Mbunge mteule wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha, Dk Steven Kiruswa amesema atashauriana na viongozi wa serikali kuona njia sahihi za kuwawezesha wananchi wa jimbo lake kufanya biashara kwa njia halali na wenzao nchi jirani ya Kenya kwa manufaa ya pamoja.
Негізгі бет MBUNGE MTEULE WA LONGIDO ATOA NENO
Пікірлер: 4