ManshaAllah ustadh Salim a reknown Muslim scholar in the field of comparative religions,hii kweli ni nyayo ya mtume na masahaba mungu awape rehma na baraka.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@Hi_20206
8 ай бұрын
Mafunzo yao imenibadilisha saanaa..Alhamdulillah
@hodhanmusa7224
8 ай бұрын
Masha Allah brother salim na Ali Allah awape maisha marefu yenye afya na baraka ili muwafundishe watu wote .
@Jingajinga64
8 ай бұрын
Aamin ya Rabb
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@nazbeib1639
8 ай бұрын
Amiiin ya Allah
@Hi_20206
8 ай бұрын
Alhamdulillah kwa yote..alhamdulillah🤲🤲☝️
@Jingajinga64
8 ай бұрын
Alhamdulillah
@fatimahrashid2356
8 ай бұрын
Wa aleykum Salam warahmathullah wabaraqathu Masha Allah mafunzo mazur sana sitaki kukosa hatakidogo kuna vitu vingi sana nimejifnza ALLAH awalipe kheri duniani na akhera
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@yahyaali3951
8 ай бұрын
Allahamdullah Leo nimekuwa mtu wa kwanza kuangalia, Allah akulipeni kheri kubwa.
@Hi_20206
8 ай бұрын
May Allah bless ua heart
@Jingajinga64
8 ай бұрын
@@Hi_20206Aamin ya Rabb
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Masha Allah
@KhamisAli-o9r
8 ай бұрын
Nimechelewa lakin nimetazama,,,naomba mtuekee kila siku kwasababu tunajifunza kila siku,na Allah awalipeni mashekhe wetu ujira mkubwa na awajaalieni afya njema
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@aishahazary4097
8 ай бұрын
Assalaam Alaykum Warhamatullah Wabarakatuh...Tabaraka Rahman vipenzi vya ALLAH.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@kassimabdilatif1802
8 ай бұрын
Masjid or Masajid from the arabic root word 'Sajdah' which means to prostrate . Therefore 'Masjid' basically means or translate to " a place of prostration" . Kwa Kiswahili tutasema " mahali pa kusujudu" au " mahali kwa kwenda kusujudu"
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Masha Allah
@HamzaAkilimali
5 ай бұрын
Tatizo ya Wakristo, hawajui kama kuna Majini watiifu kwa Mwenyezi Mungu na Majini waasi kwa Mwenyezi Mungu. Ni kama Binadamu walivyo. Watiifu na wasio Watiifu. (Kutomuamini Mungu mmoja tu)
@SalimHumud
5 ай бұрын
Hao kichwa ngumu
@guyogalora2736
7 ай бұрын
Masha Allah shukran jazeelan sheikh Ali, sheikh salim ngugi
@jumamsembe1213
8 ай бұрын
Tatizo hawasomi maandiko wanaenda kuimba tu huko kanisani...Hawaezi kufkiria pia na kutafakari maneno..
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
@jumamsembe1213
8 ай бұрын
@@salimdaawah123 Amin Insha Allah
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
InshaAllah@@salimdaawah123
@mustafahaji2636
7 ай бұрын
Asalaam aleikum waramatullah wabarakatu jamani ndugu na Dada wakristo sindukeni mbona mumelala katika kristo.
