Mimi bila kusikiliza chadema sijisikii vizuri ✌️✌️✌️💓🙏🙏🌹
@issackchalahani1235
Жыл бұрын
Aisee! Hii Nchi kwa kweli Mwenyezi Mungu Airehemu.
@abdalahgunda1319
Жыл бұрын
This voice was National cherman Freeman mbowe under wajakoya fomer recing Kenya election in Kenya professor wajakoya with the chairman Freeman mbowe and God bless lema wajakoya they are on short speech lema from Canada now God bless lema is in Arusha the are on stand still nigesheting on new costuetion under ccm leadership continue be rengiforce to get new costuetion godblas lema has given ather province to rengiforce power to get new constuetion
@tanzanitetv
Жыл бұрын
hivi hiki chama hakina sera ? hawaoni hali ilivyo kwa wananchi ,
@burudaninamatukio707
Жыл бұрын
Kuwa na subira
@Kwelihukuwekahuru
6 ай бұрын
Mbona kila siku wanaeleza sera leo wana ajenda ya kueleza waliyoyapitia hata kupigania Katiba mpya ni sera namba moja
@awadhrajabu1403
Жыл бұрын
Mungu Jamani Muacheni Aitwe Mungu Wenda Jamaa Wako Siliazi Kujenga Taifa Lakini Sasa Mungu Ametunyima Kibali Cha Mtu Kujua Mawazo Ya Mtu Zaidi Ya Kuonana Inje2 Sasa Hata Akisema Kweli Bado Uhaminifu Tunauwekea Mashaka Siku Zote Nasema Kikinuka Awa Jamaa Wanakimbia Fasta Sisi Wapiga Makofi Tunaogeswa Malungu Mpaka Macho Yapinde
@godfreifilemon5802
Жыл бұрын
Shalom God is saying something
@kedsonkakili2760
Жыл бұрын
Hap hakuna sera ya kufanyia nchi na wananchi ni kusema yaliofanywa magufuli
@JungleJoker-i2k
Жыл бұрын
Ebu ngoja kwanza kweni katiba mpya ni nini mbona wengine hatuelewi 😂😂😂😂😂
@florencemeza6540
6 ай бұрын
Kengeza jinga flan unajitorosha unabana na pua
@sagandamalechampullo659
Жыл бұрын
POLENI SANA MAKAMANDA, KWA MATESO YOTE HAYA MLIYOPITIA
@JungleJoker-i2k
Жыл бұрын
Muwe munafanunua basi ....kuna wengine tumeishia la saba mkituchanganya na makatiba sijui masiasa sijui madudu gani hatuelewisiwenyewe sheria hatuzijui tunaona tuu watu wanapoga kelele katiba mpya katiba mpya
@laessanare-vg7ii
Жыл бұрын
Sema baba
@charlesmakanga7927
Жыл бұрын
Kenyas are good people after all.I hope the phobia is duly cancelled!
@henrytimothy3048
Жыл бұрын
Afadhali yenu mnamapesa mnaweza kukimbia sisi mkikinukisha twende wapi
@aishaaisharagp9381
Жыл бұрын
Hapapo pakwenda tusubiri risasi tumiminiwe
@amehassanrehanirehani6176
Жыл бұрын
@@aishaaisharagp9381 😂😂😂😂 dah hii nchi bhna
@faridhassan6834
Жыл бұрын
Kkkķhh wewe siku wezi
@PeterNMzee
Жыл бұрын
Badala waongelee yajayo wanakomaa na marehemu na jinsi walivyo toroka....hakuna kitu hapa... Chadema ni wehu watupu... Ccm wezi... Tanzania is crying for help
@florencemeza6540
6 ай бұрын
Mazezeta wezi walibanwa
@adrianomwashiuya1798
Жыл бұрын
❤
@OmbeniLuka
Жыл бұрын
Tusidharahu
@mohammedrajabumwamba1322
Жыл бұрын
Mwendazake kaenda zake acha tu Enjoy
@dicksonmatulile1523
Жыл бұрын
Mmh we si ulisema uliondoka nchini na hukutoroka
@Ndawoo
Жыл бұрын
hamna jipya nyie labda chama kingine kije,hamuez tupeleka mahal popote
@adammbaruku2499
Жыл бұрын
Hivi hii ndiyo siasa mbadala wa CCM, kazi ipo!!!!!!!!
