Kuna mama wakwe nuksi kabisa. Wafungwe maisha wote wanaohusika ili wengine watie akili.
@khadejakhadeja9713
2 жыл бұрын
Pole Ester Bora waameuwaa wakwao .mungu amekunusuru ungekufa wewe pole Sana
@chifuthedoni8889
2 жыл бұрын
Fimily nyingi hutakiwi kukaa nazo karibu, Ukishaoa unapaswa kuondoka nyumbani ukaishi mbali kabisa! Unakaa karibu na mzazi wa nini? Afu kwa nini wamama wengi wa kilimanjaro wanalewa?
@hagaigospelband_tz4735
2 жыл бұрын
Unaakili sana chifu wanafeli sana kukaa na ndugu karibu
@arafakiloli749
2 жыл бұрын
Subhannahllah pole sana mwanamke mwenzangu. Allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu.
@edvinaselestine712
2 жыл бұрын
Pole dada mama wakwe changamoto ni shida Mungu tusaidie
@hamedahameed148
2 жыл бұрын
Aisee naombaga sana Mungu kama itatokea nikaolewa aisee sitaki kukaa karibu na ndugu wa mume maana maneno huwa hayaishi ukipendwa na mtoto wao bas nishida kiifupi hatuna jema maana hata mimi mwenyewe ni ndugu wa mume
@abdulkareemchacha2625
2 жыл бұрын
Doooh...., pole sana.....aisee hiyo familia ni balaa,haya tazama sasa wamemuua mtoto wao!!!! Laana imewarudia wenyewe....,hapakufai hapo ondoka haraka sana. .
@sidratybinkhamis2837
2 жыл бұрын
Tena akimbie mbio za malasoni
@ayshajeffa7343
Жыл бұрын
@@sidratybinkhamis2837 kwa kwel waeza muuwa
@saidomary6414
2 жыл бұрын
Nampa pole mke wa marehem hao wengine sheria inawasubiri
@obillaezra6205
2 жыл бұрын
Tanzania Kuna upepo mmoja mbaya sana Wakuuana ndugu Kwa ndugu” Cha Msingi ni kuzuia Hasira zetu, tusipo thibiti basi Pepo la kuuana litaendelea kutuandama”
@superwomanmwenyeheri.1367
2 жыл бұрын
Kiukweli yanahitajika Maombi ya kitaifa siku 40, viongozi wetu msichukulie mzaha matukio haya kisa watuhumiwa wanakamatwa NO! Chukueni hatua viongozi wetu.hali si shwari Tanzania..
@Hamy1109
2 жыл бұрын
Hata wewe ukiomba peke yako inatosha tu.
@angeljoseph922
2 жыл бұрын
Sijawahi kuona familia ya kipumbavu kama hiyo
@tingbatuuka7278
2 жыл бұрын
Wafungwe maisha maana wameua kwa kukusudia
@winniecharles8975
2 жыл бұрын
Noooo hafungwi mtu bana huyu jamaaa alistahili kufa coz anawezaje kumpiga mama yake kwa ajili yaili zee li Bibi hao ndugu wanawezaje kukaaa kimya mama yao apigwe
@doriceassenga6640
2 жыл бұрын
Kiukweli mzee alohojiwa amebeba busara nyingi sana Mungu amtunze tunahitaji Wazee na Wazazi wenye busara kama huyu baba.Na wanawake tunapoingia kwenye ndoa kama kuvumilia mateso ya wakwe na wafiwi huwezi ondoka wape nafasi ona Leo wanakuacha mjane bado binti mdogo
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
Kwenye nyumba mama akiwa mlevi ni hatari Kwenye family,,bora baba awe mlevi kuliko mama
@jacklinemichael1069
2 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema aisee,namfahamu daaah!!
