Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏
@rawchah9920
3 жыл бұрын
allh akujaalie maisha marefu pro mazinge kaka
@maherzain615
3 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na afya. sheikh wetu mazinge.wakristo yataka mumshukuru sana mazinge ana hamu yakuwaokoa na moto
@henryshiyo5374
3 жыл бұрын
Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu
@ellykiupa3696
2 жыл бұрын
@@henryshiyo5374 wewe hujielewi pole sana
@henryshiyo5374
2 жыл бұрын
@@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii
@badruhamisi7289
2 жыл бұрын
@@henryshiyo5374 €
@badruhamisi7289
2 жыл бұрын
@@henryshiyo5374 *p* *pp***
@mwitaproduction5380
3 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu uzidi kuisambaza dini ya Allah pia ushinde changamoto zitakazo kukabil katika kazi nzito ya Allah
@idrisjafar37
2 жыл бұрын
Amin ya rabbi❤
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Mashallah professor Mazinge DD Allah akuweke. 😍
@eshasalim5496
3 жыл бұрын
Amiin
@badruhamisi7289
2 жыл бұрын
@@eshasalim5496 9ps
@shakila3982
3 жыл бұрын
Yaani kwa Mazinge huruki, alafu mwenye kipaza sauti kanimaliza, yaani akiambiwa achukue mike, ni kama radi chwa chwa mike inachukuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salumkagame509
3 жыл бұрын
Nami nimeona kama upepo
@onlyonetztv610
3 жыл бұрын
Nimecheka mno
@shakila3982
3 жыл бұрын
@@onlyonetztv610 😂😂😂😂😂mimi ndio kabisaaa
@aminaluttu649
3 жыл бұрын
Ahahahahha nimemuona kwel Ahahahahha dah
@raziaidd2392
3 жыл бұрын
Ma shaa Allah sheikhe mazinge Allah awalipe kila la kheir
@eshasalim5496
3 жыл бұрын
Amiin Ya Rabb
@avalonking1655
Жыл бұрын
Mazinge unatisha baba Allah azidi kukufunilia hingera sana big up Ma shaa Allah🙏
@ashourarashid289
3 жыл бұрын
Uislam ndio dini ya kweli allah atupe mwisho mwema
@marimyussuf3374
2 жыл бұрын
Ameen ameen ya rabb
@raiyaaaraiyaa6054
3 жыл бұрын
MashaAllah, sheikh mazinge na wenzio. Allah awalipe kila la kheri
@fatumamuiya6089
3 жыл бұрын
Amiiin
@jamilajamila4572
3 жыл бұрын
Shekh mazinge nakupenda sana shekh wetu
@eshasalim5496
3 жыл бұрын
Amiin Ya Rabb
@wiliamramadhan6274
3 жыл бұрын
Mazinge mwehu tu
@jamilajamila4572
3 жыл бұрын
@@wiliamramadhan6274 wee ndo mwehu
@neemainabikorwa5570
3 жыл бұрын
Cheikh Mazinge na muomba Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara, na wa islam wote .
@nicholasgabriel8805
3 жыл бұрын
Mazinge tafadhali naomba uokoke jehanam inakuhusu
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Maa Shaa Allaah Alhamdulillah Kiboko yao Sheikh p
@suleimanabdull1958
3 жыл бұрын
Ahsante Swaim this is Mazinge classic ninayo lkni kwenye video cassette Leo nimefurahi. Thanks.
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/yKOjypyaoZOCn4Y
@ahmedotuman109
3 жыл бұрын
Mazinge Allah akujaalie pumz ili uzd kufubdsha makafir hawa
@jumjumsaid3552
3 жыл бұрын
Huyu professor kweli
@minabuelysee8
2 жыл бұрын
Allah atawalipa nyinyi wote mnatetea Dini ya Allah
@rajabomar4505
3 жыл бұрын
Pasta odada ana hasira kweli naona amehamaki kweli hahahahahahahah
@hilalkhalfan1452
3 жыл бұрын
Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@habibukalema3127
2 жыл бұрын
Wallah mazinge kwa uwezo wa manan amejaaliwa sana
@saumuseif9189
3 жыл бұрын
Mazinge 😀 Allah akupe umri mrefu
@user-bu9wq4lp3f
3 жыл бұрын
Wakristo ingieni katika dini ya haki ukapate raha za milele
@kichenjekichenje2072
3 жыл бұрын
Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?
