Shehe uko sahihi kabisa ila kwa kuwa wengi na asilimia kubwa wako hivo hutasapotiwa Allah akuripe heri
@hassanwaswa4675
5 жыл бұрын
Allah awahifadhi mashekh zetu awaxidishiye ilim ili mtuelimishe nasisi
@bahatihadijabahati7456
5 жыл бұрын
Shukuran sheikh wetu Allah akuzidishie in shaa allah
@aboumaburaramadhan4188
5 жыл бұрын
Subhanaalh mungu atunusur WATU WANAKUFURU VIBAYA KUKOJOLEA MASHHAFU TENA DHU KWA KIP HATA UKUFURU KIASI HICHI
@alimatambwe3402
2 жыл бұрын
Jazakhallahu kheiri MashaAllah,Allah akukinge 🙏🙏🙏
@ummyremmy3803
Жыл бұрын
Subhanallah sa shida zote za nn...ya Allah tunusuru na haya majanga mwanga na mchawi ni adui hta akiwa mamako mzazi
@hamisikipenda606
6 ай бұрын
Uyo sheke niwa manasana
@bellbell9294
3 жыл бұрын
Allah akujaalie kher na Baraka sheikh wetu wajazakumullah
@mohamedbinfadhil1396
5 жыл бұрын
Mashaalah bakwata wanashindwa kuwa na online tv kama hii jamani hatuwasikii mpaka kuandama kwa mwezi.
@saidaabdalla2854
5 жыл бұрын
JazakaAllahu kheir, Shukran Sheikh
@laylayl5166
Жыл бұрын
Mashaallah shukrani ya sheikh
@aishandayishimiye5127
5 жыл бұрын
Allah atujaalie mwisho mwema
@laylayl5166
Жыл бұрын
Aamiin yaarab
@mira-gq3qg
5 жыл бұрын
Allah akulipe kheri kwa kutuelimisha
@nasrakapuri5954
Жыл бұрын
As,aleykum naomba naomba ya cm ya huyu shekhe
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
Subhanallah, mungu atunusuru inshaallah na balaa hii.
@yukundapeter8200
5 ай бұрын
Yaani lichawi liko radhi kuuwa watoto wa wa2 wivu,Mungu auwe mitoto yao.Tumeteseka.
@mkuchikaentertainment
Жыл бұрын
Insha Allah mungu Yu mwema
@hamisikiango4623
14 күн бұрын
Jamani uyu shekhe sio muongo ata marehemu bibiangu alikua mchawi kabla ajakufa aya maneno aliyasema nimekumbuka ili lakula jongoo subbuhanallah
@husseinkazungu5101
3 жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikh
@joharihassani3884
6 жыл бұрын
mashaallahkweki shekhewangu allahakujaalie.
@TATURAMADHANJIHADI
11 ай бұрын
Shekhe naomba unisaidie Nna bint yangu kaenda spital kapimwa kakutwa ana uvimbe kwenye njia ya uzazi
@Shuweamussa
11 ай бұрын
Kwa kweli sheikh tunaomb namb yk
@samwaoo995
Жыл бұрын
Ata kama ni tapeli ila allah ametukataza kutoa aibu ya mtu yy mwenyewe ana tujua aina haja kuwa mshirika wake
@onetap8009
3 жыл бұрын
MashaAllah
@Shuweamussa
11 ай бұрын
Sheikh mung akupe maish maref
@uwesurwambo3666
Жыл бұрын
Shehe mpendu naomba nambayako shehe
@kibajetihassan6218
5 жыл бұрын
Daaa bingwa uyo mrogeni sasa kama Tanzania kuna wachawi natoa wiki mbiri kama amjamroga kweri wote wanawake zake kweri sio Mimi haaa uyo sheck ndio kasema ivyo Mimi mweupe Sina chochote sema nataka nione mupoo au munatuonea sisi tu mahana bingwa uyo kajizazatiti aogopi
@ausimtaka52
5 жыл бұрын
Mashallah
@fathimamct232
Жыл бұрын
Duwaa hata ukisoma kwa kiswahili inatakabaliwa sababu Kila taifa Lina lugha yake.
@inabikorwaneema8815
6 жыл бұрын
Shukran
@MustafshukriTamuje-hv6bz
Жыл бұрын
Masha Allah allah akbar
@Snuky54
10 ай бұрын
Masha Allah
@AliHassan-xw3uo
11 ай бұрын
Naomba usaidizi wa namna yako ya simu
@Hashim-p4d
14 күн бұрын
Husbunallah wanemal wakiil
@broumaiyyah8018
Жыл бұрын
Asalaam alykum warhmatulwah wabarakatuh.Namba ya sheikh mpendu inawezekana kuipata?