@ayshajeffa7343
Жыл бұрын
polen yaxkitsha
@mamymdogomamy3670
2 жыл бұрын
Vijana mkitaka kuowa jengine msihishi na wazazi wenu nyumba moja jamani 😭😭
@husseinomary2397
2 жыл бұрын
Nisawa
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
Kweli kabisa unapooa ukaishi kwa wzazi kunakua na changamoto nyingi Sana endapo mke wako watakua hawampendi wazazi wako au ndugu zako
@listerlujiso6009
2 жыл бұрын
Kabisaaaa kiukweli na ndoa Itakuwa na aman na mama mtaishi nae vizur
@sleeprelaxation8431
2 жыл бұрын
hawa wakimchukia huyo kijana wao, ndio maana waka mchukia na mkewe,, pole sana dada
@renatusmisigaro6332
2 жыл бұрын
Ila wameru niwasengeeeeenyaji sana! Wamekumbatia mamira ya kijingajinga sana!
@vanesakisanga7519
2 жыл бұрын
Mbona mwanamke sio mkubwa ona sasa familia nzima gerezani
@sidratybinkhamis2837
2 жыл бұрын
Wazazi wa huko baadhi yao ni wanaroho mbaya kwel kweli na baadhi nyingine wanaroho nzuri sana tena sana .kuomba mungu tusikutane na mtihani huu
@highonebalo8289
2 жыл бұрын
Hii habari ya kubanana sehemu moja shida sana. Yaani kiukweli watu waache mambo ya kujikusanya sehemu moja watawanyike wakapangishe mbalimbali huko wakutanage tu kwenye matukio, inaleta heshima kuliko kuchunguliana tu kila saa hadi MTU anauliza unamwogeshaje mtoto. Lohh!! Ona sasa😭
@azizahassan5919
2 жыл бұрын
Hii ndio shida ya vijana unaoa mke unampeleka kwa mama, mimi kiukweli sitaki Kukaa na mkwe sehemu moja wala ndugu wa mume
@aisharamadhani1948
2 жыл бұрын
Familia zingine ni nuksi tu ,,, hivi unamchukia mke wa mwana kisa umri mkubwa ,,, subhanallah huyo mama hana utu na hana uchungu hadi kafikia kupiga mwanae ona sasa kamua mwanae wacha akakutane na bwana jela ,,,mama mzima ovyo na hao wadogo wa marehemu hovyo shenzy sanaaa
@user-fs7xc2bb5d
2 жыл бұрын
SubhanAllah 😭😭😭 familia nyingine za hovyo eti mwanamke mkubwa kwani alikoma siku si huyo amezaa maisha haya ya kupelekewa mke au mume mbona hata mwonekano si mkubwa sana amefanya la maana kunyamaza angejibu huenda umauti ungemkuta yeye kuna kauli inayosema ukimya jibu tosha kwa mjinga na familia msitetee ujinga hao ni wauajiy msiseme hakutegemea kama angemuua watu wanatumia mbao na nondo halafu mseme hawakutegemea kama wangemuua peleka ndani inauma sana
@afrahoman2844
2 жыл бұрын
Loooo mbaya2 kwan mkubwa amemzaaa
@user-fs7xc2bb5d
2 жыл бұрын
@@afrahoman2844 ndio hicho cha kushangaza kimtazamo hata hawajapishana sana nimeumia kama namfahamu mnampiga kama mnapiga jambazi kwa kutumia vitu hatarishi dah
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Inna lillah wainahy llah rajioun pole bint kupoteza baba mtoto wako
@sarahmcharo1548
2 жыл бұрын
polee dada! huyu mama kichwa yake ipo sawasawa kweli!!! au sio mama yake mzazi!!!
@baloziubalozini5074
2 жыл бұрын
Kesi ikianza, watoto watamkana mama yao mzazi, mama mzazi atawakana watoto wake Kila mtu ataangalia nafsi yake Hii laana haitawaacha salama
@elizaeliza4369
2 жыл бұрын
nikiolewa mama mkwe ukae kwa kutulia, ona sasa malipo yako umeyapata 😭
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mariumpeter6147
2 жыл бұрын
Eliza mama mkwe wako nakuzoom tu hapa utanikuta🤣🤣🤣
@vickmlewa8156
2 жыл бұрын
Na ww pia ipo siku utaitwa mama mkwe
@erickfelix5927
2 жыл бұрын
si mpaka uolewe?
@superwomanmwenyeheri.1367
2 жыл бұрын
Mwenyenzi MUNGU inusuru Tanzania,Kuna liroho lisilo la kawaida linamaliza wananchi kimtimdo. Hii imekua too much Sasa mauaji kila kukicha...
