Serikali msipothibiti hawa wadudu tutaangamiza taifa LA kesho
@hamisombali8545
2 ай бұрын
kabisa brother yani ujinga huu faida yake nini sasa
@noahmadali7150
2 ай бұрын
Kizazi kimeisha huko
@user-ly9us4db3m
2 ай бұрын
Kweli kabisa mm pia siwapendi kabisa hawa wadudu mwisho watakuwA majambazi hao yaani hili tatizo lizibitiwe mapema kabisa jamani
@rosetreffert4179
2 ай бұрын
Vichaa tu upuuzi mtupu Mira mingi na bangi
@deogratiusyudatadei5658
2 ай бұрын
Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
@kingwandeinvestment8002
2 ай бұрын
içhi kizazi kitakuja kuigharim serekali niko paleee
@mwalimuissa5964
2 ай бұрын
Sio tu kuigharimu ila kuwapa changamoto
@user-nb6yh2bn9y
2 ай бұрын
😂😂😢😢😢☹️☹️☹️
@user-zs4qz4wm2n
2 ай бұрын
Vijana wapumbavu
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
sioni kama itagharimu chochote. kuna mambo makubwa serikali yabidi kujali sio hawa vijana..
@bestinamafipa608
2 ай бұрын
Umesema kweli mtumishi
@user-gy5en6cy8o
2 ай бұрын
Huu ni ujinga wa hali ya juu ikomeshwe mara moja
@fatihiyadossa375
2 ай бұрын
Ningumu Kwa chuga
@personpeter2221
2 ай бұрын
@@fatihiyadossa375Serikal haijawahi shindwa ktu ww panya road wako wap hapa bongo hebu wakamatwe kama watu 10 wale vchwa vbovu uone kama haitakuwa
@ziadasalimu1730
2 ай бұрын
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza @@fatihiyadossa375
Serekali inaendekeza ujinga, hawahawa ndio tatu mzuka nawaeleza, km makonda aliweza kuzuia panya road, please komesha hii kitu jamani😢😢😢
@ChinaBoy-jh8bm
2 ай бұрын
Poleni sana wadude wa arusha kwakumpoteza mojawenu natuma ujumbe kutoka Somalia
@Khmy54
2 ай бұрын
Chepe zipo tutamfukia kwa chepe tutamfukia mwana kwa chepe, ww fukia kwa mkono tukukamate hatukuachi😂😂😂wapuuz sana hawa wanaiona nchi yao au
@chikujuma18
2 ай бұрын
Bodaboda ni shida kwa kweli hata kama ushirikiano sio sitaili hizo wote ni bange tuu
@JosephM.meiliari
2 ай бұрын
Hao sio bodaboda ni kikosi cha wahuni tu
@selector728
2 ай бұрын
Staili sio sitaili
@anethmtei2912
2 ай бұрын
Serikali isiruhusu vitu kama hivi. Ni ujinga uliopitiliza serikali ikomeshe huu ujinga
@user-zs4qz4wm2n
2 ай бұрын
Umesema sawa kabisa
@user-mi7cd8ch1b
2 ай бұрын
Hawa watu wa Arusha hawana hakiri kabsha
@user-zs4qz4wm2n
2 ай бұрын
@@user-mi7cd8ch1b ndiyo alafu wanaona ni ujanja ni ushamba na upumbavu kabisa vijana wa hovyo kabisa
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
@@user-mi7cd8ch1bwashamba wanajifanya maganster
@damasmarungu2520
2 ай бұрын
Embu fateni mambo yenu bhna umeona mtu wa arusha analalmik kwani
@xxxl-jf2ji
2 ай бұрын
Upumbavu mtupu hawana hata iman ya mungu khaaa
@thebios2553
2 ай бұрын
Washamba wanapewa airtime aisee Yani ni upuuzi na Bado wakiendelea na akili izo watauzulia sana mazishi hamna hata mwenye helmet uendeshaji wa hovyo
@akidajulius1581
2 ай бұрын
😊a
@kilogreekachananawatuwasio4054
2 ай бұрын
MIMI BONGO NAMINI HAWA WATOTO WA ARUSHA UWAONE IVI TU MAKATILI WAKIONGEA KAMA WAJINGA LAKINI WACHA TU DANGEROUS PEOPLE ARUSHA BOYS 😂😂😂😂
@FrankMushi-cs5js
2 ай бұрын
Aseee noma sanaaa
@user-ny7oq2oy8r
2 ай бұрын
Makonda kazi anayo😂
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
2 ай бұрын
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
@user-kw7ew1fu2w
2 ай бұрын
Laa makubwa Pole Sana RC. Kazi Unayo.
