Na dio maana nilitoka kwa dini ya ukristo ,nikawa mwislamu ,i really love daawah
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Karibu sana kwa uisilamu brother
@yusufnjeru9074
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 thanks
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
Maashaallah baarakallah
@aishaaisharagp9381
Жыл бұрын
Hongera Kaka kwakuijua diniya haki
@peternduati8877
Жыл бұрын
@Yusuf njeru,,,usijali mambo bado utakapoijua kweli ambayo kweli si dini...kweli ni neno la Mungu muumba...litakuweka huru kbsaaa,,,,(waislamu wanaamini dini ya haki hakika ni uislam.)
@aisharajabu4966
Жыл бұрын
Shekhe Mungu akihifadhi kwa Rehema zake hakika watu wazito kumjua Mungu na kukubali ukweli
@yaizfamily6615
Жыл бұрын
Salim simba, Masha Allah may Allah forgive you and accept all the good efforts you doing and grant you the highest level of jannah ameen.
Huyu Mwana Mke ni sababu hawa RUHUSIWI ku hubiri! Kwa sababu wako na UWONGO na Porojo Mwingi sana! Eti ali kuwa MuIslamu! MRONGO! Na huyo jamaa wa backpack, ame shindwa na sasa ana Disturb Mada na Ujinga wake! Well handled Ustad Salim na Team!
@chiefmkalikibz1503
Жыл бұрын
Hahaaa kweli porojo kwao ndio dili. Hata Hawa wanawake tukitizama uzuri, utakua wao ndio hutowa ushuhuda wa alikua muislamu.... Hass hata manager Wangu job ni mmoja wao
@muktar1474
Жыл бұрын
Mwambieni huyu ajifunike vizuri kisha asilimu awe mwislamu ,aache uongo tupu hivi
@mohamedykimanyi6623
Жыл бұрын
Hongereni kwa kitoa elimu nzuri' hatakama anabisha ataenda kujiuliza mwenyewe home
@aishahazary4097
Жыл бұрын
Maasha Allah.Yaan sipati picha kama huyu dada angekutana na yousuf Waambugu pangewaka moto sana.Salim unawafundisha kwa huruma kama watoto wadogo.Washindwe wenyewe kuelewa tu.
@samxx411
Жыл бұрын
Yaani mwalimu unawapenda kweli hao ndugu zetu lakini tatizo hawajielewi hata kidogo. Huyo dada hamna kitu hata kidogo, amekuwa kama mtoto wa nursery
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Mashekh wetu Allah awape afya njema pamoja na umri mrefu,hapa kuna watu ni vichwa ngumu, Allah awape subira Mashekh wetu
@sinarahaissa7927
Жыл бұрын
Allahummah amin
@saidbakari2408
Жыл бұрын
Aamin allahumma amin
@husseindzombo6492
8 ай бұрын
Dini ya haki ni Islamic
@samxx411
Жыл бұрын
Dada anatumia akili kuliko maandiko na porojo nyingi
@samkaranja4569
Жыл бұрын
Hapa sheikh unaweza bro unachabua vizuri
@fauzenkassim8424
Жыл бұрын
Mashaallah Allah atawasaidia InshaAllah na akuepusheni na fitina za binaadam na majini InshaAllah
@fatimahirakoze7311
Жыл бұрын
Cheikh wangu pole sana uko n'a kazi kubwa nanjo nakuombeyaga kwa Allah akupe subra ai ni vichaa
@sinarahaissa7927
Жыл бұрын
Allah akuwekee wepesi kwenye kuisimamisha dini yake ya Kiislamu
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Jibu ni YESU KRISTO tu!
@Nora-v1m3p
8 ай бұрын
Ustadh ugelimuuliza mbona kichw wazi n bblia inasema ufinike
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Dada mimi ni mkatoriki, lakini ninyi mnaojiita walokole mmmh 😢 Mungu awasamehe tuu😢😢😢
@ismailidi882
Жыл бұрын
Sheikh Salim Allah akujaze kher uko katika jihad Kali
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Yahitaji subra ya hali ya juu
@saidbakari2408
Жыл бұрын
@@salimdaawah123Saaana ALLAH atakulipeni Inshaallah from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mohdshebe5640
4 ай бұрын
Ustadhi mwenyezi mungu akupe umri mrefu mashaall Allh akufanyie wepesi ktk maish yko duniani na Akhera
@puritymutindi4905
Жыл бұрын
Uyu dada ajielewi kabisa
@saharaabdull9088
Жыл бұрын
Ustadh wlhi ni ngumu lakini ,,Allah atakulipa InshaAllah,,,, na mwanadada labda amefanya kazi sehemu ambazo Kuna waislamu.
