Ubarikiwe pastor Uko sahihi Tanzania imeingiliwa tumulilie YESU KRISTO WA NAZARETI ATUSAIDIE SHETANI AMEJIFUNUA TANZANIA
@AllyBabu-kr6lg
4 ай бұрын
Nawe mtumishi unavo muongelea adui unazidi kumpa umaharufu yani unazidi kumporomoti.mtumishi muhubiri yesu acha kiki mungu kamuumba mbaya kwa siku ya ubaya isaya 54.
@methodjuma7727
Жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa kila anaye penda kuihubili kweli, ubarikiwe kwa kuipenda kweli, kazi kwetu sisi vjana tunayependa kuhubilin pia , Mungu mwenyezi atujalie tusivutwe kwenye mapungufu
@amossambe2838
8 ай бұрын
Amen
@davidmwasonya2718
2 ай бұрын
Uko vzr sana Mch Mbarikiwa ipo ck huko mbele nitakutafuta ili kazi ya injili iende mbele.haleluyaa
@noelbryson7840
Жыл бұрын
Mbarikiwa me nakuelewaga sana.. Asante sana kwa kweli yako..
@bugybuster5788
Жыл бұрын
Masikini wanatoa sadaka yy ana honga unampaje pesa mke wa mtu bila mwenye mke kulizia, unaisifia tatoo wkt dini imekataza ww ni nabii wa michongo shita watanzania awataki kusoma vitabu vya mungu wanataka kusomewa tu na miujiza
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Baba GeorDavie anaweza kukuajiri Uwe malinzi wake wewe Pole kwa depression anayokupa Baba yetu GeorDavie😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@beatricekerubo2963
8 ай бұрын
Tunaye baba mmoja dada aliye juu mbinguni na anakuja hivi karibuni, Revelation 1vz7
@medsonsanga4813
Жыл бұрын
Shida ya mwaumini wa Leo wanapenda mibaraka Na mafanikio lakin sio kutengeneza njia zao sahih
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Sahivi ukristo ni biashara tu hakuna jengine
@jamescornel5391
Жыл бұрын
Naona umeacha kumhubiri Yesu umeanza kumhubiri nabii mkuu, nihivi ndugu yangu kama hukuchaguliwa na Mungu hukuchaguliwa tu acha wivu
@allymwashambwa5920
Жыл бұрын
Sio wivu ndugu anaanika uchafu
@bonifacerobert2960
Ай бұрын
Joe Davie, mimi ni mdhambi sana sana sana. Lakini, umelaaniwa wewe katika wanaume wote! Mshenzi mpuuzi mwizi tapeli mkuu wewe.
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Muacheni GeorDavie wetu Kwani alikuchukulia mke wako wengine tushasaidiwa wahrnimmt nanyinyi wenye roho mbaya hatutamuacha Nabii wetu GeorDavie fanya yako
@estermgoma7451
Жыл бұрын
Mjue sana Mungu ili upate maarifa
@YusufLugata
6 ай бұрын
Mbarikiwa mm umenitoa gizani. Watanzania waelewe huyu nabii mkuu kwanza nani alimuweka juu yetu?
@christer-elnkini5684
Жыл бұрын
Asante mbarikiwaa umetafsiri vizuri kbs kipengele cha bibilia inasema nn juu ya kuchoraa miili yetu
@barikimollel7890
Жыл бұрын
Mwisho wenu utakuja kuwa Mbaya Sana Nabii Sio MTU Wa kushindana nae Acheni wivu nyie ndio wahuni kupotosha Watu
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Hilo jina la nabii ndo limemharirisha kufanya ushetani..? Na wewe ni mhuni kutetea wahuni je kuchora tatu siyo uhuni.?
