Amina mchungaji ndacha Wewe ni mtumishi wa mungu wa israeli kweli.
@AntonyManeno
17 күн бұрын
Iende Mbele Injili Ya YESU iende Mbele Milele Hadi Milele Hakuna Wa Kuizuia❤ Ndacha Wapee Dam Ya YESU Wakombo Lewe❤❤❤
@user-tz8zu2gt6u
6 күн бұрын
@@AntonyManeno iende mbrle korasi
@faithe4063
15 күн бұрын
Nampenda mwalim kwa fundisho yake Ana Roho wa Mungu ndani mwake abarikiwe milele ombi langu ni tukutane katika ile mlango wa usima wa milele
@osmundmtavangu
17 күн бұрын
Hofu yangu ni polisi wetu wa Tanzania na uchawa wa kujikomba kwa kiongozi anaetawala. Si ajabu Mch.Ndacha akazuiliwa kuendelea kufanya anachokifanya kwa kisingizio Cha kuhatalisha amani. Tumuombee sana.
@JamesJastin-bg1rx
17 күн бұрын
Hujielewi wew
@user-mc2xd4eu2p
17 күн бұрын
hujielewi hakuna muislam anaweza kukimbia hoja za kipuuzi za kikafiri
@user-mc2xd4eu2p
17 күн бұрын
hiyo biblia huyo yesu haijui wala hajawahi kuitaja hata sehemu moja
@amosnnko7792
17 күн бұрын
@@user-mc2xd4eu2pwe ni mpumbav xan Kam hujui Yesu ni mwana wa Mungu umepotea pole baba
@martinisadru9899
17 күн бұрын
@@user-mc2xd4eu2p wewe ni mjinga sana,, bado unaamini kua uislamu ni dini ya mungu? Majini mnayoswali nayo misikitini ndio yamewafanya,, muwe gizani,, kwa imani yenu! Na kukiri kwenu! Kua YESU ndie atakuja kuhukumu kiama, bado mnasema muhamadi ni bora kuliko YESU,,, sasa tuwa elewe vipi? Kama muhamadi ni bora kuliko YESU, kwanini asije yeye siku ya kiama?
@frankmwakalinga7455
15 күн бұрын
Mimi namwelewa sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana Hawa watu wanapotosha sana kwa masrahi Yao binafsi sio kwa masrahi ya mungu
@emmanuelmatiko7307
15 күн бұрын
Kazi nzuri Sana pastor MUNGU akubariki
@jumahili8121
17 күн бұрын
YESU KRISTU NI MWANA WA MUNGU. Amini upate uzima wa milele. Bila DAMU ya YESU hakuna ondoleo la dhambi. Ufunge hata uende hija ni bure. Mungu sikuhizi hapokei damu ya wanyama kama sadaka
@SumaAbduly
16 күн бұрын
Yesu katumwa Kwa Wana wa izlaeli tu Wala ww hakuhusu soma bibilia acha kujazwa Kila mtume katumwa Kwa taifa lake ispokuwa Mtume Muhammad tu Kwa ulimwengu wote yesu SI mwana wa Mungu ni mtume kama mitume wengine
@evansmusyoka5215
15 күн бұрын
@@SumaAbdulymathew 28:18.. that is jesus all over. Acts 1:8
@amaningalla9420
17 күн бұрын
Ndacha nimekuelewa upo vizuri na unafuatilia biblia mungu akubariki
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Us haiti Wangu kwako SOMA BIBILIA Ili Ujue Ukweli ,
Someni vitabu hawa wako Kwa ajili ya sadaqa tuu hawataki wakiristo wajue ukweli watakosa sadaqa ndio maana hawaki musome wasema hamuna roho WA mungu but kuamini na kuabudu ni vitendo viwili tafauti hata Kiswahili hamjui kwani hakuna pahali katika Qur'an imeesema waislam wsimuamini yesu verses zinasema tunawamini manabii wote WA mungu akiwemo yesu na Musa na. Wengine but hatuwabudu tunawamini walikuepo Zama zao na mitume ya mungu but kuabudu tunamuabudu ALLAH mwenyezi mungu pekeake so kma nyinyi mwasema yesu ndio mungu sio mtume BC nyinyi ndio mnampinga yesu coz kwenye quran kasema mm ni metumwa na mwenyezimungu Kwa Wana WA Israel na nimtume kwenu ,kisha Kwa bibilia Napo yesu kasema kumwambia Maryam usinishike maana naenda ukawambia ndugu zangu naenda kwa baba yangu ambae ni Baba yenu na mungu wangu ambae ni mungu wenu na yesu alie mtuma so Kwa mujibu WA Aya hii yesu asema yy nimtumwa maana yake NI mtume wake .