@hamzaadrin941
Жыл бұрын
Hapo wakina mama umewagusa hadi uku sauti zao nazisikia
@MustafshukriTamuje-hv6bz
Жыл бұрын
Allah akbar
@zamdakimaro8040
Жыл бұрын
MIMI SHEGHE NAOMBA KUJUA JAMANI SASA UCHAWI NA MSIKITI INA MAANA VINA MAHUSIANO YA KARIBU KIASI GANI MPAKA INABIDI MTU AINGIE MSIKITINI SIKU 40 DAA
@legend9805
Жыл бұрын
Msikiti na uchawi havina uhusiano chochote
@AliceNirera-mi9ck
Жыл бұрын
Kwaju wachukiye sala
@siakaahmedbrown2294
14 күн бұрын
😂 Sheikh ENDELEYA, KUNA JAMA NYUMA YAKO HAPENDI INAWEZEKANA YEYE MCHAWI... UYO ANAYEPIGA SIMU
@mfaumejaffery4031
5 жыл бұрын
gooood
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Subhanalha
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
Mbona huyu anayeigizwa kwenye uchawi aende msikitini aswali?
@jumamwamungamunga6817
6 ай бұрын
❤
@rajabujuma4976
4 жыл бұрын
Assalaam alaykum Shaykh naomba kuuliza wachawi walio kuwepo kabla ya kushushwa Qur aani walitupia nini chooni mbili walikojolea kitabu gani?
@ebisollili6646
Жыл бұрын
Kabla quran kulikuwa na vitabu vyengine na pia ni maneno ya mwenyezi mungu. Kwa hivyo walikuwa wakifanya njia hiyohiyo
@issakisalu9237
3 жыл бұрын
Sijajua darsa inahusu nini? 1. Mafunzo ya uchawi. 2. Jinsi ya kuwa mchawi 3. Kazi za uchawi 4. Kutafuta njia ya tiba 5. Njia ya kuuza dawa?
@allyismaily3876
2 жыл бұрын
Kuwaelezea juu ya ubaya wa uchaw
@mohamedmmuya6484
Жыл бұрын
SHEKH unapatikana wapi?
@aminruga429
5 жыл бұрын
Hhh shekh jamaa kafungua swaum kwa mikate iloekewa majini
@issakisalu9237
3 жыл бұрын
Mmmmmh huyu shekh atari. Mmmmmmh
@yassincctv2091
5 жыл бұрын
Assalwalaykum warahmatullah wabarakattuh Sheikh huyu tapeli xnaa walay mm namueka ALLAH shahidi apa Duniani na kesho akhira kama kuna mwenye shaka mm na mfahaamu xnaaa labda awe ame tubu
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Alhahu akbaru
@dhiabmohammed4238
4 жыл бұрын
Msiba
@koshihadiraabdalla5673
4 жыл бұрын
Huyu shekh so pesa mpaka apendwe na kila mtu moja mbili nakuuliza hivi kwani wewe pia mchawi maana sijaona utapeli katika maongezi yake
@AbdulAbdul-pr9qe
4 жыл бұрын
tuthibitishie huo utapeli
@alexkadodsouza539
4 жыл бұрын
Utakua wewe ndiyo mchawi hahahah
@bebisheni4380
4 жыл бұрын
chale hizo zinafutwaje
@MichaelMandainey
6 ай бұрын
❤😅😮😢 11:27 11:28
@khabib9459
3 жыл бұрын
Mchawi Pesa
@allythabiti8150
Жыл бұрын
Ctak kuamin saana kwasababu ukisema Kila muwanga yeyote anaetaka kuwa muwanga et lazma aingie msikitn aswal akiwa na janaba cku 40 cjui xjui bila udhu je wale ambao Kwa sehem zao hakuna msktn Wala hamna Quran hawaijui je hao wanga wanajiungaje...!, Labda aseme baadhi ya watu katika maeneo fulanii.
@frankgeorge9371
Жыл бұрын
Huyu ni shekhe chifu anajua namna wanavyo fanya Mana usislaam umweka. Wazi Mambo Hadi namna kumuita jini au hujui Kuna baadi majini wanasali kila siku
@legend9805
Жыл бұрын
@@frankgeorge9371 majini wako hadi wakristo
@legend9805
Жыл бұрын
Hicho kitendo cha kuingia msikitini na kuswali na janaba na bila udhu. Yamaanisha swala yako haikubaliki yaani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu
@hamisikipenda606
6 ай бұрын
2sikizeni vzuri 2pate faida
@hamisikipenda606
6 ай бұрын
Faida izo
@bobsuleh9365
5 жыл бұрын
Mashaallah
@hisihakamsiakwe4537
5 жыл бұрын
Mashallah Allah akujaalie uendelee kuwa umbua washenzi hawa
Пікірлер: 89