza hii arusha mbona watu ni wachovu sana ardhi moja warithi kibao
@nancyyesse1380
4 ай бұрын
Na nyie mbadala ni kujiuza au ??jus know kila kabila au kila jamii ina mabaya na mazuri yake so stop generalizing you empty brain
@user-ml5tq8hj2x
4 ай бұрын
Wameru tuuu mbakaaa hawafai hawa watu ni wauwaji wa macho macho washenzi kbsaa
@barakapallangyo3684
4 ай бұрын
Hamna wameru hapo ni hao ni waarusha.
@ZablonBoy
3 ай бұрын
Nmeona pisi moja kali apo naez ipata kweli mweny namb ake naiomba wakuu
@ziadasalimu1730
4 ай бұрын
Huyo kijana ana raana kubwa ha! Hata mama yake pia una msumbuwa basi Tena huyo
@wilsonlaizer4454
4 ай бұрын
Ver bud
@annamussa185
4 ай бұрын
Mbona mama anahadisia kama anafuraha
@fatmaabdallah7709
4 ай бұрын
Kachoka nao kusuluhisha ugomvi kila siku!
@FatumaMohamedi-t6t
4 ай бұрын
Nayy mwenyew pia yashamkuta kaambiwa sio kwake.
@hadijamohd6028
4 ай бұрын
Arusha mna nini n
@BonaNgatuni
4 ай бұрын
Wa Meru punguzeni wivu na tamaa za mali msizozichuma tafuteni vyenu wenyewe
@lisawilliam2491
4 ай бұрын
Shughuri🙆♀️
@margarethpolepole7438
4 ай бұрын
Heeeeee huko Arusha hawana hofu ya Mungu mbona makatili hivyo
@AshaJuma-s7l
4 ай бұрын
Kama Kuna mkoa hatari kuishi Tanzania basi ni Arusha! Daah! Kaka angu Makonda Mungu akutangulie katika yote.
@mbunistar4780
4 ай бұрын
Tumeumia sana poleni majirani zetu
@fatmafatu1128
4 ай бұрын
Watu wa arusha acheni kula madawa na bangi namapombe ya kimavi sijui mnajikutaga nani kila kukicha ni nyie tu
@robertigohe7477
4 ай бұрын
Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🕎🇮🇱🔥⛪
Kabisa kinachogombaniwa sasa hata uachiwe bado hali ya uchumi itazidi kuwa mbaya
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Ni kweli ndugu
@user-lz5it9yn4q
4 ай бұрын
Ndo Arusha hiyo eeeehh!! Makonda Mungu t ahusike
@user-ig3oz8kf7k
4 ай бұрын
Urusha ni 0 0,ni kama urusi
@sponsor7882
4 ай бұрын
Arusha labda mm ndio nawaza kuithibit
@Sharefa-v6n
4 ай бұрын
Nan mwenzang we huogop
@saidimkwinzu9106
4 ай бұрын
Huyu aliyeua mwenzake tayar kashapata laana ya mama yake mama anasema hatak hata kumuona akaozee jela mana anampiga vita pia mola tujaalie watoto wema wenye hofu yako
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Aamin ndugu
@lilysam-cd7qz
4 ай бұрын
Roho mtakatifu awaongoze
@zahraramadhan2960
4 ай бұрын
Its arusha Agai😢😢😢
@saididodi3988
4 ай бұрын
Arusha imeshashindikana
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
Jaman kuna mdada mrefu amesuka minyoosho na kafunga kanga ya kiuno,,,nitampataje ? Nimempenda bure pic kal sana.
@anithawidambe7543
4 ай бұрын
SASA HV USHAURI NA NYIE WAZEE KM UNA MAENEO UZENI YOTE HELA KULA MAANA MNAACHA WATOTO WANAGOMBANIA KISHA WANAUANA.
@RichardDamas-fs3bp
4 ай бұрын
Hakunaga Mmeru mwenye akili Timamu, wana laana ya vizazi na vizazi
@elizariatsere7701
4 ай бұрын
Ni mama wa marehemu kweli maana namwona hayuko vizr
@israelkisaila8401
4 ай бұрын
Umemuona mkavu mnoo eee😂😂😂,hiyo ndo chuga ndugu,hawana habari na roho ya mtu,wao ni pesa
@fatmaabdallah7709
4 ай бұрын
@@israelkisaila8401sio hivyo jamani mama inawezekana hana raha na hawa watoto kutwa kugombana na anasema alikuwa hana amani na huyo mtuhumiwa alikuwa anamtukana nankumpiga sasa kwanini asifurahi alivyokamatwa mpaka anaomba aozee jela!
@user-fw1ku3od7r
4 ай бұрын
Mmemkatam bila hata kumvuja hata mguu daaah mmekosea
@salmawais-ym7py
4 ай бұрын
Arusha fanyeni maombi maana hii hali,ni too much 😮😮😮😮
Пікірлер: 128