@user-tz8zu2gt6u
6 күн бұрын
@@SumaAbduly nikweli ukiwa umepotea kwa uisilamu , anakipotosha na kukuleta kwa njia ya kweli ambayo ni ya usima wamilele yesu kristo mwana wa aliye hai
@jacquesmulalirya1704
5 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba yangu
@NeemaNgwengwe
14 күн бұрын
Ndacha nakuelewa vizur sana mtumishi wa Mungu piga kazi ya Mungu malaika was Mungu wamekuzunguka pande zote
@yohana1242
17 күн бұрын
Ushindwe kwa jina la mungu
@abdallahhassan4163
14 күн бұрын
Ndacha unapotosha kiswahili fasaha,Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa.Alichokiumba Mungu alikihukumia kuingilia na mtoto akapatikana, KWA AKILI ya kawaida,Mungu yeye HUUMBA KWA TAMKO jambo kuwa likawa,Hana matamaniyo ya kiumbo naye hana mwili bali sifa kuu 99 alizonazo ndizo baadhi kakupa wewe kama,kuona,kutengeza,kutoa,upole,nk wewe una ukomo,Yeye hana Ukomo huko ndiko kufanana,huweza kuwa atakavyo yeye ktk kiumbo chake na sio mwili,mwili hupatikana KWA kuzaa,Yeye hakuzaliwa ni kiumbo kisichokuwa bali ana sifa zako,hafananishwi na chochote ila sifa za utendaji tu,Zaburi ya Daud naTaurati ya Musa ni kabla ya lnjili ya Yesu je Musa na Daud walikuwa na dini gani usemapo Qur an ni baada ya lnjil
@user-df1wz5xu2i
15 күн бұрын
Kwakweli mwalimu ndacha mimi leo hii nimekukubali sana kweli
@TarimoMangi
16 күн бұрын
Mtumishi BWANA YESU akubariki sanaaa,Tena mtumishi YESU sio mwana wa mungu tu,YEYE NI MUNGU HALISI KABISA. NA NI MUNGU WA MIUNGU.
@shabbymakapane
14 күн бұрын
MARKO 12:29 YESU Akamjibu , Ya Kwanza Ndiyo hii Sikia , ISRAELI , BWANA MUNGU Wetu ni BWANA Mmoja ,🙏🙏🙏. LUKA 18:19 YESU Akamwambia , Mbona Unaniita MWEMA ? Hakuna Aliye Mwema ila MMOJA Ndiye MUNGU , 🙏🙏🙏. 🤣🤣🤣😜😜😜 Someni BIBILIA Nyie. YOHANA. 17:3 Na Uzima Wamilele ndio huu , Wakujue wewe ,MUNGU wa Pekee Wa Kweli , na YESU KRISO Uliyemtuma,🙏🙏🙏 ---😄😄😄🤣🤣🤣👏👏👏 , Msikieni MUNGU Wa YESU Anasemaje ??? 8:60 Watu wote Wa ULIMWENGU Wajue ya Kuwa BWANA Ndiye MUNGU ; Hakuna Mwingingine ,🙏🙏🙏 ---🤣🤣🤣😂😂😂 Someni BIBILIA 😜😜😜🤣🤣🤣 WAEWE Mskilize NDACHA Na Ndacha ni Yuko kwenye Kundi hili , ISAYA 30 : 9-10 Kwa Maana Watu hawa Ni WATU Waasi , Watoto Wasemao UONGO , WATOTO Wasiotaka Kusikia SHERIA Ya BWANA ; 10 Wawaambiao Waonaji Waonaji , Msione ; Na MANABII , Msitoe Unabii wa Mambo ya Haki , Tuambieni Maneno Laini , Hubirini MANENO Ya DANGANYAYO ,🤣🤣🤣😀😀😀🤪🤪🤪 Ndio Kina NDACHA ,
@shammhagama2527
14 күн бұрын
Mchungaji Ndacha you're the best teacher.
@andrewmoi2186
17 күн бұрын
Makafiri awalali KWA ajili ya kukufurisha WAISLAMUU.laana ya mwenyezi mungu iwachukie wenye kutoa watu katika dini ya akii
@PasserbyMan-ju8ky
16 күн бұрын
Hofu imewatanda watu wanasilimu wengi,watu wanaoamia katika ukristo ni dizaini mbili tu,walewasioujua uislam vizuri na wenye njaa,kama yule msomaji wa nfacha alie thibitisha hadharani kua njaa ilimpeleka kwenye Ukristo.na wanao amia katika uislamu ni wale walio bainikiwa na ukweli.
