INjili ya kweli haipendwi😢ehee Mungu tusaidie wengi wetu nivipofu wa kiroho 😭😭😭😭ongeza volume cassian mtumishi wa yesu Christo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AmuriEzekiel-bb1kc
7 ай бұрын
Tuombe sana nguvu za Mungu Roho Mtakatifu atujaze nyakati za hatari tunaziishi sasa, ubarikiwe sana muhubiri Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO.
@CecileNgendapasi
7 ай бұрын
Mungu akulinde malipote Wendapo mtumishi wa bwana
@JohnkisinzaJohn
10 ай бұрын
MUNGU Akulinde na akubark Kwa ujumbe safi endelea kupaza saut watu wapate kuisikia kweli na hababar njema zienee duniani kote
@MGALILAYABillionaire
11 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ujumbe huu! Hii ni kweli dini ishkwisha pitishwa inaitwa 'CHRISTISLAM' Ambapo ni dini tu hakuna kuomba ni kutembea kama wafu maana bila Roho Mtakatifu tu wafu... Bali kwa uweza wa Mungu walio wake aliowatia muhuri wake tokea kuubwa kwa ulimwengu hawatapotea Mungu atawasaidia... Aliye na masikio asikie ujumbe huu maana ni kweli
@adkajisi4536
11 ай бұрын
Thibitisha kauli yako
@MGALILAYABillionaire
11 ай бұрын
@adkajisi4536 Inaitwa CHRISLAM nilikosea... mambo haya pope alianzia 2016... na wachungaji wengi wamesign bila kujua wanachokifanya.... Abraham accord signed walikuwa na mjengo na sasa wachamaliza kujenga in Abu Dhabi . Kama unataka kujua zaidi ingia utube search CHRISLAM utaona maajabu.
@MGALILAYABillionaire
11 ай бұрын
@@adkajisi4536 Abu Dhabi in (UAE) UNITED ARAB EMIRATES... ukweli unajulikana wana wa Mungu wa kweli wapo macho maana hakuna jambo linalotendeka bila Yesu kuwafunulia watoto wake. Wakati ni huu wakutegeneza na Bwana.. muda umeisha
@HappyClement-x5y
Ай бұрын
Amina ubarikiwe sana
@RoseMrutu-p3f
10 ай бұрын
Hii ndio injili tumechoka kusikia mazingaumbwe. Na sarakasi makanisani.
@martinahlighare6495
11 ай бұрын
Mungu turehemu kwa hizi nyakati.
@MlOscar-b9y
20 күн бұрын
mungu na azidi kukubarik mtumishi wa mungu❤❤❤
@MaryBuzingo
5 ай бұрын
Ubarikiww mtu wa mungu sema ukweli watu tupone
@sianagodson3690
11 ай бұрын
Haya yote unayosema Ni kweli Mtumishi, Mipango yote ipo tayari, tunamshukuru Mungu kukupa nafas ya kuyasema, nataman upate kibali uzungukie makanisa yote ,ukiamsha wakristo,haya Mambo sio kila mtu ana ujasiri wa kusema,tumebaki kuhubiriwa mafanikio tu,nakusaulishwa majira ya mavuno yapo mlangoni...Yesu Kristo tusaidie.
@josephoresinisaidieninamta1187
11 ай бұрын
Ni kweli usipingika tumwamini Yesu
@akothchristine4752
11 ай бұрын
Thank you so much for preaching good news pastor be protected by the blood of Jesus Christ
@josephoresinisaidieninamta1187
11 ай бұрын
Tunakuombea mtumishi wa Mungu songo mbele
@ElimengiridaMugisha-ex6tc
11 ай бұрын
Mungu awe nawe daima , SEMA na huo ndo ukweli watu waache kuhubiri mafanikio tu Bali ukweli kuhusu union Wa Yesu
@bamag-021
11 ай бұрын
Vizur pr Mungu azidi kukufunulia zaidi . Ufunuo wa Yohana 14:12 [12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu. Ufunuo wa Yohana 12:17 [17]Joka akamkasirikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu; naye akasimama juu ya mchanga wa bahari. MAmbo hayo mawili ndio joka anavita nayo Kama huna hayo ujue hauna xhida na shetani. Tusome biblia. Daniel 7:25 Danieli 7:25 [25]Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Joka/ mnyama alibadili Sheria/AMRI za Mungu
@WILLIAMCHACHA-s6b
11 ай бұрын
Mungu atujaze roho mtakatifu siku za mateso zimewadia
