Kaka yangu Pilipili na mdogo wangu,naona unakokwenda siko kabisa kumbuka ulipoangukia amka simama rudi kwa Yesu na usimame na Yesu imara haya mambo yote ya dunia yatapita lakini Yesu yupu tu,Tafuta wachungaji walioiva kiroho kama kaka yako na mchungaji Moses wa EAGT wakuombee urudi kwa Yesu.YESU anarudi kaka pilipili nakusihi sana rudi kwa Yesu achana na kuiga tabia za ku dunia wewe ni taa ya ulimwengu,Mungu alikuchagua ili uwavute watu waje kwa Yesu.please I beg you🙏🙏
@lilianestephanie7881
4 ай бұрын
Mbengo tv sikuhizi mko vizuri especially huyo mtangazaji wa kike mpya huyo yaani yuko poaa sana hadi kuuliza maswali👌
@charlesmwasi7646
4 ай бұрын
Tatizo lilianza wakati wa agano lako la ndo, ulisema utakuwa na yule Binti kwenye Raha tu kana kwamba hakuna shida, Sasa hizo ndio shida zenyewe
@user-zm7kk1tr5l
4 ай бұрын
Sikujui lakini nakushauri nenda katowe hiyo burichi umechukisa sana
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Bora umenisadia nashangaa hawa wanaume kama wadada
@rqiyaabdallah840
4 ай бұрын
Ujapendeza Atakidogo umekula mbayaa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
4 ай бұрын
Mimi ni Yanga lakini toa hiyo midawa kichwani. Ulikuwa smart sana.
@lenard2556
4 ай бұрын
Kiukweli ndoa ni ngumu Kwa kizaz hichi mungu atusaidie hal ni mbaya watu wanaachana sana
@naomikatharinaandrewmnkai6760
4 ай бұрын
Hapana nakataaa , ndoa MUNGU aliumba iwe paradiso . Kama hujakutana na mtu sahihi huwezi kujua baraka ya ndoa
@zenakiluvia2396
4 ай бұрын
Jamani mc pilipili na kulia kote kule na goti ulipiga leo umemwacha. Na ulisema mke wako ni mzuri sana na shape anayo kwahiyo umewaachia wenzako.
@user-zm7kk1tr5l
4 ай бұрын
Jamani kweli maisha yanakwenda kazi sana uchungaji umeisha mpaka ukapaka langi ya mbwa kichwani mwenyezi mungu akusaidiye naunatakiwa urudi kwenye toba
@user-ni6xq5jt9q
4 ай бұрын
At rangi ya nini???😂😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
@@user-ni6xq5jt9q Amepiga apo 😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
@@user-ni6xq5jt9q Hiyo rangi ya mzungu blown au ginjer gold
@jenipherkavusha1661
4 ай бұрын
😂😂😂
@zulekhasaud483
4 ай бұрын
Langi ya mbwa😂😂😂
@Farajahelene23031
4 ай бұрын
Wonder shall never and this is pastor pilipili
@Magrethjackison1234
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kaivua Pete baada ya mtangazaji kusema haonekani na Pete kwa sasa jaman uwiii🙌🙌🙌c ungeacha tu
@aurelialeonard7444
Ай бұрын
Hakika heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wa neno.kijana mrudie Mungu,maana hali hii ya uvuguvugu unayoishi ni hatari mbele za Mungu.ona ulivyochoka jmn! Nikutie moyo jitie nguvu ukatubu na Mungu atakuuisha na utaona maisha haya ulonayo kwa Sasa yataisha.
@zulekhasaud483
4 ай бұрын
Kwani pilipili wacheza shoo bendi gani sio kwa hyo brichi😂😂😂
@Realme-xm3sh
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosenamilia4140
4 ай бұрын
Mc PILIPILI Eti nipp kwenye ndoa, ila si kiviiiiiileeee😂😂😂😂😂🎉.Uelewekeje Mc Pilipili 😅
@vaicute
3 ай бұрын
daaaa pole cute Mena
@user-tt7cu2et1x
4 ай бұрын
MUNGU gani ambaye aoni brich?😢😂😂😂😂oooh my GOD samehe watu wako😢😢.kuwa mfno we n pastor yup I?????
@marymwaya9685
4 ай бұрын
Na watu wanakuhoji sasa na ulioa sio type yako alifuata umaarufu huyo we jitahidi kujieleza tu naogapa usije kuchanganyikiwa bure
@jenyyusuph4973
4 ай бұрын
Walah hiyo nywele imekuchukiza daah Uta fikili mgonjwa
@aurelialeonard7444
Ай бұрын
Yaani kafanana na nabii Tito jmn.yaani km hayuko sawa jmn,msaidie kijana huyu ama vipi apelekwe mirembe,sikia hata anavyoongea.