@josephatjoseph1755
2 ай бұрын
Lait mwenzao angeamka akawaambia kinachompata huko wange acha huo ujinga
@mboneamalaki5674
2 ай бұрын
Mungu ponya kizazi hichi
@williamuphilipo2120
2 ай бұрын
"Wadudu ni wanamziki wanachofanya ni sawa kabisa". Alisikika Mbunge mmoja akimpa taarifa Mbunge mwenzake aliyekuwa akichangia hoja Bungeni. Tafakari.
@easternyerembe7271
2 ай бұрын
Dah
@leahmollel6589
2 ай бұрын
Yaani wanajeshi wangeruhusiwa kuondoa hilo kundi linalojiita wadudu! Ni wiki moja wanakuwa watu na siyo wadudu! Mungu warehemu watoto wetu😭😭
@manp9091
2 ай бұрын
Iyo ni shangwe ya kumpoteza mwenzao na sio uzuni
@PatrickMwamba289
2 ай бұрын
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
@paschalpaul3862
2 ай бұрын
Hafu mnaanza kusema ni wasaini na huku tayari ni mazezeta
@verombwambo3703
2 ай бұрын
Hapo ndio na Mimi nachoka jmn hakuna Cha usanii hapo ni uzombi tu
@naliakafatuma9870
2 ай бұрын
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
@AnuaryShedafa
2 ай бұрын
😂 dah kwakwer
@ashurakodd1589
2 ай бұрын
Itapelekwa tu kwa taarfa Yako nyoo
@jamesmassawe4888
2 ай бұрын
Hii ni Arusha na hii ndo asili ya arusha sasa wewe unaehoji afcon mbona huulizii makao makuu ya afrika mashariki ni wapi?
@henryabby2681
2 ай бұрын
Kama mwanga vile
@NuruJuma-zv3yz
2 ай бұрын
Wamarekani hivikaribuni watamtafuta kiongozi wao ili waanzishe bokoharamu tz wooooooooooooi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@veronicathomas9422
2 ай бұрын
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
@user-qk4lx4hg7g
2 ай бұрын
Mmh serikali kuwrni makini haya malezi ya hawa vijana yatakuja kuwashinda baadae
@SungesuAngelina-id4tj
2 ай бұрын
Vijana wote wa Arusha wahamishiwe Somalia huko ndo wanaendana Nako huku Tz sio hadhi yao kwakweli,watanzani Gani Wana Fujo hivi? Aaaah😢
@jameschali6023
2 ай бұрын
😂😂😂walisha kwambia arusha ni nchi kama nchi😂😂
@SungesuAngelina-id4tj
2 ай бұрын
@@jameschali6023 😂😂😂
@Hamy1109
2 ай бұрын
Hawa washamba wanatakiwa wadhibitiwe wote tuondokane na kizazi cha ovyo kama hicho. Mamlaka zipo wapi!?
@knight6757
8 күн бұрын
😴
@yukundapeter8200
2 ай бұрын
Hapo hapo kuna mijambaxi inapora ikiwa kwa pikipiki.
@auntmakochela4202
Ай бұрын
Hivi Arusha wana Dini kweli 😢😢😢😢 SubhannaAllah
@gracekagoma3231
2 ай бұрын
Hatari
@OmanOman-dn6dj
2 ай бұрын
MAKONDA KAZI ANAYO ILA ATAFAULU TU PAMOJA NA CHANGAMOTO ZOTE
Vijidudu vimewapanda kichwani. Serikal Serikali Serikali .... Mh aya...
@melanialeonard4031
2 ай бұрын
Huu ni umasikin wa akili roho na mwili baada ya miaka kumi huu ni mzigo kwa taifa😏😏😏
@gapserminja5215
2 ай бұрын
Poleni sana
@Views-mf8ir
2 ай бұрын
Watu wa Dar wanaona watu wote wa Arusha tuko ivi, tunavaaga ivyo na life style ni hiyo.!! 😂😂😂
@Aidhjuma
2 ай бұрын
Nataka kuja arusha ila naogopa hao wadudu kwakweli
@Views-mf8ir
2 ай бұрын
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!! Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
@Views-mf8ir
2 ай бұрын
@@Aidhjuma nikupe number uje ututembelee Boss
@user-xk7vy4gb6g
2 ай бұрын
Mmmmmh hiyo ongea yao puuuh
@Brunn-mh2bq
2 ай бұрын
Wallah hii nchi haina hatma nzuri kama watu wetu ndio hawa. Tujiulize tumekosea wapi na tujirekebishe haraka.
