Nakupenda sana Baba Kwa ukweli unayosungumsa ❤❤❤❤hapa nimecheka tayari wah😂😂😂Mungu akubariki uishi miaka mingine mingi mbele
@johnluyego9353
8 ай бұрын
Yaani nacheka sana Ila mzee yuko vizuri sana . Mungu aendelee kukutunza uishi miaka mingi
@allymugenzi46
7 ай бұрын
Mimi ni muislamu lakini nimevutiwz mawaidha ya Pastor Nahanja. Mungu ambariki.
@alinotiwampe7420
8 ай бұрын
Msichoke wahandishi kwenda pastor Hananja maneno yake yana tuhelimisha mungu wetu yesuchristo atulinde
@user-wy4yn2xi3n
3 ай бұрын
Upo vizuri Mchungaji Ameen
@joycehefsiba2750
7 ай бұрын
Wow mchungaji Ananja, ni mwalimu mzuri kweli. Wow asante sana baba.Kama Kuna mchungaji anafaa kua mchungaji ni wewe, kwa ukweli Mungu akubari sana sana sana.uzidishiwe hekima na Mungu.❤
@user-wy4yn2xi3n
3 ай бұрын
❤Upo vizuri sana mahubiri yako mi sahihi Mungu akubariki Ameeen
@BekamEmmanuel-i6b
Ай бұрын
Mungu akubariki saaana na akulinde saaana. Unagusa maisha ya wqtu nami nikiwemo.
@user-tn7ic2ky3i
8 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji Mungu akupe wepesi ili uwe unatufundisha neno lake amen
@MTANGACOMEDYTZ
8 ай бұрын
SIJAWAI KUACHA KUSIKILIZA MAHOJIANO YAKO ,IMANI NA UHALISIA ,SAFI SANA ,MUNGU AKUWEKE
@saumusulaiman4742
7 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor 🙏 ❤🎉
@GladysMbulla-qj3fi
8 ай бұрын
Uishi miaka 1000 nakupenda sana pastor mungu akutunze mafundisho yako mazuri
@jacksonmagola1824
8 ай бұрын
Huyu mzee ananifanya nione siku nzuri....
@user-ls3nb8lt3j
8 ай бұрын
Mchungaji nakukubali sana tena unaongea uhalisia natamani sana siku moja nikutane nae ana kwa ana pia niabudu kanisani kwake,mungu akubariki sana na akupe maisha marefu,hufanani na hawa wachungaji mihemuko ya unyonyaji
@mutindamuthama4124
7 ай бұрын
Mimi nimejifunza udhaifu wetu kama mkristo but kupitia kwa mchungaji ni mejifunza kuishi kwa ukweli God bless you pastor 🙏🙏🙏
@mishigwan6598
8 ай бұрын
Mm sikuowa Nabii Nimeowa Mke Aiseeee Neno Dogo Ila Linamaana kubwa Sana Ahsante Baba Henanja Upo Kwenye Moyo Wangu❤
@fawziyahassan5714
8 ай бұрын
MSULI UNACHEZEA GWARIDE 😅😅HUYU MZEE KIBOKO NAMPENDA SANA ❤
@sharifahabsi5004
8 ай бұрын
Safi sanaa wapeukweli hao mzee unajua sanaa😂😂🎉
@ismailyaru679
3 ай бұрын
Mzee mungu Akupenguvu kwa ukweli unaotupa uendelee kuwepo hapa duniani wewe na mzee waupako
@albertkamwela6972
7 ай бұрын
Napenda sana mahubiri ya mchungaji hananja abarikiwe
@user-zp1mc7kb8u
8 ай бұрын
I really like the pastor he's educating en entertaining at the same time❤😂
@vickystellah3194
8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@juliusamasi5258
8 ай бұрын
❤ Mch Hananja waambie ukweli wakuelewe
@ummahmed3354
7 ай бұрын
I love this man.. Allah guide you to Islam my brother... one of the truthful
@stephanomaduhu5426
7 ай бұрын
turn to Jesus Christ, Allah have no heaven to give you
@ummahmed3354
7 ай бұрын
@@stephanomaduhu5426 did Jesus A.S created any heaven?... show me a proof if you're truthful...
@joycepatofondo
7 ай бұрын
Allah it means God bt in Arabic languages bt JESUS is the only way to enter in the kingdom of heaven cause he is the one who carry all of our burdens on the cross
@fredanunda7719
7 ай бұрын
That's where u go wrong now!!😂😂😂to Islam to do what??listen to what he says about Christianity and the everlasting life. No life without Jesus Christ, He is the way, the truth and the life,no one goes to the Father God unless through Jesus,- John 14:6,so what will he go for in Islam???😂😂😂😂U r joking, accept Christ Jesus for eternal life my friend.