@user-tz8zu2gt6u
5 күн бұрын
@@andrewmoi2186 mwisho wa Majin na Hawa ndugu zetu ni jehanam
@FridayMwassa
3 күн бұрын
@@PasserbyMan-ju8kySiku zote mnawadanganya watu,eti wanasilimu mbona hatuwaoni.Waislam wameshajua Muhammad alikuwa tapeli ndiyo maana wengi wanakimbilia kwa Yesu kule Pakistan mashehe wanalia kuona vijana wao wanauacha uislam live.Kuna jamaa alikuwa mwislam anaitwa CP huyo waislam wakimuona wanatetemeka
@PasserbyMan-ju8ky
3 күн бұрын
@@FridayMwassa hahaha sijui nikuite kipofu,ila usingeona comment yangu ila ni kipofu wa moyo,pole endelea na tapeli Paulo aliona yesu kashakufa yule aliemwita shetani,Sasa akaanza kujipa utume ,yesu kama angekuwepo nafikiri huyu shetani wenu Paulo angekuwa freemason🤣🤣🤣kumpachika uungu yesu ili yeye awe mtume 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kaona yesu akibaki na utume yeye Hana chake🤣🤣🤣🤣
@user-zz9gr1vd9h
15 күн бұрын
Yesu ni Mungu ni Mwana wa Mungu apingwe asipingwe atabaki kua Mungu mileeeee barikiwe Mtumishi Ndacha nikweli tupu
@shabbymakapane
14 күн бұрын
YEREMIA 17:5 BWANA Asema Hivi , Amelaaniwa Mtu yule Amtegemeaye MWANADAMU, Amfanyaye MWANADAMU Kuwa Kinga Yake na MOYONI Mwake Amemwacha BWANA,😂😂😂🤣🤣🤣
@aliabdallah8456
6 күн бұрын
Tatizo Ndacha ujui Mungu wa kweli Mungu wa kweli haja zaliwa wala hajaa zaa kazi yake ni kuumba tu Mungu akiwa na mtoto kesho atakuwa na mjukuu
@apollorutamucero6971
13 күн бұрын
Hi tumatami Ndacha na Dr Soull Bujumbura
@mokitaa8750
16 күн бұрын
Hauweleweki mara useme yesu mungu mara useme yesu ni mwana WA MUNGU
@EmmanuelMoses-pb1zh
16 күн бұрын
Ambacho huelewi ni nini
@girukwishakamechack3663
15 күн бұрын
Wewe huwezi kumuelew labd ufunguw akili
@hassanjuma2772
13 күн бұрын
@@EmmanuelMoses-pb1zhwewe vip lkn si amekwambia kuwa ndacha haeleweki,amara aseme yesu Mungu mara aseme yesu mwana, Atofautishe Mungu yupi na mtoto ni yupi
@hassanjuma2772
13 күн бұрын
@@EmmanuelMoses-pb1zhmwenye kusililiza nakutafakari huwa hadanganyiki,mafundisho ya ndacha nimeyafatilia ni upotoshaji mtupu na kuwapiga vita hata wakristo wenziwe huyu jamaa hafai hasa, Kuna klip yake moja anasema mariamu sio mama wa yesu wakati wakristo walio wengine wanaamini ujaji wa yesu ni kwa mimba ya bikra maria iweje aseme sio mama yake si upotoshaji huu wakati alikua anasomesja wengine katika mtandao?
@Mtumisi
6 күн бұрын
@@hassanjuma2772hizo ni mada mbili tofauti kaka,, mungu ni mungu hatuna mungu baba na mungu mwana ila tuko na mwana wa mungu...hivo basi yesu anayosifa ya kuitwa mungu bro ..zaidi ya hapo wahitaji elimu sasa kuyajua haya . Maana haya hayatoki akili mwetu bali katika maandiko na uthibitisho upo aminaà
@LuisFaustinoLuis
17 күн бұрын
Unafundisha sana mwalimu wangu ndacha mungu akuweke peponi sana amina
@user-ks4hh8jb6k
17 күн бұрын
Mungu amtupe motoni kama hatotubia na kuacha kufundisha ukafiri
@user-pg2tw8yt4l
16 күн бұрын
@user-ks4hh8b6k 😂😂😂
@paschalfausitine7108
17 күн бұрын
Naomba siku moja mungu ashuke tumalize mzizi wa fitina
@martinisadru9899
17 күн бұрын
Hata MUNGU akishuka, na akasimama upande wa KRISTO, waislamu hawata amini kamwe! Kama Israel walikula mana na kwale kutoka peponi na bado hawajamwamini YESU na wakamuuwa,, ije kua hawa walio upande wa muhamadi! Waislamu wamepotea kuliko wayahudi.
@saphinalutaha9077
15 күн бұрын
@@martinisadru9899😂😂😂😂😂😂msujudien mungu sio kunena yasyo faa ety waislam wamepotea wagepotea wagemsujudia mungu kwel😂😂😂
@helenarhobi1250
15 күн бұрын
Mch. Ndacha kongore Sana kwa kutangaza dini ya kweli ya Kikristu wape shule hao wapagani wasiomjua Mungu tunakuombea sana jasiri wa Yesu!