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Nabii Ana mke wake hapohapo madhabauni usimchukulie poa hata Famillia yake wako hapohapo ulimuona akidhini Acheni Mennonite ya kiswahili😭😭😭😭😭😭🙏mtaumwa sana
@ruthsima8152
11 ай бұрын
Tuliye lala naye na akatutambulisha hata kwenye familia yake tuko tu tumetulia. Yule baba anauchafu wake wa ovyo sana basi tu kunyamaza
@happymushi2219
Жыл бұрын
Mimi najua nabii mkuu Ni Yesu Kristo tuu.
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Hapa kidogo umezungumza kuwa yesu ni nabii sio mungu wala si mtoto wa mungu hapa nimekuelewa
@jamescornel5391
Жыл бұрын
Yesu sio nabii bali ni Mungu acha kumshusha cheo
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@jamescornel5391 Yohana 17 3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. Yesu nabi aliye tumwa Kwa waisraeli peke yake soma andiko hilo kwenye biblia yako
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@jamescornel5391 1 Timotheo 2 5 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; Hilo andiko linasema mwanadamu Kristo yesu
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@jamescornel5391 Mathayo 4 10 Ndipo Yesu alipomwambia Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Isaya 1 18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
@luganomwaigomole7441
Жыл бұрын
KWA ANAYEJUA MAANA YA NDOA HAWEZI KUUKUBALI HUU UPUMBAVU KULINGANA NA NENO LA MUNGU..BIBLIA TAKATIFU
@shukurukihwelo3084
Жыл бұрын
Sawa lakini kila mtuu anaamini imani ario nayo ,lakini pia na wewe unaimani yako usivuruge imani yawenzio kama unaona wamepotea kazana kuwaombea kuliko kutaja majina ya watu siku tutakuwa na vita ya madhehebu
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Acheni kutumia biblia
@benjaminlijongwa3715
Жыл бұрын
MBARIKIWA unapenda magomvi na mizozo sana
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Isaya_58:1
@HawaOman
9 күн бұрын
Wewe mbarikiwa umefurahi liboko alivufukusuwa ulisema anachukua hela za watu je mbona wengi wanachua milo moja na nusu hauseme
@henrymatebe
3 ай бұрын
Unajua swala la kumponda mtu ambaye nafsi za watu zinamtegemea kuiona mbingu ukimsema hadharani ni hatari sana unakuwa hujui unachokisema ukizingatia kila mmoja ana wito wake kwa Bwana na kila mmoja ana namna vile watu humpenda tusihukumiane tuifanye kazi ya Mungu
@annamushi5702
3 ай бұрын
Nchi yetu ni nzuri sana, Ina uhuru wa kuabudu, sasa wewe hubiri injili, watu wamjue Mungu, achana na mambo ya watu, itaingia kwenye matatizo.
@godwinkileo7702
Жыл бұрын
Mchungaji Kimaro karudi kazini umesikia?
@AmosiEmmanuel-ns9qp
Жыл бұрын
Mtu wa Mungu nakuelewaga Sana wachache waliobaki na Iman ya kweli.
@Nabatabita6873
Жыл бұрын
Haiwezekani kumupongeza mtu ambaye amemukataa mume wake kwajiliyako nakusema eti ni mahaba kwani wewe ulikuwa boy friend wake?. Nijambo lakushangaza kwa watumishi . Hadi unafuraiya nakumupa hela umefikiria nini kuhusu watoto wake uta washika wewe hacheni ujinga wa mama wakitanzania kwa nini hamutafuti kwenda mbinguni munakimbilia hela tu hela zitakupeleka ahela maana hautafuti mungu au kudika mbinguni
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Tatizo ndugi zetu wakristo hamsomi biblia mnaenda kanisani kuhubiriwa mkifika huko mnaimba na kupigiwa kelele lakini hamsomi biblia wala hamtasomeshwa
@yakoubhashim6518
Жыл бұрын
Aisee mungu atusaidie sana Ila kumbe watumishi wa mungu saizi ni wachache sana mungu akubariki sanaa mtumishi
@bonabonala5559
6 ай бұрын
mbarikiwa uwa auchii uovu undere mungu ukutumia kweli
@emilyrissling9703
Жыл бұрын
Niwakati wa kukemea dhambi kabisa,kukemea wanao potosha watu.wengi wanapinga bila hata kussoma bibilia kujua Ni haki yetu kurekebisha na kukashifu anaye poteza watu,Au anayefundisha watu kinyume na neno la mungu. Someni maandiko ndio msije mkapendelea ghambi
@RhodaKibona
4 ай бұрын
Eeheeeee mara nyingine ukiwa kweri wetu hawakutaki, MUNGU, anakupenda...