@ummahmed3354
7 ай бұрын
@@fredanunda7719 the Christians in the Palestine and Egypt they identify God as Allah... thats where the Christianity you claim to follow came from... Allah is the name is the one and only God that Jesus himself prayed to. ..
@mussakimaro5588
8 ай бұрын
Mchungaji alonyooka
@user-cb7op2rd9h
8 ай бұрын
😂😂😂😂 ukweli sana❤❤❤❤❤❤
@mako331
8 ай бұрын
Mzee tusaidie ukristo siku hizi umeingiliwa na ujinga sana, mtu anaibuka tu mara nimeenga mbinguni mara nimeongea na Yesu live na watu wanaamini, upuzi mtupu
@jacksonkahima4589
8 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@WmareteMarete
7 ай бұрын
Mzee mchungaji, unapendeza sana! WEWE NAONA Ni geneous tangu kuzaliwa kwako, Nakuomba utusaidie kuwa na vipindi vya kukosoa mapungufu mengi hasa kwenye dhehebu katoliki.
@mmaryben844
8 ай бұрын
Mungu akutunze mchungaji
@sixberthcostantini9290
8 ай бұрын
😂😂mchungaji Mungu akubarik sana kwakuongea ukweli
@Kuminamoja1995
8 ай бұрын
Points 👉 👈 sana
@maishaforreal7798
7 ай бұрын
Tungeli mtafuta mchungaji afungue channel youtube ya masomo ya maisha
@kiletepokela4301
8 ай бұрын
Achana na hayo mavichwa ya habari ya eti FREEMASON hananja sisi tunamsikikiza tu
@paschaljoseph2412
8 ай бұрын
Nakupenda sana mchungaji Hanaja
@eben_ezer8853
8 ай бұрын
Daaah yaan anachekesha lakini anasema ukweli mtupu😂😂😂😂
@user-fo1mj6ct9b
8 ай бұрын
Uko vizuri sana na unauwezo mkubwa mno Mzee wangu
@saulikinahi6703
7 ай бұрын
🤣🤣🤣Huyu mzee kiboko, Barikiwa sanaa😂
@swarehekhalim6423
4 күн бұрын
Mbavu cna nimechaka Sanaa.umelkuwa mkwelii
@Tygermnyama
8 ай бұрын
Huyu mzee noma 😂😂😂
@user-fd6tu3gx5q
7 ай бұрын
Nakubari Mzee mungu akuweke miaka 1000
@tinnahagustinolyelu4247
8 ай бұрын
We baba Mungu akutunze mtumishi
@DamasKavishe-vo3nq
8 ай бұрын
Daaah sema pastor nakukubali sana
@rosehaule6765
8 ай бұрын
😂😂😂❤ nakupenda sana babaa😂😂😂😂
@alinependo-bk4jj
8 ай бұрын
😅😅😅😅 unanifulaisha sana 🫰
@rosetreffert4179
7 ай бұрын
Yaan huyu i mchungaji anatakent kubwa ❤❤😂😂😂
@rosehaule6765
8 ай бұрын
Yupo mwokozi wa ukrito wa kweli tupe someone maana tumevamiwaaa ❤
@japhetnathaniel9821
7 ай бұрын
MUNGU mbaraki mwanao pr ananja
@CleverGalaton-tz
8 ай бұрын
mchungaji yuko straight sana
@sosom14
8 ай бұрын
Uyu baba yani asante
@abdallahhamisiiddi4513
7 ай бұрын
Karibu katika uislamu kiongozi
@InspireTheSoul-fo4vb
8 ай бұрын
ukweli , japo kwa ucheshi wa aina yake 😂😂
@user-kk9jn8dp9m
8 ай бұрын
Hatr kweli wana enda kwa kupitia maono na mafunuo
@oscarmario466
8 ай бұрын
Hananja kama hananja
@saradavirginia-kd7tn
8 ай бұрын
Barikiwa sana 🇲🇿
@juliusrwebugisa8385
8 ай бұрын
Mchungaji hongera kwa utume wako
@hansondaniel-nb2jn
7 ай бұрын
Hananja hana baya
@shaamemchauru1365
7 ай бұрын
AMEEN MCHUNGAJI...
