Hapo kuweka unga sufuria lisivuje,, mpaka nimetoa machozi,, sitaki kukumbuka nimaisha ambayo nimeyaisha ila Mungu si mwanadamu sahivi ametuinua na kutuketisha pamoja na wakuu,, asifiwe bwana
@ezekiakyando5944
5 жыл бұрын
Mchungaji Daniel Mgogo MWENYEZI MUNGU akupe maisha marefu.
@veramakau1931
5 жыл бұрын
Mchungaju Daniel Mgogo, Mungu tu akuzidishie ufunuo, nguvu, baraka na kibali kila uendako. Amen
@doreennamalwa3416
Жыл бұрын
Mimi doreen kutoka Uganda 🇺🇬 lakini nina benda sana muhubiri yako baba ubarikiwa sana mujungaji 💯🙏🙏🙏
@pamelanabokolweojuma1964
5 жыл бұрын
hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah mungu akupe Baraka tele
@estertuyahole6799
5 жыл бұрын
Mungu apewe sifa nabarikiwa sana na mahubili yako twambie dunia imekua Giza ipe Mwanga wa milele kweli mambo ni fire!!
@UhaiOnlineTv
5 жыл бұрын
AMINA usisahau kushare kwa wengine wabalikiwe pia
@rhodaokoba5371
5 жыл бұрын
Hmmmm hapo kwa nguo, ni mimi kabisaaaa🔥🔥🔥🔥. Nilinunua nguo nikidhani itanitosha, kumbe ilikuwa ndogo... Na immediately, jina la mtu fulani likanijia. 🙏🙏. God bless you sir 🙏
@jacklineemmanuel6981
5 жыл бұрын
Kesho Kuna watu hawaji humo mtumishi hamina mchungaji mungu akutumie ipasavyo uwe na maisha marefu
@danielmatemu9698
3 жыл бұрын
Huu ni kweli mtupu. Ubarikiwe sana mtumishi wa KWELI.
@shijajohn3645
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukusaidia na kukuinua zaidi na zaidi uweze kueneza Injili ya Neno la Mungu
@rithamwamba3118
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Mungu akutie nguvu
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Nampenda sana huyu Mtumishi wa Mungu nikiwa Saudi Arabia
@johnmuhando2456
5 жыл бұрын
Sarah Wanjala
@delphinemkai5300
5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@hellacredis5555
3 жыл бұрын
Mungu akuinue.Mtumishi wa Mungu
@midevarose8686
4 жыл бұрын
Kadada kapepo kamegaramiwa kuzimu...."shetani ashindwe Kwa Jina La Yesu"
@jailosluhanga695
4 жыл бұрын
Hongera sana mchungaji Mungu akuongoze uzidi kutuokoa kiroho na kiakili ili tuwe viumbe bora kwa taifa na Mungu wetu.
@rosarosa4298
4 жыл бұрын
Mchungaji mkweli kwelikweli mungu akutie nguvu poromosha tupate kubadili tabia zetu
@patriciamch4643
5 жыл бұрын
I love this pastor. May God keep establishing a good life for you.
@sylviesylvieleonardoliveas6138
4 жыл бұрын
Amen baba nimebarikiwa saaana mungu akikupa mingi INA maanicha ili usaidiye watu ni kweli na amani
@byaombeswedy1674
5 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@KaKa-if5nz
3 жыл бұрын
Hapo kwa wasanii wa nyimbo za injili, njoo Kenya! Wapooo
@mariamumapunda4614
4 жыл бұрын
Ubarikiwe baba nmepona kwa injili yako
@g.kgichogo4370
5 жыл бұрын
Qweli Mungu aliwapea upako wachungaji wengine.. Huyu mgogo ni mtumishi wa qweli, anagonga neno bila tazuishi. Mungu nisaidia mm ninaemsikiliza uyu mchungaji na bariki pia wengine
@hopengasa9131
5 жыл бұрын
MUNGU atusaidie tuwe na mkono mfupi kupokea ila tuwe na mkono mrefu kutoa
@elisaarobert9021
5 жыл бұрын
Asante Baba Mchungaji Mungu akubariki
@glorielius2510
5 жыл бұрын
barikiwa mtumishi
@leticiakibona7055
5 жыл бұрын
AMEN KUBWA BABA.