@Enemyofallah-y4u
Жыл бұрын
Nabii mkuu ni YESU(Mungu) PEKEYAKE
@josephandrew3444
Жыл бұрын
Tupe andiko yesu ni nabii mkuu
@davidwatson6821
Жыл бұрын
Njia ya uzimani ni nyembamba na imesonga, lakini njia ya upotevuni ni pana na wengi wanaipita hiyo, mwenye masikio na asikie
@joshuakimario5764
8 ай бұрын
Uko sahihi kabisa mbarikiwa songa mbele usiogope chochote
@TumainJackson-r8g
Жыл бұрын
Kaka uo mdomo wako mrefu sana punguza yani umezidi mdomo mrefu sana we Kuw na hekima
@LotitukelaizaLotituke
Жыл бұрын
Umesema kweli
@YonaNjowela-dp2cr
Жыл бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu
@MuhammedShaff-fw5ps
Жыл бұрын
Ukiristo ni diniyabiashara ndiomana mnkuawqkqli nyinyi wqhubir mtu akielezea diniyahaki uislamu pekee💚💚💚💚
@evodiaaloyce3670
10 ай бұрын
Sio kweli
@africatoeuropechurchtv8856
2 ай бұрын
Hii haikueleweka. Nahadi sasa haieleweki. Nadhan haitaeleweka kabisaa tukidhan ni shetan inagoma tukidhan ni YESU nayo inagoma.
@davidmwasonya2718
2 ай бұрын
Mch nimecheka sanaaa hapo kwenye nyota ukubwa wake halaf mtu anataka apewe nyeta eti😂😂😂😂😂😂😂❤
@Victorina-wi1dl5py3s
4 ай бұрын
MTU ANAYE JIITA NABII MKUU NI NABII MUHUNI BILA SHAKA MANA NABII MKUU NI YESU MWANA WA MUNGU PEKEE.
@aivanalexander
Жыл бұрын
Ezra 10:4 [4]Arise; for this matter belongeth unto thee: we also will be with thee: be of good courage, and do it. Inuka; maana shughuli hii yakuhusu wewe; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.
@kantonankwera768
Жыл бұрын
Mtumishi ninaneno ,hongeraaa kwakumtumikia mungu.
@greysonmalila1296
Жыл бұрын
Tokeni hapa wanafiki wakubwa si wewe pia umpende Mungu
@DONALDMTOWE-u9g
Жыл бұрын
Wameshamjua ni mjinga wanamsifu ili awape hela,ni uzezeta,hakuna unabi hapo.
@PurityManase-gr1cs
Жыл бұрын
Wewe ni mshamba tuu.. Huna lolotee umaskini wako na wivu wako utakupeleka jehanamu . Wewe ndio muhuni maskini mwacheni mmbarikiwa wa Beana!! Geo devi hafananishwi hapa tanzania!!
@tumaini_nkinda
Жыл бұрын
Kitendo cha Jodevi kujiita nabii mkuu ni wazi huyu si mtumishi wa Mungu! Nabii mkuu maana yake ni Mungu maana Mungu ndie anaetoa manabii na ndie alie juu ya manabii wote! Biblia inatutaka tumuinue Yesukristo peke yake! nakumuabudu yeye peke yake. Yohana 12:32. Mathayo 4:8-11. Kakifupi ngurumo ya mapaka ni mtumishi wa ibilisi! aache kudanganya watu. 2Thesalok 2:11-12.
