Daah ni hatari Sana tubaki na yesu wetu bila yesu hawa jamaa watatuumiza vibaya
@rhodachanangula7734
2 жыл бұрын
kwa kupitia huu ushuhuda nmejifunza kwamba ata sisi tuliookoka tunauwezo wa kunenea vitu na kutimia kwa mfano mtoto akiwa tumbon unaweza kumnenea kwamba wew n kichwa na sio mkia au ata kunenea mwaka kwamba mwaka wew mwaka 2022 hautakuwa kama miaka iliyopita kwenye maisha yang utakuwa mwaka wa baraka na vibali Ushuhuda huu n mzur snaaaa kwakwel
@anneafrica939
3 жыл бұрын
Ndio maana naombaga kabla ya kuingia chooni Damu ya YESU ukiomba unafanya shughuri zako na watoka OK Uko chooni kuna jini subiani wakristo ita Damu ya YESU waombeeni watoto wenu waume zenu wakienda chooni wasizurike. Hata wapangaji oombeeni vyoo nyumba zengine zina mazindiko hata ukienda choo Cha kanisa peleka Damu ya YESU sema napeleka mauti ya kristo initowe kwenye mateka ya choo.
@Iragibarune1.
3 жыл бұрын
Jamani uchawi unakazi nyingi pôle kwayote ilio pitia mungu anakupenda mahandiko m’a Takatifu yana sema kua hata uwe nazambi nyekundu kama bendera uki tubu kwa ukweli utasamehewa nautakua mweupe kuliko seluji usirudilie tena mungu wabariki
@piusmtwale7690
3 жыл бұрын
Bila yesu duniani ni bule
@user-sk1pf7rb7i
3 жыл бұрын
Hakuna kinacho shindikana kwa yesu,asifiwe yesu kwa kku toa huko
@elvisekhayemba9069
3 жыл бұрын
Mmmmm eheeee wachawi wana kazi kweli bali kwa Yesu no muswaki asante Jacktan kwa kazi nzuri
@neemanzengele7169
3 жыл бұрын
Kwa kweli tunganganie wokovu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Jacktan kwa huduma hii tunajifunza sana .
@haikajohn7580
3 жыл бұрын
He,!!! Mungu akulinde sana baba.hayo maroho yasikudhuru
@jacintamaingi843
3 жыл бұрын
Waaah,nashidwa cha Ku comment,heri walio n yesu,damu ya yesu yatosha
@daudilazaro5551
3 жыл бұрын
Mungu ana sababu na hizi ushuhuda kwa ajili yetu
@gracelauzi9746
3 жыл бұрын
Sasa aliacha kabisa Emeni Injili isonge mbele kwa Jina la Yesu Amen Amen
@mercykariithi7919
3 жыл бұрын
Asante watumishi wa Mungu jactan kwa kazi nzuri Sana unayofanya, unawapatanisha watu na watumishi wa Mungu na kwa mtumishi Leonard asante sana kwa ushuhuda huo mzuri na umemalizia kwa kumuinua Christo pia wewe umefungua roho yako na kuvunjika mbele za Muumba wako na pia huuitishi Hela ya maombezi kama watumishi wengine Ingawa sio wote Yesu Christo azidi kuwa Mungu wako mbaka milele Amina
@piusmtwale7690
3 жыл бұрын
Dunia hii bila mwokozi hakika ni maangamizi tu yesu tuokoe
@haikajohn7580
3 жыл бұрын
Amen
@njerimukami3112
3 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana mchungaji
@rosemwakihaba7211
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mnoo we we shujaa
@marianachriss2444
3 жыл бұрын
Kweli kazi ya shetani ni mbovu
@johnmayego4889
3 жыл бұрын
Mchungaji Leonard hongera kwa ushuhuda MUNGU akubariki
@pastorleonarddionizi9333
3 жыл бұрын
Ameeeen barikiwa pia
@peterlyimo6696
8 ай бұрын
Sema huu ushuhuda kuna watu watajifunza kuloga
@tamarali8325
3 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka unattractive ushuhuda utasaidia watu wengi Sanaa. Jacktan Barikiwa sana
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@shadrachkamyori9911
26 күн бұрын
Mambo mazito haya. Mtumishi Jaktani ukiikosa mbingu basi tena.
@denisjosephat1503
3 жыл бұрын
Jaman ongerani Sana kwakupata uokovu maana ulitoka mbali.
@linetvisenwa4134
3 жыл бұрын
Asante Jacktani kwa kazi njema Mungu akuzidishie neema yake.
@rajabhussein7794
3 жыл бұрын
Kumbe wa nyumbani mpanda daa pole Sana ndugu yangu
@biblianenolaukweli5616
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana jacktani
@mdkkagombe4115
3 жыл бұрын
Tumeyajua mengi zaidi kupitiia Ushuhuda huu Mungu ni mwema kwakila jambo. Hongera sana kwako Mtangazaji kwakazi hii umeifanya.
@peninahkariuki4679
3 жыл бұрын
Amen Ushuhuda mzuri sana 🇰🇪🙏
@johnmkama8074
3 жыл бұрын
Wataumbuka sana tu
@rosecruiz4348
3 жыл бұрын
Unge bana na maneno mengine maana wengine wanga hapa wata roga sana
@riccahcate8126
3 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda. Mungu awakumbuke na kuwasamehe yote kwa Jina la Yesu. Asante kaka Jactan
@kmwendemusic5379
3 жыл бұрын
Shetani wewe na mambo yako machafu ivi ndio maana utaishia motoni milele.... Na uchomekee uko kabisa
@gloriatoo22
3 жыл бұрын
Shetani ashindwe kabisa
@irenengina233
3 жыл бұрын
Swali kama mtu anaamini Mungu kabisa na wewe uede kufanya tandiko lako kaburini uue mtu je hapo kutaeda aje ?ungetuelimisha hapo
Amen,tulisahau kukaweka asante kutukumbusha,wakati mwingine tutakaweka
@revinaabela4281
3 жыл бұрын
Duh
@monicahnjeri257
Жыл бұрын
GOD BLEESSYOU
@monicahnjeri257
2 жыл бұрын
There is God in heaven
@myself4128
3 жыл бұрын
Ina maana hilo pembe nalo lilikuwa hai??ilikuwa lipepo?nywele za kichaa ulizipatia wapi?je ingewezekana mtu angeliiba ilo pemebe ingekuwaje??ulikuwa ukiliona?
@LoFi_120
3 жыл бұрын
Following
@myself4128
3 жыл бұрын
Unapoenda kuroga mtu unakuwa unaonekana au unakuwa huonekani???na je hujawahi pata tatizo na wachawi wenzako??
@jesmilinaom6989
3 жыл бұрын
Wanganga mna kazi
@veeinn7965
3 жыл бұрын
Majina ya M-pesa please
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Jacktan Msafiri
@pastormalitiushuhuda9965
3 ай бұрын
Ama kweli Mungu atusaidiye
@milley7185
Жыл бұрын
😀😀😀😀
@awadhrajabu1403
3 жыл бұрын
Nyinyi Walevi Kweli Katikati Ya Stol Mnaeka Ujinga Usio Na Mana
Пікірлер: 55