Kwakwel watumishi wenye wito wa Mungu wamebaki wachache sana, Mama na baba Mchungaji Mungu awabariki sana Yesu tunayemtumikia ni mkuu sana, najivunia kuwa ndani ya Yesu.
@fitinamarando
2 ай бұрын
PROMOVER TV wana wa Mungu mbarikiwe sana kwa kazi njema mnayofanya.
@PromovertvTz
2 ай бұрын
Amen
@samjosh12
2 ай бұрын
Utakuwa ushuhuda mzito sana. Ngoja tusubiri mtumishi wa Mungu
@piusnkwale
2 ай бұрын
Wachawi wanashida sana.njooni kwa yesu kuna raha
@apostleemmanuelmabuga8148
2 ай бұрын
Utukufu kwa Bwana Yssu kristo tunae Mmoja hapa kanisani nae alikuwa huko na Alikua ana andaliwa kuwa MKE WA SHETANI yoote anayo sema kuhusu huyo binti ni kweli ndio maaisha
@mpefu_4936
2 ай бұрын
Hongera Kwa kazi nzuri
@kayajaexpress8313
2 ай бұрын
Mubarikiwe
@mpefu_4936
2 ай бұрын
Hongera mm Kwa kazi nzuri mungu atakulipa
@annkim2690
2 ай бұрын
Jesus Jesus Yesu Yesu Bwana Mkubwa mambo unayo fanya ni ya ajabu Sana Yani mpaka gambosh unawafatilia walio ibiwa na shetani
@annkim2690
2 ай бұрын
Kasi ya maombi kila siku masaa zaidi ya 2 masaa 2 huyo mama Mchungaji ni fire kweli 🔥🔥🔥🔥
@annkim2690
2 ай бұрын
Pongezi Kwa familia hii Mungu aliwaunganisha Kwa sababu Mungu awalinde na hio michawi ya gambosh ipigwe upofu
@EvansInzara
2 ай бұрын
Natamani sana kusikia sauti ya amiel katekelakuongea nae mukiniunganisha naye nitashukuru sana amiel tuongee naye kwa simu asante sana kaka
@annkim2690
2 ай бұрын
Wachungaji wa kweli wako na KAZI ngumu Sana sasa wale Wachungaji Wamchongo
@faithe4063
2 ай бұрын
Nguvu za MUNGU ni ya ajapu sana, Mtu ukiwa ndani ya kiroho unaelewa nguvu za MUNGU, nangojea huo ushuhuda ya huyo dada najua Mungu anafungua watu wake maana ata Isaiah 42v22 inasema kuhuzu kutekwa nyara na awa wachawi
@joshuamakota6714
Ай бұрын
Waambieni wale wanaosema Yesu ni nabii tu kwamba Yesu ni Mungu jina lake Lina nguvu ya Kiungu mapepo yanakimbia ni jina lenye mamlaka. Waulizeni wachawi na mapepo Yao wanajua ukuu wake
@apostleemmanuelmabuga8148
2 ай бұрын
Sauti yako Mtangazaji Samahani Japo sio vzr Una Sauti Kama rafiki yangu Mwlm Dr Mitimingi vp unaundugu nae??
@JoyceKibiraMinja
2 ай бұрын
Watumishi wa MUNGU tuseme Nini Sina zaidi ya kuwaombea kwa utumishi wenu uliotukuka. MUNGU ROHO MTAKATIFU azidi kuwatunza mtembee katika njia na mapenzi yake.
@fei3668
2 ай бұрын
Amina
@annjohn194
2 ай бұрын
Ameen
@oscanyakunga
2 ай бұрын
❤❤❤ Amen
@josephmutemi7494
2 ай бұрын
Amen
@LispafulgenceSimon-rs1zg
2 ай бұрын
Mama mchungaji ni wamoto kwel
@charityezekiel3525
2 ай бұрын
Huyu ndio mama mchungaji, sio mama mch kazi, kupak make up...
@ConfusedBlockGame-nw3lb
2 ай бұрын
💯💯💯💯💯💪💪💪💪💪💪
@annjohn194
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@annkim2690
2 ай бұрын
Hio Sauti ya Sabina gambosh ilikua inatii kweli
@kayajaexpress8313
2 ай бұрын
Tunaitaji kumusikiya
@gracekiondo2541
2 ай бұрын
Unaongea sanaaaaa! Duhhhh!
@mpefu_4936
2 ай бұрын
Lazima waseme nyie wachawi ni ngumu sana hiyo hali
@Brown0068
Ай бұрын
MNALETA LINI JAMANI MATUMBO YANAUMA KUNGOJA
@LispafulgenceSimon-rs1zg
2 ай бұрын
Jamn tumuone bc
@annkim2690
2 ай бұрын
Wachungaji wa kweli wako na KAZI ngumu Sana sasa wale Wachungaji Wamchongo
Пікірлер: 35