@StevenMutale-xt9yj
3 ай бұрын
Mungu alisemaa tangaseni muliowana soma mathayo 10-26-27
@servantmosesmunuve2687
Жыл бұрын
Kwa mujibu wa hio vilamu imechezwa na huyo mwanamke kuchora tattoo na kutoa nguo,huo ni ukahaba na wanaomsifia wamepotoka.Hii ni roho ya mpiga kristo inaendelea kutawala.
@rabiministry2389
Жыл бұрын
Unaujinga wa hali ya juu sana. Naamini wewe ndiye mtumishi wa Mungu pekee hapa duniani wengine wote ni wahuni kama unvyosema wewe.
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Mpaka umesema hivyo kuwa mimi ni wapekee "nadhani ndivyo ulivyoona"
@apostlefanuellukuwi3224
Жыл бұрын
Rabin ministry na wewe ni muhuni tuu watu washachoka na ujinga wanataka ukweli acha mwakipesile apiga kazi ya Mungu wa kweli tatizo mnapenda pesa unamtetea huyo nabi wenu mkuu kwaajili ya kupenda kupewa vijisent mtaangamia aisee
@festinamwakipale3919
Жыл бұрын
Mwakipesile uko vizuri majina wanajipa.wenyewe aisee ila jamani siku za mwisho ni.hatari nabii mkuu ilitakiwa wapewe na.umoja.wa.wachungaji wasikutishie kama Mungu yupo upande wako hayupo.ikiwa ni Mungu sema mwakipesile alitakiwa akemewe afundishwe.kuwa tatuu Mungu hataki
@gaspercharles2244
Жыл бұрын
Ndg yangu achana na vitu visitors na maana malumbano yako na huyu kiongozi ww sio mtskatifu na kujua mtu ni mhuni au siyo mhuni ni Mungu tu binadamu Hana uwezo huo ni vyema utulie ktk Imani yako na kuombea na kuomba Mungu afanye mapenzi yake tatizo unabase Sana ktk mitandao Mungu akusamehe na atusamehe sote na nfpenda nikuambie mama yule hakuvua nguo kama unavyosema acha Hilo fanya mambo yako kwani hata ukisema vyovyote jambo limeshatokea nasi sote ni wakosefu cha msingi ww kama mtumishi unatakiwa kuwaombea rehema ya Mungu mwisho wa siku mtasababisha watu waingie uislam maana mnarumbana mno badala ya kuhubiri wote pamoja na ww hamfai kuitwa watumishi wa Mungu
Ukisoma komenti zako utagundua huyo nae ni mhuni mwingine........ Angalia umemwandika message nzuri lakini kakutukana......... Eti mbarikiwa duuuuuu!!!!!!!
@rahelstanley
Жыл бұрын
@@nancychuwa4870 huyu jamaa kichwa yake sio nzuri
@oscarngowi4750
Жыл бұрын
Nawewe ni muhunu mwingine
@GabriellaWiseman
Жыл бұрын
Kwa kweli muhukumu WA Haki ni mungu
@anjelinakasembe845
Жыл бұрын
Ahaa Sasa Ni meelewa shida yako Ni pesa acha kumkashifu Nabii nenda kamuombe msaada hakusaidie
@eliebasimisemwandu207
Жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@user-zy4ij1pz4g
Жыл бұрын
Tusiwe wanafiki tuseme kweli, hiyo anayejiita nabii mkuu Huku akimsifia mwanamke mjinga ni mjinga pamoja Naye, ni wahuni TU, mbarikiwa Mungu akubariki Kwa kumkemea muhini huyo
@maryupendo8706
Жыл бұрын
Wooi Yesu nisaidie,nipe macho nione.