@user-bu9wq4lp3f
2 жыл бұрын
@@kichenjekichenje2072 huyo yesu nae alisomea wapi jamani
@mangeraalbert7982
3 жыл бұрын
Mazinge Allah will protect you, amin
@aminamohammed5373
3 жыл бұрын
Profesa mazinge aallaha akuweke akupe afya kila penye uzito allaha akufanyie wepes inshaallah tunakupenda ❤
@sumaonemaloko1815
3 жыл бұрын
Hatari sana Mazinge mungu ampe maisha marefu na ya baraka🙏🤝🤲🏼🤲
@hamisishekifu7526
Жыл бұрын
Tutaelewatu,
@falidiamiiamii-jz5pf
18 күн бұрын
Huy sh taungia ktamb kibok mpak leo sh mazng allah akuzdishie
@edikiumbe7391
2 жыл бұрын
USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH
@user-ty1fq7sw4l
8 ай бұрын
Anafurahsha can maznge
@msellemseif3102
Жыл бұрын
Professional.Habib Mazinge
@khatibjuma9455
2 жыл бұрын
Allah akupe nguvu zakuwashinda makafiri waongoke njia
@SodanaMrisho-hu4by
4 ай бұрын
Mungu akujaze kheri
@KambaleShabani
Жыл бұрын
A s l m a l km.nashukuru.kwa.mihadharz
@suleimansuleiman1127
3 жыл бұрын
Usihame kwanza Mike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@makenakendi9014
3 жыл бұрын
ALLAH BARIIK
@bonabonala5559
9 ай бұрын
mazinge umefeli muhamadi ajatairiwa toka akiwa hause boy muhadi mpaka kumpata mjane adija
@baaliyanuun416
3 жыл бұрын
Kiboko ya wakiristo komando wa uislam prof MAZINGE 🤣🤣🤣
@mangeraalbert7982
3 жыл бұрын
Amri wetu
@farhatislam6550
3 жыл бұрын
Nampenda kwA ajili ya allah..yaarab mlinde kwA kila shari.
@joezeno8
3 жыл бұрын
Hana lolote
@joezeno8
3 жыл бұрын
Mazinge hana lolote
@farhatislam6550
3 жыл бұрын
@@joezeno8 Sasa Kama wewe jiná pekee linaitwa Joe zero umebakisha nini mwenye sufuri 😆😆😆
@hajiahmad2328
3 жыл бұрын
Mazinge kiboko yenu wakiristo
@ibrahimfarha3853
2 жыл бұрын
Quoran kwenye vicwa vyenu .....bible kwenye vicwa vyenu Allah awaingizeni peponi bila isabu mnaifanya kazi kubwa
@costazia6507
2 жыл бұрын
Pastor big up sana mtumishi MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏
@ahmedshaffiq8888
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww kalale
@khatibramadhan8740
2 жыл бұрын
Polee
@salmamwanyiro8348
3 жыл бұрын
Huyu pastor kakurupuka akujui shekh mazinge huyo kwenye sura yake kashindwa
@husnaodhiambo6848
3 жыл бұрын
Mashallah
@wazoboy1319
2 жыл бұрын
Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini
I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢
@analyticalguru5851
2 жыл бұрын
Wakristo wajanja sana na waongo usiwache waongo waonge
@gideonmwangi3535
6 ай бұрын
Mazinge kazi yake nikurukaru bado anajidifedi na bibilia kwakiristo sitoki
@user-nr1bf7iu8z
3 жыл бұрын
Allahu Akibaru
@mussaluhizo5693
Жыл бұрын
Doh unanfurahisha sana mazinge
@shabamuhidin634
3 жыл бұрын
mda wote nimekaa natazama sjaona ata mara moja pastor katoa andiko ata moja
@bmstatic8150
2 жыл бұрын
Mash'Allah
@abdallahbinzayd3464
3 жыл бұрын
Takbiriii
@user-im2db1nc9b
2 жыл бұрын
Ni vizuri mtu akiuliza kwa utulivu basi mnamjibu kwa Busara sio ugomvi uislam ni Salaam hata tukamilishe Uislam wetu kwa usalama
@mswabumhogo1334
3 жыл бұрын
ety akili imeingiwa na mafut ya taaaaa
@latifalatifa2838
2 жыл бұрын