@shabbymakapane
14 күн бұрын
🤣🤣🤣. MATHAYO 24 : 4-5 YESU Akajibu, Akawaambia , Angalieni , Mtu ASIWADANGANYE , 5 Kwa Sababu Wengi Watakuja kwa Jina Langu , Wakisema , Mimi ni KRISTO ; Nao Watadanganya wengi, 😹😹😹🤣🤣🤣 @helenarhobi1250 Leo Yapo hayaoo ??? MATHAYO 24:24-25 Kwa Maana Watatokea MAKRISTO Wa UONGO , Na Manabii Wa UONGO , Nao Watatoa ISHARA Kubwa na Maajabu ; Wapate kuwapoteza , Kama Yamkini , Hata Walio Wateule , 25 TAZAMA , Nimekwisha Kuwaonya MBELE 😄😄😄🤣🤣🤣. Yesu Amesha Tuonya , Akatokea Mtu Mmoja Anaitwa PAULO Akazingua 1. WAKORINTHO Siyaandiki Hayo Ili Kuwatahayarisha ; Bali Kuwaonya Kama WATOTO niwapendao , 15 kwa kuwa ijapo Mnawaalimu Kumi Elfu katika KRISTO , Walakini Hamna Baba wangi . Maana Mimi ndimi Niliyewazaa katika KRISTO YESU Kwa njia ya INJILI , 🙆♂️🙆♂️🙆♂️. 16 Basi, Nawasihi Mnifuate Mimi ,🤣🤣🤣. @helenarhobi SWALI Kwako Kati ya PAULO na UISLAMU. Dini Gani ya UPAGANI ???😂😂😂🤣🤣🤣
@stateofart1089
14 күн бұрын
Tunapigana vita za kidini bila sababu, kila mtu asimame na dini yake tumuachie Mungu kuhukumu!!! Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo hana roho ya ukatili ana roho ya huruma. Mungu aturehemu wote WAISLAMU na WAKRISTO wanauamini Mungu na kumuabudu kwa usahihi. Amina!!
@enockabumba7513
16 күн бұрын
Balikiwa mtumishi
@fredykiluka6606
17 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Ndacha perfect man
@user-mh9hj3lx7q
17 күн бұрын
Isa bin mariam ni mwana wa Mungu aminie na abatizwe na apate uzima wa milele
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
🙏🙏
@yohana1242
17 күн бұрын
Ww sio mfundishaji wa mambo ya mungu ww ni mpotoshaji
@user-tv4bk5ow9x
15 күн бұрын
Unatatizo wewe kwan ukifungua mlango wa akili unapungua nn
@yohana1242
15 күн бұрын
@@user-tv4bk5ow9x akili gani ila sio kwa nyinyi munaomubudu Nabii wa mungu izo kwel ni akili
@omariahmedmghanga7862
12 күн бұрын
Karibu malindi, Mimi nataka sana tujadiliane
@hassanjuma2772
7 күн бұрын
Hata nami namuhitajia ndacha kwa hiyo elimu alookuwa nayo
@idrisatembo4799
15 күн бұрын
Umekubali ameingia kwenye sinagogi sio kanisani ebu tupe maana ya sinagogi
@martinmkoba361
9 күн бұрын
Ni nyumba ya ibada ila sio msikiti kama unavyodangywa
@rashidimahmud8605
17 күн бұрын
Huo niujinga mungu kuzaa mungu Hana mwana Wala hafanani na chochote
@samwelingasa1638
17 күн бұрын
Mungu hazai Kwa jinsi tunavyofikiria hata Kwa jinsi ya kawaida Kuna viumbe kama amoeba vikitaka kuzaa vinakatika vinajigawa ndo wanakuja wengi so kuzaa sio Kwa jinsi hiyo unayoidhani nimekupa mfano ufungue akili yako
@martinisadru9899
17 күн бұрын
Huyo mungu yupoje,, kwahiyo mungu ndio yupo pale unapoweka paji lako la uso? Na kama hafananishwi na chochote, kwanini uweke paji lako aridhini?
@nestarnestar4520
17 күн бұрын
Acha ubishi ww uislam bila Majini hakuna, mbona huyo shafii hajawahi kupinga maneno ya hamza issa yule shekhe anaongea ukweli mbna hampingi
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
Naogopa majini sana kumbe ndugu zangu Hawa majini ni ndugu zao kwa kweli hizi ninyakati za mwisho Dr sule kufumbua uji wawaisilamu kuwa muisilamu kamili lazima uwe na jini utakuta mwingine anapinga ilihali qurani yadhibitisha kusilimishwa kwa majini na muhammad
@martinisadru9899
16 күн бұрын
@@samwelingasa1638 nimejifunza kitu kupitia comment yako, kuhusu amoeba🦠.
@hajiabdulrahmani9204
15 күн бұрын
Allah akiamua atakuthibitisha kua uislam ndio dini ya haki kwakua mashkekh wengi wamekuelimsha ila bado tu upo kweny ukristo
@graduationtv3072
13 күн бұрын
Yesu ni bwana 3:39 Qurani hiyo. Yesu ni top ata mohamad si chochote 3:39 Qurani
@martinmkoba361
9 күн бұрын
Kwani Allah dini gani??😂
@graduationtv3072
8 күн бұрын
Hii dini ni ya allah au mohamad? Soma 39:14 quran rudi hapa utufundishe sasa pia onhezea 10:104
@JofryDaud-kc2du
13 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-do7ui5wi3n
14 күн бұрын
Ndacha huna elimu juu ya yesu
@user-tz8zu2gt6u
6 күн бұрын
@@user-do7ui5wi3n sida wewe umekalia akili , ukifunguka hiyo akili nakuona ukiwa pasto, na jina la bwana wetu yesu kristo lisifiwe
@YasinihamisiOmari
5 күн бұрын
Mungu hajazaa wala hajazaliwa kwasababu hanamke kwaiyo achana na ayo mambo
@awatifsubeit4007
17 күн бұрын
Karibu kwenye uislamu dini ya haki
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
Ilianza kukuwa ya haki lini?