@emanuelkidali9733
Жыл бұрын
Njaa inawasumbua mmepewa hela kumchafua JPM ila watanzania tunajua kila kitu,acheni kutuona kama sie wajinga, ww umekaa rumande utawala wa mama Leo unatuletea ujinga wako
@kassidpandu866
Жыл бұрын
Sikuona sababu za kukaa ukimbizini Kwa kweli ni woga Tuu wa kitoto
@elishakayagwa9371
Жыл бұрын
Hakuna mtu aliyetaka kumuua ila alikuwa anaona aibu ya namna ya kuishi mtaani baada ya kukosa ubunge. Alickokuwa anakitengeneza ni namna ya kurudi na kukubalika tena kwa watu.
@faustinombilinyi9809
Жыл бұрын
Ungefanyiwa we km alivyofanyiwa tundulisu ingekuwa sawa .. mshamba mwendezake alifikiri ataishi milele
@saidimpako5186
Жыл бұрын
Kila mtu anajua thamani ya uhai wake
@happinessmwenda2773
Жыл бұрын
MUNGU MNAYEMTUMIKIA MSIMUACHE AMEWATETEA MNO.AMEWAJIBU KWA RADI YA MOTO.
@rahmajaffar794
Жыл бұрын
Watanzania bwana kwa siasa sijui ndio mmeshinda au ndio mmeshindwa??? Au ndio changa la macho sawa sie wengine tunaangalia ulimwengu unavoenda na dunia inavozunguka
@ibrahimsamson4193
Жыл бұрын
Nyie sio wanaume ni wavulana waoga
@maniamba.tz_
Жыл бұрын
😅😅Wanaume walisha zikwa
@innocentswai6239
Жыл бұрын
Nimekuona youtube
@bonabonala5559
8 ай бұрын
wewe si mselaa kwani wewe makonda au sabaya au chalamila mazezeta wale wachumia tumbo wezi vibaka ma ccm
@faridhassan6834
Жыл бұрын
Hizi ndio sera za maji,elimu,ajira matibabu ovyo chadema ni laana,
@romanamassawe814
Жыл бұрын
Kafie mbali uko, maji ya Nini ?.
@fadhilikyandofadhilikyando5666
Жыл бұрын
Chadema ndio walioshika nchii ?
@wahabmkazi7902
Жыл бұрын
Nyinyi watu hamna jipya, ndio mnazidi kupotea. Maelezo hayo kwa sasa yanasaidia nn? Tuambieni nn mtaifanyia nchi hii. Hayo mambo ya ww ulikaa nje ya nchi yataijengaje nchi hii? Hayo yalipita, tuambieni mnataka au mtafanyia nn nchi hii. Mama yuko vizuri acha apige kazi, tofauti na mama nyinyi mtafanya nn ? Maneno ya historia yaliyopita leo hayana yatachosaidia
@burudaninamatukio707
Жыл бұрын
Kuwa mwelewa kila kitu kinamwisho
@innocenthaulee
Жыл бұрын
ww una jipya
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
Kundi la wahuni
@laessanare-vg7ii
Жыл бұрын
Tumewachoka bwana
@raphaelcharles4949
Жыл бұрын
Ngoja nikamuulze kwanza Zito, maana alituambia mlipokea offer 🚴
@dicksonexavery726
Жыл бұрын
Zitto mbabaishaji sana jana Lissu aliulizwa hilo swali club house alifafanua vzr yaani jamaa ni muongo!
