😥😥😥😥😥😥 Umejikaza kiume sana. Pole sana kwa Msiba ndugu. Inaumiza kweli.
@remigiusrespicius1856
3 жыл бұрын
Pole sana Mc Pilipili kwa kupotewa na mama mzazi.. R. I. P
@justinbulenga6698
3 жыл бұрын
Poleni sana Mola awajalie nguvu na utulivu katika kipindi hiki kigumu
@bintimrope
3 жыл бұрын
😭😭😭😭ni huzuni kwakweli. Mungu awarehemu👏
@gabrielmurro7134
3 жыл бұрын
Mungu wetu NI mwema 🙏 tunaiman atawapumzisha mahala pema pepon Amen 🙏
@puttenyanthony9284
3 жыл бұрын
Daaah iki kifo kimeniuma mno nakimenigusa sana😭😭pole pacha wangu mc pilipili
@ramadhanihudhaifani4376
3 жыл бұрын
Polen sana wafiwa! Pole sana Mr Pilipili. Mungu Awafanyie wepesi katika hili.Amiin!
@upendoshirima5130
3 жыл бұрын
Polen sana familia ya mc pilipili bwana Yesu awatie nguvu
@sniper93999
3 жыл бұрын
Kiukwel pole san mc pili pili but umetufunza sana wanaumme 👊thanks brother 💪💪
@celinamgundoi5601
3 жыл бұрын
Duh kwakweli mwanaume ni mwanaume tu pole sana kaka angu, mungu akipanga lake hayupo wa kupangua mlipenda mama ila mungu amempenda zaidi, mungu zipumzishe roho za wapendwa wetu mahali pema peponi Amen
@happyrichards319
3 жыл бұрын
Yani hata hyo interview umejikaza kiume...Pole kaka ,pole sana
@annajames4096
3 жыл бұрын
Pole sana Mc..Mungu baba wa mbinguni awalaze mahala pema peponi. Amina!!
@NyatseLogistics
3 жыл бұрын
Jamani poleni sana. Hii ni wakati mgumu sana, ila katika yote tunamshukuru Mungu. Yaani, Mc Pilipili, umenikumbusha mbali, nimewahi kukubwa na tukio kama hilo kufiwa wakati tuko kwenye tukio la furaha, kulilia chooni, na kurudi kuwapa moyo wengine ili mambo yasiharibike zaidi. Duh, it was so painful. Zaidi, Mc umetupa funzo moja muhimu kuwa "TUJITAHIDI KUWATENDEA MEMA NA KUWAFURAHISHA WAPENDWA WETU SASA KABLA WAKATI WA KUFANYA HIVYO HAUJAPITA" Mungu ailaze roho ya marehemu Mama yetu mpendwa Mama Mc Pili². AMEN!
@mwanahalimamwachili9679
3 жыл бұрын
Innah Lillahy Wa Innah Illayhi Rajioun, Poleni Sana Ndugu,jamaa. Kazi Ya Mungu Haina Makosa.
@happynesskibona2679
3 жыл бұрын
Pole sana Kaka Tomy ambaye Hilo tukio limetokea mikoni mwako jipe moyo Mungu akupe wepesiii uweze kupokea Msiba huo wa Mama
@magejuliani5293
3 жыл бұрын
Poleni sana! Mungu awalaze hao wa mama mahali pema!
@gabrielwilliam2340
3 жыл бұрын
Pole sana mc Pilipili na familia kwa ujumla R.I.P mama yetu
@meedaafarai9677
3 жыл бұрын
Innalillah wainailayh rajiun. Poleni wafiwa.
@mariamlimo2463
3 жыл бұрын
Poleni sanaaa....
@godfreypeter8383
3 жыл бұрын
😭😭poleeee Sana broo kiatu chako n kikubwa mno
@engmagubo145
3 жыл бұрын
polee xan bro angu mung ampumzishe mama yet
@engmagubo145
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 RIP
@chantalnizigama5012
3 жыл бұрын
😪😭😭😭Poleni sana wafiwa Mungu awape nguvu. Mmepoteza wa mama wawili. 🙏😭😭
@namsamson3443
3 жыл бұрын
Watu wanatakiwa kujua kila mtu ana grieve tofauti. Pole sana . Mungu ndiye mfariji wenu mkuu
@ummiissaabdulissaabdul8117
3 жыл бұрын
Inalilah wainalilah rajiun mungu awaeke mahali pema peponi
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
EE jamani poleni sana
@annaa.kijanjali7968
3 жыл бұрын
Tuombee sana familia zetu shetani hapendi Upendo.
@lizyjacob9633
3 жыл бұрын
Pole sanaaa
@ahmedshahar728
3 жыл бұрын
Sisi ni wa MwenyeziMungu na kwake Tutarejea. Poleni sana
@catherinejumanne9378
3 жыл бұрын
Pole San kak mwenyezi mungu akutie nguvu
@aminamollel5725
3 жыл бұрын
Kuacha Mungu. Mama ni mtu muhimu sana. Pole sana Mc Pilipili
@mickeyraymond8007
3 жыл бұрын
Mungu mwenyew awafariji..