@teedullah5708
4 ай бұрын
Yuwatisha
@marselinarweyemamu4034
4 ай бұрын
Mc pilpili me naona tulia kwa Mungu ..haya mapigo mfululizo..mara mama kufariki kuacha uchungaji na ndoa kushindikana
@user-jh1dn7cy6p
4 ай бұрын
Yaan iyo breach kichwan hata umejishusha mnoh kaitoe, na vile unavyoulizwa maswal nadhan hauna usiliaz at kidog,khaa ndoa ndoano😅😅😅😅😅😅
@SILIVIASILIAKUS
4 ай бұрын
😂😂😂 mbona anavua Pete kwa kujifichaa sasa....
@radephplv4976
4 ай бұрын
Hahahahahah jaman nikajua nimeona mwenyewe yaan jaman anahangaika kama kuku uyu kaka
@elisifamruma-bc7lp
4 ай бұрын
NAMI nimeona naona hii kiki tu
@marymwaya9685
4 ай бұрын
Hivi ndoa ni yako unajitahidi watu wakuelewe ili iwe nini
@zainab8251
4 ай бұрын
Maisha ya naenda kasi😂😂😂
@lilianestephanie7881
4 ай бұрын
Ndiyo maisha ya ndoa hayo. Wekeni private maisha yenu hata kama nyie ni wasanii
@EvaEva-j6j
9 күн бұрын
Hapana pilipili hayuko sawa anajikakamua tu kuongea rakini moyoni mwake anamaumivu kuna kitu kinamsumbua
@fatmaalnabhani3609
4 ай бұрын
Alionekana mapema huyu Dada kama si mkaaji na mumewe
@mariakabonga2
4 ай бұрын
kiukweli hata mimi nilipata shida kidogo ila nikuwaombea
@zainabufeka87
4 ай бұрын
Uko 50/50
@fauziasultanikilewa7602
4 ай бұрын
Mc pilipili mie cheqo laqo tuuu 😂😂
@dennisngonyani1795
4 ай бұрын
Ndoa zote za waumini na waliowahi kuwa waumini wa buptist bible church zimevunjika.....
@user-xo2hx4ir4f
4 ай бұрын
Naitaji namba yaki
@RadegundaChambi-ec7yw
4 ай бұрын
We dada mtangazaji mbona uko Kama mbibi hujiweki vizuri ?
@user-xi4dq3kb3m
4 ай бұрын
Ayakuhusu mbwa wewe
@aishafrancis7714
4 ай бұрын
Muweke vizuri wewe😂
@AllyHaruna-ko3it
4 ай бұрын
Nakajua ni me to nmeona piga pamba mdada jieke smart
@Mundi-oz7os
4 ай бұрын
Guy is not normal. Kuna kitu kinamkereketa kichwani
@alimatambwe3402
4 ай бұрын
For sure anahitaji canceling,Kama ipo in traumatize,watu wanachanganikiwaga hivo hivo tu kichukulia kimasihara.
@NameloMkwama
4 ай бұрын
Anaonekana tu yupo stressed
@NameloMkwama
4 ай бұрын
Kazeeka ghafla
@maernov4257
4 ай бұрын
Jamani uyu kaka mbona ana mchezea sana MUNGU Jamani 😢😢
@vero57
4 ай бұрын
Nani kaona mc katoa Pete kaweka mfukoni khaaa!!! 😂😂😂😂
@tatujuma-ny5nm
4 ай бұрын
Uko vyedi ndg we ndio umenisanua aloo,nimeona
@naimanzomukunda8354
4 ай бұрын
Meona hata mm
@SmilingBirdBath-uj3cg
4 ай бұрын
Hata mimi niliona ndo cha kwanza
@radephplv4976
4 ай бұрын
Mimi hapa sasa ametoa ya nn uyu baba anakaribia kuchanganyikiwa
@mwanduelizabeth2282
4 ай бұрын
Duuuu ulimsifia mno huyo mke wako ,ulimpost mno kwenye mtandaoni ukisema mke wako Ni mzuri. Umeachana na mke wako na uchungaji pia Umeachana nao mpaka ukajipaka na rangi kichwani!
@marianyahenge9529
4 ай бұрын
Duuuh bleach ttena
@ChristianRichard-rr5zj
4 ай бұрын
Aiseee aliyekushauli huko kichwani kakudanganya umekuwa km mbabu
@joantharajab4583
4 ай бұрын
huyu ndo baba mchungaji jamani ila sio Siri mnachukulia dini kama kuuza nyanya sokon matapele wakubwa nyinyi
@jackypaul6853
4 ай бұрын
Ila jamani alikuwa nayo ila anayo kaivua kaivaa hapohapo. Yani huyu ndugu mtangazaji hayupo makini kabisa
@warchie3127
4 ай бұрын
Kumbuka siku ya Arusi pale kanisani ulimwambia mchungaji huwezi kutamka maneno ya " naahidi kuishi nae katika shida na raha". Kwamba shida hazitatokea😂 Sasa imekuwaje.....?