@bensonmoris463
Жыл бұрын
Acha kuzungumzia watu fundisho neno la Mungu sio umbeya,jua ulichoitiwa,itaangamia kwa kukosa maarifa,
@davidmwasonya2718
2 ай бұрын
Rafiki yangu Shukuru Kihwelo unajua hapo umesema kila mtu ana imani yake na asitaje marina ya hao watu wenye imagine mbovu ,,,niseme tu ni kweli kila mtu ana imani yake lkn imani inapotendewa ndivyo sivyo na tunaona hadharani kuwa hili ktk Bible halipo lazima tupinge kwa nguvu zoooote
@myself4128
Жыл бұрын
Biblia Haijawahi kumtambua mtu kamma Nabii mkuu na Mwingine kama Nabii mdogo ni vyeo vya kitapeli vya kujipachika pachika tuu...wanaiga wale wasanii wa Zimbabwe wanajiita Major prophets wahuni tupu
@nashonjoel20
Жыл бұрын
HAWA WAUZA MAFUTA YA UPAKO/MAJI YA UPAKO NI WAHUNI TU NA WANAPOTOSHA KANISA LA MUNGU. NABII wa Mungu hapaswi Kujiinua Wala kujipa vyeo Kama hao. Hawa Kuna mahali pengine wanakopata hizo Nguvu na si kwa JEHOVAH.
@glaury9938
Жыл бұрын
Kweli yesu atusafishe watumishi hatuna hekima tunazalilishana sana naomba tue tunafuatana na kumwambia mtu kwa hekima mana yesu atabagua magugu na ngano samahani kwa kusema hivi
@ebenezerchoir
Жыл бұрын
Mimi nimefurahi San kwa huyu mtumishi ambaye amesimama hadharani na kukemea upotoshaji mkubwa unaoendelea
@LucyJMtitu
11 ай бұрын
Majira ndugu yangu.......
@teddymutani856
Ай бұрын
Mbarikiwa ww ni muhuni pia kama wahuni wengine yani naww niwalewale tu akina kiboko ya wachawi
@davidmwasonya2718
2 ай бұрын
Pia unaona hapo huyo mama anasema mume wake wa ndoa ameamua kumuacha kwa ability ya tattoo aliyochora mgongoni na Mtumishi Jo Davie halisemei hilo kuwa mume amekimbia labda atatuftwe ili amrudishe nyumbani ndoa iendelee hasemi chochote maana yake anafurahia kuachana ili hali Bible inasema Mungu anachukia kuachana(ndoa kuvunjika)hapo sasa unaona Joe Davie yuko sahihi????hapana palipopinda lazima tupanyooshe na Neno la Mungu halisi.Ameeen.
@adriannebatakanwa6904
Жыл бұрын
@angela. Soma biblia kwa bidii. Mjue Kristo kwa undani zaidi. Hatutafuti ya mwilini. Aipendaye dunia na mambo yake ni wa mwili. Wewe unachokiona ni ajira ya dunia tu!? Funguka Dear muda unayoyoma Yesu Anarudi upesi.
@HumphLeo
Жыл бұрын
Ufalme mmoja na unagawanyika,ndio injil ya leo,kristo ni mmoja lakn wahubiri wana mgawanya,lkn bila shaka kila jambo linamwisho.
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Haijaanza leo, hata nyakati za biblia Yesu aliwahi kuwaita mafarisayo ni wana wa majoka Mathayo_23:33
@ipyanapaulo4774
Жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana katika hili ubarikiwe sana
@johnmsambuzi9094
Жыл бұрын
Kweli Lema Ana maono makubwa ya kimungu tazama anavyo ungwa mkono na wachungaji
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Kuungwa mkono, na wanaojiita wachungaji siyo ndo kaungwa mkono Mungu,
@skeetergodwins2576
Жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Yesu Mbarikiwa. Hakika wewe ni Sauti ya Mtu aliaye mikani. Endelea kuwaanika hao matapeli wanaojiita ni watumishi wa Mungu kumbe ni wezi.
