Amena Amen baba Yani ubarkiwe Sana kwa hili somo🙏🙏
@HabamunguntakobajiraJustin
6 ай бұрын
Amen baba yetu
@fulgencenayingo8919
Жыл бұрын
Nikosa kubwa Sana kujifanya unamjua mtumishi wa Mungu kuliko aliyemuita asa viongozi na waimbaji ao wasipokuwa makini watashona ndala sana
@merrymussa2833
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubaliki kwa Neno namafundisho yako unanbaliki 🙏
@HesauDaudiInyalala-bb1ru
Жыл бұрын
Baraka zako zote ziwe zako
@mungajoas3343
Жыл бұрын
Hallelujah, ubarikiwe sana
@ochilotv1255
Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
@JAMSMDOE
20 күн бұрын
Duh kwakweli mtumishi wa MUNGU hili jambo limekula kanisa sana kwakweli MUNGU akutunze zaidi naomba mawasiliano tafadhali
@sautiyashangwegospelminist3658
18 күн бұрын
@@JAMSMDOE Amen Piga +255717003050
@bungigemangana4171
Жыл бұрын
Mungu akupandishe zaidi
@mussamosesmwisrael5962
Жыл бұрын
Amen 👏👏
@SeciliaDaniel
Жыл бұрын
Nataman uje utufundishe hii kitu ipo makanisa mengi Mtumishi Barikiwa ujumbe mzuri
@sautiyashangwegospelminist3658
Жыл бұрын
Tuwasiliane rafiki 0717003050
@benyavan5774
Жыл бұрын
Baba ni Mungu peke yake tu acheni kuwapata watu vyeo ambavyo Mungu alikemea Yaan unajiita baba achen kuibia watu Huna mnakuwa na ordination za miujiza kuibia watu mbona mnajipa utukufu sana nyie mnaacha kuhubur ukwel wa Mungu mnajitengenezea utukufu kuwa vuta watu
@WilliamNamende-pc9ku
Жыл бұрын
Kwani baba ninani? Mbona hata mbingu zinajua Kuna mababa sio vibaya kuita baba maana baba ni cheo Wala sio kosa kuita baba maana ndio mlezi
Пікірлер: 15