@elishayohana3589
15 күн бұрын
Dini ya haki😂 inayofundisha kulipiza KISASI😂😂 hiyo ni DINI. au Kundi la WAHUNI
@user-dt5wp5qo4n
17 күн бұрын
Mungu ni mkuu
@hamidaalhabsi8568
15 күн бұрын
Ndacha kaa Vizuri sana usipende saaaaaaaana kuingilia ndini ya kiislamu maana kanisani hamuwafundishi watu mambo ya dini ila mnafundishana mambo yasio kuwa kwenye hiyo biblia Yesu hakusema kuwa mumuabudu yeye aliwambia kuwa muombeni mwenyezi mungu sio yeye.
@graduationtv3072
13 күн бұрын
Sifa za Yesu ambaye ni bwana wa wote Waislamu na Wakristo 3:45 na 3:39 . Nitafutie aya ikitaj hizo sifa za mohamad kwenye Qurani
@aliabdallah8456
6 күн бұрын
Msidanganyane Kwa kweli hakuna hata mkristo mmoja atakaeingia peponi au atakayeingi uzima wa milele kwa sababu mshakufuri kusema Mungu kazaliwa na wengine wanadai Mungu kazaa anamtoto hiyo ni kufuru kubwa sana
@user-tv9iv8ij1n
6 күн бұрын
quran inapinga bibilia iliyotangulia
@user-jl5uh1xq9f
4 күн бұрын
Wewe ujuwi soma uwisilamu wako 49:6 upate elimu
@user-ee8dr9iw4t
17 күн бұрын
Wanapindisa bibilia, ili asiejua ukweli wampotose Jia ya kweli, yesu anasema wamesimama mlagoni kusuiya wenye kuingia , nao waingi ,
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
Napenda huyu interviewer maswali straight na anaelewa haraka👍
@seifserenge3340
17 күн бұрын
Ikiwa Yesu ni mwana wa Mungu, swali langu ni hili, ni Mungu yupi aliyemzaa Yesu? Na alizaa na mke yupi? Ama kweli akili ni nywele Kila mtu ana zake. Hivi Mungu anazaa mwanadamu? Hebu linganisha yafatayo: Yesu. Mungu 1. Anakula. ......... 2. Anakwenda choo. ....... 3. Ana njia haja kubwa ... 4. Ana njia haja ndogo ... 5. Anaonekana. ..... 6. Ametahiriwa. ...
@stateofart1089
14 күн бұрын
Unasema hamna kupigana, Israel na Gaza wanapigana na ndio Yesu alizaliwa huko.
paulo hakuwa muhubiri alikuwa muuwaji namkurisha watu wa mungu kuwafanya makafiri (wakiristo) hiyo ndio kazi ya kafiri mwenziyo paulo
@SumaAbduly
17 күн бұрын
Kwa hari ya kawaida yesu alitumwa Kwa Wana wa izlaeli sio ulimwenguni,na swala la sili unalosema wewe ni sili Gani iseme
@aliabdallah8456
16 күн бұрын
Mungu hajaleta kitabu kinachoitwa Biblia hicho ni kitabu cha wagiriki waroma
@hythamhashiem4458
11 күн бұрын
Hizo ni kufru za kusema yesu ni mwana wa mungu! Ndacha utaingia motoni na watakao kufuata
@JamesJastin-bg1rx
17 күн бұрын
Upuuzi
@EmmanuelMoses-pb1zh
16 күн бұрын
Mwalimu Ndacha tangu mwaka 2020 sijawahi juta kumfaham maana mafundisho yake yanaeleweka sana
@Mohammed-mn2xg
13 күн бұрын
Ndacha wee unapinga baada yakuijua haki ndo maana tunawaita makafiri mpaka cku mtaacha kupinga Qur'an mtasalimika na Qur'an haijakuja isipokua kukumbusha na kuhadithia yaliyokuepo katika umma zilizopita na kusema Yale yaliosalia katika asilia Yake na kurekebisha yaliyo haribiwa
@ibrahimjuma9709
17 күн бұрын
Siku zote ujibu oja unabaki kutoa maelezo yasio na msingi na oja utabaki kama paulo tu alishindwa kukamilisha ukiristo 😂😂😂😂
@user-qk8ny9bx3s
14 күн бұрын
Uislamu ndiyo dini ya kweli utake usitake
@graduationtv3072
13 күн бұрын
Soma 3:45 na 3:39 utamjua Yesu kwenye Qurani
@PasserbyMan-ju8ky
16 күн бұрын
😂😂Ngoma imekua nzito Sasa anatafuta msaada ,hata muungane jina la Allah litaendelea kustawi,Kila unapojitahidi kukashifu uislamu ndipo watu wanazinduka na kusilimu😂😂😂😂😂
@charlesmakuri792
16 күн бұрын
Yesu alibatizwa hakusilimu
@idrisatembo4799
15 күн бұрын
Kabatizwa na nani alafu unaposema kabatizwa yani mungu wenu yesu anabatizwa na mwanaadam hivi utumii akili wewe
@charlesmakuri792
15 күн бұрын
@@idrisatembo4799 ona pimbi hii Yesu alibatizwa na Yohana ,we mtume wako nani alimsilimisha,na majini yake jinga wewe
@daudiazizi8495
16 күн бұрын
Waislam wawe na akil kwa mana koroan imeikuta biblia,swal langu kwann wachukuwe agano la kale waache agano jipya .jibu ni kwamba:hawamtak yesu kwa kuwa nashetan hakumtaka yesu kwa hio niwashetan hao
@Pablolookman
15 күн бұрын
Na biblia imekura kitabu gani ?