@ImeldaMyinga
3 ай бұрын
Aiseeee mungu atusaidie
@mariamswedi1140
11 ай бұрын
kweli kabisa ubarikiwe mtumishi walimtesa Yesu na mpk leo wanawatia watu wao mioyo migumu ya kutokumuelewa Yesu wanaaminishwa uongo wa kuabudu sanamu
@josephinejotham8673
10 ай бұрын
Uko sahihi kabisa pastor
@rosemuhandoofficial5676
11 ай бұрын
Weeeeehhhh!!! Mungu tusaidie
@pauloflansisco5006
11 ай бұрын
Dada ubarikiwe pia mungu akutunze
@Pendopasilika
11 ай бұрын
Tumwombe MUNGU rehema ili siku ukifika tuwe Safi yasitupate mabaya MUNGU atusaidie
@beatricemwasunda5027
11 ай бұрын
Mwenye sikio na asikie...ambayo mtumishi wa Mungu aliambia kanisa
@evelinadodie9443
10 ай бұрын
haya mahubiri ni adimu sana ila Mungu yumwema anazidi kuwatumia watu wake Ili tujue nyakati tulizonazo
@yustermayenga6991
11 ай бұрын
Amina hii ndyo injili ya agano la kale na jipya injili ya umilele bwana ameinua mawe na milima inaongea malanathaaaaa yesu anakuja hata waliopewa ujumbe wanaogopa
@Merry1980Meme
10 ай бұрын
Mungu tupe mwisho mwema
@WILLIAMCHACHA-s6b
11 ай бұрын
Cassian mungu akubariki mtumishi
@meshackmayenga969
10 ай бұрын
Ubarikiwe
@CecileNgendapasi
7 ай бұрын
❤❤❤❤ amen
@WILLIAMCHACHA-s6b
11 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwna
@janethmwihumbo1289
11 ай бұрын
Eee Mungu tupe mwisho mwema
@revocatusbusia
11 ай бұрын
Barikiwa saana
@Dukeswanya-vm7cb
11 ай бұрын
Pascal ni ukweli unaohubiri pia nyimbo zangu nazitumia sana kusambaza ujumbe....
@ElizabetBoniface
11 ай бұрын
Mungu atusaidie
@MakaliusNgua
11 ай бұрын
Eee mungu tuhurumie
@tuzonyava8306
10 ай бұрын
Hii dunia kilicho baki nikila mtu aamin anavyojua yeye kwa maana ukigeuka uku wanasema ivi kule ivi sasa tufate nini au nani mh kilamtu afate yake
@amanimanase8799
11 ай бұрын
Asante yesu
@lilianwanjala8728
11 ай бұрын
Mungu tusaidie kwa kweli pekeetu hatuezi
@BoazRabidytv
11 ай бұрын
Mungu akutie nguvu
@westonkatiti9120
11 ай бұрын
Mtumishi mawasiliano yako ni muhim sana
@Pendopasilika
11 ай бұрын
Yemweee Ee MUNGU tusaidie hali ni mbaya
@GrolyDundus
11 ай бұрын
MUNGU TUSAIDIE Hizi ninyakati za mwisho hakika
@peterleonard1441
11 ай бұрын
Unaweza kumshabikia huyu. Lakini anachoongea Kina upotoshaji mwingi. Hata Maandiko yanatafasiriwa kwa namna ya maoni binafsi.
@SaimonleonardtanzaniaTanzania
11 ай бұрын
Ameeeen
@Aziz-p6s
11 ай бұрын
Sasa tufanyeje mkuu
@QueenNyondo-h1m
4 ай бұрын
😭😭🙆
@maombikonga
10 ай бұрын
uhongo
@OyengelaMariam-wk6qm
11 ай бұрын
Amen
@lydhiafataki1489
11 ай бұрын
Unasema ukweli mateso yaja lakini Yesu atatujaza nguvu za kukili
@donovanonesmo2396
11 ай бұрын
Mahubiri mazuri yamenibariki bwana na azidi kukutumia
@mikabaylon1756
11 ай бұрын
We nawe ni Kapavu tu!!! unaelewa nini????
@hildanjau3991
11 ай бұрын
Ni kweli
@Woman-r4t
11 ай бұрын
Katoliki hakuna siku watahubiri kwa church ingine
@stellahokworo3947
11 ай бұрын
Hatuna wakati wa kuhubiri juu ya kanisa lingine bali tuhubiri habari ya wokovu mimi ni mkatoliki original
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
11 ай бұрын
Si ya kweli bibiliasiyo hivyo
@HAYABOYTV1
11 ай бұрын
Mmmh🥹🥹🥹. Papa ameingiaje ?????.
@janethmwihumbo1289
11 ай бұрын
Kamsome ufunuo alitabiriwa
@janethmwihumbo1289
11 ай бұрын
Na sijawai muona anahubiri utoto wng adi ukubwa huu ,zaidi ya kufanya ziara Mimi nilikuwa Roma nimetoka
@HAYABOYTV1
11 ай бұрын
@@janethmwihumbo1289 kilichokutoa ni Nini???