@reginas1832
2 ай бұрын
Si unaona tunauza rasilimali zetu wa wageni. Hawa vijana hapo wapo Drs, engineer na walimu . Serikali ina kikundu kidogo kinachokula keki ya Taifa
@trice_yanga
2 ай бұрын
dah ni huzuni Kwa kweli
@zidatv1122
2 ай бұрын
Huu ndi maisha ua bodaboda yaan inasikitisha, Hao hata kizazi chao hakuna maisha hapo
@ashurahatibu5069
2 ай бұрын
sio wote my dr
@hasanimohamedi279
2 ай бұрын
daah makonda una kazi babaa
@albertadalabert5702
2 ай бұрын
Hacheni habari za kukimbiza pikipiki vifo ni vingi sana jamani vijana tutaisha
@OmbeniShoo-kg8dr
2 ай бұрын
Kuna tatizo ambalo linaonekana si tatizo ni mtaji wa watu kujijengea umaarufu hivi tumefika hapo kama Taifa na je nini tunapata kwa majina haya Wadudu, Panya roard, Chawa, nk tutavuna matunda yake kizazi kinazidi kuharibika.
@swalehemusa4546
2 ай бұрын
Ni kweli kabisa vizazi vinaenda kuaribika
@kennethbenjamin275
2 ай бұрын
Mnawaendekeza sana hawa ohooo
@khamisshee803
2 ай бұрын
Muna watentekizaa Sawa wadudu gani mbona jeshi la police linawaaachia wafanye watakavo AKA BACHUCHU MOMBASA 001 +254
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
Eti eeh!!
@user-ox3ij7ki3t
2 ай бұрын
Hii ni nchi nyingne hiyo serekali yenyew ikfka arusha inabid ifuate sheria na taratib za wenyeji
@user-wv4cz4yk8r
Күн бұрын
Acheni ujinga mta kufa kila day mnaacha familia zenu kwenye shida
@emanuelherman7029
2 ай бұрын
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
@givenessdavid3743
2 ай бұрын
Makonda shikamoo. Kazi ni kubwa
@user-jr3mo3je3k
2 ай бұрын
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
Bangi Arusha imezidi aisee kuliko maeneo yote Tanzania hawa watu wadhibitiwe haraka sana, Serikali isiwachekee hawa vijana!!
@adeltuszakumuha9618
2 ай бұрын
Wehu tu hawa, Serikali isipokuwa macho hamna kizazi cha maana hapo. Hovyo sana hawa.
@athumaniamani9905
Ай бұрын
Wadudu ni wengi ila Kuna wadudu wengin ni kumbikumbi wale wenye mafuta mengi
@user-xw3ew4jy5p
2 ай бұрын
Aliye wapa jina la wadudu hakukosea😂😅😂😂
@USAIDforHomelessPeopleOfUK
Ай бұрын
WADUDU are all British Workers ✌️🇺🇸🗽
@JosephM.meiliari
2 ай бұрын
Hivi hawa viongozi mnaounga mkono hawa wavuta bangi mnategemea tunaelekea wp?
@henrypeter1361
2 ай бұрын
Mbona simuoni makonda au kasaliti chama
@ashuramahali3410
2 ай бұрын
Wadudu kama wadudu
@topesafi9742
2 ай бұрын
Nainjoi saana kuwachek wadudu😂😂
@NehemiaZakeo
2 ай бұрын
He!he!he 😂😂😂😂😂 haowote nivijana una fikilia miaka michache mbele kama vijana wote tukitegemea kukwa kama hivyo nini kitakacho jili baadae.
@kivatirokitojo657
2 ай бұрын
Jamaa wanajielewa unajiitaje mdudu??Ili iweje
@EmmanuelLekasango-rt1qx
2 ай бұрын
Nimbayaaaaaa😂😂😂tuuuu
@hurumakaaya1150
2 ай бұрын
Hivi wadudu ni wakiume tuu?
@user-zu3wp3wx8u
2 ай бұрын
Wakike wapo ila sio wengi
@jonessalum6325
2 ай бұрын
Kumbi kumbi alooo😅😅😅😅😅
@lightnessmarandu5945
2 ай бұрын
Huyu s baba ake shaa kbsa
@easternyerembe7271
2 ай бұрын
Arusha nchi ya wahuni
@josephkalwani
2 ай бұрын
Ila arusha wameathiliwa sana na utalii
@ernestsinje9700
2 ай бұрын
ARUSHA VIBE
@AminaLibisa
2 ай бұрын
Sasa uyo mwenye kofia anaongea uku anasinzia 😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
2 ай бұрын
Wadudu wamempandia kichwani😂😂😂
@AminaLibisa
2 ай бұрын
😄😄😄 hatari sana Kwa kweli Allah awahepushie na izo hadha
@user-MIO5pu1iv7o
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 rizim hadi analala automatically 😅😅😅
@AminaLibisa
2 ай бұрын
Yani Arusha kunakazi kubwa sana makonda lazima akonde
@fredducaunt
2 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh 😂😂
@JosephMdam
Ай бұрын
Natokea arusha lakini huniupumbavu sana ovyoo
@festohaule9716
2 ай бұрын
Hawa wadhibitiwe mapema sanasana.... Hii sio Haiti..
