Allah azilainishe nafsi zetu tuwe wenye kutoa katika mambo ya kheri
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Inn shaa Allah
@iddyjuma8036
20 күн бұрын
Ameen
@abdallahdoka9173
20 күн бұрын
Ma Sha Allah... Mchango wangu nitatoa mwisho wa mwezi in Sha Allah
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Allah akulipe kwa nia yako
@ZakiyaAnwar-w1r
20 күн бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh leo mimi nimejitahidi kwa ajili ya Allah Alhamdulilah Allah awabariki wote waliotoa inshaAllah nasi pia tutajitahidi kutoa kwa ajili ya Allah Allah awajalie wote wasiokuwa na kazi awape kazi inshaAllah
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ujumbe wako tulipokea Allah akulipe na akuzidizie wewe pamoja na family yako
@islamicburundiantv
20 күн бұрын
Allah awazidishie rheri....Tuko Burundi tuanawafwatilia pia
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Masha Allah ameen ameen sote
@mohamednurmohamed8812
20 күн бұрын
ALLAH amzidishie Neema insh ALLAH pia Ustadh wetu wote ALLAH awape kila LA kheri hapa Duniani na kesho AHERA na waislamu wote amiin❤
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@ZakiyaAnwar-w1r
20 күн бұрын
Kwa sasa Allah anajua hali yangu Nikita sawa inshaAllah nitatoa kwa ajili yake
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Inn shaa Allah Mwenyezi Mungu Akulipe kwa nia yako
@MwangiMuhammad-q8r
20 күн бұрын
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu,,, Maa Shaa Allah,,Uislam ni Neema, since green shirt hajui tofauti ya ukristo na wakristo
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh hawana habari
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatu..wafundishe wakristo tofauti ya kuomba na kuabudu hawatambui hilo...na hawajui tofauti ya pepo na mbingu..
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@mamasiham9287
20 күн бұрын
Mashaalah
@isahbarasa
20 күн бұрын
Nawafwatilia sana❤
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Masha Allah
@isahbarasa
20 күн бұрын
Amin❤@@salimdaawah123
@ahmednasib8465
20 күн бұрын
❤ Mash'Allah
@Jingajinga64
20 күн бұрын
Huyo chizi fresh amewazowea. Musimpatie muda wowote maana anahudhuria kuleta ushindani na fujo tu.
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Huwa wanatumwa ila hawana hoja wasting time tu
@daawaonestreetassociation.5702
20 күн бұрын
MashaAllah Allah bless you all thinks
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Aameen ameen ameen
@massihishabani
20 күн бұрын
Mashallah
@AminahAminah-d5s
17 күн бұрын
Mashaallah kheri inshaallah
@ElizerAdenga
11 күн бұрын
asalam aikum nilislimu 2 months ago from kitengela allah awazidishie na awabariki sana na mpate wepwsi kuingia peponi inshallah nawapenda sana sana
@salimdaawah123
11 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh karibu sana katika uisilamu
@minaniyasini7834
19 күн бұрын
Allah awalipe wahadhiri wetu.piya awalipe wote waliyo jitoleye
@salimdaawah123
19 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@walidsaid7807
20 күн бұрын
Huyu Daniel ni heri kumuacha tuu musimpe nafasi maana yeye ni mtu wa mabishano ya Shari tuu
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Yeah tutamuweka kando
@hassanadam3007
10 күн бұрын
Amiin thuma Amiin
@abdallasuleiman8785
19 күн бұрын
Huyu jamaa anayetaka miujiza ingekua vyema mukamuepuka asipewe tena nafasi sababu yuko hapo kwa ajili ya ubishi.
@josemu870
16 күн бұрын
Allahamdhulla
@abdallasuleiman8785
19 күн бұрын
Mpeni ushindi tu mtu wa kubishana anapoteza muda na hana hoja yoyote.
@MuhashamKhalil
20 күн бұрын
Assalam aleikum,wallahi kama hawataelewa hawaelewi Tena ila nakuomba sheikh wakumbushe hayo masuala mara kwa mara kwa mfano mahali atakapo weka Jina lake mwelekee huko hayo mafunzo ukiayarudia rudia itawaingia akilini
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@Fumokale
19 күн бұрын
MIDHAMBI😂😂😂
@ElizerAdenga
11 күн бұрын
naomba mtutembelee kitengela pia inshalah muelimishe watu huku pia akunaga dawah mtaani watu wapate kuona nuru na kuingia kwa di ni ya haki na ukweli inshala please
@salimdaawah123
11 күн бұрын
Inn shaa Allah hilo tutapanga
@aishaally6602
20 күн бұрын
Hawa vijana nyuma wanaona raha kufanya fujo ALLAH awahidi
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Hawana hoja ndio sababu
@Ahmad.musa76
19 күн бұрын
Haujaulizwa wakristo. Na ni nani aliwaita hao wanafunzi wakristo hapo kwanza antokia ... ( ni wa pagani, watu wasiye kua na dini)
@salimdaawah123
19 күн бұрын
Kweli kabisa
@SheeMaryam.M
20 күн бұрын
Salim, naona kupeana hizi Quran ili wasihisi vimbaya naona heri unaandika majina ya wenye wanaitaka quran ,ili ukileta unawaita kwa jina coz yaweza kuwa mwenye aliomba akakosa na atahisi kadhulumiwa kapewa mwingine,..ni wazo tu😊
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Masha Allah fikra nzuri sana shukuran sana dadangu
@hafsakirao398
20 күн бұрын
Huyo Dan anataka kuonekana kwa video tu, his never serious, his a waste of time.
Пікірлер: 58