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Subhannallah, Inasikitisha sana kwakweli 😢
@sophiankwera9020
2 жыл бұрын
Jomn mukioa musikae Kwa wazazi mkaembali muwe mnaenda kutembea tu siku mbili mnarud
@malakimollel6044
2 жыл бұрын
Upo sahihi kbs
@baruaninombo291
Жыл бұрын
Wamama wakwe mnaroho mbaya sana unavyomfanyia mtt watu nawako lazima afanyiwe sura mbaya roho mbaya mavi enu
@silviasoka6845
2 жыл бұрын
Uyo mwali ajiandae kuondoka apo maana wakimaliza kuzika wanamrudia yeye maana inaonekana ata hao wengine waliobaki hawampendi
@khadidjasuleiman8006
2 жыл бұрын
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiun ya Allah 😰😰
@nameno8608
2 жыл бұрын
Kwa kawaida Mama humpenda sana mwanae sasa huyo Mama ni pombe kumpiga mwanae hadi kufa lo Dunia imeisha mtoto ni miaka anayosoma akioa ni mtu mzima si wako tena
@masanjaabasi8970
2 жыл бұрын
Point niwalikuwa awampendi mke ona sasa wamemuuwa mtoto wao😭
@deboraadolfu4011
2 жыл бұрын
Allah kawajibu
@agnestemu8382
2 жыл бұрын
Dada ungemwambia tu mumeo mkapangishe jmn😭😭😭😭😭😭
@hamidaalhabsi8568
2 жыл бұрын
Subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni poleni sana familia jamani tupende watoto wa wenzetu wakiolewa na familia zetu sio Vizuri kabisa. Mlevi agombani na mtu ila akikukusudia kuomba na mtu hiyo familia sio nzuri
@estersaul8180
2 жыл бұрын
mungu wanguuu..uturehemu
@auntdorah9141
2 жыл бұрын
Kijana akishaoa , kama ni eneo la familia apewe kwake ajenge akas na mkewe , mama mkwe na mawifi mtulie kwenu. Sio wamama wote lkn asilimia kubwa huingilia ndoa za watoto wao , lazima kuwe na mipaka.
@sanekwilabya2341
2 жыл бұрын
Tumeona upande mmoja wa story. Wakati mwingine wake huchukia kukaa na wamama wakwe hivyo ktk kutafuta sbb ya kuhama BASI huwachonganisha mama mzazi na kijana wake. Hatujui huyo mama ni nini alimwambia mume wake juu ya mama mkwe. Nayeye kimemgharimu kapoteza mume
@irenewile
Жыл бұрын
Daahh huyo mtoto masikini
@hamedahameed148
2 жыл бұрын
Hii habari ya kukaa na mama mkwe na mawifi karibu 🙌🙌 yaani wakigombana wao hadi wewe hawakusemeshi Kwa sababu wanajua wewe ndo chanzo
@auntdorah9141
2 жыл бұрын
Sio mama wakwe wote wabaya, Mimi nimekutana na mama mkwe anayenipenda na ni zaidi ya mkwe kwangu, ni rafiki yangu. Na muolewaji unapoolewa ingia taratibu, wasome, mpende mama wa mumeo na kama mumeo na mama yake hawaelewani wewe sasa uwe mpatanishi , taratibu wataelewana na mama/familia watakupenda tuu. . Na mbaya nyingine ukutane na wifi hajaolewaga au aliachika kwa mumewe!! hawa baadhi yao ni shida!! Ishi nao kwa akili pia.
@leahlucas479
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@leahlucas479
2 жыл бұрын
Huyu dada Jeuri kwa nn hakumjibu Mama mkwe wake??