@husseinkarim7663
2 ай бұрын
Wanakwenda kuzika au kwenye sherehe? Inaelekea walevi na miteja
@elibarikikivuyo5946
2 ай бұрын
Tuache na chuga yetu😢😢
@user-rc1dp6ux3k
2 ай бұрын
Mungu warehemu vijana wetu wamechanganyikiwa
@WillisonMkumbo
2 ай бұрын
Waddudu ,lini wataitwa wanyama¿
@_Sammy_BbOy_Bseven
2 ай бұрын
Nchi ya arusha ni kweleee😮
@Official83640
2 ай бұрын
C mmewapromot endeleeni kuwafurahia na kuwapa promo
@ramawilson3709
2 ай бұрын
Kwasasa tanzania inchi yangu imeanza kuhalibika salikali tunawategemea lekebisheni ujinga kama huhu vitu kama hivi vinaharibu taifa
@hatimmohamed4299
2 ай бұрын
Kudadadeki bangi nuksi kishenzi Hawa wadudu watakula nchi
@BensonMpomo
2 ай бұрын
kwamba makonda nae kumemshinda uko awa muwalete uku tunduma wataonyeshwa shoo mbaka watakubali kua wao ni zuchu naso wadudu.
@SalamaNauthar
2 ай бұрын
Hawa vijana hawa tusipokua makini nao itatugharimu sana
@Kidabitangassa
Ай бұрын
Arusha sio Tanzania 🇹🇿😂
@obedingilisho
2 ай бұрын
😂😂😂😂Wapuuzi ote awo
@jeffchurum1431
2 ай бұрын
Bangi ya Kenya imefika Arusha.
@yohanakananika3586
2 ай бұрын
Kenya hakuna bhangi kuna mirungi
@kennethbenjamin275
2 ай бұрын
Hichi kizaz huko mbeleni itakuwa shida sana
@hawahussein137
2 ай бұрын
Serikali owe makini na hawa wahuni Chalamila kunamfaa Arusha
@Rodgers_01
2 ай бұрын
Hawa ndo wanasabisha mihadarati ipigwe marufuku 😂😂😂
@gayanimwansasu
2 ай бұрын
Kama sio wezi nasio wabakaji hakuna shida yoyote 💯🫡💥
@PrinceHendry-hp8vv
2 ай бұрын
Makonda hao ndo wadudu wahuni sio wale wasanii kina kenyonyo
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Hapa ndio watu wawatofautishe na kina kinyonyo, hawa ni wadudu wabaya
@agnesspaul1866
2 ай бұрын
Makonda utawaweza hawa kweli
@hollymore4904
2 ай бұрын
Millard ayo mnaongoza kuwa promote hawa wapuuz
@bitricepadros5787
2 ай бұрын
Hivi Hii nchi yenye Hawa watu Iko wapi ....
@lunangabenjamin3121
2 ай бұрын
Mamba siyo mdudu ni mnyama mdudu ni chawa,mmpu siyafu inzi kunguni mende.
@AboubakarShabani-op1dk
2 ай бұрын
Uhuru wa wadudu
@abbiecox1
2 ай бұрын
BANGI MBAYA WASIPODHIBITIWA IKO SIKU ARUSHA ITAKUWA NI UWANJA VITA YA WAVUTA BANGI NA WALEVI DHIDI YA WATU WENYE AKILI TIMAMU
@mugocomedy
2 ай бұрын
ARUSHA BILA WADUDU NI KAMA EMBE BILA KOKWA
@rizikimtui8992
2 ай бұрын
Nahisi Arusha inahitaji Mfumo wa Elimu yake ili malezi yasifikie hapa
@user-ig7tb1cf8z
2 ай бұрын
Mchaga usipo shughurika na hii! Nafasi ya mchaga inapolea na heshima yao inapotea katika Taifa. Bangi mbaya. Lema alipokuwa mbunge hapakuwa na haya madudu sijui nani kayazalisha mpaka ya pewa kiapo. Kweli Arusha inaisha.
Пікірлер: 349