@salimdaawah123
7 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki na waifuate
@Hi_20206
8 ай бұрын
Huyo jacket wa red..msimpee muda mingi tena
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Inn shaa Allah
@ashaomaromar8624
8 ай бұрын
Amazing jawabu nzuri sana❤❤❤❤
@josephinechaildofgod5371
8 ай бұрын
Huyo jama wa koti nyekudu yuko.ma matatizo kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Tena mengi
@RashidAthumani-kt5pf
8 ай бұрын
Leo moto umewaka subhanallah😅😅
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Mpaka kieleweke
@RashidAthumani-kt5pf
8 ай бұрын
I wish one day mje ARUSHA TANZANIA coz kuna sehem uislamu ni kama haupo yani unajua maeneo ya arusha yamepakana sana na mpaka wa kenya kwahiyo ukristo ni mkubwa sana ukilinganisha na uislamu so, ningependa daawa ifanyike kwa wingi sana huku kwetu inshallah
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awazidishie neema yake
@Jingajinga64
8 ай бұрын
Aamin ya Rabb
@Jingajinga64
8 ай бұрын
Waaleykum salaam
@mwanamtotosaid702
8 ай бұрын
Allahumma Aamin 🤲🏾🤲🏾
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@mtotompole1040
8 ай бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullahi Wabarakatu Wengine Hatuna bundles Za kutosha Shekh Salim tufungulieni tuweze Ku download please 🙏
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh sijafunga unaweza ku download
@Adm9464
8 ай бұрын
Very sad . The truth hurts dada ametoroka when she realized the reality that she is hiding something from her Christian friends
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Yeah she didn't want us to read that verse which prohibit women to preach in church
@Hi_20206
8 ай бұрын
Next tym akuje na pastor nicholas amsaidie juu amezama kuzama😂😂😂😂
@adanabdi5249
8 ай бұрын
Masha Allah.
@bahsansheikh6042
8 ай бұрын
TAKBEER ALLAH AKBAR
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa
@husha6372
8 ай бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi Wabarakatuhu kuhusu KWENDA Makkah kwenye biblia ni Zaburi 84:87
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah kwa ukumbusho huo
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Hakuna Zaburi 84:87
@AlkadoNkundwe-wb3of
8 ай бұрын
84:6
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
@@AlkadoNkundwe-wb3of Baka sio Mecca.Wataka kusema Jews walikua wakipita Mecca kwenda Jerusalem Kwa maombi? How far was Jerusalem to Saudia Arabia? And where were those Jews living in that they will have to pass the valley of Baka going to Jerusalem?
@sophiajuma6798
8 ай бұрын
Masha Allah wa kwanza leo Alhamdhulillah
@Hi_20206
8 ай бұрын
Alhamdullilah
@Jingajinga64
8 ай бұрын
Mashallah. Tabarakallah
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Masha Allah
@Hi_20206
8 ай бұрын
Dada anafungua fungua tu pages za bible na hajui lolote..infact alisema yeye si mkristo sasa anatumia bible ya kazi gani😂😂
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
HawasomiHawaifadh..Ndyo.shida
@loner_wolf
8 ай бұрын
Ustadh tafadhali Mbithee msimsumbue , mfundisheni polepole kwani anatamani kuelewa isipokuwa kichwa imeshajaa mafundisho ya wanadamu , so pole pole ataelewa alafu akiongoka mimi nakuja kukchukuwa
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Inn shaa Allah
@mwangimuhammad-sx9hb
8 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...leo maandiko yamemfinya na kumkera madam Mbithe...Allah awahifadhi na awalipe...nyinyi ni mujahideen katika kuitangaza Dini ya Allah.
Wakristo awana ushaidi na dini yao wakutosha nibora wabadiliketu wapate tiketi ya uisilamu ili wasalimike ili wasiende kuazibiwa adhabu chungu
@mustafahaji2636
7 ай бұрын
Huyo kaka yuahepa ukweli mbele ya wenziwe ndio wasielewe ukweli
@antonykhamati6387
8 ай бұрын
Mafunzo Bora.
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Alhamdulillah
@hythamhashiem4458
8 ай бұрын
Hawataki kujua ukweli wame n'gan'gana na uongo
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
@HusseinLimbe
8 ай бұрын
Asalam Aleykum kila Mmoja
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@josephinechaildofgod5371
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@salimdaawah123
8 ай бұрын
😂🤣😂🤣🤣 kimeumana
@abdifatahabdullahibashir5804
8 ай бұрын
Assalamu aleikum warahmatullah wabarakatuh
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@faridaalwaily-hk4xf
8 ай бұрын
Allaah Awazidishieeeni Imani na subrah kwa kuwaeeeeleza nakuwafahamishaaa ukweliii
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@mustafahaji2636
7 ай бұрын
Asalaam aleikum waramatullah wabarakatu huyo hataelewa na hayuko tayali kufunzwa ili aelewe.