@marundaye3613
16 күн бұрын
Wewe ndacha ni mtu mweusi. Babu wa babu yk ali kua ana abudu Mungu na Mungu anamsikia. Alivo kuja mtu mweupe kawachkueni nyinyi ki zazi kimpya hadi ulaya. Mlivo rudi ulaya mkaja nadini . Mka anza kuwa poteza . Leo dini ya mababu ime potea . Mna sema wali kua wana abudu mizimu. Mchine kasi mama na dini yk. Je ! Ndacha . Mungu hajibu dua za mchina? Rudi kwenye asili yk ndacha . Wewe ni mtu mweusi . Mchina kashikilia tamaduni yk.
@IbrahimuKalota
5 күн бұрын
Ndacha unatuchekesha kama hauwezi kiarabu bora ukae kimya Lakini nchi hii ni ya kikristo inatawaliwa na roma
@leonardmwayeya13
16 күн бұрын
Usiadandanye hakuna mwiisramu anaekata kua simwanawamungu sikwakumza kwaimani usidanganye bari mnapi pishana kusema yesu nimungu
@sophiaesmarcharo9775
14 күн бұрын
🌷❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@GraceIdaya-bm9pt
14 күн бұрын
Hakuna mwiislamu anaita mkristo kafiri ni bibilia yuda 1:4
@NancyNaomi-od6ng
15 күн бұрын
Aliye anzisha kazi kwako ataimalizia Yesu Yu pamoja nawe
@zuberkasim7150
17 күн бұрын
Midahalo yote maranyingi umekua ukishindwa shafii utamuweza kweli?
@zaburionlinetv6245
16 күн бұрын
Yaani yeye ana hisi kwamba Kila mtu atajadiliana nae lengo lake apate umaarufu kupitia wahadhiri wakongwe kwenye mijadala, Sasa akipuuzwa ndo hii anaepiga kelele kwamba flani anaogopa Sasa Kenya tu kule Kuna wahadhiri wengi anawakwepa sembuse Tanzania walikojaa wahadhiri wakongwe kwenye midaharo
@michaelwilliam7639
13 күн бұрын
MUNGU akutangulie Ndacha Naamini wazo lako litafanikiwa
Mwislam huwezi elewa hayo mpk yakufike hata moo hajua mpk alipoona yamemfike ndo akasema roho yake anaiweka mikononi mwake
@user-bh5cu2jy6c
16 күн бұрын
Acha kudanganya watu ndacha hauna elimu njaa tuu
@BushDoctor-dw8el
2 күн бұрын
Hiyo aya 36 ya yohana 3 isemayo amuaminie mwana ana uzima wa milele. Nani alietamka kauli hiyo.
@user-qo2xd3hb8l
17 күн бұрын
Sasa ukiso mstari ambao unasema ufalme wa mungu utatolewa kwenu upewe taifa lengine umepindisha mahandiko?
@martinisadru9899
17 күн бұрын
Kwahiyo unajidanganya kwa andiko hilo? Unazani taifa jengine ni madina na muhamadi wake,,, hahahaaaa, pole sana, YESU alisema! Sikuja kuitangua torati, bali nimekuja kuitimiliza,, sasa kama ujio wa YESU ndio kukamilika kwa torati! Muhamadi alikuja kufanya nini? Chuki za warabu na warumi, dhidi ya wayahudi,, ndizo zizopelekea kuandaliwa kwa mtume feki muhamadi,, hivo muhamadi sio mtume alietumwa na MUNGU, kwa kizazi kikahidi chenye kuhitaji ishara na miujiza! Maana Muhamadi hata panzi hajaweza kumfufua, sasa wewe bado unamwamini kwa ujinga wako, pole sana, we, endelea kutuita sisi makafiri, utakiona cha mtema kuni siku ya kiama.