@mwashabanirashidimitumba7788
2 жыл бұрын
Wengine hata ukiwapenda hawapendeki Mm yamenikuta hayooo nilimfanya km shoga lkn wapi Ukitoka uku nyuma anakuponda hatarrrreee Anasema maneno ambayo hata hujawai kumuambia
@ummiissaabdulissaabdul8117
2 жыл бұрын
uyu mwanamke ni mjeur na pia kulikua na ugomvi mda mwingi na ugomvi ulianza na uyu mwanamke ndio bwana akaingilia mpaka kukosana na familia yake na sisi wanawake wengi uenda miji ya watu na kuvunja familia za watu waume waume ishini na sisi wanawake kwa akili sisi wengi ndio chanzo cha mume kukosa radhi za wazazi
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
@@mwashabanirashidimitumba7788 nakupa hongera namm yamenipata hayo tena unamnunulia mizawad yakutosha lakin daah
@godifreymallya9701
2 жыл бұрын
Zefania tumeagana jioni asubui nambiwa aupotena nas Mungu hiapumzishe rohoyako malipema pepon
@zulfatidrisa7195
2 жыл бұрын
pole sana
@emmalyanga3726
2 жыл бұрын
Poleni sana
@maryamtanzania9743
2 жыл бұрын
Duhuu famila ya hovyo sana
@jaymwinyi6957
2 жыл бұрын
Daah naulizaje c kwa ubaya ila mbna Mikasa mingi inatokea huku Arusha/Mwanza?
@RuzoOwzy
2 жыл бұрын
@@jaymwinyi6957 Nami nataka jua
@jaymwinyi6957
2 жыл бұрын
@@RuzoOwzy au nimekosea bro kuuliza hvyo cz 4ril haimalizi wiki utaskia Arusha /Mwanza matokeo Kila cku wanatuogopesha ss tusiende huko mahali aki
@maurinibaraka8469
Жыл бұрын
Duuuuuuuh pole sana dada
@KADALAtv255
2 жыл бұрын
Acha ujinga wewe huyo kijana sio wa kumpiga mama mnajitetea
@aminakasim1198
2 жыл бұрын
Astaghafirullah mmmmmmmmmh mwenyezi mungu atujaliee mwisho mwemaa
@leiratykisura6718
2 жыл бұрын
Innaillahi wa innaillahi rajiun dunia ipo mwishon tutubuni jaman matukio yamekisiri emani hakuna jmn mnampiga mtu kama mnyama aisee inauma sana
@claudia1500
2 жыл бұрын
Mama..ulikaa leba,ukajifungua kwa uchungu,ukalea mtoto akakua,ukamuozesha,halafu ukaamua kumpiga mbao kichwani mpk ukamuua...nini umefanya?
@walinaziontime7300
2 жыл бұрын
Dhaaaa ni hero to zero kabisa....
@claudia1500
2 жыл бұрын
@@walinaziontime7300 well said
@mariamaussi468
2 жыл бұрын
Hajaumwa
@valeriamtenga3384
2 жыл бұрын
Ni laana za familia Huwa zinafanyaga ivo, pale damu inapohitajika, hata ukijaribu kuangalia, unashindwa kuelewa
@geraldadolf4928
2 жыл бұрын
@@valeriamtenga3384 yaani umeona mbali sana kiukweli mim nimeshuhudia hilo itakua mama alikua anahitajika atoe damu la sivyo ingemtafuna yey ivyo kuna mikataba ya familia inawatumikisha sio bure.yaani uko vizuri Valeria unajua mazingira ya watu wa kaskazin big up big up GOD BLESS U waelimishe na wengine
@fatmaabdallah7709
2 жыл бұрын
Mwanamke mjeuri unamfanyia mkweo dharau
@mamymdogomamy3670
2 жыл бұрын
Hayaja kufika dada
@bintnouh4483
2 жыл бұрын
Hujakaa kwa wakwe tulia
@juliethswai4263
2 жыл бұрын
familia za watu zina mambo acha tu
@fatmaabdallah7709
2 жыл бұрын
@@bintnouh4483 sijakaa kwa wakwe na sitakaa ht siku moja tukawa hatuelewani. Raha ya maisha kuelewana na kuheshimiana ht kama hampendani. Ukiona hamuelewani na wakwe ni kuhama tu sio mpaka kuuwana
@delishaluhyaqueen6950
2 жыл бұрын
This is so sad 😭😭😭😭 lord Jesus locate that lady is so painful
@catherinemusyimi8591
2 жыл бұрын
dada kama mama mkwe akutaki Toka Kwa mwanae au umwambie mme wako muhamie mahali kwingine juu malimbano yataishi hapo ikiwa utakiwi.pole sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
Mmmmmmh!!