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Duh poleni sana, jamani mhh, Mungu awe faraja kwenu
@mauwashadrack820
3 жыл бұрын
Poleni sana kwa family nzima Mungu wa akawe faraja kwenu 🙏
@aishachamumi516
3 жыл бұрын
Innalillah wainnaylahirajihuun,,pole sn kaka umepata wakati mgumu sn....
@cathelinemaurid898
3 жыл бұрын
Pole sana mtumishi
@elinahjoseph3085
3 жыл бұрын
Aki nimeumia Sana mungu ampumzishe mama yetu kipenz mama ni mama wa wote pole sana mc pilipili pengo kubwa Sana jmn dah
@doramsuya5294
3 жыл бұрын
Pole sana jamani mungu akupe uvumilivu du
@jamilaezekiel6174
3 жыл бұрын
Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu kwa pito hili ngumu inauma sana 😭😭😭🙏🙏🙏
@peregrinusluwanda6077
3 жыл бұрын
Inasikitisha,pole Sana Mc Pilipili mwenyezi Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu.
@ericklibaba1198
3 жыл бұрын
Daaaah inasikitisha Sana aseee.... 😢😢😢 Wapumzike kwa Amani Hawa wamama... 🙏🙏🙏
@alkaullahmediaTz
3 жыл бұрын
M.A.P mama Mc pilipili..!! Mungu akupe nguvu through this, hard situation....!!!!!!!
@esterrobert4803
3 жыл бұрын
Pole mc pilipili kazi ya mungu haina makosa
@marrypatrick3276
3 жыл бұрын
Pole sana mc pilipili jamani mungu awatie nguvu
@jessiemrope1482
3 жыл бұрын
Kitu chema ni "amefariki nadhiri yake ikiwa imetimia", ameiona ndoa ya kijana wake kama alivyoomba. Sidhani kama ameenda na kinyongo, R.I.P mama. Somo kuu "MANENO YANA NGUVU" au "MANENO YANAUMBA", ndio maana tunaambiwa usimnenee vibaya (hasa) mtoto wako au usiweke nadhiri kwa Mungu bila kuitimiza.
@sarahrajabu9812
3 жыл бұрын
Innaillah wainnailayh rajiun Poleni sana familia mwenyezi mungu awape moyo wa subra
@victoriadaizy5277
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu wakati huu mgumu wewe na familia yako yote😢😢😢😢. Mwanga wa milele uwangazie Ee Bwana wapumzike Kwa Amani 🙏🏼
@kaizamulinda633
3 жыл бұрын
Watu wanajaribiwa aise!! So far Pilipili ni kamanda.
@seifzongo320
3 жыл бұрын
Pole sana
@sniper93999
3 жыл бұрын
Rest in peace kiukwel wazaz wangu bado wapo hai, ila nikiona watu wanaumia hivi najiulizaa masual mengi sana 😭😭 but yote ni mipango ya mungu, na ambao wazaz wetu wapo hai hakika tuwatumie kwa kher kwani ni pepo yetu ya dunia na ambao wazaz wao wametangulia wazidi kuwaombea wazaz wao
@sniper93999
3 жыл бұрын
Daah fact kbs
@raykas9976
3 жыл бұрын
Poleni sana. Mungu awape Moyo wa uvumilivu.
@ivankomba3795
3 жыл бұрын
Pole sana Broo
@sasinematinda9273
3 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu Akujalieni Faraja na uvumilivu kwa kipindi hiki kigumu kwenu
@dayanamajora3327
3 жыл бұрын
Daah nashindwa la kusema, ila kubwa Kushukuru MUNGU maana haya ni mapenzi yake..pole sn Mc.pilipili RIP Mom yetu
@salomemchewa5187
3 жыл бұрын
Kwekweli pole Sana ,nashindwa hata kusema Ila mungu akupe nguvu ,na Sisi tuko njiani
@happynessmolla1781
3 жыл бұрын
Unapitia sana maumivu jamani pole sana Mc pilipili.😭😭😭
@neemaeliphas4346
3 жыл бұрын
Duh! Inauma sana Mungu awe faraja yenu
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Inauma.sana jaman.pole mc
@sarahmcharo1548
3 жыл бұрын
Poleni sana kwa familia nzima Mungu wa mbinguni akawe faraja yenu.
@moreenkasekwa9737
3 жыл бұрын
Pole sana kaka choz limenitoka
@shukranjulius5910
3 жыл бұрын
Aisee pole sana Nduguyangu Mungu akuzidishie uvumikivu
@Kokafamil
3 жыл бұрын
Very good day and sad day at the same time 😔 Anniversary yao itakua ni kilio every year this life eeee only god knows RIP mama
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Pole Sana Mungu awarehemu Sana mumepoteza mtumuhimu Sana maisha Kutoka Kenya Mungu awafariji
@alakomba6830
3 жыл бұрын
Pole Sana Emmanuel
@zamdakimaro2973
3 жыл бұрын
MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA MAMA YETU INNA LLAHA WAINAILAHI RAJUUN
@jessicajamesjames5565
3 жыл бұрын
Pole Sana Mc pilipili,
@agnesoqwaa9848
3 жыл бұрын
Jaman pole sna mc pilipili na familia yote kweli inauma sana RIP mama zetu😭😭😭😭
@elizabethmwandu6937
3 жыл бұрын
Pole sana mc pilipili kwa kumpoteza mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni awe tulizo la huzuni yako na pia aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P
@ashuramhando5285
3 жыл бұрын
Pole Sana Mc 🙏🙏🙏🙏
@kaiyulakagaruki1310
3 жыл бұрын
Poleni sana . Ni ngumu lakini Mungu akawe faraja ya pekee kwenu
@farajawillson6722
3 жыл бұрын
Daaaah jamanii 😭
@hanialsalti671
3 жыл бұрын
Kwake tumetokea na kwake tutalejea mwenyez mungu ampe kauli thabiti amiin.