@winletlasty94
3 жыл бұрын
May God bless you sir,
@djjanviernzejim8590
5 жыл бұрын
Kama umeguswa ngonga Like🙏
@numbeshabani9981
5 жыл бұрын
Kweli mchungaji endelea kurusha mawe ya dozi
@gudluckmmarry2559
4 жыл бұрын
Ameen chungaji Mungu akubari san
@bahandwaephraimsama4420
4 жыл бұрын
Amen
@aginiweyessayakyando9855
5 жыл бұрын
Kapepo kalikoghatamiwa na kuzim......🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@johnsylivester8412
5 жыл бұрын
kapepo kaliogaramiwa na kuzimu. Hahaha!! kanyaga Baba.
@faridahaswani3388
5 жыл бұрын
Amen be blessed for you're teaching
@jamesyaro1201
5 жыл бұрын
Napenda sana mahuburi yako,mungu akuongeze siku. Amen
@calvinmchopa2222
5 жыл бұрын
Yehova Ni mkuu na akubariki sana
@christopherokinyionyango619
4 жыл бұрын
Amina,Amina nime barikiwa sana
@vickymoshi6038
3 жыл бұрын
Mungu wetu andika kwa capital letter..M
@michaelrobert5704
5 жыл бұрын
ameen
@elizabethchales2663
3 жыл бұрын
Barikiwa
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Amina Baba Mchungaj
@maleikamusa3207
5 жыл бұрын
True True ...Man Of God ...Tell Them...Great Man Of God...🙏🙏🙏..Watching from Germany...GOD BLESS YOU.🙏.Only The Truth shall us free..👏👏👏👏👏👏👏🙏👍👍🥰
@kiazikitamu3985
4 жыл бұрын
Kuna watu wengine wavivu sana wanasubiri kupewa na kulaumu wenzao kama wasipopewa, hawajishughulishi kabisa kwa nini kuwapa pressure wenye mafanikio hata kama Mungu kawapa isiwe shida yaani kufanikiwa kwake inakuwa kero hata raha hana sababu ya watu kukodolea macho, ukoo mzima unamwangalia yeye haohao unawasaidia ukiwahimiza kusoma na kufanya kazi hawataki wanasubiri kuhudumiwa na kumteta wenzao wenye mafanikio wakija kwako wanajifanya kama kwao watamzadhau mkeo kazi za hapi ndani hawasaidii kisa nipo kwa kaka tafuta vyako na pia ujishushe unaposaidiwa na onyesha unajitahidi na wewe ufike mahali fulani ili huyu anaekusaidia leo kesho na wewe umsaidie apate pa kukimbilia. .
@upperroommileleministrykaw3947
5 жыл бұрын
amen
@fathiasaed4738
5 жыл бұрын
Balikiwa Sana mchungaji
@dmnmkenya1986
4 жыл бұрын
tuambie kabisa tuokoe nafsi zetu mchungaji dunia hii haina mema hata kidogo
@tsongokauta5911
4 жыл бұрын
Shukurani kwa ujumbe
@mnyamamutueddo4250
5 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubili yako
@magesazabron5375
5 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@gladysngami9685
5 жыл бұрын
Mungu akubariki following from iraq,
@salomemueni100
3 жыл бұрын
Unaitika abe,
@magrethsheshe3692
5 жыл бұрын
Kweli naamini watu wanabarikiwa kupitia wewe
@producertondo7316
5 жыл бұрын
mungu azidi kukuinua
@jacklineemmanuel6981
5 жыл бұрын
Hahahahahhahhaahhahaahahahhajahahahaahhhahahaahh imba tenzi namba kumi hawa watu hawa Amina mchungaji
@ruhumurizanarcisse5069
4 жыл бұрын
Jackline Emmanuel joni rwanda
@gracealexander5309
5 жыл бұрын
Ameeeen
@elizabethelizabethngajiro8755
4 жыл бұрын
Ogela sana mtumishi
@edithandezi6416
5 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi .
@winfridamwamban1078
4 жыл бұрын
Kweriiiij roho dhaifu uchoyo
@annaalsnadi8722
5 жыл бұрын
Amina mtumishi
@mariasanga4857
5 жыл бұрын
Ameen baba
@jacklineemmanuel6981
5 жыл бұрын
Amina
@winfridakasindye9618
4 жыл бұрын
Nikweri. Mtumishi, sema tupone
@angelalphonce2962
5 жыл бұрын
Hallelujah 🙏
@susanwakesho9133
5 жыл бұрын
Tupe dawa lipua Mngu alikupa kibali babangu
@esterfredrickdadi3762
4 жыл бұрын
Aminaaaaaaa
@elizabethchales2663
3 жыл бұрын
Akika wewe ni mchungaj ulie itwa mung azidi kukulinda
@beckyteens9631
4 жыл бұрын
blessing me
@annaluciaessy3704
5 жыл бұрын
Ni Natural
@lydiaagwuma4184
5 жыл бұрын
Ukweli
@emanuelmtei1739
3 жыл бұрын
Mchungaji nabarikiwa sana Naomba nifaham kanisa lako lipo wap kwa dar 0692880370
@melkizedeckkimaro2094
4 жыл бұрын
Walokole wa aina mbili😂😂😂
@mukeragabilodiana9391
5 жыл бұрын
Mchungaji nakwaminia ukweri wako. Kwakweri waimbaji wengi. Wainjiri. Wamekua kama wasani. Nguo zao nikama nguo zakimaraya morning wakiyimba namatako Tunaona. Sasa Hao. Mimi najiuriza. Wanaimbi. Mungu. Wawapi. ❔❔❔❔❔❔❔
@hawahawa8166
5 жыл бұрын
Kweli kbs
@UhaiOnlineTv
5 жыл бұрын
AMINA usisahau kushare kwa wengine wabalikiwe pia
@mbukemahina5831
5 жыл бұрын
@@UhaiOnlineTv mchungaj daniely unakipawa kikubwa sana mungu amekupa kdendeee haki uwaelimeshe watu
@geofreymsigala2001
5 жыл бұрын
Amina!
@patrickmbogo7805
4 жыл бұрын
Tupe dozi baba tupone
@hadijaabdallah444
4 жыл бұрын
Kiboko
@ashuraomar8809
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti kapepo
@samwelmadaraka1521
5 жыл бұрын
Jaman hapo kwenye karedio umeniguxa tapeleka kabixa
@UhaiOnlineTv
5 жыл бұрын
AMINA usisahau kushare kwa wengine wabalikiwe pia
@immaculatendinda7134
5 жыл бұрын
Peana update vingi
@kindolek9257
5 жыл бұрын
Kwenye nguo hapo cjabak salama
@unclesharkcomedian7024
5 жыл бұрын
Mtumishi mungu akubariki uzidi kuhubiri injili
@evalinewalter5931
3 жыл бұрын
Mmm!!!kwenye nguo hapo mwenzenu msumali umeingia nzimanzima
@zawadikyusa3941
5 жыл бұрын
ndio nipone mtumishiii
@rachelmwaki7454
4 жыл бұрын
Hapo kwa wimbo ,umenigusa mimi yaani sometimes inabidii uonekane namnagani vile ili bwana atukuzwe
@editmugangai8095
4 жыл бұрын
amen ninafata mahubiriyako sante
@lightnessalphonce2346
4 жыл бұрын
Naomba mungu aniongoze niwe kama wewe
@moulinemoulinr9136
5 жыл бұрын
weeeee sikuhizi wasichana wadogo wameogopa kufanya kazi hawataku kuparara hizo pesa wanapata ni haram
Пікірлер: 99