Me napenda kukusikiliza mbali na mafundisho yenye nguvu na akili but wew ni comedian ambae unatoa mifano hai na halisia... be blessed mtumishi!!!🙏👏👏👏👏👏👏👏
@magrethelias8483
4 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho yako mtumishi huwa yananibariki sana.Barikiwa
@thobiasmboje1506
5 жыл бұрын
Katika wachungaji wanaojua kuhubiri na kufundisha na wewe umo sio watenda miujiza na kutolewa shuhuda za kutengeneza Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukupigania shetan asije akapata nafasi ya kukuharibu Yesu ndie njia na uzima
@DanielSulle-wd7cn
Жыл бұрын
Mungu akubarik mchungaj mahubiri yako inanibariki Sana
@hakizimanamugabo1566
5 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@patrickosembo5928
5 жыл бұрын
Nabarikiwa sana hapa Jiji la Nairobi , MOLA akuzidishie nguvu na neema ya kufundisha zaidi.
@irinewafula1557
4 жыл бұрын
Umeibariki sana mchugaji maneno ya kweli unanena
@pendosalehe8941
2 жыл бұрын
kweli ,Binti jasiri hiyo nimeisoma
@jacksonhonest3702
5 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu unanibariki sana kwa mafundisho mema pia unafurahisha mno..barikiwa sana💓
@perisabuti8379
5 жыл бұрын
Rev. ur so funny pls spare my ribs😂😂😂😂🙆ur speaking naked truth........i like the way u adress ua teachings
@jacobtolya1716
4 жыл бұрын
Yaan haya mambo ni halisi San,,,kwel kila asikiae na apone.Barikiwa San mtumishi
@johnndewirwa7299
5 жыл бұрын
Yees! That's great Gospel! Be blessed Pastor!
@asnathtv8485
5 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana wanielimisha mengi mungu azidi kukuinua mchungaji
@fridashekiao5893
4 жыл бұрын
Amina mtumishi
@upendomrema986
5 жыл бұрын
Nampenda sana uyu mtumishi wa Mungu anafundisha Mungu azidi kumbariki
@barakadaudi7500
4 жыл бұрын
Safi pastor upo vizur
@irianahmallie08
5 жыл бұрын
Powerful. Barikiwa Mtumishi wa Mungu..
@pillymsabila4807
5 жыл бұрын
Nakukubali sana mchungaji rekebisha tabia zetu yote hayo yapo
@nesterygeho975
3 жыл бұрын
Songea napenda sana unatujenga sana kiroho
@siateshanapokebaba3757
4 жыл бұрын
Barkiwa sana mtumish
@cleopastanley6683
5 жыл бұрын
Asante ujumbe mzuri mchungaji
@judithchiquitta
5 жыл бұрын
Asante
@lydiahann1737
5 жыл бұрын
Nimepata mafunzo mengi barikiwa Rev
@devothadanstan2402
5 жыл бұрын
Asant barikiwa sana mchungaji ameeeni
@siateshanapokebaba3757
4 жыл бұрын
Napenda sana mahubir yako mtume
@neemazakari318
3 жыл бұрын
Amina
@kangarajimmy2806
4 жыл бұрын
Mchunganji wanibariki
@leticiakibona7055
5 жыл бұрын
Amen Baba
@hylinemose7114
5 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@sylviesylvieleonardoliveas6138
5 жыл бұрын
Ubarikiwe saaana muchungaji
@johnkimani4162
5 жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@neopolitan6musicclasses930
5 жыл бұрын
Mchunga uzidi kubarikiwa ni mengi ni yapatayo kwa mafundisho na mahuri Mungu anayo kujalia
@januarynestory9149
5 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa
@aloycenkayamba710
5 жыл бұрын
Mch. Kila unachofundisha kinanigusa muda mwingine nahisi niliwahi kuoa. Pia hata mafundisho yako yalichelewa kunifikia
@lilianberthesa5935
5 жыл бұрын
Nakubali mafudisho yako yananipigisha hatua
@atuenemsalilwa2548
5 жыл бұрын
Somo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@onikekipapi62
4 жыл бұрын
Safi sana
@fr.anthonykiungu3176
5 жыл бұрын
Dream mate
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Dah you right kila mwanamke anaomba mwanaume mwema
@clementinespertoniyitegeka6820
5 жыл бұрын
Nimepata dozi ya yangu muchugaji barikiwa who is waching with me 🇨🇩🇧🇻
@veronicamdeke4474
5 жыл бұрын
Amen
@rehemamasawe9595
5 жыл бұрын
amen
@mosesmwasanga4697
5 жыл бұрын
Aminaaa!!