@JacklineWiston-lf1zy
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aloycemahiza2171
Жыл бұрын
Kwaufahamuwangu mimi naona Nabii Mkuu ninabii kama Manabii waliopita ilawewe ndioupo kinyume kwanini usisimamie kanisalako unaingilia Makanisa yawenzako Unakosea sana Mbalikiwa nakama uliona mtumishi mwenzio anapotoka kwanini usimtafute ukaongeanae kuliko kumdharirisha Mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu. Mbalikiwa wewe Huenda huujui wokovu Vizuri Toa kwanza boriti kwenye jicholako ndio umtoe mwenzako kibanzi chamti jichonimwako
Kwahiyo kazi ya nabii ni kusifia watu kuwa wana mahaba..?
@TumainJackson-r8g
Жыл бұрын
mbalikiwa unahubili acha kutaka kugombana MA Wat achana nao acha maneno mengi,hubili,injilli,kaka mwakipesile
@marysangula9974
Жыл бұрын
Jamani hubiti neno kwanini mnamwaibisha Yesu mitandandao . Huu sio wito mlioitiwa
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Si tumeshindwa hubiri wewe, kwani we hauwezi..? Yaani kumwonya mtu asitumie biblia vibaya nako ni kumdharirisha Yesu.?
@soloartist_ivanvespalusind1609
Жыл бұрын
Mbarikiwa kama upo tayari kiasi hicho kufa kwaajili ya Mungu basi Jifunze Ukweli wa Mungu juu ya Sabato na amri 10 za Mungu. MUNGU akubariki
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Hiyo sabato imekusaidia nini imekunufaisha nini..? Ili nami nijifunze
@RashidMwasiposya-rf6jh
Жыл бұрын
Mh ubili ijili sio kusema wenzenu huyo sio mungu
@RashidMwasiposya-rf6jh
Жыл бұрын
Ndo tatizo kujiona bola kuliko wenzako pole
@soloartist_ivanvespalusind1609
Жыл бұрын
@@Yoram_Changala Mungu akujalie heri katika hili. Utunzaji wa Sabato ni moja kati ya amri kumi za Mungu Kutoka 20:8-11 [8]Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Remember the sabbath day, to keep it holy. [9]Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; Six days shalt thou labour, and do all thy work: [10]lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. But the seventh day is the sabbath of the LORD thy God: in it thou shalt not do any work, thou, nor thy son, nor thy daughter, thy manservant, nor thy maidservant, nor thy cattle, nor thy stranger that is within thy gates: [11]Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa. For in six days the LORD made heaven and earth, the sea, and all that in them is, and rested the seventh day: wherefore the LORD blessed the sabbath day, and hallowed it. Vita kuu tuliyonayo ni kati ya wema na uovu, Shetani hayuko tayari kuona mwanadamu anatenda mema, yaani anazishika sheria za Mungu. Kusudi la Mungu kutuumba ni kwaajili ya utukufu wake, kwamba tumtukuze/ tumuabudu. Katika amri kumi za Mungu amri ya nne (ya sabato) imedai ibada ya Mwanadamu kwa Muumba wake kama ishara ya kujidhihiri ya kwa Sisi ni viumbe wa Mungu na yeye ndiye Mungu na Muumbaji Ezekieli 20:20 [20]zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu. And hallow my sabbaths; and they shall be a sign between me and you, that ye may know that I am the LORD your God. Jambo hili ndilo kiini cha mahusiano yetu na Mungu. Nafasi ya Mungu kwetu inakuja tu pale tunapomtambua kuwa yeye ndiye aliyetuumba. Shetani anapoipiga vita sheria ya Mungu amekazana zaidi hapo kwenye kiini.
