Dunia inamaajabu mengi sana: Je unajuwa kunasehemu juwa linawaka siku 70 mfululizo. kzitem.info/news/bejne/xKFn3J2Qo190iaA
@kennywilliam2466
2 жыл бұрын
Hasa kwenye serikali ya watu wanao jitekenya wenyeye na wanacheka wenyewe hiyo ndio serikali ya ccm mapinduzi ya uchumi dhidi ya wananchi.
@jamesmwita2995
2 жыл бұрын
Umewapasua kweli ,,hivyo vikamati ndo vinaumiza watu kwa tamaaha ya kupiga madili
@francisrukeisa6299
2 жыл бұрын
Inatakiwa Mbunge uchangie mada kama huyu Shabibi wa Gairo.Nimemfuatilia sana kwa muda mrefu uchangiaje wake unaendana na uhalisia. Points zote alizojadili ni muhimu kwa maslahi ya wananchi na nchi kwa ujumla,siyo points za ubabaishaji kama vile tunavyoona baadhi ya wabunge wanavyofanya! Na points kama hizi Waziri husika inatakiwa achukue hizo points zimsaidie kurekebisha makosa yake na wala asione aibu kwamba atachekwa.Wananchi tumechoka na majibu ya bla-bla yasiyo na mashiko,tunahitaji wabunge wa aina hii na naomba Spika wabunge wenye points za muhimu kama hizi muwaongezee muda wa kuchangia kuliko wale wanaopoteza muda kwa kuongea pointless.
@maxilekanoi8257
2 жыл бұрын
Hana njaa bro Huyo so anaongea point tupu Kama mbwai naiwe mbwai
@francisrukeisa6299
2 жыл бұрын
@@maxilekanoi8257 Haswa umepatia,wengine ni njaa inawasumbua; na hili ni fundisho kwetu wananchi mara nyingine kuchagua wabunge wenye uwezo kama Marekani wanavyoangalia Senator wa kumpigia kura.
@jacksonlema9475
2 жыл бұрын
Hongeraa kwa hoja zilizo na misingii
@aishaabduly6504
2 жыл бұрын
Kama muslim ndo tunahangaika sana mwez huu kila kitu bei RIP our beloved MAGUFULI, viongozi wanakula raha na familia zao tu
@rashdiyange7758
2 жыл бұрын
apo shabby kaka ume nifulaisha saaaaa jamani wananchi wezangu uyu bwana asemagi uongo mpka mwezi wasita mafuta yatashuka tena sana tu tena sanaa mpka mtashangaaa we makamba na timu msoga mnataka tumchukie rais bule bola shabby ulivo jitoa muanga mana haaaaa ilikua mwanaukome sante snanaa
@CyimSky
2 жыл бұрын
Dunia inamaajabu mengi sana: Je unajuwa kunasehemu juwa linawaka siku 70 mfululizo. kzitem.info/news/bejne/xKFn3J2Qo190iaA
@jamesponeca8912
2 жыл бұрын
Hawa ndio wanatakiwa Kuwa Mawaziri,safi sana
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Unayumba. Sheria ipo kitambo tu. Hata mungu wenu hakubadilisha...
@deusrobart8181
2 жыл бұрын
Majambazi iyo nimeipenda bro umeupiga mwing 🤣🤣🤣
@wisperfect5320
2 жыл бұрын
We miss you jpm
@maulanahamisi8878
2 жыл бұрын
Wewe ni mkweli na unawafahamu vizuri watanzania
@kostamhogofela6335
2 жыл бұрын
Nimemwelewa Sanaa huyu mbunge kazi kwenu serikali angalieni vichwa hivo vinafaaa sanaa ni hazina kwa watanzania.
@emazacharia4455
2 жыл бұрын
Ila binadamu bhana anafrahia jinsi binadam wenzake wanavyo teseka kisa aneemeke yeye na family yake😪😪
@justinecleophas2950
2 жыл бұрын
Rest in peace JPM, Utakumbukwa
@CyimSky
2 жыл бұрын
Dunia inamaajabu mengi sana: Je unajuwa kunasehemu juwa linawaka siku 70 mfululizo. kzitem.info/news/bejne/xKFn3J2Qo190iaA
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Kakaa miaka mitano hakufanya kitu katika hilo. Hakupunguza kodi ya mafuta wala kuruhusu mafuta yaletwe mmoja mmoja! EWURA ilikuwepo wala haikuigusa. Hata hayo matrekta yamekuja wakati wake!
@petersilas4234
2 жыл бұрын
Huo ndio ukweli wa mazingira ya Sasa, tuchukue hatuna za haraka. Vita ya Ukraine yaweza kuisha lakini vikwazo vitaendelea. Tusizubae.
