Rais Samia Suluhu Hassan leo Agosti 28,2023, amemuapisha Balozi Iddi Ali Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, akichukua nafasi ya Said Hussein Massoro aliyeteuliwa kuwa Balozi.
Hii ikiwa ni takribani miezi nane toka Rais Samia amteue Said Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za Ndani wa idara hiyo nyeti kuwa Mkurugenzi Mkuu Januari 3, 2023.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Негізгі бет Mfahamu Mkurugenzi Mpya Wa Usalama Wa Taifa. Mabadiliko Yanamaanisha Nini?
Пікірлер: 31