Ni kweli mchungaji, watu HAWATAKI kusubiri ,wanataka kufanikiwa Kwa haraka! Mungu atusaidie
@princepaschal9963
Жыл бұрын
Amen Mchungaji Mungu akubaliki sana. Mikasa nina simulizi nzito sana inayofundisha jamii naomba namba tuwasiliane.
@sophiakaaya8290
Жыл бұрын
Mchungaji kweli Mungu amekupa neema ya neno la Mungu
@Didah-x2f
Жыл бұрын
Uko sawa kabisaa mungu akutie imani hiyo hiyo mchuganji ananjaa
@nestorycylilo6642
Жыл бұрын
Mungu andeleee kukubariki na kukupa nguvu mchungaji hananja
@careenkuwite2988
Жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji Mungu atupe uvumilivu
@elishakayagwa9371
Жыл бұрын
Kukemewa kama wanatenda dhambi ni haki Tangu Agano lake Mungu alitumia manabii kukemea watu na sasa bado Mungu huyo anayekerwa na sisi yupo na lazima atukemee
@hamzayusuf1894
Жыл бұрын
Mchunaji hananji mungu akuongoze kuingiya dini ya kweli ya uslamu nawewe huna aya ya kuwa ukiristo ni dini?
@mrrevolutiontz
Жыл бұрын
Sawa Dada Rose
@zebedayokatamaduni9676
9 ай бұрын
Mwamini Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako upate uzima wa milele
@johnmagubo4269
Жыл бұрын
Nikwel kabsa ukubwa wa kichwa udogo wa akili..
@unclestivesanga6764
Жыл бұрын
Hakika MUNGU ndie kila kitu
@machoguhamery3731
Жыл бұрын
Hakuna uchawi mbaya kama uchawi wa kurogwa akili.Wahubiri wengi wa leo wanawaroga waumini wao kisaikolojia na kuwafanya mateka wa elimu yao. Biblia inasema yafuatayo:1Timo 6:3-5 " MTU awaye yote akifundisha elimu nyingine wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo wala mafundisho yapatanayo na utauwa,amejivuna wala hajui neno kolote Bali ana wazimu---------na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli wakidhani utauwa ni njia ya kupata faida. Wakolosai2:1-"Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu.kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu,kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu,wala si kwa jinsi ya Kristo.
@Didah-x2f
Жыл бұрын
Uko sawa kabisaa mungu akutie imani hiyo hiyo mchuganji ananjaa
Пікірлер: 14