@janethmwihumbo1289
11 ай бұрын
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
@janethmwihumbo1289
11 ай бұрын
@@HAYABOYTV1 ata kuwa Mungu mwenyewe maana nilikuwa na msumbua katekista aliye tufundisha mafundisho ya kipaimala ,kwann hapa hamuubiri Kama makanisa ya kilokole na kwaya nilikuwa naimba ,mda ulifika need litoka,mpaka Sasa natamani nichungwe na muhubiri atakaye nisaidia nifike mbinguni ,nauwa na zingatia Sana Kama naabudu sehemu sahihi
@karenstephen8738
11 ай бұрын
Wewe hubiri hiyo chekechea yako mpuuzi tu
@mikabaylon1756
11 ай бұрын
Changamoto za mke wako zisiruhishe wewe kama mume badala ya kusuruhisha na kuongelea mke wa jirani unaonekana kapumbavu fulani ivii huna elimu ya Theology ni utoporo tupu, ulikua freemason ni wapi umeomba msamaha au kutubu?????
Ukiona mtu anahubiri juu ya dini fulani huyo hajielewi
@LuciKahise-sb8zh
11 ай бұрын
MUNGU Tunusuru ,"bas Kwa Mti tujifunze Tawi lake likichipua kutambua majan yake wakt wa mavuno u karb. Alisema myaonapo hayo yote changamken inueni hayo macho yenu wokovu wenu I karbuuuuuu
@VenerandaKundi-ph4hg
11 ай бұрын
Mahubiri Gani hayo huyo papa unamtafuta nini shauri yako sijawahi haya siku Moja Padre anahubiri dini za wengine fuata yako isije ukamudhi muumba Kila neno unalosema siku ya mwisho utatolea hesabu😂😂😂😂😂
@martinisadru9899
10 ай бұрын
Ukichunguza kwa kina! Hata uislamu ulianzishwa na wakatoriki, kwa mujibu wa kina ndani ya bibilia, mpinga kristo ni papa, na nabii wake wa uongo ni muhamadi, japo waislamu ni wabishi kupindukia, na hawaamini hilo kabisa. UKRISTO wa kweli ni pentecost ile ya roho mtakatifu hadi sasa.
@tuzonyava8306
10 ай бұрын
Uposahihi lakini Akija msabato mtapingana na uchunguzi wako , apo ndipo utakapo jua yakua ulimwengu huu kila mtu nimjuaj
@maryamabdallah3140
10 ай бұрын
Usipende kuongee usilo na elimu nalo...
@stellahokworo3947
11 ай бұрын
Sasa wewe unatafuta washirika ukiaribia kanisa lingine uuuuuuuiiiii kanisa halipeleki mtu mbinguni bali imani kumbuka wakatoliki hatuna time ya kuongelea dini zingine .wewe kwanza angalia kwa mkono wako utaiona nyundo
@CharlesMisungwi-f8t
11 ай бұрын
Kama niunabii wewe unauwezo wakusimika unabiimwingine kutokakwaMunguyupi?tusaidie.
@meshackmtewele718
11 ай бұрын
Duuuu Injili za mihemko Kama hizi hazifikagi mbali.wasii watu waache dhambi wasiyumbishwe Na kitu chochote haijarishi utatishwa kuuawa.sasa wewee ni kutisha watu hoo mtakufa kwani kunamtu hatakufa.kikubwa ni kujiandaa.ili kifo kikawe faida kwetu bila kujarisha utakufaje
@adkajisi4536
11 ай бұрын
Point
@flm1530
11 ай бұрын
Pointless
@frankjohn8706
11 ай бұрын
Shida watu wakristo bandia hawawezi jua mambo ya ufunuo maana sio ya kidini ni ya kinabii ya Kutoka kwa Mungu
@anselmimarandu2293
10 ай бұрын
Huyu anayehubiri nae ni wivu tuu umemjaa. Asche upimbi tafuta wajinga wenzio. Wafuadi hawatafutwi kwa kuchafua wengine kumbuka hata mababu na mababu walikuwa kama wewre lakini kanisa katoliki daima lipo nalitendelea kuwepo kwani lina umoja.
@peterleonard1441
24 күн бұрын
Acha kujitafasiria Biblia unavyojisikia na unavyotamani. Kimsingi hakuna anayeweza kujitafasiria maandiko matakatifu mwenyewe. Kanisa ndilo lenye mamlaka ya kutafasiri Biblia. Unapaswa kuongea ukweli wa Kimungu not your favorite interest and expectation and desire and prejudices.
Пікірлер: 96