@user-jy4um9bn9j
4 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@lusianguno6434
4 ай бұрын
Rudi kwa Mungu mt. Huko unakoenda sio. Unapotea. Mrudie mkeo.
@naimasaid563
4 ай бұрын
Mbn km amevuwa Pete jmn😅😅😅
@petronilamtei7470
4 ай бұрын
Alisema mkewe akichepuka sio neno maana anampemda sana saa hii mbona kelele
@ireneshao7950
4 ай бұрын
MC hizi ni stress mpk ukaamua kuweka breach
@neeskpop
4 ай бұрын
Muigizaji huyu, mpaka kiapo cha ndoa, kabadilisha . Sasa, yamemkuta.
@AbisinaRashidi-wg5jt
4 ай бұрын
Uko kichwani Sasa ndo Nini wamekudanganya kina yanga umekua kama paka la muimbiri
@estherkimario7940
4 ай бұрын
Ulikuwa unabwabwaja sana acha ya kukute c unakumbuka ulivomkandia yule stamina ?? Ila nilijua tu yatakukuta kwanza kiapo ulibadil nakusema kwa raha tu hakuna shda kiko wap
@kissamwamunyange1018
4 ай бұрын
Ndg zangu muombeeni Pilipili msimbeze . Achaneni na mahusiano ndg zangu. Muombeeni hayupo Sawa ndg zangu
@officialkamdudu
4 ай бұрын
pete ameivua kimya kimya na kuiweka mfukoni 😂
@SalamaNauthar
4 ай бұрын
Mchungaji na brich' chefuuuuuuuuuuu
@user-qz8gp4im5z
4 ай бұрын
Sijui hata interview imeendaje naangalia hyo brich, plz bro toa tu hyo brich huendani nayo😂
@MalobeLujaga-rv1lx
4 ай бұрын
Kwel kabisa hata mimi sijaelewa hata kidogo, hiyo brich sio kwakwel amekuwa kituko
@rosemarymwakitwange6257
4 ай бұрын
Hiyo ndoa ilikuwa na all the red flags, mama ya mume na mdogo wake walikufa kwa ajali
@lilianestephanie7881
4 ай бұрын
Me natamani ndoa iendelee kuwepo
@bupeisaya9063
4 ай бұрын
Mbona hapo pete imevuliwa au kick
@agneskapwani3484
4 ай бұрын
Mc upo sawa kwel mh
@zenakiluvia2396
4 ай бұрын
Mc pilipili acha hizo Pete uliivaa na nimeiona hapo na ukaivua nikiona ukaiweka mfukoni kwa macho yangu.
@BelinaMartini
4 ай бұрын
Jmn pete anaivaa kaivua tu aliposikia ety havai pete ya ndoa, ameiweka mfukon jmn sheem
@elisifamruma-bc7lp
4 ай бұрын
Mbona kavua pete hapo
@estherkimario7940
4 ай бұрын
Sasa huko kichwan wapaka nn umechukiza
@ameenaameena422
4 ай бұрын
Umekua ks kuku wa kizugu😅
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Bowela???😂😂😂wabongo muna zarau
@nancyg8664
4 ай бұрын
@@FatimaAli-of4ghbowela😂😂😂
@Ontuzu
4 ай бұрын
Duu
@anonciatamanirkiza9675
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hopejohnson7352
4 ай бұрын
Jaman mungu naomba tomba nisiongee chochote kuhusu mc pilipili hvi hyu ni mchungaji kwel jaman daaah😢
@@user-kb4os7uy7k Anachunga ng"ombe na wamasai 😢😢
@maernov4257
4 ай бұрын
Ila ukumbuke kwamba MUNGU haziakiwi umejipaka milangi kichwani ili iweje sasa jamani 😢
@Thebaddest255
4 ай бұрын
Ww ni Nani kumjudge😂 kafe mbele
@maernov4257
4 ай бұрын
Sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya MUNGU
@zainabufeka87
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@leahgerald8734
4 ай бұрын
Kavua pete mbele ya camera Acha upumbavu
@nestorycosmas5717
4 ай бұрын
Just to know, hivi kutangulia mbele za haki ni kwamba mtu ana dhambi?
@dadarehema
4 ай бұрын
Inamaanisha kafa 😊😊
@user-tp7be6qr3n
4 ай бұрын
Mmmmmmmmmmmmh alikuja amevaa pete kama utaangalia mwanzon kabis wakat dada anaongea yy akaivua akaweka mfukoni.