@mariamcrispo8296
2 жыл бұрын
Huyo mama Ana laana jamani mie hata sijaelewa kabisa
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Asa wamepata faida gani mwanamke ataolewa wao wamepoteza ndugu
@zainabuyohana3780
2 жыл бұрын
Tujifunze tu kuwa wavumilivu sikilatukio unalo fanyiwa na ndugu wa mme wako unamwambia mmeo vingine tunamuachia Mungu sasa Mme kapotea nitaabu sana kumpoteza Mme jaman tunatakiwa kuwa na hekima sana
@neemaruben5427
2 жыл бұрын
Sio mnahoji hoji watu wtu mtoe na misaada Millard ayooii plz hii kesi ifwatilieni mpk huyu dada apate haki za msingiiiiiiii plz
@cheiknamouna2058
2 жыл бұрын
Sishangai kuskia mwanamke wa kimeru ameua kisa kumkataa mwali hata ukiowa huko Meru yataka moyo 🏃♀️🙌🙌
@ridhiwanakida3074
2 жыл бұрын
Wweeee komaaa shika adabu yako
@josephinekicheleri860
Жыл бұрын
DAMU YA YESU IFUNIKE DAMU YOTE ILIYOMWAGIKA HAPO HOME JINA LA YESU LITUKUZWE
@suleimansultan3333
2 жыл бұрын
Mtihani inaonesha wifi zake ndio shida kubwa inasikitisha sana
@telaamtauta2227
2 жыл бұрын
Jamani jamani.sasa faida ikowapii sasa wewe mamanamawaifii mungu akupe subra sana dada uliyefiwana mumeo.polesana
@rebeckalameck8390
2 жыл бұрын
Mama mkwe wangu sio mbaya japo mapungufu kilamtu anayo ila kabla sijaolewa nilimwambia mumewangu siwezi kuishi na mama yake mzazi yani niishi kwao bola aje kunisalimia na mimi niende kumsalimia ila kuishi ukweni hapana
@shakilamasoud2983
2 жыл бұрын
Huyo Mama Mzazi jamani. Unaenda jela uzeen kweli? Mwenyezi Mungu ampokee mja wake.
@nameno8608
2 жыл бұрын
Pombe hizo
@hamedahameed148
2 жыл бұрын
Inna lilah wainna ilayhi rajiuni
@elizabethjakobo279
Жыл бұрын
Mmmh Mimi stakaa nikae Kwa mama mkwe wa
@happinessmosala2217
2 жыл бұрын
Arusha !!!Arusha !!!what is going on???
@richardlucas9612
2 жыл бұрын
Tatizo dam yao inashida hilotu
@valeriamtenga3384
2 жыл бұрын
Panahhitajika toba, si hivihivi tu
@nicolauselias9084
Жыл бұрын
Huyo mpumbavu anaonekana. Kabisa kua anamtetea huyo mama mbwa Sheria ifate mkondo wake
@hadijamsafiri1767
Жыл бұрын
Dah unaumaa sanaa
@zaipazzi9490
2 жыл бұрын
Inabidi itwaje na kuorodhesha mikoa ya watu wanao ongoza kwa ukatili. Lakini watu wa bwani hawana sifa ya matukio hayo na ukiona purukushani kwa watu wa pwani ni wageni au wahamiaji , wafugaji kutoka mikoa mingine huwa wanaanzisha maugomvi ya kikatili. Serikal ichunguze mikoa yenye matatizo na kufanyiwa kazi ili kukomesha ukatili
@mwashabanirashidimitumba7788
2 жыл бұрын
Watu wapo msibani wanazichanga karata habar hawapati😭
@shakren427
Жыл бұрын
usa_river nikwetu kabisa yani ningua arusha ningenda kushuhudia
@aishaamwalimu2887
2 жыл бұрын
Pole mdada.
