Wafugaji katika vijiji 20 vilivyopo kwenye Ukanda wa Ziwa Natron wilayani Longido wanatarajiwa kunufaika kupitia mradi mkubwa wa ardhi kwa maisha wenye lengo la kuwajengea uwezo wa kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa malisho unaochangiwa na kukosekana kwa mfumo wa usimamizi wa nyanda za malisho.
- Күн бұрын
Mradi mkubwa wa malisho kunufaisha vijiji 20 Longido
- Рет қаралды 2,242
Пікірлер