@stambulimkulapa9442
4 ай бұрын
Pete ameweka mfukoni baada tu ua mtangazaji kuitaja hiyo pete! Usanii!
@irenenicesngkwayu3919
4 ай бұрын
ah na we upo makini kama mm nashnagaa kavua pete kaweka mfukon bongo ujanja ujanja mwingi sana😂😂😂
@stambulimkulapa9442
4 ай бұрын
@@irenenicesngkwayu3919 bongo hata waandishi wenyewe wa mchongo tu hujamuandaa mtu unaongelea pete si ukanjanja huo???
@AziziMapunda-vt4nv
4 ай бұрын
Uyu kapotea njia Kama anabulichi ajatulia
@mouldykomba1852
4 ай бұрын
Mc utafikiri siku izi unachanganyikiwa maana mmh
@shufwaaofficialtv1306
4 ай бұрын
Kwanini alivosikia Pete ya ndoa havai,Akaivua na kuweka mfukoni.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@reenvictoria
4 ай бұрын
😂😂😂😂walikuwa hawajipanga cause Pete alikuwa amevaa vile demu amesema mambo ya pete.ndio jamaa akashusha mkono na kuvua pete
@user-qw6iz6zq2o
4 ай бұрын
Nilidhani nimeona mwenyewe 😅😅😅, heeee ila nyie huyu kaka sasa kwa nini kavua😢
@nancyg8664
4 ай бұрын
😂wacha nirudishe nyuma nione
@nancyg8664
4 ай бұрын
@@reenvictoria😂😂😂nimeona bwana
@saidajuma8553
4 ай бұрын
Jamani cjui kwann kavua nimemuona😂😂😂
@user-nm3bg7li9m
4 ай бұрын
Uchungaji ulifikili ni comedy pole weee katubu
@noraazan9124
4 ай бұрын
Utafute nani Ndoa migogoro tatua wewe mke na Mungu chanzo cha yote Ni nyie wawili
@AziziMapunda-vt4nv
4 ай бұрын
Nimesema ivi wewe ndomwenye matatizo ayayote ukuyaona
@user-gc9nu8ju4u
4 ай бұрын
Wewe nitapeli tu huna lolote
@user-fu2xl6wp1e
4 ай бұрын
Mbona kama kichaa
@joycehaule9717
4 ай бұрын
Hamna wanatafuta kiki za kuingiza hela
@ireneshao7950
4 ай бұрын
Ni mtangazaji mzuri ila jiweke smart
@user-zm7kk1tr5l
4 ай бұрын
Wewe wacha kutupanga utafika mbiguni umechoka sana kutoka kwenye uchungaji mpaka kwenye burichi apana omba toba bisa
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Kama anachunga mbuzi je 😂😂😂
@nahyialetomia9284
4 ай бұрын
MC ni kama ametoka sober house leo
@peninabernardo2504
4 ай бұрын
Mi naona kama ndo anaingia sober😂😂yan puuuh kachukiza
@ameenaameena422
4 ай бұрын
Hiidunia wewe mic umrkumbws na nn umekua nusu mwehu yani usipo jiagalia unakwrnda kubaya mchungaji😅😅
@monicamunisi2889
4 ай бұрын
Mama yako akifufuka atakukataaa
@ivonasangawe7185
4 ай бұрын
Amevua ameweka mfukoni
@radephplv4976
4 ай бұрын
Hahahah wakati pete kavua kaficha mfukon uyu baba jaman mena atajuta aisee
@user-dr1su7pf7w
4 ай бұрын
masanja nae anakushauli kuhusu ndoa?😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Kushauri sio kushauli
@monikamasasi7582
4 ай бұрын
Nachukiaga Sana mtu anavyo mchukulia kirahisi masanja yule ni level nyingine kwenye kazi ya Mungu
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Hajamaliza mbio zako usijipe Jina la uchungaji kaungane na mashalove kupaka bleach bhana unajichekesha tu unaowachunga hawajakubaliana na wewe uwachunge na bleach kichwani
@alsam4881
4 ай бұрын
Anajiita mchungaji ili ale pesa za sadaka za waumini wa kanisani, halafu matendo yake ni ya ki hovyo kabisa, Mchungaji gani anapaka rangi kichwani na anakwenda kwenye ma club kunywa pombe na akina diamond pamoja na wanawake? Mchungaji tapeli na mjanja mjanja tu kwa kula pesa za sadaka za watu masikini na kwenda kufanya starehe na anasa, na ndiyo maana mke wake kamshindwa kwa tabia zake chafu hizo.
Пікірлер: 154