hizo ndizo zilikuwa taarab. su upuzi huu wa sasa. pongezi babu!
@hamisimwasahani8232
9 жыл бұрын
Nendepi na Pendo Langu Nawe Ushanikimbia_!? Nimebaki pekeangu nazunguka Nikilia _ _ _! O oooh O ooooh _ __!!! Hongera Maulidi Juma , Wanikumbusha yaliyopita _ _! Ilikuwa ikiniliza pindi ninapo Isikia _ _ na mpaka sasa Nashindwa kujizuiaa _ _ _ _!!!!?
@sumaiyabbygirl720
7 жыл бұрын
Hamisi Mwasahani pole... Hamisi mwasahani..the same
@munaaabdallah9434
7 жыл бұрын
sumaiya bby girl q
@sumaiyabbygirl720
7 жыл бұрын
Munna Abdullah
@nuriali-fz4hp
4 ай бұрын
King of taarab.
@GAHRERE
5 жыл бұрын
Taarab za hakika hazipo tena, siku hizi taarab hata hazifikii makombo ya zamani. Nyimbo za zamani zaingia kwenye mishipa ukazihisi zinatambaa na damu mwilini.
@neshabdul2256
Жыл бұрын
Wao kushakuwa tabu sasa wapi hiyo akhery zeman tusilizane hapa
@fatumakaniki5325
6 жыл бұрын
😭😭😭waniliza mieee
@sudimzuka1990
4 жыл бұрын
Kweli
@farajhamis13
3 жыл бұрын
Pole
@bahathirashid1856
3 жыл бұрын
Wimbo waliza kweli kwa kila alotendwa 👌
@sumaiyabbygirl720
7 жыл бұрын
mmmmh imenigusa kweli hii nyimbo
@omarfaki2258
7 жыл бұрын
yaani wimbo huu unanikumbusha miaka mingi iliyopita yaliponikuta nikiwa bado kijana sana
Пікірлер: 56