@HighzackMichael
Жыл бұрын
Baki na sabato zako hapo kwa mbarikiwa tunapewa mboga bila mchuzi yaaani kavu kavu na tunashiba
@NduwimanaNoella-rj7tm
4 ай бұрын
Baba sema usiogopi semeya mungu wewe nimutumishi wake mutumikiye Bwana nakufata Kigali Rwanda
@CecileNgendapasi
7 ай бұрын
Nakupenda Sana baba ,nakufata kutoka RDC Congo
@kashindisimon5265
Жыл бұрын
Mungu atakulinda mtumishi mbarikiwa hawa ni mbwa mwitu katikati ya kondoo
@ConsonNice-vu9kn
Жыл бұрын
Oya KILA mtu anaamini anachokiamini,mbona wanaoabudu wanyama au miti hamsemi,isitoshe hajaita mtu yeyote, na ni wenye akili timamu
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Shida siyo kuabudu shida ni kujiita Mtumishi wa Mungu na kutumia biblia kumbe ni muhuni,, haujaokoka
@adriannebatakanwa6904
Жыл бұрын
Kusaidia mtu ni siri , ni sadaka. Biblia imetamka wazi hata ukitoa kwa mkono wa kulia , mkono wa kushoto usijue. Hiyo yenu je ni NGO kuonyesha wafadhili wenu kwamba hela mlizoaminiwa kwazo mmetoa kwa walengwa!!!!!????. Yesu si wa show off.
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Badala umchole Mungu na Yesu au uandike jina la Yesu au Mungu
@bugybuster5788
Жыл бұрын
Endelewa kutupa helimu mwakipesile
@cleophacephelician6739
Жыл бұрын
HUYO NABII MKUU ANAPOTOSHA UKRISTO! 🤔🙏
@emmanuelthomas1078
Жыл бұрын
Aafu? Baunsa wa nini mpaka madhabahuni?
@sophiaesmarcharo9775
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
@adamsambo264
Жыл бұрын
Nakushauri mbarikiwa uwe na Adabu kwa watu waliokutangulia utumishi wamekuwa na Mungu miaka mingi wakati huo ww hujulikani!...na sisi tunao kuona na kukusikiliza unatuboa na unauchafua ukristo unaenzi utu na heshima, ww kwanza umetokea wp? " As if u don't have the source" ujue huyu mtu mkuu wa Mungu amefanya Kazi chini ya mkono wa akina Emanuel lazaro,Moses KULOLA na wengineo halafu ww utoke huko utokao uanze kuropoka hivi ww kweli una wazazi wa kiroho? Unatutia aibu Tafadhali uanapaswa kuwa na Adabu kiroho unaropoka hovyo mpaka tunashangaa aina ya wakristo tulio nao...pia unapaswa uende shule upate akili zaidi....
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Yohana 10:8 [8]Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. Wewe uliye na peleka akili shule umepata nini..? Cha kunishawishi.!
@henrychacha5592
Жыл бұрын
Nabii Mkuu Joe devie we piga kazi usiwasikilize hao wanaokupinga
@paulwanyama4610
Жыл бұрын
Mimi namhelewa sana huyu mchungaji anacho kisema ni kweli kabisa ukiwa mtu wa mwilini kumwelewa ni ngumu sana
@EliyaMalelemba-rx3mf
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akutetee umesema ukweli
@ElshadaiHuruma-pr7vr
Жыл бұрын
Mathayo 7:15 (jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali)
@hansondaniel-nb2jn
Жыл бұрын
Safi sana mbarikiwa nyie wachngaji tunaowaitaji .
@mapendoumoja800
Жыл бұрын
Sifa niza Mungu pekee amsifuye mwanadamu ajichukulia laana mwenyewe yapitayo fahamu zetu tumwachie Mungu
@revpeternjihia
Жыл бұрын
Muombe uwenda maombi yako na mungu wako ana weza akambadilisha na kuwa kama vile wewe unapenda
@Yoram_Changala
Жыл бұрын
Wewe mbona haujaomba Mungu akusaidie kukomment ila ummekonti wewe..?