@hagaimwambingu4324
7 ай бұрын
🙏
@aishaomary230
8 ай бұрын
Ungekua kiongoz wa wakristo wote wakristo wangekuwa kwenye mstar
@subirajohn728
8 ай бұрын
Ukweli mtupu
@user-mr3lr6ox1k
8 ай бұрын
Eti mwili wa kubeba kifusi😅
@donaldmwahalende4841
7 ай бұрын
Pastor unaongea vzur bblia waijua
@user-qd7ld6fd1i
7 ай бұрын
Namkubali sana, amefanya biashara Brack market Tunduma na kununua Bonsoo Itaka huyu anastahili kumuelemisha Mtu kweli
@bosssyedmund8785
7 ай бұрын
Unakunywa soup ya pweza😂😂😂
@sonko-c6h
7 ай бұрын
Mchungaji unajua mpaka unaharibu
@omarsima2763
8 ай бұрын
Mchungaji mahubiri yako yana uhalisia.
@wazirisaid8326
8 ай бұрын
Mbona Gwajima anawatoa Sana tu hao misukule au naye Ni mganga wa kienyeji? Au ni muongo?
@Shuu.A
8 ай бұрын
Huyo ngwajima ndio nani muongo mkubwa bora hata huyu
@user-tx2lu2ps9b
7 ай бұрын
Unaongea ukweli sana mtumishi, Mungu akutunze wewe ni hazina ya Mungu
@Kuminamoja1995
8 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli kweli 😂😂😂😂
@matatamwaipopo-rp4vz
8 ай бұрын
Humetisha nakupenda sana huishi miaka 10000000000000
@josephmathias8341
8 ай бұрын
Mchungaji ubalikiwe
@festokivuyo7121
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nakukubalia apo kbs kufufuka uongo
@user-yz6xx4nd5d
8 ай бұрын
mi mkatokiki, ila nakubali mahubiri yako.
@ABDIKASIM-qe4lc
8 ай бұрын
Dah
@mishigwan6598
8 ай бұрын
Eti Amekausha Sauti Makusudi🤣🤣🤣Baba
@JosephRegardla
8 ай бұрын
Nikweli wanawake wana watharau waume zao wana kimbilio watumishi yuko bz
@CyprianMartin
8 ай бұрын
Kwakweli Mchungaji Upo Vizur, Maana Nimewai kwanda kwa Mchungaji mmoja kumuona tu anataka pesa kama hiyo. Je Uyu yupo kiuchungaji au !?
@calvinsotieno5880
7 ай бұрын
Kwahio unamaanisha bibilia ni uwongo kwa sababu hata Paulo Ali fufua yutiku?
@amisibilly5084
8 ай бұрын
Mzee uko poa saaana
@handenitakuru6696
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@alimzee
8 ай бұрын
😅😅😅
@huseynmaitaya9002
8 ай бұрын
Na Muomba Allaah amuongeze huyu mzee asilimu maana azungumza yalio nyooka
@user-wc5qb7tu1j
8 ай бұрын
Asilimia nini sasa
@joycepatofondo
7 ай бұрын
@@user-wc5qb7tu1j😂😂😂😂 muulize tena
@rosetreffert4179
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤
@GloryShao-qs6rp
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@wazirisaid8326
8 ай бұрын
Kama mtu akifa hafufuki mbona mnasema Yesu alikufa akafufuka? Au yeye sio mtu?
@Shuu.A
8 ай бұрын
Apo sasa
@IsayaSosolo-nx8zk
6 ай бұрын
Jitahidi sana kufahamu yanayo fundiswa toka katika bibilia ndipo utakapo jua ya kuwa Yesu alifanana na binadamu binadamu 28:15 28:18 28:19 28:21
@fatmaathman5851
8 ай бұрын
Uko sawa mchungaji lakini jaribu kujifunza uislamu Ninathani utasilimu kwani ndio dini pekee ilio kubalika .
@titojb4703
8 ай бұрын
Mche MUNGU kwa roho na kweli udini weka pembeni...tengeneza moyo safi hiyo ndio dini safi.
@tinnahagustinolyelu4247
8 ай бұрын
Wewe usijidanganye mche Mungu ktk roho na kweli Dini Ni njia ya kumtafuta Mungu
@martinmkoba361
8 ай бұрын
Imekubalika na nani??😢
@kilimbapeter8900
7 ай бұрын
Uislam au ukristo haukupeleki mbinguni ila mahusiano yako binafsi na Mungu
@joycepatofondo
7 ай бұрын
Dini haitakupeleka mbinguni Ila utakatifu wako ndio utakupeleka
Пікірлер: 115