Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amependekeza kuwepo kwa serikali tatu ya muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mbowe ametaka iliyokuwa Taifa la Tanganyika lirejeshwe na liwe na rais wake na serikali yake kisha kuwe na serikali ya Muungano kwa yale mambo machache ambayo taifa hizo mbili zinashirikiana.
Негізгі бет MBOWE:TAIFA LA TANGANYIKA LIPO WAPI!?
Пікірлер: 31