Masha Allah. Mola akulipe mema Duniani na Akhera Sheikh wetu Kwa kutuelimisha
@hamzaforogo
3 жыл бұрын
Maashaallah
@mkongomanidrc849
Жыл бұрын
Mash'Allah ❤️🙏🤲
@jamalmohammed5309
29 күн бұрын
Mimi Kati ya Rafiki zake nafurahi ako Jannah lakini bado najiuliza walio muua Kwa sumu walipata faida ngani hata saa hii Nalia Ismail Mungu akupe jannatul fardaus
@kadoditsa3805
2 жыл бұрын
Assalaamu aleikum .... tafadhali.. upload mawaidha nyingi za huyu sheikh ... tafadhaliiii... Allah amrahamu shekhe wetu
@shomarigongo4894
5 ай бұрын
Allah nakuomba lijalie kaburi lake liwe miongoni mwa viwanja vya peponi,muondolee adhabu ya kaburi na siku kiyama muingize katika pepo ya firdaus kwa Rehema za YARABI
@user-cd5sq1dz4u
Жыл бұрын
Alisha fariki Allah amrehemu
@yaedlifemedia3203
10 ай бұрын
Neema na amani zimshukie juu yake ALLAH AMJAALIE PEPO DARAJA LA JUU AWE PAMOJA NA MTUME WETU MOHAMMED SWALALLAHU ALEY WASALAM ❤❤❤❤
@FatmaFatmA-qk3zl
2 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah
@masoudidadi7369
3 жыл бұрын
Mashallah
@kanyamugengemoussa987
2 жыл бұрын
Man Shaa Allah
@shomarigongo4894
5 ай бұрын
Siku ya kiyama muingize katika pepo ya Firdaus kwa Rehema zako YARABI
@jamalmohammed5309
29 күн бұрын
Suleiman huyu sheikh Ismail bayre alipewa sumu Morocco akarudi akiwa mngonjwa kwao Congo akafariki akazikwa Congo tulikuwa tukienda msikiti pamoja Jannah my friend
@suleimanalriyami7002
2 жыл бұрын
Awtw
@suleimanalriyami7002
2 жыл бұрын
Jamani naulizia huyu sheikh bado yupo hai au ameshafariki na kama yuko hai wapi anaishi ???
@omarymakange8449
2 жыл бұрын
Ameshafarikii
@mamkhan970
Жыл бұрын
Amefariki mda sana na inasemekna kabri lake limepotea alijulkn lilipo kwa mujibu wa mdogo sheikh juma Bayle
@shafihkhalfan9886
Жыл бұрын
@@mamkhan970 sio kweli kabri ya sheikh Mohammad Ismail bayile ipo katika makaburi ya kisutu katikati ya jiji la Dar es salaam
Пікірлер: 25