@beatricedaudi8233
2 жыл бұрын
Asante shabiby....my all time idol
@filbertcarlos2946
2 жыл бұрын
Goloko kuutoa mwingisi watamile wo waleke hiji mzee hoyafile chotea nhani chufa chigaya
@chrisgasper360
2 жыл бұрын
Hey goloko kalongesa goloko
@sophymichael4429
2 жыл бұрын
Tunajua mipango ya wizi inayoendelea kwa sasa..Mwenyezi Mungu atawaumbua tuu..hamjali wanyonge hata kidogo.
@chujimustafa7209
2 жыл бұрын
uko vizuri tumekwelewa
@washingtonmashambo9552
2 жыл бұрын
Uyu ndoangalau mbunge anasimamia kwenye uhalicia
@eliudinyangura3921
2 жыл бұрын
Mungu amlinde huyu mbunge kaongea ukweli saiv kila Kona ni wizi
@ynyynyyny
2 жыл бұрын
Tunamshukuru kama mmelitambua hilo kua hata ninyi wabunge, mnatuibia sana wananchi
@peterbayo4677
2 жыл бұрын
Tusikilize na kukubali ushauri wa Mhe Shabiby. Tuachane na bulk procurement inaondoa ushindani wa soko la mafuta
@CyimSky
2 жыл бұрын
Dunia inamaajabu mengi sana: Je unajuwa kunasehemu juwa linawaka siku 70 mfululizo. kzitem.info/news/bejne/xKFn3J2Qo190iaA
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
2 жыл бұрын
Ulichoongea ni kizur Sana natumai waziri Mkuu amesikia
@samidquiz6316
2 жыл бұрын
Dunia inatupelekesha wakat dunia tunapita .....ALLAH tujaalie mwisho mwema
@mrsalam1094
2 жыл бұрын
Wambie hao kweli ni majambazi tena sana tuu nakuamini wee hupapasi macho unawachana laiv
@tanzanite9944
2 жыл бұрын
Wazir wa Nishati haaminiki na hastahili kuendelea na hiyo wizara maana hakuna kinachoendelea kipya
@osumrope2096
2 жыл бұрын
Wabunge ni wachache sana..kuna wengine hadi unajiuliza walifikaje mjengoni
@salehewaziri8231
2 жыл бұрын
JPM tutamkumbuka daima
@naftaelnanyaro5000
2 жыл бұрын
Wabunge sifieni kinacho faa kusifia Ambocho sio chakusifia mkikosoe Mnasema mama kaupiga mwingi yupi? Mnasema mama anania nzuri nzuri i Pii? Anatumaliza watanzania tunaisha Huyu Mungu aliye wapa nafasi ya kutetea ambao atujapata nafasi ya kuzungumza tusikike itumieni hiyo nafasi kumshauri rais na kumweleza ukweli la sivyo mtamjibu Mungu mlizitumiaje nafasi zenu Wabunge mmekuwa mnafukia talanta zenu Badala ya kumweleza rais ukweli mnamsifia uongo kwakuzilinda nafasi zenu Rais tunamwona jinsi kila siku anaamka na njia ya kutumaliza Wabunge mmebaki kupiga makofii point yakupiga makofi hatuioni Eeeeh mwenyenzi Mungu tusaidie watanzania
@rabsontryphon9254
2 жыл бұрын
We jamaa kichwan upo sawa na wazazi wako wanatakiwa kupongezwa ulilelewa vzr jasiri sana na haupendi unafiki nafiki na nidhamu za uoga 🤝🏻🤝🏻
@sophymichael4429
2 жыл бұрын
Hongera sana mbunge wa Gairo.
@kelvinthobiasilomouganga1569
2 жыл бұрын
Point mzee
@princemahamba242
2 жыл бұрын
Kaongea vizuri
@olenyghosho7008
2 жыл бұрын
RIP jpm
@omarmkumba3547
2 жыл бұрын
Shabiby we mwamba big up
@anwaryabdallah7782
2 жыл бұрын
Safi sana mh.shabiby
@paschalpaul3862
2 жыл бұрын
Hisia za hoja ni Kama alikuwa anamwambia raisi
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Tanzania tumerudi kwenye wizi wa kutisha. Kutoka kwenye umasikini tusahau
@loveremedy5348
2 жыл бұрын
Mafuta yatapnda si anajua wenyesheli si wakubwa ndio anapew maelekezo akili yke haiwez kuamua Kam yeye.. benderaaaa
@kulwamwakagali24
2 жыл бұрын
R.i.p J.K Nyerere kwenye Azimio la Arusha😭
@fatmamsiliwa8485
2 жыл бұрын
Makufuli yote alisema nchii hii inamsjsmbaxi halaf wale alowafukuza washarudi inamaanisha walikuwa wanamla kidogo mzee magu
@jamesponeca8912
2 жыл бұрын
Hawa ndio wanatakiwa kuwa Mawaziri,sio akina Makamba
@aronatv47
2 жыл бұрын
Mmmmh..!Rafiki ukiwa nje Unaona Rahisi ila Sio rahisi Ki hivyo..Nikupe mfano Hivi Unamonaje Bashe alie kuwa mbunge tu akiwa akichambua mambo mbalimbalii..?na Sasa akiwa Waziri..