Nakupenda sana mazingi
@BensonMpomo
4 ай бұрын
nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo
@ramadhaniathumanibatumnwa1842
Жыл бұрын
Mashalah mfundisheeee huyo hajui
@user-bu9wq4lp3f
3 жыл бұрын
Wewe ndio mjinga acha kubabaika onyesha injili ww
@ahmedshaffiq8888
2 жыл бұрын
Ww kalale tuh mkafiri
@marimyussuf3374
2 жыл бұрын
😂😂lazima ubabaike 2 odada ukirist cio din jmniiiiiiii
@missrukia9661
3 жыл бұрын
Subhanallhaaa
@yahyasalum5634
3 жыл бұрын
Mashaallah
@calvinmangwea9249
3 жыл бұрын
Shekh maulana
@calvinmangwea9249
3 жыл бұрын
Shekh maulana
@victornzai93
2 ай бұрын
17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '
@kinyanyaonline3658
3 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu Aamin
@ramadhaniathumanibatumnwa1842
Жыл бұрын
Mueleweshe Shekhe wetu
@thabitimzungu8381
3 жыл бұрын
Takbiiiir
@shomariabrahman2876
3 жыл бұрын
Subhanallah
@kamalmukaddam1297
3 жыл бұрын
Mashaalah
@avalonking1655
Жыл бұрын
Huyu pastor anaitwa odada au dada😀😀😀
@WILLIAMCHINA
9 ай бұрын
Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio
@peterpaul6665
3 жыл бұрын
Hakuna pasta apo huyonni muislamu mwenzako ...akili ndogo sana....
Watakuwelewa2 komando wetu lazma watasalut ww ndo kiboko ya o
@wiliamramadhan6274
3 жыл бұрын
Mazige huna jipmy
@issackkachega8392
3 жыл бұрын
Waooo maashaallahh mwenyez mungu akulinde
@lkshmykomar5472
3 жыл бұрын
@@issackkachega8392 amina ishalla naww piya
@fatahhugan8978
2 жыл бұрын
Takbiir allahu akbar
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Mkono WA sweta mazinge
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
Yanimikafiri mm naishangaa mn yanakuja kuuliza maswali nahayajajipanga au yanafkiri yenyewe hatoulizwa? Yani yakiulizwa maswali yenyewe hujubabaisha kanakwamba hayaelewi kiswahili
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
Tena wanajifanyaga wamekomoa kweli sasa wakijibiwa na kuulizwa wao wamajizunguushaaaa weeeee
@jamilaalfarsi7712
3 жыл бұрын
@@ummuhkhalfan5542 umeona eeee yani hujakwenye midahalo kwamarefu namapana namiswali yao yakijinga wakijitapa Leo naenda kuwaumbua waislamu yakiuliza na yakajibiwa hujifanya hayaelewi na yakiulizwa yenyewe maswali hujifanya viziwi mikafiri mwana
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
@@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
@@samuelcn9253 Kuna mhadhara wa mitume wa zamani walikuwa dini gani ndo nafatilia wanaonyesha channel mbalimbali
@omarykseko9876
3 жыл бұрын
Usiwatukane wenzio kenge we
@RtnhunterRenixy-ej3zp
9 ай бұрын
Aisee mazinge hatari nakukubali Kwa hoja zako
@nassoroseif8576
3 жыл бұрын
Mazinge nimwalim wa walim
@user-fy4op1sw2f
7 ай бұрын
Duuh kumbe odada zunga😂😂😂😂
@saidahmed9688
10 ай бұрын
mhadhara mzuri
@MakataWaMakatani
4 ай бұрын
😂 subhanallah 🤣 ALLAHu swwamaad ❤
@omarychipeta3148
Жыл бұрын
allah a2pe mwisho mwema
@user-ty1fq7sw4l
8 ай бұрын
Waggum sema mazinge kayatimba
@faridalitela8730
8 ай бұрын
Mazinge wapeleke darasani hao
@abdallahsultan8528
Жыл бұрын
Huyu mwamba noma
@kulthumhaji6928
3 жыл бұрын
Mdahalo ni mzuri na ni Darasa zuri.
