Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
@dorahmushi-we6ts
17 күн бұрын
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
@agogomgagagigigogo
21 күн бұрын
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
@dorahmushi-we6ts
17 күн бұрын
Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
@vitalesjoelkabonda1393
20 күн бұрын
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
@godfrey40255
20 күн бұрын
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
@partypatriez4871
21 күн бұрын
Eliudi best comedy 😂😂
@AshaMwamba
22 күн бұрын
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
@semanajmv
21 күн бұрын
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
@elbaricktv1632
20 сағат бұрын
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
@BabrayKharfani
17 күн бұрын
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
@Onesmoboyz
21 күн бұрын
🎉🎉hii nzur sana 🎉❤
@dorahmushi-we6ts
17 күн бұрын
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.
@DoraZacharia
14 күн бұрын
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
@nicodemshello163
22 күн бұрын
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
@Elshadaiconsolateur
22 күн бұрын
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
@bukurufreddy28
22 күн бұрын
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
@jacqlinemaganiko5108
20 күн бұрын
wow!🥰
@janethmarealle3594
8 күн бұрын
Hadi raha
@minaelnathanael1846
21 күн бұрын
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
@Iampanther_
21 күн бұрын
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
@getrudezawadi184
21 күн бұрын
mnafanana sana
@NuruNgolle
19 күн бұрын
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
@mineflower_01
16 күн бұрын
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
@festusbokoro1615
22 күн бұрын
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
@israeluronu9958
22 күн бұрын
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
@theogeorge3773
14 күн бұрын
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
@fatmamrihani6828
20 күн бұрын
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
@richardsesa7494
18 күн бұрын
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
@craty_01
20 күн бұрын
Daaah Rest In Peace mama
@more_hundreds_TV
22 күн бұрын
Nipateee likeee namm
@gideongerald2846
21 күн бұрын
👍👍👍
@jaxjaxon8838
19 күн бұрын
Eti analia😢
@elikindomondo3569
21 күн бұрын
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
@JacksonRungwe
22 күн бұрын
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
@RooneyYohana
22 күн бұрын
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
@JasinthaAlex
17 күн бұрын
🔥🔥🔥
@EdwinMedson
17 күн бұрын
If you have mother do samething for her
@franccoz94
20 күн бұрын
Eliud😂
@TetekoOg
21 күн бұрын
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
@user-pf3zc6kv5q
21 күн бұрын
eliuid mbavu zangu😂😂😂
@justinmganiwa2790
22 күн бұрын
Naona kaona dawa ya mkopo
@Ellybeny
22 күн бұрын
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
@user-hi8le2vb7z
22 күн бұрын
mi sijasikia nisiwe mnafiki
@UwimanaRabia-q3v
21 күн бұрын
😂😂😂
@edsonisrael8996
21 күн бұрын
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
@benshark3212
21 күн бұрын
Hata wakodishe tu
@mineflower_01
16 күн бұрын
Nunua simu nzuri bby😂😂
@user-iz9ci4rs3d
22 күн бұрын
😅😅😅😅
@irenekarume1470
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@adamsanga-g8x
13 күн бұрын
Aa,
@masangalitz
19 күн бұрын
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
@noahmadali7150
21 күн бұрын
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
@Kher__
20 күн бұрын
Kwani nyie mnatumia simu gani?
@Kher__
20 күн бұрын
Labda simu zenu
@noahmadali7150
20 күн бұрын
Kher uko ulimwengu gan ndg
@mineflower_01
16 күн бұрын
Simu Yako bby😂😂😂
@kahenatz3594
22 күн бұрын
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
@geofreyexaut5862
22 күн бұрын
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
@geofreyexaut5862
22 күн бұрын
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
@JohnMadusa
22 күн бұрын
Hahahhahahahah ukwel mtupu
@more_hundreds_TV
22 күн бұрын
Ww unatoa tsh ngap
@anuaryyusuph9705
22 күн бұрын
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa
Пікірлер: 85