@PriscaMsoke
5 ай бұрын
Mchungaji jamani mambo gani hayo SI unyamaze kira mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
@Yoram_Changala
5 ай бұрын
Isaya 58:1 [1]Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
@MonicaJulius-y6b
8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu wewe ni mboni ya jicho la Mungu
@ibrahimngitu6072
Жыл бұрын
Tukisema ukristo mnaunadi vibaya mnatukana hakuna mtu atakae fans na yesu haps ulimwenguni hiyo nabii mkuu ni mhuni tu kwa waumini wake
@mshanibeatrice7449
Жыл бұрын
Kweli bible haijaacha kitu had vya kujichora vimo Asante Yesu
@bethkatunx7677
Жыл бұрын
Tulishawatambua hao wahuni miaka nyingi mungu wao ni tumbo tena tumewachoka kweli kweli maana wametumwa kuhalibu neno la mungu
@eliudieliya6394
Жыл бұрын
Hubiri injili Watu Wamjue Mungu acha propaganda na watumishi
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Huyo Geordave ni hatari sana.😢😢
@davidwatson6821
Жыл бұрын
Nafikiri ni wakati wa hao wanaojiita manabii na watumishi wa bwana kuwahubiria watu waache dhambi na wamjue Yesu, siyo kuwalaghai watu kwa mafanikio
@Elecovid
4 ай бұрын
Nabii mkuu kwa mama yake huko ni umalaya na uchawi unamsumbua jodev
@savinosalamba9174
Жыл бұрын
Utaalinika wew,
@bettyhabakaramo2996
Жыл бұрын
Bwana yesu atulinde
@UpendoDaudi-iq6hy
Жыл бұрын
YESU Kristo yeye yule Jana na hata milele
@HighzackMichael
Жыл бұрын
Kama Tanzania kungekuwa na wizara ya maendeleo ya dini ( religious affairs) josephati gwajima angekuwa waziri wa hii wizara na mbarikiwa mwakipesile angekuwa naibu waziri ni mtazamo wangu tuu ( ni mtazamo wangu tuu) Kwanini nimemchagua gwajima na mwakipesile 1. Hawajamaa wanajiamini.gwajima buana anajiamini Sana na mwakipesile anajiamini Sana ,kile anachokijua na hawezi kubadilishwa hata kidogo hata Kama wengine wanakuwa wapinzani.mfano wakati wa korona walikuwa na msimamo mmoja hakuna korona mpaka Sasa wanasimamia hakuna korona 2.hawafuati mkumbo.gwajima na mwakipesile wanafuata mambo yao ,wanafuata Imani yao wanafuata Mitazamo yao,yaaani anaongelea kile anachokiamini na kukifuatilia 3. Wote wanafuatilia mambo ya kijamii.gwajima buana mambo ya jamii huwa anafuatilia Sana na mwakipesile pia anafuatilia Sana mambo ya jamii ili atakayezingua anasemwa wazi wazi bila kuogopa chochote kile yaaani unaona gwajima alivyomchana makonda na mwakipesile anavyowachana 4.wote hawana mtoto wa mgongoni au watumboni .yaaani ukisali kwa gwajima buana 😂 Kama umeziea kupata vyeo au kujipendekeza sahau utachanwa makavu kabisa ,waumini matajiri masikini wote ni Sasa hakuna wa lazima au wa muhimu yaaani sio Kama makanisa mengine ukienda unaona masikini wanatengwa. Kuna mtumushi mmoja hapa Tanzania kumuona tuu ni laki moja ,mafuta laki mbili na hamsini sijataja vingine hapo😮
@bugybuster5788
Жыл бұрын
Mwakipesile mimi nakuelewa vijana sasa hv awataki kufanya kazi wanataka kuombewa tuu ili wapate maisha
Пікірлер: 505