@sabrinakhamis7731
3 жыл бұрын
Pasta wacha uongo...umemuota shuzniger..waenda toa uongo kanisani
@pharijarasarungi3166
Жыл бұрын
Hi
@abdullahyusufutabu3521
2 жыл бұрын
Thanks
@gharibislam1586
3 жыл бұрын
Huyo hana lolote, sheikh Mazinge unapoteza mda
@marimyussuf3374
2 жыл бұрын
Hana hoja yyt upumbav m2pu
@marimyussuf3374
2 жыл бұрын
Ee ukirsto sio din jmn ...
@mickmonster9140
3 жыл бұрын
Taqbireeee
@elispiuselias1339
3 жыл бұрын
huyu jamaa anajua mpk mazinge kalazimisha mada nyingine, amekosa mada iwe nyingine! toa andiko acha kuzunguka!
@barkyabdallahsuleiman7069
2 жыл бұрын
Mazinge may Allah guide you mashaallah
@muanashaswaleh5110
3 жыл бұрын
Watatairiwa wapi wakristo wote magozi vifumbu virefu
@lillykhalayi80
3 жыл бұрын
Hahahaa kweli,Paulo mwanzilishi wa ukristo hakutahiriwa,wakristo watatahiriwa vipi?
@WILLIAMCHINA
9 ай бұрын
Mazinge Ni Muongo , Vitabu corani Inadai Kitabu Cha Mungu Nani Kakuletea Ni Muhadi Muhadi Alikuwa Nani ? Nimtu na Yeye Ndio alisema kaongea na Mungu ,
@Jabaman207-ue6sk
2 ай бұрын
M,a mazinge
@shakilamasoud2983
3 жыл бұрын
Jina tuu utata ' eti kristo Yesu.
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Hhhhhhh
@abdulismaisma5069
3 жыл бұрын
Mash'Allah!
@zairunyary7023
3 жыл бұрын
Pole mazinge
@abubakarymwinyi2026
Жыл бұрын
Yanini
@franciskiio9980
3 жыл бұрын
Mazinge hajawai patana na mtu yuko serious uone akibatizwa mchana 😷
@lillykhalayi80
3 жыл бұрын
Atabatizwa kwa lipi na ukweli alishaujua kwamba ukristo sio dini...
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Unaonaje ukimtafutia huyo mtu?
@user-lp6oy7wt6j
3 жыл бұрын
Nimecheka saana saana
@tubunshadrack7206
3 жыл бұрын
Wewe ni muhuni tu majibu gani hayo
@aliabdikadir6596
3 жыл бұрын
Safiri mkubwa
@juliusvicent8247
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 🤣🤣🤣 ww jaman mbona ipo waz
@adammasunga5363
3 жыл бұрын
Mbona mnamtoa kwenye maana na kuongeza maswali ambayo hajajanayo Shida mazige hamumujui propaganda nyingi sana
Пікірлер: 515