@ibrahimsamson4193
Жыл бұрын
Walev lazima wapendane🤣🤣
@modycadabra8721
Жыл бұрын
Hawa jamaa awabadiliki yan kila cku wanaonewa yan mama samia umepita bila kupingwa na hawa wapinzani ni utupolo kila cku wanamsema Jpm
@faustinombilinyi9809
Жыл бұрын
Hujui uliongealo bila Hawa upinzani cjui mbwa Hawa ccm wangetufanya NN wakikaa kimya unategemea nn
@johnmsambuzi9094
Жыл бұрын
Mungu atawalipia tuu hats mfslume Farao,Herode pia nap walikuwa na wafuasi wengi Sana,lakini mungu aliealaani
@stephendaud1014
Жыл бұрын
Hamumuogopi ata mungu?
@amehassanrehanirehani6176
Жыл бұрын
Hawa wanasiasa si watu wa kuamini kabisa haw wanaoponda utawal na kuon kila kinachofanyika sicho wakipata madaraka wao ndo vile vile hakuna cha maan na siasa zao wanazungumzia vitisho na masula ya utekaji tu sera za kutatua matatizo na chanhamoto za wananchi ila mapema wanaonesha kwamba wao kam wao kwanza mengn pita huku😂😂😂😂 hapa ata wakipata uongozi hamna liwalo
@yusuphmihambo7629
Жыл бұрын
Ndo nini sasa kwamba mnajua sana kusafiri
@johnmsambuzi9094
Жыл бұрын
Sela ya maji,elim,ajila ni ya chama tawala kilicho jaza baba zao,watoto wao na wajukuu
@Wastara001
Жыл бұрын
Poor chadema politics
@fatimahants1526
Жыл бұрын
Tusubiri yajayo
@frankmtei6318
Жыл бұрын
Hawa woote na wengine wali teseka kwa ajili ya mshamba fulani tuu
Wananchi kwa sasa tumechoka na maneno. Mkisimama majukwani mnajiongelea wenyewe. Sisi tunataka sera mbadala za kuinua maisha yetu.
@mwambatv5202
Жыл бұрын
Ndio wewe hausikii
@mwalimumstaafu8529
Жыл бұрын
@@mwambatv5202 mmeambiwa baada ya miaka miwili baada ya uchaguzi mkiwapa ridhaa mtakuwa kama Canada.
@neematenywa-rd8ho
Жыл бұрын
Mapambano badooo
@epimackjoakimu4008
Жыл бұрын
Wap
@lameckbalekere1962
Жыл бұрын
Mume wekwa na Raisi kumutusi Magufuli tunajua
@nsibwenekaswaga6267
Жыл бұрын
Mh Rais hawezi fanya ujinga huo
@salim02tv24
Жыл бұрын
@@nsibwenekaswaga6267 siasa izo mzee inawezekana
@faridhassan6834
Жыл бұрын
Ila sorry, hawa jamaa si ndio walivunjika miguu usiku wa manane na wake za watu wakiwa far john,hatujasahau bado tunawasubiri,mama hamumuwezi kwa sera hizi, mmechelewa
@romanamassawe814
Жыл бұрын
Hatua kwa hatua, Kwanza mwenda zake Kenda zake, kifuatacho mbeleko ambazo wabunge wa ccm walibebewa na dictator zinatepeta sasa
@faridhassan6834
Жыл бұрын
Masawe wa kaskazini jina lenyewe limeshatoa mwelekeo wa chama kipi upo,poleni mwendo ni ule ule tu
@romanamassawe814
Жыл бұрын
@@faridhassan6834 hakuna mtu yeyote anayempinga mama Wala kushindana na Mama, napenda uelewe kuwa aliyeturuhusu kufanya shghuli za kisiasa ni mama, na mama ametutuma tupige ccm Ila unyerere wake tusiuguse, napenda kukuakikishia kuwa uchaguzi ujawo viti vya bunge tutavivunjavunja kwa nyundo na mama kiti chake Cha unyerere tutamwachia, wale waliozoea kubebwa na dictator mwendazake nawapa pole
@abedikapangasabiti5551
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/p3eA26J4sYeKo44 njoo tujifunze sasa
@BedroomTvKe
Жыл бұрын
Tumekuona KZitem
@abedikapangasabiti5551
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/p3eA26J4sYeKo44 njoo tujifunze sasa
Пікірлер: 78