@shabbymakapane
16 күн бұрын
🤣🤣🤣 Mpe Huyo
@juliusdominic-uk4bu
15 күн бұрын
Tatizo la waislam ni kufungwa fahamu zao na majini ambayo ni ndugu zao
@shabbymakapane
14 күн бұрын
Hilo Ndio Mnalolijuwa Baasi,🤣🤣🤣😀😀😀 KANISANI Hamfundishwi Kumcha MUNGU Bali UISLAMU na MAJINI 🤣🤣🤣 Poleni Sana,
@shabbymakapane
14 күн бұрын
WALAWI 18:7 MAJINI na WAKRISTO Wanadangishana 😃😃😃🤣🤣🤣
@shabbymakapane
14 күн бұрын
hapana ni WALAWI 17:7 MAJINI. 2 NYAKATI 11:15 WAKRISTO na MAJINI ni NDUGU 🤣🤣🤣
@Mudi-zk2cy
13 күн бұрын
Hapana mchungaji hapo nakupinga kwa sababu umesema kupata uzima wa milele ni kukiri yesu ni mwana wa mungu lakini bibilia inasema katika Yohana 17:3 "Na uzima wa milele ndio huu wakujuwe wewe mungu wa pekeee na Yesu kristo uliyemtuma". Sasa kupata uzima wa milele unahitajika kukiri yesu kuwa mtumisha wa mungu.
@rammeysrambo887
5 күн бұрын
Hayo n mafudisho ya mazinge
@Mudi-zk2cy
4 күн бұрын
@@rammeysrambo887 Siyo mafundisho ya mazinge ndugu huoni na quote kutoka kwa bibilia,Labda upinge bibilia.
@daudiazizi8495
16 күн бұрын
Mchungaji wetu ndacha nikuombe uwe shuja kama wakina shedrak meshak nadanieli gikubwa uwe namaombi mengi
@mohamedassumanesumailassum1823
17 күн бұрын
Ndacha, unachanganya buana, após unakubali kuwa Yessu no muana wa mungu, jana na juzi ulikua anabichana na Sulle, kuwa Yessu no mungu, sasa tufuate ipi🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@leonardadd
17 күн бұрын
Mtoto wa kuku ni kuku bro, sio kuchanganya
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 umewahi enda shule kweli juu kuelewa kwako nifinyu sana basi tumia elimu yakuzaliwa
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
ndacha Asante sana kwa mwongozo wako Hawa ndugu zetu huwa wanasoma mstarimmoja badala yakusoma kifungu chote ndio wapate ueleo
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Wewe Unaisoma BIBILIA ???😃😃😃
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Huyo Ndacha ndio Bingwa Wa Kufupisha Maandiko
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Soma hiyo 1 WAKORINTHO 15-19
@shabbymakapane
16 күн бұрын
kwa Mfano Hapo Sasa hivi Kapindisha Anasema QURANI 72:14 Mbona Amefupisha Andiko Linaanza 72:1-28 Mbona yeye Amefupisha ??? 🤣🤣🤣 Akasema MAJINI Yamesesilimu Kwanini Asianze 72:1-28 Tena Anakimbilia kwenye Vitabu vya Khadithi 😄😄😄🤣🤣🤣. katika QURANI Tunaambiwa Kuna Khadithi Zilizo Sahihi na Zisizo Sahihi,
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
@@shabbymakapane Asante kwa jibu lako ndio tunasema hiyo dini SI sahihi , kakangu ni vizuri unajua Hilo ni wachache sana hawana ufahamu kuwa uisililamu ni hadithi za Muhammad ambazo zi zakweli 🙏🙏🙏
@zuberkasim7150
17 күн бұрын
Kama unahisi yesu alikosea mchane izo kurasa zisiwepo
@hamicpina1151
15 күн бұрын
Swali mbona wakristo wengi ndo wanaslim kwa nn
@ibrahimjuma9709
17 күн бұрын
Ndocha wew umezaliwa bibilia iko dunian hiyo hiyo biblia inamkataa yesu na kumkubali yesu kwa shingo upande sasa wewe leo utakuja kuilekebisha weew kuilekibisha biblia mpaka muwe na yesu pamoja tena athibitishe kwa kauli yake kula ugari ukalale 😂😂😂😂 pole sana utapara tabu sana wewe
@ibrahimmohd6859
17 күн бұрын
Basi fanya kazi iyo ya kuwasomesha waislam wawe wakristo😂
@zuberkasim7150
17 күн бұрын
Mnatangaza maria nimama wa mungu kweli ? Unafikiri unaweza kumbadilisha muislam awe mkristo kwamafundisho hayo labda muislam asiye jitambua
@KimoniMbinda
17 күн бұрын
Unajitambua kwa ujinga na upumbavu sio kwa kweli ya mungo.ama hoja
@MbarakaMbaya-ey3xz
17 күн бұрын
Mh huyu jamaa ni muongo eti ukitoka nje ya uislam unatakiwa uuliwe hakuna hiyo sheria hebu someni kwnza ndio mupinge
@hassanmbumbo-lw8rh
16 күн бұрын
Yupo sahihi lazim uuwawe
@abubakarjuma443
16 күн бұрын
Lkn mi sijawai kuona uzima wa milele Leo kuumwa jicho kesho pua uzima wa milele uko wapi
@HAPPYSULE
17 күн бұрын
Hata mimi nilikua mwisilam nikapokea nguvu ya kristo, ubarikiwe sana.
