Wee jamaa unajua sana Mtafute Oruma, Jemedari Oscar na wenye Hali kama zako especially wale wanaojiita wachambuzi E FM UWAPE SHULE
@danielshauri6390
Ай бұрын
Asante sana
@eliudmbange2278
Ай бұрын
Kazi nzuri
@user-pw5jt5mj6k
Ай бұрын
Kaka unajua sana mpira..
@marcobulili4341
Ай бұрын
Kocha Gamond amsikilize sana mbwaduke
@lucymsheshi5871
Ай бұрын
Yupo video analyst tayari
@double.s.fumigation9984
Ай бұрын
@obelmwasenga187
29 күн бұрын
Mzee wa data, hongera sana kwa uchambuzi mzuri, tuko pamoja nawe.
@user-dq1qs7nc4o
Ай бұрын
utamu huoooooooooo 💚💚💚💚💚💚
@michaeldaudmaguta4300
28 күн бұрын
Hakika wewe bonge la mchambuzi Tanzania hii
@dicksonngasapa7007
Ай бұрын
Nadhani timu yangu yanga inataka kucheza kombe la Dunia ,Sio kwa usafiri huu❤
@LucioAlex-e3j
29 күн бұрын
Ndivyo alivyo habahatsh
@Ba63828
Ай бұрын
Sasa YANGA walishindwaje kuyaona hayo mapungufu ya Boka? Lomalisa was better.
@user-po8hz7xw9j
Ай бұрын
Boka mzr
@Ba63828
Ай бұрын
@@user-po8hz7xw9j let us wait and see japo sikuona udhaifu wa Lomalisa
@MbwadukeStats
Ай бұрын
YUanga wanayajua yote haya na tena kwa undani zaidi...benchi la ufundi ndiyo kazi yake kushirikiana na mchezaji ili kumfanya awe bora zaidi. Hakuna na hakujawahi kutokea mchezaji duniani aliyekamilika kwa asilimia 100.
@malietamaliet
Ай бұрын
Lomalisa umri sana sana ndo umemtoa na injury wamemleta uyu alete ushindani Kwa kibabage
Пікірлер: 21