@mathazakayo288
5 жыл бұрын
kwel
@maryjoseph8752
5 жыл бұрын
Toka nianze kukufuatilia nimebadilika Sana kiiman na kimawazo,, kwel baba unajua
@deoonline_4212
5 жыл бұрын
Hili ndo neno la uzima..
@florantandu9597
5 жыл бұрын
Deo Tycoon amen
@justinechristopher662
4 жыл бұрын
Mchungajiubarkiw
@mbarikiwambarikiwa3988
5 жыл бұрын
Asante baba tuombeane
@muddyso1953
Жыл бұрын
2023
@ashamwandu3781
5 жыл бұрын
amina barikiwa
@gracealexander5309
5 жыл бұрын
Ameen
@winnerw4428
5 жыл бұрын
nimependaa sana
@jeannettehazimana7013
5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu mtumishi wa Bwana. Nipateje namba ya simu?
@evadaud1712
5 жыл бұрын
Ubalikiwe
@ebbykerubo95
4 жыл бұрын
Attention muhimu
@manuelsendeu7443
4 жыл бұрын
Amn san
@mucomilkha2195
5 жыл бұрын
Jamani nitafusiriye,BOKOHARAMU manayake nini?
@rizikibakar3186
5 жыл бұрын
Muco Milkha gaidi
@gabrielpott3325
5 жыл бұрын
huuu khatalii saana mzeeee
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Kweli asiyemjua alafu akishamuoa anamdunda huo ni ujasili
@neshkaps2886
5 жыл бұрын
Mchungaji ni kweli lkn hiyo tabasamu itakuja vpi na ni yy ailete kama yuafanya yakuudhi na machungu jamani tabasamu itakujaje?kuuliza tu
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Ngoja kwanza kausha kama mwanajeshi anayekaguliwa mchungaji mimi nilichemsha lol
@jemamtewele218
5 жыл бұрын
Kweli kabisa na anaongea vitu halisi na binadamu ndivyo tunavyovifanya na kwaza.barikiwa sanaa mtumish
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Kweli kapole
@mamahamisi5691
5 жыл бұрын
Yaani mungu akupe umri mrefu uendelee kuponya roho zetu
@benardmatage1340
5 жыл бұрын
Ingaliwezekana muweke haya nahubiri yakiwa kamilifu ningaliridhika zaidi;lakini hata hivyo,nimebarikiwa.. lakini ombi langu labakia tu tupate ujumbe kamilifu tukifuatilia kwa KZitem Sisi wale hatuwezi kupatana naye moja kwa moja.
@godlivingchuwa2759
4 жыл бұрын
Kwel kbsa
@justingwanko2295
5 жыл бұрын
Sindano zinaingia paka bas
@emmanuellbuhohela6706
5 жыл бұрын
Amn
@joehenry1953
5 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa, before haijafika chini ushakufa
@cliffordmaboi2298
5 жыл бұрын
Amen pastor
@joellaniyonkuru8908
5 жыл бұрын
Neno nzuli la uzima .asante sanaaa
@mariasanga3470
5 жыл бұрын
Amina
@celeniendayishimiye4905
5 жыл бұрын
joella niyonkuru ubarikiwe pasita
@jeniphajeremiah8008
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@julianamartin9491
5 жыл бұрын
Mchungaji nimejikuta natikisa kichwa kama yananihusu vile
@michaeljonas7497
5 жыл бұрын
Pole sana my Dada
@theoniyonkuru6423
5 жыл бұрын
we njo umekuja kutukombowa
@mussakayanda3221
5 жыл бұрын
Theo Niyonkuru oh
@theoniyonkuru6423
5 жыл бұрын
we njo unasema ukweli unafundisha ukweli wa kuskiya askiye
@mpenzujaneth7119
5 жыл бұрын
Ameeeeen
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Mchunhaji wewe ni koboko
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Shusha nondo
@drmanager.products5284
5 жыл бұрын
Hapo kusema intension umevhemka mchungaji ulimaanisha seeking attention.a ha kingereza kiende mbinguni
@jacksonchimomo554
5 жыл бұрын
Dr Manager. products leta yakwako
@siwonikengodya2149
5 жыл бұрын
Hapo kasema kinyakyusa lkn nadhani umeelewa
@gloriousnp
5 жыл бұрын
Dr Manager. products sawa muhariri, unajikuta daktari wa nini sijuwi,eti Dr manager.products, what the hell does that even suppose to mean 😏? Naona wewe nawe ni attention seeker Sikiliza mahubiri usepe,nkt!
@zerajapheth5782
3 жыл бұрын
Hapo hakuna kutikisa kichwa nikujikaza tu balikiwa sana mtumishi hapo umepiga penyewe
Пікірлер: 94