@Ahmed_Suleiman.
17 күн бұрын
Utatamani uwe mchanga
@elishayohana3589
15 күн бұрын
Barikiwa sana Mungu akutie Nguvu🎉
@rashidimahmud8605
17 күн бұрын
Nyinyi niwaongo sana
@user-tv4bk5ow9x
15 күн бұрын
Huna andiko af unapinga
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
Kupindisha biblia ni kawaida ya waislam kupotosha wasio jua maandiko
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Huyo Unaemsikiliza hapa Ndio Bingwa wa kupindisha Maandiko , na kuna klip Aliulizwa Akakubaki na Kusema Siku hizi Ameacha 🤣🤣🤣 Ukitaka Mifano Nitakupa wa Maandiko Anaye pindisha
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
@@shabbymakapane ile ni title kuria Ramadhan alikatiza na kumuekea maneno Kwa mdomo
@shabbymakapane
13 күн бұрын
@@stephenogachi2205 Hovyo Anamuekeaje Maneno Kwa Mdomo ???🤣🤣🤣
@zuberkasim7150
17 күн бұрын
Zaidi ya aya kumi yesu anajiita mwana wa adam nani mtume katumwa na mungu unataka waislam wasifuate mafundisho ya yesu tufate yako
@shabbymakapane
16 күн бұрын
🤣🤣🤣 Umeonaeeh
@user-zz9gr1vd9h
15 күн бұрын
Sijajuaga nisaidieni makafiri maana yake nini huwanasikia tu lakini sijui nifafanuliwe nijue
@MaksMedia1
15 күн бұрын
Makafiri ni wale wanaompinga Mwenyezi MUNGU,Yupo kinyume na MUNGU ..
@MaksMedia1
15 күн бұрын
Yeyte anayepinga MUNGU ni Kafiri ..
@rashidimahmud8605
17 күн бұрын
Ukiona mtu anaingia katika ukiristo jua anafata maslahi
@ashuramuhammed3257
16 күн бұрын
Eehh ndacha silimu hakuna mungu anokunya Wala kusulubiwa Wala hakuna mungu alozaliwa hemu fikiria Kwa akili timamu ukristo dini ya kweli Kila mtu anakanisa lake tz ukristo sio din
@rogatimushi689
16 күн бұрын
Quran yako yenyewe inasema mungu ni muweza wa kila kitu alafu wewe hapo unasema awezi kufa au kusulubiwa kwaiyo kuna mambo mungu awezi?maana kitabu chako kinasema anaweza kila kitu
@Pablolookman
15 күн бұрын
Msomaji wako njaa zake ndo zilimpeleka huko asievumilia njaa atapelekwa pabaya
@user-mh9hj3lx7q
17 күн бұрын
Hakuna mbishi kuliko muislamu dunia hii
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Na Wewe?
@yohana1242
17 күн бұрын
Uyu jamaa acha aisome Quran vizur mwisho wasiku utasikia Mr Ndacha kasilimu
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
naona Yu na mungu huyu ndacha atasilimisha waisilamu wote NAMI nimeamua kumfuata yesu ni bwana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@stephenogachi2205
16 күн бұрын
Ndacha giving Muslims hard time kama vile wakati wa mitume
@user-tz8zu2gt6u
16 күн бұрын
@@stephenogachi2205 🇰🇪🇰🇪🇰🇪haba kwetu uisilamu umepungua kwa KAZI yesu ndiye ya uzima wamilele
@yohana1242
17 күн бұрын
Ndacha acha kupotoa watu utaenda kuchomwa unasem yesu hajawahi kusema kma yeye ni muislam kwani maana ya Uislam hujui si ni unyenyekevu kwaio unataka kusema kuwa yesu hajawahi kusema kwenye bibilia yako kuwa yeye ni myenyekevu soma vizur bibilia yako na unajitahid kupotosha
@juliusdominic-uk4bu
15 күн бұрын
kwaiyo mtu anakuwa mwislam kwa kusema ni mnyenyekevu ? yesu alibatizwa je kuna mwislamu aliye batizwa akawa mwislam? na wapi yesu alishaadia kuwa mwislam?
@ginazngo4317
17 күн бұрын
Muuongoo wewe hakuna muislamu muongo sana ndacha 😂😂
@shabbymakapane
16 күн бұрын
Naomba Nikuulize Swali NDACHA : Wapi Ndani ya BIBILIA MUNGU anasema YESU Mwanangu na Wapi YESU Anasema Yeye ni Mtoto Wa MUNGU???
@elishayohana3589
15 күн бұрын
Soma bibilia majibu utayapata, acha KUKARIRISHWA kiarabu😂😂 ndo mana WAISILAMU Mnakua na VICHWA vigumu HAMUELEWI😂😂
Пікірлер: 336