@salimdaawah123
7 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@josephinechaildofgod5371
8 ай бұрын
Mama unanifurahisha
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Yani kama huyu ndiye mchungaji basi wafuasi wako mashakani
@ZahariaHamisi
7 ай бұрын
Na sio hyo 1.timotheo.1;20. Kuna na 2.wakontho 11;27) pia 😂😂😂
@nazbeib1639
8 ай бұрын
❤❤❤❤
@omaar5693
8 ай бұрын
49:20 Come listen to this 😂😂😂😂😂😂😂
@nelsonochieng5216
8 ай бұрын
😂😂😂😂huyo mwanamke
@kennedymanyonge6170
8 ай бұрын
Heri kuwa kuslim kuliko kufuata watu wabishi bila kutoa maandiko......
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Kabisa
@kennedymanyonge6170
8 ай бұрын
@salimdaawah123 i need your phone namba pliz
@fardoshnassor7847
8 ай бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤
@loner_wolf
8 ай бұрын
Wambua atakuwa muinjilist na atakuwa mwenzie na Mbithee . cause maswali yke ya hovyo na Mbithee alikuwa anashiriki japo hakutaka aonekana yupo na wasaidizi , kisha kaja mwishoooni kbsa hakuwa kabaki na kitu vyoote Wambua alikuwa kamaliza
@SalimHumud
5 ай бұрын
Hao ni kichwa ngumu
@laotzu4210
7 ай бұрын
huyo jamaa wa kusoma bibilia/Quran awache kuongeza maneno zake kwa maandishi...wacha ustadh afunze. maoni yangu tu!
@mamawamoya3344
8 ай бұрын
Ma sha Allah
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Alhamdulillah
@Noorein-ws8wk
8 ай бұрын
Allahu Akbar
@sheemaryam
8 ай бұрын
Àsalam aleikum warahmaturullahi wabarakatuh sheikh leo wakileta topic ya yesu mwana wa MUNGU waulize Kwa nini Ni sababu aliumbwa bila baba? Wakisema ndio basi Waambie adamu na Hawa ndio wanasatahiri kuitwa mwana wa MUNGU sababu waliumbwa bila mama na bila baba uone majibu yao
@salimdaawah123
8 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah good point
@Catherine-mh8sw
8 ай бұрын
Takbir
@finiasezra7072
8 ай бұрын
Mayaidi na manasara ndio nini? Mbona mimi sitajwi na hiyo koroani, mbona sisikii uyo mungu akiongea?
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa sheikh Muslims and Christians don't worship the same God.Jesus revealed to us that God Almighty is our heavenly Father and you Muslims worship Allah who doesn't have a son because he doesn't have a companion.Ni kweli hamfati mafundisho ya Yesu mnafata mafundisho ya mohamed.Poleni
@F.j84
8 ай бұрын
Manabii wote walopewa vitabu akina yesu wote wametumwa na Allah. Yesu anasujudu anafunga so jiulizeni je munasujudu km yesu? Yesu hakupiga ndombolo wala wanafunzi wake hawakufanya ibada km zenu ila nyinyi wakristo. Manabii wote wamepewa amri na Allah kufunza watu amri za mungu.
@dulividuli5237
8 ай бұрын
Sisi tunafata mafundisho ya Mtume Muhammad kwasababu ndie mtume alietumwa kwa ajili ya Dunia nzma,Yesu alitumwa kwa wana wa Izrail tu sisi hatuhusu.
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
@@dulividuli5237 soma Quran 14:4 uelewe yasemaje. Hatukutuma mtume ila Kwa ulimi wake...... Kwa hiyo wewe kama sio mwarabu, Mohamed alitumwa Kwa waarabu pekee
@NathanielNathan-m4o
8 ай бұрын
@@dulividuli5237 soma Quran 14:4 uelewe yasemaje. Hatukutuma mtume ila Kwa ulimi wake...... Kwa hiyo wewe kama sio mwarabu, Mohamed alitumwa Kwa waarabu pekee
@dulividuli5237
8 ай бұрын
@@NathanielNathan-m4o mtume ni muarabu na watu wa mwanzo kuamrishwa kuwalingania dini hii ya kiislamu ni hao hao waarabu wenzake Sasa atawezaje Kuwalingania lugha Tofauti na lugha yao wangemuelewa vp tumia akili.
Пікірлер: 124