@saidbakari2408
Жыл бұрын
Aamin
@isaa_ogutu
5 ай бұрын
Huyu mama ako na akili pungufu.....anafaa asaidiwe haraka sana
@Filexwawa
Жыл бұрын
Hapo kunashida ya kiswahili nakuelewa maneno
@abdullahiabdikarim4312
Жыл бұрын
Allah amuongoze amuonyeshe njia ya sawa huyo mama Kwa sababu amepotea sana
Mashalah Kuna. Kazi kubwa Sana . Mnafanya kazi kubwa Sana Allah awalipe awape Kila yenye heri
@salimdaawah123
4 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@rayaalhabsi1725
Жыл бұрын
Huyu mwanamke maskini hajuwi ana zungumza kitu gani Asa yaarab Allah amhidi yaarab
@rizikiali328
Жыл бұрын
Poleni mashey kweli munakazi ngumu sana awape subra wakristo lao kubwa ni kupotoa hayo maandiko yao
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Kazi ipo
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
Maashaallah..wallahi nmefurahi umetumia hekma kumnyoosha huyu dada nmda tu ulikuwa mdogo lakn ungemleta kwenye ufahamu akaelewa kwamba amepotea kwa kusema yesu ni mwana wa mungu
@angelvii113
Жыл бұрын
For God so loved the world that he gave his only begotten son that whosoever believes in him shall not perish but have everlasting life. The verse states clearly but you use evil to convince Christians if you meet one with full Christ you will accept that Jesus is the son of God spiritually because God is God not a being and God has no spouse to bear with children
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
@@angelvii113give me verse which mansion the name that is jesus
@angelvii113
Жыл бұрын
@@mohamedhozi8110 I begg your pardon because I don't understand your comment
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
@@angelvii113 for God so loved the world that he gave his only begoten son..my question is where the proof that the son was jesus becouse there is another verse said ifraim is my first born..I will give you that verse but we don't believe that God has son God is a creator
@angelvii113
Жыл бұрын
@@mohamedhozi8110 I don't need too much argument believe in your religious teachings leave Christians alone atlast God is God
@abubakaralimohammed3388
Жыл бұрын
Great job bro.
@DelightfulMacawBird-tl5hf
16 күн бұрын
Mashall tabaraka rrahmaan
@khadijaibrahim870
Жыл бұрын
Mashallah Allah awape nguvu kueneza dawa na Subra maana watakiona ukweli lkn hawataamini
@yasminally1015
Жыл бұрын
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Boys
@nassorohamisi1435
Жыл бұрын
Dada ana mapepo
@hanifajuma6121
Жыл бұрын
Ana ulimi mkali vile quran imesema na watakua na ulimi mkali.
@sakinasakku8340
Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH SHEIKH MMUNGU AWAPESUBRA INSHAA ALLAH
This is the new tactics wasabato wanasemaga. Ati they were Muslim but they don’t even anything about Islam. Uwongo kabisa
@hhurbert
Жыл бұрын
Ustadh anaweza ku handle pressure na temper za watu . Amejipanga sana kiakili
@Sal.0
Жыл бұрын
Khelele tupu! Hakuna ku OKOKA, mama Ma Bangi! Huyu lazima bado ana tumia hizo vitu!
@SwahibuAthuman-yv2mn
Ай бұрын
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi shekhee
@salimdaawah123
Ай бұрын
Aameen ameen ameen
@idrisamey3030
Жыл бұрын
Ma Shaa Allah wapi part 2
@sofiakwekwemmbandi7127
Жыл бұрын
🤣🤣uongo hakwenda madrassa uyo
@jumakumala1337
Жыл бұрын
Dada amechemka sn lkn najua hapo kwa sheikh wangu atapozwa tu km Chai na mwishowe atajua ukweli
@kingsdaughter2040
Жыл бұрын
Yesu ni mungu mpende msipende nyinyi.hamna yesu ndani yenyu hamna husiano Kati ya mwanadamu na mungu nyinyi hamna
@magu-ns9kt
Жыл бұрын
Yesu si Mungu wala si mwana wa Mungu Bali na mtume wa mungu
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Tupe andiko linasema Yesu ni Mungu
@abcfisheries2865
Жыл бұрын
Hii ndio maana Dames Hawa RUHUSIWI ku Hubiri kwa Watu au Kanisa! Pepo watukutu huwa inawa panda kama hapa! Ustad Salim, well done kwa utaratibu wako! Na jamaa kupara, ni kama Kasuku, ha fungi mdomo!