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
@@aronatv47 Kazidi. Msikilize juzi kwenye uzinduzi gani sijui. Katema madini ya hatari. madini, mipango na ufutiliaji. BASHE is another level!
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Pasuka baba tunaumiaa wa ali ya chini jamani
@kaburunnko805
2 жыл бұрын
Hii tozo ya shiling (100)mia ndo iliyo fikisha liter moja ya mafuta ifike (3000)hii ichi isha kuwa ovio ovio tuy ......
@davidlucas460
2 жыл бұрын
Yan mzungu katuulumia weus wapo tu
@wechemakambo2182
2 жыл бұрын
Katika yooote ni hapo kwenye "kikundi kidogo cha watu" ndiyo kinachopiga dili na kuendesha nchi ndiyo umeongea kwa sasa Kikundi ndiyo kimejikusanya upya,mpinzani aliyekuwa anatumika kwa michongo ni Kabwe
@stephanomoses7694
2 жыл бұрын
Shabib namkubali sana maana anaongea kitu ambacho anakijua
@rashidkihunga2938
2 жыл бұрын
Petrol imepanda bei kisa urus .swali jee mafuta ya kula ya hapa tz inakuaje sasa.au napo vita imechangia
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Waongo bhana mbona nchi za wenzetu vitu bei ile ile
@matukutajuma156
2 жыл бұрын
HONGERA SHABIBY UMETOA SOMO TATIZO UFATILIAJI NI SHIDA! Tena NI shida kubwa!
@charlesmihuwa6287
2 жыл бұрын
Chadema chonde chonde uchaguzi ujao msiweke mpira kwapani na msisuse kazi kama hizi ndio hasa ilikuwa kazi yenu ya kutusaidia sisi wananchi na sio eti kukaa na kushupali tu katiba mpya.
@philemornmutta1597
2 жыл бұрын
Siyo Hilo tu hata umeme na maji ruhusuni makampuni mengine tuchague huduma iliyo Bora haiwezekani mtu unalipia umeme au maji lakin Hadi miezi sta huletewi umeme Wala maji
@alenanselimialphonce2474
2 жыл бұрын
Brave👑
@babalao910
2 жыл бұрын
Ongezeni Bado kidogo mama, angalau Lita ifike 59000
@leonardjanuary4400
2 жыл бұрын
Shabiby the best
@stevenkisinda2904
2 жыл бұрын
Kauli mbiu matajili wabakigi masikini tufage ndo kauli mbiu ya sasa
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
Aisee; Mweshimiwa Mbunge kasema kwamba Sasa Kila kitu ni dili. Wao wenyewe mjengoni wanapelekeshwa tu... Lkn hakuna Cha Sheria Wala nini. Ila mpango mzima mzizi wake unajulikana, maana yake wale wakuu KITINI ndio jukumu lao kutenda haki ktk kusimamia utendaji au wakubali kuacha mambo yaendelee kama ilivyo Sasa mf: mdogo ndo ishu ya mafuta.
@kennywilliam2466
2 жыл бұрын
Mikutano ya chama ndani ya bunge waambie wanajitekenya wenyewe na wa nacheka wenyewe hii ndio serikali ya ccm mapindu dhidi ya uchumi wa wananchi.
@pastorchristopher758
2 жыл бұрын
Viongozi hawa ndotunaowataka siyo siyo wachumia tumbo mtaani tunalia bei ya vitu mama tutazame na sisi tubadilishe mulo.
@annamsemwa1946
2 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi tunaowataka.
@selestinemalole4562
2 жыл бұрын
Wa mbie kitakacho fata ni urusi na Ukraine watanzania sasa tuna elimu
@novatusabond9253
2 жыл бұрын
Umeongea kweli
@adamfundikira742
2 жыл бұрын
Hili linchi limeshakaliwa na majizi
@filbertcarlos2946
2 жыл бұрын
Hese goloko kuwatamila ukweli
@stevemgaya9218
2 жыл бұрын
Wambie hao majizi kudadeki
@humusitta5870
2 жыл бұрын
Xw
@deusrobart8181
2 жыл бұрын
Wachane 🤣🤣🤣🤣
@CyimSky
2 жыл бұрын
Dunia inamaajabu mengi sana: Je unajuwa kunasehemu juwa linawaka siku 70 mfululizo. kzitem.info/news/bejne/xKFn3J2Qo190iaA
@adildewji
2 жыл бұрын
Too little too late
@williamkavishe397
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Kuna watu wachache wanakula dili maana kwali mafuta yalianza kupanda kabla ya Vita Vita vya urusi happy nyuma yalikuwa shs 1800 kweli happy Kuna dili ya watu wachache tu
@charlesmanga1858
2 жыл бұрын
Shabiby upo sahihi,hilo wazo litumike hata TANESCO nako gharama zipo kwa sababu ya monopolosm yao ,wape na wengine kusambaza umeme ili uwepo ushindani wa kibiashara hata kwenye umeme
Пікірлер: 106