@josephinekicheleri860
Жыл бұрын
Wotee jela sasa hivi mtoto atomjua baba yake tena na mwanamke ataishi aolewe sasa MSABABISHI WA UGOMVI HAPO NI NANII ..NYIE WA AWAKE PIA ACHENI UCHO NGANISHI MATOKEOO NI HAYOO
@user-ny2bi8yj1o
10 ай бұрын
Mbona arusha matukio nimengi sana jamani
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
Inna lilah waina ilayhi rajiun
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
Mama kauwa mwanaww duh😭😭😭😭😭
@mariamaussi468
2 жыл бұрын
Mapenz hayana umr
@maisalahmustapha8287
Жыл бұрын
wazazi waliotuzalia wanaume muwe na mioyo ya huruma,nasis tulizaliwa tuliko toka
@josephinekicheleri860
Жыл бұрын
Wazazi waamue sasa hivi kijana akioa aondoke na mkewe wakafanye MAISHA sio kukaa na wazazi na vijana nao wajitambue kwa sababu UKISHAKUAA TAFUTA MAISHA MATOKEO YAKE HAYOO
@shakren427
Жыл бұрын
duh wakwe hawamungu anawaona
@bahatiagape731
2 жыл бұрын
Wameru jamaniiii...duuh...ni balaaa...Nina wifi yangu ni mmeru...Yan ni balaaa....ana mdomo kama bakuli yeye na watoto wake..Yan...siwez elezea...mama neema...duu...umebarikiwa mdomo na neema wako..Yan anachibganisha familia nzima kimya kimyaaa...🤔🤔🤔🤔🥺
@elizaminja4249
13 күн бұрын
mmh, hiyo siyo familia
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Dunia inakwenda kasi sana
@derickmmari594
2 жыл бұрын
Ntakukumbuka rafiki yangu mungu akulazee mahal Pema peponii
@SAM_163
2 жыл бұрын
Mnafahamiana na Marehemu?
@josephamani
Жыл бұрын
Tatizo la kuishi na wazazi wakati mtu umeoa umeisha kua na familia
@jamilajamila4572
2 жыл бұрын
Duh aisee
@mdzainb3722
2 жыл бұрын
Natafuta mwanaume aliefiwa na wazazi 😡😏
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@Legends_Interviews
2 жыл бұрын
😅😅
@cherylcheryl7694
2 жыл бұрын
Hahahahha
@mdzainb3722
2 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 kweli tena kama yupo niunganishe nae😅
@mdzainb3722
2 жыл бұрын
@@cherylcheryl7694 imeniuma sana kakatisha utamu wa mtu 🤔🤔
@yasinramadhan7315
Жыл бұрын
Wanaume wenzangu tuwe makini na ndoa zetu wanawake na mama zetu ni changamoto sana usije ukaishi jilani na mama yako ukiwa umeoa na unaona kabisa maelewano kati ya mkeo na mama cyo mazuli Kaa mbali sana ili kuepusha kama aya
@zaipazzi9490
2 жыл бұрын
Sifurahishwi na ivyo vitendo nikiwa m Tanzania jamani tushirikiane kutokomeza ukatili.
@getrudathomas535
2 жыл бұрын
Duh hao walijipanga mama hakua na busara na watt pia walikuwa na chuki zao wafungwe ili iwe fundisho pia wanaume ukioa jitegemee mambo ya nyumbani kuna nyumba kubwa yamepitwa na wakati.kila binadam anamapungufu yake.mama mkwe asipokupenda lazima ugomvi wa familia uwepo.
@esaumkumbo5586
2 жыл бұрын
Mmmh ..
@reginasigera4204
Жыл бұрын
Tatizo ya kukaa kwa wakwe hyo nimazara makubwa
@mariamali1887
2 жыл бұрын
Daah inasikitisha mnmuua ndugu kwa ujinga .yote hayo kukaa na famili kazi sana
@AlAl-sd9pl
2 жыл бұрын
Mungu wangu
@jrjuma7054
2 жыл бұрын
Mama na watoto wake hii sio poa 😭😭
@ayshajeffa7343
Жыл бұрын
walimchukia😭😭😭😭😭😭
@AminaHibraim-me6cu
10 ай бұрын
Hao ndo baadhi ya ndugu w mume
@marylyobha3956
2 жыл бұрын
Cjapenda kwakwel Sheria ungekuwa mikononi mwangu ningewanyonga live nmeumia Sana yn mnamuua ndugu yenu hii co haki😭😭😭😪
@joycejonathan1459
Жыл бұрын
Hivi kwann watu wa arusha mna mioyo migum kiasi hiko jamani?
Пікірлер: 298