Kwa kweli dada anajua neno.Na hapo alichukua nafasi akaubiri neno la Mungu.
@ambarnelly6071
Жыл бұрын
Asalama alaikum kwani hizi siasa au mafundisho ya Mungu, mbona maandiko yako wazi kabisa 13:13 marko
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh wakristo wengi kuelewa kwao ni kazi
@khadijaibrahim870
Жыл бұрын
Allah awape Subra sana kaka kwenye daawa
@CharlesJelel
4 ай бұрын
Dada yuko vizuri isipokuwa hao wanalazimisha WALK with JESUS
@nooor1120
Жыл бұрын
Allahu akbar
@issaally3558
Жыл бұрын
Wakiristo wamepotea sanaa wakienderea na ubishi wao watakufa makafiri waende azibiwa kaburini mbaka akhera
@richardochieng7959
Жыл бұрын
Dada pokea matusi ila Yesu atakuzawadi,ndiposa akasema ulimwengu itawachukia na kuwadharau na hata mtatusiwa lakini msijali sababu hata Mie walinifanyia vile vile,hongera dada
@suweidkhamis722
Жыл бұрын
🐶
@josephinechaildofgod5371
Жыл бұрын
Huyu mama amechganyikwa
@husseinibrahim5438
Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@AminahAminah-d5s
5 ай бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ nawapenda
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@samkaranja4569
Жыл бұрын
Huyu madam hajui chenye anasema
@fatimahirakoze7311
Жыл бұрын
N'a bangi kumbe n'a ugoro njo mana yake pole cheikh
@ashrafbunu2371
Жыл бұрын
Masheikh wetu wanapata tabu Singine kama hawa waliopbana nao Leo hawakuwa na nidhamu
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Daawah inataka subra sana ukikasirika hata kofi itatembea na utakuwa umeharibu sana
@HusseinAli-fx1ld
Жыл бұрын
Uyu mwanamke hatari sana...sasa Ako na roho ya pombe na bangi.
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Yaani ako na ROHO MTUKUTU!
@HusseinAli-fx1ld
Жыл бұрын
@@Sai.Mo69 😂😂
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Huyu dada aaje ujinga, muongo dada
@salehegiza3305
Жыл бұрын
Kwani baba yake ni nani katka dini ya usilamu huyu dada ana akili kweli eti baba yake.baba ni nani katika dini alikuwa nani kwenye dini.
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Wa Mama hawa ruhusiwe ku hubiria kwenye Crowd ambo pia ina itwa 'kanisa'! Not allowed! Halafu URONGO TUPU! Na huyu mama, mimi nafikiri bado anatumia Bangi! Ustad uko very cool hapa!
@richardochieng7959
Жыл бұрын
Enyewe Yesu kasema tutatusiwa
@rashidwalwanda1991
Жыл бұрын
Kazi ngumu kweli
@marygakuru8190
Жыл бұрын
Very good girl umeokolewa kwa hiyo bangi lakini ukiwa kwa waisilamu hawakukufundisha Hadi uwache
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Huyu wewe vyenye unaona ameacha bangi kweli
@saadamoshi1478
Жыл бұрын
Safii shekh wanguu
@abdixanadyare5039
Жыл бұрын
Hakuna kitu anajua huyo mwanamke
@alawi6796
Жыл бұрын
Shekh hyo arakuumiza kichwa mana hamna ktu kichwan
@yaqubabdi9532
Жыл бұрын
Naona huyu sister anahasira tu na hajawahi kuwa muslimu
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Muongo sana huyu dada siku hizi wengi wanatumia hiyo ujanja ndio wakristo kanisani watoe sadaka wanasema eti walikuwa waisilamu wakatokewa na Yesu
Uyu shekhe anamuubiri YESU pasipo yeye mwenyewe kujua.
@professorimmah
3 ай бұрын
Coz ni muislam
@professorimmah
3 ай бұрын
Ndo mana anamuhubiria
@saidiathuman-og6bc
Жыл бұрын
Dunia unaenda kas saana maana hao wachungaji jaman mim nimewachoka wananikela ila ningekua kiongoz wajuu ningezuia manabii wauongo,wachungaj kama hao
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Hio ujinga ya huyu msichana kichwa chake iko mosh bado, hii jeuri ako nayo dada
@Nangaikalumekenge
Ай бұрын
Huyo msichana anajichanganya mwenyewe.