@lusosocharles5642
3 жыл бұрын
0
@anandemungure4435
3 жыл бұрын
Pole Sana MCpilipili. R.I.P beloved Mom😭. So sad news for really
@hamismabula5813
3 жыл бұрын
Ulijikaza kianaume sana jamaa angu, kuendesha sherehe ndan ya majonz daah!
@AliMohamed-kd1uc
3 жыл бұрын
Kwa kweli alijikaza kiume
@christinafrancis2934
3 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu awafariji sana.
@ramadhanihudhaifani4376
3 жыл бұрын
Yani dah...! 🤦♂️ This is more than pain,brah. Polen sana,brother! Too sad and painful for sure. Take heart,bro! Take heart.🤦♂️🤦♂️
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
Poleni sn Jamani, kila mtu ana safari yake ya kupita.
@salehrashid6003
3 жыл бұрын
Pole sana mkuu kupoza kiungo muhim ktk maisha
@selemanmziray5284
3 жыл бұрын
Pole sana kaka kwa msiba wa mama
@pillyomar9912
3 жыл бұрын
Polee saana mbele yake nyuma yaake kwaupendo alouonyesha duniani yawe malipo huko aendako Ameeen
@janethkiswaga4204
3 жыл бұрын
Duuuh. ! Nilifiwa na mama ninajuwa maumivu mnayopitia poleni sana
@celestesanitoussene823
3 жыл бұрын
Pole sana
@veronicadaudi5974
3 жыл бұрын
Pole sana😥 wew ni jasiri
@manasemwakilasa5931
3 жыл бұрын
Pole Sana mc pili pili
@mmbagaatujia7556
3 жыл бұрын
Daah pole sana Mc Pilipili Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama yako mpendwa
@shiksshiks8494
3 жыл бұрын
Pole sana MC pilipili
@evaristmrope
3 жыл бұрын
Pole sana my brother mwenyezi MUNGU akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu
@lailmeeea4908
3 жыл бұрын
Pole sana Mwenyezi Mungu akupe nguvu ktk kipindi ichi kigumu
@firdausqutty2067
3 жыл бұрын
Pole sana, Mungu akupe nguvu.
@marryg4235
3 жыл бұрын
Pole Sana.
@beatricetenywa4367
3 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu😭🙌
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Poleni wanafamilia
@annadismas3600
3 жыл бұрын
Inauma Sanaa jmn pole mungu awatie nguvu katika kipindi hii kigumu kwenu😭😭😭😭
@rukiabari9431
3 жыл бұрын
Poleni sana
@davidcurtis8556
3 жыл бұрын
Dah! Aisee pole sana bro, kiatu ulichovaa kikubwa mno, bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe. Wapumzike kwa amani.
@mwamvuaelias850
3 жыл бұрын
Polee Sana the best Mc we taifa mume wa mena
@edithkiokomumbua4589
3 жыл бұрын
Pole sanaa kaka
@dianadaudi6795
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kaka wewe jasiri sana
@baragatimaingu5623
3 жыл бұрын
Pkpk zinazidi kutumaliza... Pole ndgu Msiba wa Mzazi usikie tu kwa Mwenzio.... R.I.P Mama...
@lamecksmernest9651
3 жыл бұрын
Resting in peace mom❤️
@shameemrashid5219
3 жыл бұрын
Jamn nimeumia sana huyu mama amefarik jamn anaongea kwa utaratibu yaan nimeumia mno pole sana mc pilipili
@estherngowi8102
3 жыл бұрын
Rest in Paradise mamaa! Pole sana kaka
@travellahmsafirihiphop5325
3 жыл бұрын
Dah pole Sana Brother
@annamashiri3921
3 жыл бұрын
daa pole sana.
@zawadimalawoni7462
3 жыл бұрын
So sad. Pole sana kwa msiba Mungu akutie nguvu
@hadijalukas5959
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 sina la kusema zaidi ya kusema poleni sana kwa kumpoteza pacha wenu mama yenu kipenzi chenu tulimpenda sana ila mungu kampenda zaidi tumuombee apumzike kwa amani
@suzanwilson8020
3 жыл бұрын
pole sana R.I.P mam
@nurdinmtunguja5016
3 жыл бұрын
Pole sana brother! Kila mja ataonja mauti, ni muda tu ukifika hakuna wa kugeuza matakwa ya muumba!
Пікірлер: 328