Mashaallah Mashaallah Masheikh Allah awape maisha malefu na pepo ya filidas inshallah
@BarakaJembe
2 ай бұрын
MashaAllah Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha mazuri
@DjumaDjuma-fb1nb
2 ай бұрын
😂😂😂napenda sana dini yangu ya wislam😂😂🎉🎉
@bakarbaraza2565
Ай бұрын
Masha Allah Sheikh Mazinge
@RayaRashid-dc2hn
3 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah wwna timu yako
@AminaLibisa
Ай бұрын
Najivunia kua muislam Asante sana Mungu 🙏❤❤❤❤❤
@salimhamisi4857
Ай бұрын
maasha allah
@suleimanmrita1992
2 ай бұрын
MashaAllah ww mzee mungu akuwek saan wakimbize hao wachungaji awajui dini
@user-xc8nq3pr1i
2 ай бұрын
Mashallah
@user-fd5pb1dt4j
Ай бұрын
Mazinge baba nakukubali sana
@faridahalwaily85
8 ай бұрын
MashaAllaah MashaAllaah yarrrraaaab uzidisheeee uislaamuh uweee na nguvuuu na imaaani daimah…..
@user-oc7ue3ht8e
19 күн бұрын
mwenyezimungu akulipe kila la khery sheikhe Habib mazinge
@AlideanimoqueandameAnimoque
2 ай бұрын
Nipo nje yanchi yako nipatikana mozambiki nakuomba sana unipatie elimu yako kwa uwezo wa allah.
@AlideanimoqueandameAnimoque
2 ай бұрын
Kabla ya kusema maneno yangu nakusifia mungu akubariki sana maana wewe ni msomi zaidi, mimi naithwa alidi pashengo, natamani unisomeshe wewe shekh mazinge ila mimi
@user-ek7bx6sk6f
Ай бұрын
MaashaAllah ALLAH AKBAR
@user-xx9qt6ym6v
2 ай бұрын
ALLAHU AKBAR❤
@bakarbaraza2565
2 күн бұрын
Allahu Akbar
@user-sg7cp3ks9q
5 ай бұрын
Hakuna dini ya ukweli kama uisilamu
@HusseinKagesho
Ай бұрын
jameni Mazinge kasema huyu leo hat oki hapa eheeeedee bwana mazinge uwanja wetu wa buxton mombasa ulienda yaani palijengwa magorofa....Mimi ni kiona hio mijengo huo sita muona mazinge tena.Mazinge usihame vituoni vyako vya mhadhara ...unavitembelea kama ulivyoanza mihadhara umeleta sifa kubwa sana na Nuru kwadini zote mbili kwa hivyo ..endelea kuwapa wagonjwa wa urongo vidonge ..✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🌹🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mckobatz5861
Ай бұрын
Ila hakuna njia ya kwenda mbinguni kama Yesu
@h.alshidhani8971
Ай бұрын
MashaAllah
@WardaomarWarda
Ай бұрын
Maashallaaa ❤ 4:18
@HusseinKagesho
Ай бұрын
Mazinge sioni Naota ....eheeeeee!! Raha ni Raha naona moyoni Nakilio ahaaaaaaa aliekuita mazinge ina afanyiwe karamu ya nguvu kwani Mazinge alifungua wengi macho na kutoa wengi taka maskioni....Hussein kagesho mombasa.....shimanzi mosquebau grain bulk mosque kwaimam ustaadh Alwyshatri
@halimaa9367
Ай бұрын
Subhan Alha
@SurprisedApron-uq7kg
Ай бұрын
Mazinge kiboko yawo
@FaabienBUKURU
Ай бұрын
Allah akbar
@GaudianKiwia
2 ай бұрын
Kwa kweli Uislamu ni dini ya kweli tulipotezwa muda mrefu Mwenyezi MUNGU ATUNUSURU WENGI WAREJEHE KATIKA UISLAMU TAKBIR ALLAHU AKBAR
@KabatoniBoraa
2 ай бұрын
Na akupe maisha careful.nam wanangu ma sheikh zangu nawapenda bila unafki.mazinge Dr sule mwaipopo nawengine wooote.
@FaridSadik-zr5si
Ай бұрын
Nakukubali she he watieadabu hao
@RayaRashid-dc2hn
3 ай бұрын
Najiskia rahaaaa kuwa muislam
@GaudianKiwia
2 ай бұрын
Allahu Akbar MUNGU AWAONGOZE
@NadhiraNa-vm5hs
Ай бұрын
Mungu waongoze wote walio potezwa
@ElijaMwasi
Ай бұрын
Mazinge Allah akujaalie yote yaliio mema
@omakuruasirafu8904
Ай бұрын
ALIHAMINDULILAH SAW
@mulewakatana2518
Ай бұрын
Kiboko Yako ndàcha
@user-os4eu4qd5m
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂sbuhannah allah awaongoze njia shihi
@mckobatz5861
Ай бұрын
Mazinge anachekesha 😂😂😂
@hassanfrint-ke591
3 ай бұрын
Allah akbarr
@KabatoniBoraa
2 ай бұрын
Sheikh wetu wewe mazinge Allah akuifadhi akupe watoto watakao kuwa na elim yakufaham kama wewe
Пікірлер: 44