@nyairozack1597
Жыл бұрын
Wacha kumpeleka mbio mpeleke polepole jameni.
@jumannemuhammad2073
Жыл бұрын
Kuwa mpole huyu mtu ako na roho🤣
@saidchombo5952
Жыл бұрын
Huyo dada hamna kitu kabisa Ni shetan tu kamjaa
@MwanahamisiGona-t3c
11 ай бұрын
Huyo msichana sio muslamu
@zuwenazuwena8657
Жыл бұрын
Huyo baba aliebeba begi nakuuliza al shababu huyo mtoto aliesimama nae kama siwake bas afuatilie maana wamefanana hadi pua
@pmo2982
Жыл бұрын
It is true no politics in mosque. But church, waah!
@seiflugendo7141
Жыл бұрын
Uislam sio jina dada acha kuongopa 🤣🤣🤣🤣
@jamilaomari2444
Жыл бұрын
Huyu mama makelele na kuhubiri mingi!
@shamsiyasalim6866
Жыл бұрын
Wewe wacha wakufuru kwa sababu wewe ni kiumbe cha mungu na mungu hazai mingu anaumba mungu ni muumbaji wewe pia ulimuumbaji
@shamsiyasalim6866
Жыл бұрын
Wewe kama umeokoka mbona unakenda kanisani kufanya nini? Kama unajuwa mungu ni moja mbona unakufuru kusema umeokoka
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Huyu dada mlunjeee tuwajua waongo
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Hyu jamaaa mkristo ako waswasi kubwa kwa uso hana, lolote aende ajipange, muislamu hana mchezo kwa dini
@richardochieng7959
Жыл бұрын
Dini haipeleki mtu binguni ndugu yangu
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
@@richardochieng7959 mbona basi dini ndio muongozo wa kila madhebu kwetu kenya, na tunajua vizuri, kwanza jua njia ndio mwanzo na mwisho wa kila agizo.
@nassersalim1283
Жыл бұрын
Huyo mama hajui chochote katika dini ya kiislam hakuna kiongozi mwanamke
@saharaabdull9088
Жыл бұрын
Hata hiyo Elimu ya bibilia Hana
@fatimahirakoze7311
Жыл бұрын
Natamani ni chêne mpaka wakiristu hawaana hâta zakujiongeza
@aburaasmedia3682
Жыл бұрын
hutu mama mwongo......1 Timothy 2:8-13>>>8.Therefore I want the men everywhere to pray, lifting up holy hands, without anger or dissension. 9. Likewise, I want the women to adorn themselves with respectable apparel, with modesty, and with self-control, not with braided hair or gold or pearls or expensive clothes, 10. but with good deeds, as is proper for women who profess to worship God. 11. A woman must learn in quietness and full submissiveness. 12. I do not permit a woman to teach or to exercise authority over a man; she is to remain quiet. 13. For Adam was formed first, and then Eve.
@richardochieng7959
Жыл бұрын
Kwa ukristo kuna Mungu ,Mwana na Roho Mtakatifu ambayo waislamu hawatambui,Roho Mtakatifu ikijaza yeyote anaweza hubiri injili na kufunza,iwe mwanaume ama mwanamke,siku ya kiama hakuta kua na Bibi na bwana kila mtu atasimama kiviake
@dulividuli5237
Жыл бұрын
Je Biblia imeruhusu mwanamke kuhubiri?
@suleymansalim5732
Жыл бұрын
MUENDELEZO WAKE UKO WAPi?
@jubail73
Жыл бұрын
Ngugi umemueka mwanadada kwa box
@aburaasmedia3682
Жыл бұрын
huyu mama kwanza afunike kichwa chake,,,,,,,,1 Corinthians 11:5-6 ....5.And every woman who prays or prophesies with her head uncovered dishonours her head, for it is just as if her head were shaved. 6.If a woman does not cover her head; she should have her hair cut off. And if it is shameful for a woman to have her hair cut or shaved off, she should cover her head.
@adanissack2633
Жыл бұрын
Mashalah
@heaven.love.foundation
Жыл бұрын
Hakuna mkristo anayeweza kufika hata hapo... kikubwa ni kweli alikuwa muislam
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Mwisilamu ambaye anasema alikuwa akifuta bangi na kunywa pombe na kufanya umalaya na yeye ni mwanamke hii ni uongo wakanisani tumewazoea
@RamadanPaul
Жыл бұрын
Huyo dada umemrea sana ningekuwa mm dakika tano asingetoboa
Пікірлер: 351