Hekima za mchungaji Hananja ni kipawa cha kipekee na maalumu kwa Watumishi na Kanisa la leo. Ukimsikiliza ni zaidi ya Topic za chuo kikuu cha Theolojia.
@rosemkuye9612
Жыл бұрын
Ni kwa neema tu
@erastomushi7471
Жыл бұрын
Hakika,mchungaji umenivusha kiimani kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine.
@mickyusuph9839
Жыл бұрын
Anajua sana uyu mzeee Kwanza unainjoy mahubir yake
@aningtonjaxon4703
2 жыл бұрын
Inamaana alishameza biblia nzima kichwan
@aderiderkihupi7240
Жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI WOTE
@elizabethgodfreytondo3052
Жыл бұрын
Tunakuombea mchungaji kwa jinsi ulivyojitoa kwa vijana siyo kazi ndogo kuwaokoa vijana hasa wanatumia madawa ya kulevya.
@medytsuut3543
19 сағат бұрын
Mungu akupe hekima na busara utulee hivyo asante mtumishi
@rosemkuye9612
Жыл бұрын
Ni kwa mwema tu, mwingine hata ujaribu kumeza haimezeki mpendwa
Пікірлер: 100